Msifie mfalme ule ugali wake ndio asili ya viongozi wetu ,ukinikuna vizuli ntakuapapasa ntakupulizia kila mtu sasa iliawe na maisha bora lazima awe chawa wa viongozi tz
Baba levo atakoma mwaka huu. Maana mwijaku ndo ivo ashaanza kupata connection kwa mama tozo. Mungu akiamua kumpandisha nyota mja wake hakuna mwanadam awezaye kuishusha bna mwijaku ameng'ara kwa allah na dunian. 💪💪
Saa nyie ambao mnacoment matusi na hamna umaarufu wote mnamchukia Mwijaku Kwa lipi hasa??? Hili lijamaa linapata followers wengi kupitia uchiz wake huo na linaendesha maisha vizuri tu.
Wee punguani sio kilomita, ni feet au mita.. Uliza kwa upya.. unachapia mno mara mount Kilimanjaro ipo Arusha... Sasa hv kilomita tena. Na ukiamua kubomoa mayai (English) bomoa.. sio you see this guy.. then unafeli.
Kwasabab mwijaku hana ujuzi wa kufyatua hilo parachute na hajawah kuruka futi hizo. So, lazima awe na muongozi ambaye ndio huyo mzUngu ndio muongozaji wake. Lazima awe chini ni kama kabebwa tu maana hawez ku control safar hana analojua
Wasenge walio na wivu wana comment kwa chuki tu, mwenzako anatumia fursa na anaingiza pesa familia wanashiba, wwe endelea na wivu akati bado unakula ugali wa shkamoo
Kuna watu bado wamelala, Eti anajipendekeza kwani Kuna tatizo Gani? Jamaa linajiongezea followers Kila day na uchiz wake huo na familia linahudumia vizuri tu.
@@barakakusa7606 isitoshe mwanangu, kwenye pesa wanazochanga makampuni na watu kwa ajili ya kusaport royal tour , raisi anaona uhamasishaji wa mwijaku, hawez sema ila anapewa donge la maana, ni kama vile kipindi cha kampeni unavyoina wasanii wanapafom wanalipw vzur kinyama, sasa achana na hao wasiojielewa wakidhani anajipendekeza
Jamaa katuliyaa kwenye mgongo wa mwijaku anaskiliziya ujotoo💥💥🤣🤣🤣🤣
Mwamba katulia tu kwenye chura ya chawa
Sasa hili Jitu lasema yeye amesoma Sana lakini kizungu ndo shida hivi kusoma huku ni kusomea kutunga mashairi ama sielewi 😂🤣🤣🤣🤣
Jifunze quran kwa hukmu kuswali kwa vitendo gusa picha yang mara 2 hapo kama hautojli
Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU mkuu taifa rangu kubwa la TANZANIA ripo mikononi mwako pamoja na raisi wangu
Hongera kwa kupakatwa
Mtu akisoma anajua jinsi ya kumteka mtu ,baba Levo anabwatuka tu ,wenzako wanatumia technique
Huyu jamaa atafika mbali watu wanamuona chizi lakini yupo vizuri na anajua anacho kifanya
Sema Mwijaku kuhusu kutema yai ni 0 😁😁 ila hongera sana kwa kujitupa angani kama vile sio wengi tunaweza
Wakati watanzania huku mitaani hatumuelewi Mama, hawa wakina mwijaku huwaambii kitu kuhusu Mama the Rambo a.k.a Arnold Shoziniga...
Hahahahahha we ni mpumbavu asante kwa kumade my day. Mama the Rambo na nani???? Hahahahahahahaa
@@naomikatharinaandrewmnkai6760 Hahhaha live long mpumbavu mwenzangu we keep mading our days..
Sifa sio nzuri
Mmh kupakatwa tena
Msifie mfalme ule ugali wake ndio asili ya viongozi wetu ,ukinikuna vizuli ntakuapapasa ntakupulizia kila mtu sasa iliawe na maisha bora lazima awe chawa wa viongozi tz
Hongera sana naona uko na sugu boi
Mbona kapakatwa
Pele limepata mkunaji😅😅
Mwijaku anaonekana chizi lakini huyu Jamaa waliosoma Public Relations as a course watanielewa nn nasema
True
Yaa
Mwijaku unaonekana hujui kuongea kizungu mana unarudia maneno yale yale
Hpo kwnye kilometer 5000. Aloooh
Mzungu kakoma kwa mishuzi ya mwijaku huko angani 😂
😆😆😆😆
🤣🤣🤣
😁😁
Hongera Mwijaku
DC Mwijakuuu
Kumbe alipakatwa
Jamani hapo mimi nafata ona israil😂😂😂😂
Chawa
Limepakatwa Lina baashiwa linafurahitu
Mwijaku kumbuka lakin unakes uku yakujibu kuusu menina upooo
Ivyo vidole vya 6x3 mzungu 🤣🤣 umeupiga mwingi
Hatarii
Mwijaku njaa zitakuua kwanza umetwambia mama kaupiga mwingi eheee😃😃
Apo sjaskia ni kilometa ngapi?
