Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Namkubali Sana mbaraka mwishehe fundi wa muziki
He made me love tz sana
shukran sana kwa kazi hii... nimejifunza mengi..
ahsante mkubwa wangu. great info here
Huwezi kumfananisha huyu mzee na shoga lenu daimond achaa na usiludie
kaziiiii nzurii sanaa
Diamond ni story ingine bro usimlete karibu na mzee mwinshehe wa heshima
Yani location ya kufa ni Kenya, lakini main characters from driver, to hotel owner, to rescuers wote ni waTanzania. Haha.
Na hao watanzania wakagoma kumtolea damu...tena Dereva wake alikuwa mkenya kutoka Nrb alikuwa taxi driver anaitwa Fernando
@@brayo001❤
Hakika mbaraka mwishehe alikuwa nguli wa muziki wa tanzania
Kweli alikuwa nguli wa muziki
Adi simulizi inaisha sijajua mbaraka Ni mtu kutoka mkoa gan maana nimesikia morogoro, mzenga pwani na maramba Tanga
Alikufa akiwa kijana mdogo miaka 35 tu , duu!😭😭
Aah wapi. Diamond na Mbarak wapi na wapi. Mwandishi tutake radhi. Tena usirudie kuandika tena
Kweli alikuwa nguli na gwiji wa muziki
On
Mbaraka mwishehe shida ndo wimbo pendwa wangu
Like the song titled EXPO 70
Masika zolezole Masika zole langa na likembe ya Moro jazz
Huyo mwamba usimu fananishe na bwana mdogo nasibu d wanakjzwa na mitandao
Edison maloba
Kwa hoja na vigezo gani unafananisha chibu na Mbaraka we idiot
Namkubali Sana mbaraka mwishehe fundi wa muziki
He made me love tz sana
shukran sana kwa kazi hii... nimejifunza mengi..
ahsante mkubwa wangu. great info here
Huwezi kumfananisha huyu mzee na shoga lenu daimond achaa na usiludie
kaziiiii nzurii sanaa
Diamond ni story ingine bro usimlete karibu na mzee mwinshehe wa heshima
Yani location ya kufa ni Kenya, lakini main characters from driver, to hotel owner, to rescuers wote ni waTanzania. Haha.
Na hao watanzania wakagoma kumtolea damu...tena Dereva wake alikuwa mkenya kutoka Nrb alikuwa taxi driver anaitwa Fernando
@@brayo001❤
Hakika mbaraka mwishehe alikuwa nguli wa muziki wa tanzania
Kweli alikuwa nguli wa muziki
Adi simulizi inaisha sijajua mbaraka Ni mtu kutoka mkoa gan maana nimesikia morogoro, mzenga pwani na maramba Tanga
Alikufa akiwa kijana mdogo miaka 35 tu , duu!😭😭
Aah wapi. Diamond na Mbarak wapi na wapi. Mwandishi tutake radhi. Tena usirudie kuandika tena
Kweli alikuwa nguli na gwiji wa muziki
On
Mbaraka mwishehe shida ndo wimbo pendwa wangu
Like the song titled EXPO 70
Masika zolezole Masika zole langa na likembe ya Moro jazz
Huyo mwamba usimu fananishe na bwana mdogo nasibu d wanakjzwa na mitandao
Edison maloba
Kwa hoja na vigezo gani unafananisha chibu na Mbaraka we idiot