HISTORIA YA MBARAKA MWINSHEHE MSANII NGULI NI KAMA DIAMOND WA ZILIPENDWA | MAISHA | KIFO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 24

  • @abduldjay3034
    @abduldjay3034 2 роки тому +2

    Namkubali Sana mbaraka mwishehe fundi wa muziki

  • @stevek8318
    @stevek8318 2 роки тому +2

    He made me love tz sana

  • @DjStichie254
    @DjStichie254 Рік тому

    shukran sana kwa kazi hii... nimejifunza mengi..

  • @titusmbithi8956
    @titusmbithi8956 3 роки тому

    ahsante mkubwa wangu. great info here

  • @mwanahawabakari718
    @mwanahawabakari718 2 роки тому +3

    Huwezi kumfananisha huyu mzee na shoga lenu daimond achaa na usiludie

  • @ahmedjack4135
    @ahmedjack4135 4 роки тому

    kaziiiii nzurii sanaa

  • @stevek8318
    @stevek8318 2 роки тому +1

    Diamond ni story ingine bro usimlete karibu na mzee mwinshehe wa heshima

  • @ksgrmdsdl2383
    @ksgrmdsdl2383 2 роки тому +2

    Yani location ya kufa ni Kenya, lakini main characters from driver, to hotel owner, to rescuers wote ni waTanzania. Haha.

    • @brayo001
      @brayo001 Рік тому

      Na hao watanzania wakagoma kumtolea damu...tena Dereva wake alikuwa mkenya kutoka Nrb alikuwa taxi driver anaitwa Fernando

    • @saidfundi9029
      @saidfundi9029 Рік тому

      ​@@brayo001❤

  • @OmaryBurra-og6fb
    @OmaryBurra-og6fb Рік тому

    Hakika mbaraka mwishehe alikuwa nguli wa muziki wa tanzania

  • @ronnymnabea7073
    @ronnymnabea7073 9 місяців тому

    Kweli alikuwa nguli wa muziki

  • @sultanmsoloni8635
    @sultanmsoloni8635 2 роки тому

    Adi simulizi inaisha sijajua mbaraka Ni mtu kutoka mkoa gan maana nimesikia morogoro, mzenga pwani na maramba Tanga

  • @nowelaraymond5986
    @nowelaraymond5986 2 роки тому

    Alikufa akiwa kijana mdogo miaka 35 tu , duu!😭😭

  • @asiamohamed8431
    @asiamohamed8431 Рік тому

    Aah wapi. Diamond na Mbarak wapi na wapi. Mwandishi tutake radhi. Tena usirudie kuandika tena

  • @ronnymnabea7073
    @ronnymnabea7073 9 місяців тому

    Kweli alikuwa nguli na gwiji wa muziki

  • @saidfundi9029
    @saidfundi9029 Рік тому

    On

  • @ahmedjack4135
    @ahmedjack4135 4 роки тому

    Mbaraka mwishehe shida ndo wimbo pendwa wangu

  • @christianahia97
    @christianahia97 8 місяців тому

    Masika zolezole Masika zole langa na likembe ya Moro jazz

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 2 роки тому

    Huyo mwamba usimu fananishe na bwana mdogo nasibu d wanakjzwa na mitandao

  • @patrickimonje4746
    @patrickimonje4746 3 роки тому

    Edison maloba

  • @switbertchambulikazi3372
    @switbertchambulikazi3372 Рік тому

    Kwa hoja na vigezo gani unafananisha chibu na Mbaraka we idiot