Nimependa
Mwijaku ukifika chini ..kesi ya kujibu inakusubiri pale kisutu(menina)
ingekua mie ningepotelea huko huko angani sirudi chin.. 😂😂😂😂
Ila wewe
Nilijua tu Mijaku atakuwa chini mzungu atakua juu......
😂😂😂😂😂😁
mbona amepakatwa?
Yaarab stiri ana mambo mtto huyu masha Allah
Ginkj6 huh
;H
Hqghhhiyh
Guide how ghygjgjt
Gjv
*Mt 5000 yeye asema Km 5000 hahaha kweli mjini mipango*
Hch ND kingereza Cha mtu wa division 1 kwel
Mbn kapakatwa na mwanaume mwezake
Mwijaku amekaliwa na hilo zigo
MWIJAKU kaupiga mwingi 🤣🤣🤣🤣🤣
Chiz kapata lungu
Unalaliwa na mzungu harafu unacheka cheka
Kilomita elfu tano mwijaku?
Umetupiga apo 😂😂😂
Yaan mm hapo lazima nizimie kwa hofu🤣🤣🤣🤣
Siwez kukubali mwanaume awe nyuma yang ivo
It doesn't matter brother kikubwa ni kujiekewa mbona boda boda wanawaendesha watu issue ni kujielewa coz unaweza usikaliwe nyuma na ukakazwa piaa
@@binhussain3445 acha kuchukulia vitu serious, unaharibu mada
@@davidvon7897 Serious vipii
@@binhussain3445 me c nlizungumza kwa upande wang tu, lkn naona unataka mada Iwe tofauti na maana yang
@@davidvon7897 Basi yaishe Lakini kama ilikuwa ni kwa upande wako usingecomment ungekaa nayo moyoni
Mwisho wako utaolewa Subiri kwani hapo tu naona umekalia
Chizi kapewa rungu ukurutu umepata mkunaji mwijaku una ongea sn tn sn
Baba levo atakoma mwaka huu. Maana mwijaku ndo ivo ashaanza kupata connection kwa mama tozo. Mungu akiamua kumpandisha nyota mja wake hakuna mwanadam awezaye kuishusha bna mwijaku ameng'ara kwa allah na dunian. 💪💪
Hahaha mama tozo jina gani tena hilo jamani kwa president
Mama tozo tena🤣🤣🤣🤣
😀😀😀Mama wa yeah me too
@@faridyshaame4705 acha kumtukana rais huogopi serikali. Haya hata umri huheshimu. Wewe ndio umesema me sijamuongelea raisi
Kilometer 5000 ? Kutoka juu🤔🤔🤔
Sio mgongo2 adikiuno anajifaidi
Da!! Kaka yetu amekelaliwa juu, da!!
Ujinga huo
🤣🤣
Mzee wa mlima Arusha😁😁😁
Nita jaribu hii Awezi nipita😂😂😂
unga shilingi ngapi?????
Saa nyie ambao mnacoment matusi na hamna umaarufu wote mnamchukia Mwijaku Kwa lipi hasa??? Hili lijamaa linapata followers wengi kupitia uchiz wake huo na linaendesha maisha vizuri tu.
Limepakatwa mamae jamaa kapiga BAO kwa dc
tutakoma Sasa mitandaoni
Mnatumia nguvu kubwa sana kujipendekeza, njaa kweli mbaya sana.
Huyu DC anaongeza followers tu kwahy anachokifanya anajua yeye anafaidika vipi?
Ww unatumia nn kutoa njaa yako
Hawa ndio wasomi wa Tanzania kupiga hatua itakuwa Ngumu sana
Umeona eeh? Eti kilometer 5,000 zezeta mno anaaibisha vyuo anavyosema amepita
Ana zijua kilomita elfu tano huyu😂😂😂
Tumeshapigwa apo.. 😂😂😂
Hakuna mambo ya kilometers elfu 5.
Jamanii hawaaa machawaa wanashidaa
Kuleni kuku tu vijana huu ndiyo wakati wenu ridhini mantashalla
BWEGE HILI LIMEPAKATWA NA MZUNGU
Bwabwa hilo
Hata weye ukitaka kuruka lazima upakatwe hivyo coz huyo jamaa ndo anajua namna ya kuendesha hiyo kitu
Acha usenge nama beberu we we unauza nchi
Anazijua Km 5000?? Eti tumeluka Km 5000 uongo
Mbona wewe hauja vaa elmenty
Kumbe umefikishwa kileleni mwijaku 😂 dah jamaa anaongea mpaka anajisahau 😂
Ukulutu umepata mkunaji😂
Anataka u dc.
