Ka zahir huwa unampa faraja sana huyu baba jamani ,,,,,japo ana msongo mkubwa wa mawazo ila umemfanya mpaka amecheka ,,,,hongera mtangazaji chukua 🎉🎉🎉 yako,, kuna watu wanahitaji faraja japo wapo kwenye mitihani ya ugumu wa maisha na maradhi ni huzuni kwakweri
Asante sana ,Zahir afadhari saiv watu tutakuwa na moyo wakuanza changa tena,jaman maximum family,tuzidi support hii familia saiv matumaini yapo Bakari kajitahidi I think anaitaji guidance na msukumo kidg.Lakin big up.
Pole sana hayo yote ni sababu ya ugonjwa usimchukie tunaomba umvumilie na umpe maneno mazuri ya upendo na faraja kuuguza ni ibada na tunaendelea kuwaombea dua
Kauli yako hii siyo rafiki kwahiyo Albino wote nindg wa Manara ungekuwa ww unatatizo la ualbino ukaambiwa hivyo utajiskiaje kejeli siyo nzuri kabla hujafa hujaumbika
Hiz habari zipelekeni tbc na vyombo vikuu vya taifa ili watu wejue na wanaotaka kujitolea wajue hayo mambo yatakwishwa daaa inauma sana kiukweli,huo ndio utawala wa manyani (watumwa)pesa bora kulliko afya ya walipa kodi.....kila la kheri.
Yaani nimecheka, Zahir eti mwambie mkeo nakupenda 😂 nimependa maongezi yao leo, hata huyu mume pia ni mtu mzuri ana utani utani .ni familia yenye upendo, ni hivyo tuu mapato madogo. ila wanapendana.mungu atamuondolea mtihani mkewe. 28.09.24.
Ukiachana na msaada nnaoutoa mm ni mwandishi wa habari so natafuta habari nyingine kwa mteja wangu ww ukiona maswali mengi unastop tu kutazama sisi wengine tunafanya maswwli yawe mengi ili nasi tulipwe na youtube sawa
@@AminaLibisaunajisumbua kujielezea huyu zahir anaonag kashamaliz maish bora fabby huyu vidharau kibao tukistop kutazama utatizama we na familia yko ss jmn😅😅
Nini inafanya aombe talaka au ni hizi michango anafikiria atazidi kupewa sasa anaona akipewa talaka atazidi kuchangiwa??hawa hawako serious na hawajajua cancer ni nini,wanafikiria cancer itapona kesho kama mavua
chat.whatsapp.com/DeDPWulcpXR2FPuRxrUuEc
JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP
Anaumwa yule mdada sio amri yake kua mkari Mungu amsaidie apone inshaAllah 🙏🙏
Kwer awe na subra mume
Kabisa
Mara nyingi wenye ugojwa huyu dada wanakua na hasira. Sana
Ni ugonjwa hatari sana Mungu atunusuru yarabi na walio pewa huu mtihani Mungu awaponye inshaAllah 🙏
Aamiin @@AminaLibisa
Ka zahir huwa unampa faraja sana huyu baba jamani ,,,,,japo ana msongo mkubwa wa mawazo ila umemfanya mpaka amecheka ,,,,hongera mtangazaji chukua 🎉🎉🎉 yako,, kuna watu wanahitaji faraja japo wapo kwenye mitihani ya ugumu wa maisha na maradhi ni huzuni kwakweri
Asante sana ,Zahir afadhari saiv watu tutakuwa na moyo wakuanza changa tena,jaman maximum family,tuzidi support hii familia saiv matumaini yapo Bakari kajitahidi I think anaitaji guidance na msukumo kidg.Lakin big up.
Thanks
Vimajibu tuu unavyo zahiri 😅😅😅😂@@maximumtvonline
Pole sana hayo yote ni sababu ya ugonjwa usimchukie tunaomba umvumilie na umpe maneno mazuri ya upendo na faraja kuuguza ni ibada na tunaendelea kuwaombea dua
Hajuwi mke wake ni waaina gani😅Cha mwisho namsaidia ni mtami😂😂❤
Jamani! Mungu awasaidie huyo mama anakuwa mkali na mwenye hasira sababu ya maumivu anayoyapata, Mimi nimepitia hiyo hali najuwa, Mungu awaonekanie
Mi napenda mnavyopendana wallah ee mungu nipe na mm anipendeeeeeee
Zai Manara njoo uwasaidie ndugu wa mume please 😢
Kauli yako hii siyo rafiki kwahiyo Albino wote nindg wa Manara ungekuwa ww unatatizo la ualbino ukaambiwa hivyo utajiskiaje kejeli siyo nzuri kabla hujafa hujaumbika
@@AlHamra-ej3mo wewe una fikra mgando achana na fikra mgando
@@AlHamra-ej3mo andika yako ilokuwa nzuri
Na mume nae pia sio mzima kiafya na yeye pia. Mungu awasaidie
Shida. Na mawazo. Hua akil zinakua sio sawa 😢Allah atawasaidia inshallah dada atapata. Uzima afya
Mskiini ! Mazoea yana taabu tabia zikilingana tena nikubwa adhabu watu nyinyi kuachana.
