Pole sana mamaangu 😭😭😭nimejikuta na lia tuu Ewe Mola ninakuomba Yapanguse Machozi ya Mama huyu aliye lia kwa huzuni akitaraji Rehma zako. Iondoe kila nafsi ya mja wako iliyofikwa na magumu ya aina yoyote. Ewe Mola tuhifadhi na Utudumishie Neema zako,Utuongoze katika rehma zako na Utulinde na kila aina ya balaa. Allahumma ameen 🤲🏼
Maisha ya sasa hivi hata ukiwa umeolewa hautakiwi kukaa tu lazima ufanye Jambo namaanisha kibiashara mwanaume wengi akiona unamtegemea Kwa kila kitu talajia kupigwa na kitu kizito kichwani
Nyie mnaokoment aende kwao mara afanye kazi jamani hayajawakuta watu wamesoma na miata zao kazi hawana sembuse huyu. Km kazi zinapatikana kirahisi asinge kuja kutaka msaada kwetu tuwe na utu.
Mama Kulya sana hakusidii tfuta vibaruwa ulee family yako wanaume kuna Tim wanachoka jamani kila kitu angaike yeye na Wewe pya unamjuwa Mumeo hana maisha mazuri vizuri ukajiangaikya mbona wachaga tuna leya familya zet bla hata kumtegemea mwanaume sasa sijuwii wenzetu mnakwama wapiii
Kulia hakusaidii mama kama vipi uchangiwe nauli urudi kwenu acha kung'ang'ania dsm utaishia kudhalilika tu kama ni misaada utasaidiwa mpk lini watakuchoka watu.
Pole ndugu yngu mungu wanakupa mitiani na yy ndio atakutolea jipe moyo mitiani ipo siku itakuepuka ndugu tuseme Alhamdulillah yeye ndio kila kitu kwetu waja wake
Pole sana dd allha atafanya wepesi huyo siyo mwanaume shetani na akupendi anataka tu kira siku ubaki mnyonge unamlilia yeye ndomana ataki kutoa taraka shubamiti
Maisha mengine hayo unayosema unadhani ni simple kama unavyofikiri!! We usicheze na shida hazina mjanja shida. Hukusikia hapo kua alimnyonyesha mtoto wake kwa cowberry za sh.100 huko kwao?
Si kwa ubaya lakini mimi niliacha mtoto na mwezi niliteseka saana huyu hajateseka sai wote wako univasity nawalea hawana baba napambana na warabu naosha. Hamam
Mahali 50000! Acha basi maujinga yenu! Wanawake wengi tu hapa hata kuhongwa tu hio 50000 hawataki! Afu we unaolewa kwa 50000! Haaaaaahhhhhhhh, Lazima uteseke! Olewa kwa 200 milion ili mmeo akuonee uchungu!
Huyu 47 sio kweli kwenye 30 naa ivi afu apige kazi tu Allihamdulilah haumwi hana ulemavu afanye kazi za watu ata zandan ili apate mtaji mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe
Pole sana mamaangu 😭😭😭nimejikuta na lia tuu
Ewe Mola ninakuomba
Yapanguse Machozi ya Mama huyu aliye lia kwa huzuni akitaraji Rehma zako.
Iondoe kila nafsi ya mja wako iliyofikwa na magumu ya aina yoyote.
Ewe Mola tuhifadhi na Utudumishie Neema zako,Utuongoze katika rehma zako na Utulinde na kila aina ya balaa.
Allahumma ameen 🤲🏼
Pole sana mamy acha kulia ukichangiwa hela tafuta biashara ufanye hata kuuza mkaa au kupika mama lishe wakati wa kulia umeshapita
ZAHRI mwenyez mungu akulinde maana kila Kona IPO hata huchoki
Mhhh!Pole saana mumy !waha sio watu wengi wao ni wakatili sana.
Allah akufanyie weps my dada
Wanaume Mungu anawaona 😭😭😭
😭😭😭😭 pole sana mama huyo mwanamme atakua nalaana. Machozi yamwenyehaki haipotei bure
Maisha ya sasa hivi hata ukiwa umeolewa hautakiwi kukaa tu lazima ufanye Jambo namaanisha kibiashara mwanaume wengi akiona unamtegemea Kwa kila kitu talajia kupigwa na kitu kizito kichwani
Si kwa wanaume wote, wapo wanaojitambua.
