KWA MARA YA KWANZA NDEGE KUBWA YA SERIKALI YATUA JIJINI MWANZA
Вставка
- Опубліковано 28 лип 2018
- GSENGOtV
Kwa mara ya kwanza ndege kubwa ya Boeing 787-8 Dreamliner yenye uwezo wa kubeba watu 262 imewasili majira ya saa 5:00 asubuhi ikitokea Kilimanajro.
Hii ni safari yake ya kwanza kuzinduliwa tangu ndege hiyo ilivyowasili nchini Tanzania mapema mwezi huu ikitokea Marekani.
Hamasa kubwa iliyofanywa na mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella kwa takribani siku 7 imewatoa majumbani si wakazi tu wa mkoa wa jiji la Mwanza bali pia wananchi kutoka mikoa ya jirani na wilaya zake wamedhuru hapa wapate kuiona ndege hiyo jichokwa jicho. - Комедії
Watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪 nishushe mwanza nyegezi👊👊🇹🇿🇹🇿👍
hongera rais wetu tunaisubiri ndege yetu kwa hamu ije ituchukue huku England.
Tanzania juu daima
MUNGU IBARIKI TANZANIA 😙😙😙
Air Tanzania Songa Mbeleee Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae
hongera sana raisi wetu
Mwenyez MUNGU tunakuomba enderea kuripa mafanikio makubwa taifa retu la TANZANIA na viyongoz wetu
inafaaa sasa ipewe safari za nje kwa mfano Nairobi ,Entebbe ,Addis Ababa na kwingineko
Naisubiri sana hapa Addis Ababa. Yaani nilivyo na furaha hata siwezi sema exactly. Very proud of my country.
Wabongo washaba Sana
Wee
Tupaclives. x we ambae sio mshamba ni muamerika?
We ndio mshamba lione halijui hata kuandika
DeameER LINE...! Wananchi wameDHUru....
Hatari sana
watapata tanusana
Ata manyara tunataka uwanja