Maisha maisha maisha.ukilidhika na unchopata aah siku zinaenda.comedy kidogo😂 ,basi aah siku sinaenda
Yeah utani upo siku zote
Msifikie hatua hiyo yakutaka kuachana jamani watoto wanataka kulelewa na wazee wawili baba na mama
Yote umasikini 😭😭yarabi tupesubra kwa halizetu hizi tulixo nazo. 🤲
Hapo sasa @hanifa
Ameen 🙏
Amiina hanifa
Aamiin
@@AminaAmine-v4m kazi ipo
Licha ya maisha wanayoish lkn wanapendana sana Allah amjaalie huyo mama apone alee watt wake
Dah hii media mungu aalinde sana Sabu inajali sana wanadam na ifanikiwe Zaidi n Zaidi 🙏🙏
Anywe juice ya majani ya mtaferi,tunda la mstaferi,mafuta ya Habat soda na pia ale sana mboga mboga na aachane na wali ngano na vyakula vya kukaanga
Huyu mzee yuko saw kweli et maziw hayapo kwan sii unanunuw duuh
Assalamu alaikum warahmatullahi wabarakatu kaka zahir mbona kina happy hautuonyeshi wanavyoendelea na nyumba yao inavyoendelea kaka
@@ramlajeffah9831 hela ya ujenzi haujatuma ndo shida tutaendeleaje sasa
Mbon kawaonesh juz kati 2 kila sik awaoneshe wao kwan hakun wat wakuwatangaz😢
Huruma yarab Allah turehem waja wako
InshaAllah Allah make easy for them InshaAllah ❤❤❤❤❤
Pole bro 😢ila wasiachane aki
Allah awafanyie weps inshallah 🤲
Habari zahri mwambiye uyo jamaa anyowe izo defu
Huyu baba anatia huruma😢
Sana.
Sifa nyingine mvumilivu huyo mama saana
Kaka zahili wakumbushe kufqnya ibada. Nduguzetu hao
Sawa
Hiz habari zipelekeni tbc na vyombo vikuu vya taifa ili watu wejue na wanaotaka kujitolea wajue hayo mambo yatakwishwa daaa inauma sana kiukweli,huo ndio utawala wa manyani (watumwa)pesa bora kulliko afya ya walipa kodi.....kila la kheri.
Hakuna kitu watafanya
Mashallah nitamtafuta uyu kaka
@@wastarangayonga8562 mie pia natamani nikamtembelee nitawasiliana na Zaher
Mama mvumilivu hali mbaya na anafanya kazi za nyumba
Zahir mwambie ale stafeli sana au afanye juice ni nzuri dawa kubwa ya cancer iyo na maumivu yanapunguwa please afanye ivo au uki google utaona
Sawa
kweli kabisa stafeli iwe tunda lke
Ajachelewa kuzaa jamani ila bbayako kawah Sana kuzaa Kama mtotowake wakwanza ana 41 inamana alizaa namiaka 13???
Bakari mpole sana
Sanaa
Pia ni wadogo voo
@@yasminjuma9146 ni kweli wadogo Allah awafanyie wepesi
Hapa alikua ananyonya maziwa yamama yke yalikua hayatoki
Mungu Amponye mkeo
imebidi mimi nicheke pia
Jmn mmefikia uku tena 😢😢
Jamani huyo mama anaumwa sana tumuombee siyo hali ya kawaida kumuomba doctor dawa iliafe kwahiyo tumsamehe siyo eye ball ni home hiyo
Yaani nimecheka, Zahir eti mwambie mkeo nakupenda 😂 nimependa maongezi yao leo, hata huyu mume pia ni mtu mzuri ana utani utani .ni familia yenye upendo, ni hivyo tuu mapato madogo. ila wanapendana.mungu atamuondolea mtihani mkewe. 28.09.24.
💕💕
😂😂😂😂 jamani Pamoja na maumivu ya mokewake ila sasa hivi nuru baba anaanza kuchangamka
Maskini 😢😢😢
Kaka zahri 😂😂😂 maswali mengine bannah
Ukiachana na msaada nnaoutoa mm ni mwandishi wa habari so natafuta habari nyingine kwa mteja wangu ww ukiona maswali mengi unastop tu kutazama sisi wengine tunafanya maswwli yawe mengi ili nasi tulipwe na youtube sawa
Sijasema Kwa ubaya kaka zahri ila yanafurahisha usiwe na hasira ndio maana nimecheka🙏
Wala sikukusudia ubaya kaka yangu
@@AminaLibisaunajisumbua kujielezea huyu zahir anaonag kashamaliz maish bora fabby huyu vidharau kibao tukistop kutazama utatizama we na familia yko ss jmn😅😅
@@deboranicoraus4866 yaani ni shida Kwa kweli ila huwezi kujua kila mtu na madhaifu yake maana so poa povu kama lote🤔🤔
Kaka zaili vp uyo mama sasaiv aliv kwend hospital
Ndo hvo anaendelea vzr
Mtu akishuka damu anakuwa mkali sana na mbali ya maradhi mazito aliyonayo anastahiki avumiliwe sana
Na ana stress sana
Nini inafanya aombe talaka au ni hizi michango anafikiria atazidi kupewa sasa anaona akipewa talaka atazidi kuchangiwa??hawa hawako serious na hawajajua cancer ni nini,wanafikiria cancer itapona kesho kama mavua
Alivyoona mume wake hana kitu ni masikini akasema anaoza tu ndani mwanaume hana kitu bora ampe talaka aende kwao akafie tu huko
@@VionaMuthoni289 Sikiliza interview vzr usiongee tu
Zahir huyo baba anamawazo na anamsadia mke wake na hela anamlipia na mtoto wake pia anamnunulia maziwa maskin msiwe
Yes
Maswali magumu
Kwahyo!!?
@@maximumtvonlineila mtangazaji we atali adi maneno unamwambia ya kusema kwa mkeo hahah