Oya huyu jamaa c afungwe ama?
alikuwa kileleni!!!hv ilikuwa lazima wabebane
Anautafuta ule UDC xaxa😂
🙄🤔😆😆🤣mwijaku 🙈Yuko chini mzungi juu 😂🤣
Wasomi wetu hawajui kingereza Tanzania alafu anajiita msomi wa Mzumbe.
Hahhhaaaa say Gay's
Kumbuka kuwa usomi na kujua lugha ya kiingereza ni vitu viwili tofauti
Km 5000🤔🤔🤔🤔
Mbona kama kaukaria
Km 5000 realy?
Wamekupakata ninoma sana
Mwijaku afika kileleni
Hivi anajua kua anakesi ya kujibu😂😂😂
Anajiweka karibu na mama mwijaku ili asamehewe kes yake 🤣🤣
Mmmh
Wee punguani sio kilomita, ni feet au mita.. Uliza kwa upya.. unachapia mno mara mount Kilimanjaro ipo Arusha... Sasa hv kilomita tena. Na ukiamua kubomoa mayai (English) bomoa.. sio you see this guy.. then unafeli.
Hahahahaaaa
Mwijaku una roho ngumu duuh
Usijisaulishe mwijaku kesi inakusubiri
Sasa mbona kapakatwa
Huyu jamaa asiye na Marinda makubwa jela inamsubilia!
Usiskize maneno ya watu
Acha kuskiza maneno ya watu
Tanzania kilamtawala hajuimajukum anawaza kumiliki pesa kwani zitawafikisha wapi mbona wengi atuna maisha yanaenda tu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Namimi na shangaaa Hawaoni wario tanguria
Unasemaga umesoma mbona kingereza chako km changu unatetemeka sn we ongea kiswahili tu. Hata hivyo umetisha..
Mbona sijaalikwa
Kilomita elfu tano angani unazijua wewe?
Kwann huyo mwafrika kawa chini alafu mzungu juu yake.
Kwasabab mwijaku hana ujuzi wa kufyatua hilo parachute na hajawah kuruka futi hizo. So, lazima awe na muongozi ambaye ndio huyo mzUngu ndio muongozaji wake. Lazima awe chini ni kama kabebwa tu maana hawez ku control safar hana analojua
Mwijaku anatumia fursa
Mpambe kapewa rungu😂😂 wangapi waliona na hiii 👇👇👇
ua-cam.com/video/gnIe4ZeeTDY/v-deo.html
Ili neno kaupiga mwingi lime kaa kinafki sana
🤣🤣🤣
We KiliArusha mlienda huko 5000km na hiyo ndege na mme"daivu" hizo kilometer na umerudi chini kwa kutumia hii Physics ila itakuwa mmetumia Civics,
Wasenge walio na wivu wana comment kwa chuki tu, mwenzako anatumia fursa na anaingiza pesa familia wanashiba, wwe endelea na wivu akati bado unakula ugali wa shkamoo
Kuna watu bado wamelala, Eti anajipendekeza kwani Kuna tatizo Gani? Jamaa linajiongezea followers Kila day na uchiz wake huo na familia linahudumia vizuri tu.
@@barakakusa7606 isitoshe mwanangu, kwenye pesa wanazochanga makampuni na watu kwa ajili ya kusaport royal tour , raisi anaona uhamasishaji wa mwijaku, hawez sema ila anapewa donge la maana, ni kama vile kipindi cha kampeni unavyoina wasanii wanapafom wanalipw vzur kinyama, sasa achana na hao wasiojielewa wakidhani anajipendekeza
Talk English
5000 kilometer jamaa hanaga akili kabisa😊😊😊😊
Mwijaku kalipwa kufanya ujinga kama huuu...anamfulaisha aliejuuu nyie kuleni tu pesa zetu tutaumia sasaiv lkn IPO siku Mtanzania atafulai
Nini sasa cha ajabu huo ni ushamba tu ss tumesharuka sana.
Hanalolote huyu kiroboto anataka umaafufu kilakona asifiwe lakin mwenye akili hasa hamsifu.watamsifu awoawo machizi weziwe
Acha roho ya chuki. Roho mbaya haijengi bro. Allah akiamua kumng'arisha mja wake nyota binadam huwezi kuizima
Acha roho mbaya kaka hapo yupo kutafuta Sasa kama wewe unakereka tambaa
Wivu
Sasa nikuulize kipi kizuri alichokifanya mbele yamungu et.baada unafiki