Kitu kizito🤣🤣
Hiyo ni kweli kupambana ni lazima hata iwe uko kweye ndoa
@@sadakhamis1261 umeona swaiba akileta mchele unaleta nyama hata ugomvi usio na maana hautokuwepo
😂😂😂😂 kabisa
Pol sana mama
Nyie mnaokoment aende kwao mara afanye kazi jamani hayajawakuta watu wamesoma na miata zao kazi hawana sembuse huyu. Km kazi zinapatikana kirahisi asinge kuja kutaka msaada kwetu tuwe na utu.
Mama Kulya sana hakusidii tfuta vibaruwa ulee family yako wanaume kuna Tim wanachoka jamani kila kitu angaike yeye na Wewe pya unamjuwa Mumeo hana maisha mazuri vizuri ukajiangaikya mbona wachaga tuna leya familya zet bla hata kumtegemea mwanaume sasa sijuwii wenzetu mnakwama wapiii
Kwan jukumu lake nini mwanaume na kama alikuwa anaona hajiwezi kwann alikuwa anaoa 😢😢
Kama unaweza msaidia msaidie maneno mengi sizani kama uatamsaidia Kwa sasa
🤗🤗
Tuko pamoja mama tutakusaidia mungu atakufanyia Wepesi usilie jikaze
Kulia hakusaidii mama kama vipi uchangiwe nauli urudi kwenu acha kung'ang'ania dsm utaishia kudhalilika tu kama ni misaada utasaidiwa mpk lini watakuchoka watu.
Pole ndugu yngu mungu wanakupa mitiani na yy ndio atakutolea jipe moyo mitiani ipo siku itakuepuka ndugu tuseme Alhamdulillah yeye ndio kila kitu kwetu waja wake
pole sana Mwanamke mwenzangu' Hakika Inauma sana
Pole sana dada mungu yupo yataisha tu
Pole sana Dada yangu Mwenyezi Mungu atakufungulia milango ya rizki
Pole dadaanguu mungu atakufungulia inshallah
Pole sana dd allha atafanya wepesi huyo siyo mwanaume shetani na akupendi anataka tu kira siku ubaki mnyonge unamlilia yeye ndomana ataki kutoa taraka shubamiti
Pole dada mungu akawegaraja kwako
Pole Sana wanafamilia
Poleni sana ndugu yangu
Sasa Namba ya m.pesa iko wapi ewe mtangazaji?
Pole dada mungu atakusaidia hiyo hali itaisha
Laanatullah alaih mungu amlaani huyo mwanaume...
Usimuhukumu ww saidia juu hatujamskia mumewe side of his story
Izo changamoto wenxio ndio xilizotukimbiza nchi karibu kwenye falme za nchi za kiarab uje kula msoto kuna muda maarum wa kuamka lakin sio kulala 💃
Jamani mimi natamani kujaa kuhangaika nipate kipato changuu ni mwanamke mimi
Uyu mama anaumwa wapi ana kasoro gani ya kiafya? Mm ua natamani nisimulie story yangu labda watu kama awa wataenuka wapambane
Naaje tuoshe hamam dada ww sio mzee
Uwiiii kuna watu wanateseka hapa dunian mwe 😭😭😭😭😭pole sana dada mungu mwema atakusaidia tu
Dada jikaze...tutakusaidia... Tutakuchangia Ela...jikaze tu Dada. Saa izi ni usiku mimi kesho nitakutumia ela Dada...jikaze tafadhali.
Jamani kwanza pole dadaangu pili kaka zaili uyo dada akafanye kazi kwani mzima ana mikono na miguu
Hivi hio miaka ya 3000) 8000) 1000) Mtu mzima anapewa na ana familya! Ni miaka1905 au? Sjaelewa hapo! Kabisa kabisa? Wanawake mna moyo!
Wanawume ni mumbwa saaana nanjo maana Mimi siwapendi
Mbona Iyo Namba siioni jamaaangu?
Pole Dada sn yn ulivyo mzr utazani unamiaka 30
Unawumbire rizure.ingekuwa nawuwezo hangezeekaka mbiyo
daaah tena ndugu yangu usijali nitatowa nitakacho jaaliwa pole sana dada😭😭😭👏
Kwani huna miguu uwondoke kwenu? Unamng'ng'ania mwanaume km baba ako uhuyu mzee wako tu na kuna muda unamucha unaenda kuanza maisha mengine
Maisha mengine hayo unayosema unadhani ni simple kama unavyofikiri!! We usicheze na shida hazina mjanja shida. Hukusikia hapo kua alimnyonyesha mtoto wake kwa cowberry za sh.100 huko kwao?
Salma muombe Allah asikupe mtihan uyo
So sad 😭😭😭🤲🤲
Pole dada 😭😭😭😭😭
Hy mama Hana kasoro, apew nauli arud kwao vibarua mbn vipo vingi, Kuna watu wamepitia magum zaidi yk
Nashangaa sijui anatesekea nini dsm
duuh kumbe anamyaka 47 anaonekana kama anamyaka 33
Jamani maisha yakikushinda mjini Rudi kwenu tatizp watu wakija mjini hawataki kuludi kijijini kwao pole jamani
Si muache atulie kidogo jamani...
Si kwa ubaya lakini mimi niliacha mtoto na mwezi niliteseka saana huyu hajateseka sai wote wako univasity nawalea hawana baba napambana na warabu naosha. Hamam
Umeona mimi nimemuwacha mwanangu anamwaka 1na miezi miwili
Maisha hayafanani
Mpe na yeye ramani ya uko na nauli na passport na uko kwa waarabu sio kila aendae anapata maisha wengine wanateseka mpaka wanapogeza maisha .
@@mariamanafi22 kama huku wanateseka na hivyo alivyo hateseki maisha mazuri hayaji kirahisi, pili yy sio mlemavu atasaidiwa mpaka lini
Mjuwe nchi ya stanza sio kama Kenya kusafir kuja nnchi za arabuni
Mambo kama haya mitaani yapo mengi sana tanzania si huyu tu
Miaka 47 sio mingi tena unaonekana kijana Maisha kuna mengi tumsaidieni apate hata mtaji ajishughulishe
Kwani hii serikali na wanawake na wtt huko Tanzania haisaidii jamani kila siku wanawake wanatelekezwa
hatusaidiwi ndugu weee'
@@salamanauthar480 hakuna haki za wanawake na watoto 🙆 Eeeh Tobaa....poleni Sana mola atawafanyine wepesi insha'Allah 😭🇰🇪
@@mwanaishakhamis8069 Amin yarrabi' nchi yetu ndo ilivyo my uwa haijali kabisa
Jamani. Mimi Ninamakubwa Zaid inawezekana. Nikauwa. Mtasoma gazet wiki nzima mtasikitika sana
Mahali 50000! Acha basi maujinga yenu! Wanawake wengi tu hapa hata kuhongwa tu hio 50000 hawataki! Afu we unaolewa kwa 50000! Haaaaaahhhhhhhh, Lazima uteseke! Olewa kwa 200 milion ili mmeo akuonee uchungu!
Maskini nimelia sana
Mdongo huyo afanywe kazi sahivi huyo ana sura kama mika 37
Huyu 47 sio kweli kwenye 30 naa ivi afu apige kazi tu Allihamdulilah haumwi hana ulemavu afanye kazi za watu ata zandan ili apate mtaji mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe
Kwani kakuambia Haifanyi kazi
@@asiabashiro3512 eeee!!!!!
Zahiri watembelee pia hao majirani wenye mijengo lwa nini hawasaidiani? Waambie wawe wanatembeleana, sidhani km wanashindwa kumpa hata 1.5M
Kutoa Ni moyo unahuakika wanna moyo wa kujitoa
Nimetoa namuonea huruma
@@zainabukivale9571 wow😊
ZAHRI mwenyez mungu akulinde maana kila Kona IPO hata huchoki