Haleluya Nyakati Zote - Henrick Mruma ft. Paul Clement (Official Live Video)
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- #SeedOfFaith #HaleluyaNyakatiZote #NitaimbaHaleluya #Haleluya
Yako mazingira mengi sana ambayo tunayapitia kwenye maisha yetu mengine mazuri na mengine magumu. Kitu pekee ambacho tunapaswa kufanya ni kumsifu bila kuangalia mazingira ambayo tunapitia sababu Mungu wetu Anapenda sifa zetu.
Haijalishi tutapitia mazingira gani kwenye maisha yetu lakini tumechagua kuimba Halleluya nyakati zote kama ishara ya kumsifu Mungu kwenye nyakati ngumu ama nzuri sababu yeye ni Mungu na Anabaki kuwa Mungu licha ya mazingira yoyote tutakayopitia.
IN GOOD TIMES AND IN BAD TIMES, HALLELUYA IS THE SONG WE SHOULD ALWAYS SING TO GOD.
Song writer: Henrick Mruma
Music arranger: James Godfrey (Jay G Pro)
Musicians: BAND OF CHRIST
Back Vocals: SEED OF FAITH
Sound System: Sound Solution International
Sound Engineer: Balisidya
Audio Capturing: Sam Mboya
Mixing and Mastering: Kepha Mndeme (Smart Tunes)
Video Production: SP Visuals
Lights: Nyakalo Lights
Stage Design: Winfred Palmena
Stage Decor: Gatty Events
Venue: City Harvest Church
Outfits: Dar Suit and Kuya Creations
Special Appreciations:
Caroline Henrick Mruma, Mr. & Mrs. Albert Mruma, Mr. & Mrs. Ronald Swai, Seed of Faith, Band of Christ, Dr. Twina Suzzette, Geofrey Rutta and Gideon Mlawa.
Uuuuuuuuh! GLORY TO GOD 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Kaka Paul, Mungu akubariki Sana. Nakukubali na nakupenda since day 1... Mungu azidi kukutumia
Paul wewe ni zaidi ya muimbaji... Nimefuatilia Yale masomo ya in spirit and truth. God bless you man of God. Ushirika wenu katika huduma ya uimbaji nyinyi watumishi wa tz inatia moyo sana.
Barikiwe sana kaka
I love That Stanza about Tujitwike Kwa Yesu..
Sababu najua yeye ni Mungu sitaacha kumsifu
Anasema tushukuru kwa kila jambo hata kwa yale ambao yana kasoro
Anasema tumsifu kwa kila hali hata kwa wakati wa kupita jangwani
Sasa nimetambua anachotaka Mungu
Anachotaka sisi tumsifu tu
Anasema tumtwike fadhaa zetu
Maana yeye hushugulika na mambo yetu
Na sisi tunashugulikia la kwake
Na la kwake ni moja tu KUMSIFU.
Kwenye majira yote Tutamsifu.
Mdg wangu upo wapi nikumwagie baraka zako hakika ndicho anachotaka na ukifanikiwa hapo kumsifu imeisha iyoo ,sifuu kila mahala Mungu ndicho anachotaka,anatafuta wamuabudio na kumsifu katika roho na kweli
That Stanza Sang By Paul Clement is weighty💥💥💥...I have replayed severally
His writing of the song is always on another level.
I know right🙌
All the way from Kenya I was once a big sinner but God visited me once and knock on my door I'm not going back to sin, I feel free like a bird thanks for the your wonderful songs
4:14 ~ 5:15 🎉🎉🎉🎉 Umetenda Bwana Kwa kijana Huyu
Voice 💯
Music 💯
Ubunifu 💯
Hakika hallelujah majira yote nitaimba hallelujah ,huu wimbo wa miaka yote mpka wakati ambao tutaitwa na Mungu Kila mmoja Kwa nafasi yake na tukifika Bado tutaimba hallelujah Kwa Mwana Kondoo tukiungana na makerubi,Maserafi na jeshi la malaika ....hakika ni wimbo wa majira na nyakati zote ubarikiwe bro
May the Lord of the received the Glory
Mungu awabariki Sana Watu wa Mungu. Mnatubariki saaaana saaana Kwa nyimbo zenye kutupa nguvu Mpya kila leo🙏🙏
Damp 0:19 qq
😂d😂❤❤
Da🎉 0:19
@@kwizeravainqueur624 ❤❤❤❤❤d$"№**'. H,hugu&&&&&
Na mimi nitaimba "Hallelujah"🙏🙏🙏 kwa nyakati zote
Thank you my brother's Mruma 🎉🎉🎉
Halleluya ni wimbo wa milele.wimbo huu umebeba ujumbe mkubwa sana ktk maisha yangu na nimekutana nao ktk wakati sahihi.Mungu awabariki xana watumish wa Mungu🙏💕💕💕💕
Nyinyi ni watu wamaaana sana Mungu awatunze sana tuzidi kubarikiwa na hizi ibada kila siku kila wakati. Mbarikiwe sana.
Huu wimbo ni mtamu jamani. Huku Kenya tunawapenda🇰🇪
Kuna namna mbingu zimepokea sifa za moyo. Henrik unacheka😂 enewei Paul ameimba kibingwa Sana.
Alooo this is so annoiting
Asante sana kwa kuitikia kufuata mtindo huu wa live music mungu atakuinua ndugu yangu.... 🇰🇪🇰🇪💟
Sure Mungu atakuinua Kwa viwango vya tofaut xn
Hallelujah 🙌ni wimbo wa nyakati zote 💃👯🕺
Wonderful wonderful song , hallelujah to the most hig
When talents & good practice meets with the anointing of the Holy spirit....guys the spirit of excellence is upon all of you...
The way Paul sings the Haleluya part....and the way Henrick you are admiring Paul..such a harmony.... Drummer anacheza drums kutoka moyoni... Vocals are on point.
Really God bless all of you. Much❤❤ from Kenya .
Hallelujah ndio wimbo wa nyakati zote
Hallelujah at all times.
When I sing hallelujah,let the heaven open for me.🇰🇪
Haleluya!
Nitaimba hallelujah Kwa Hali zote Kwa majira zote nitakusifu uliye mkamilifu
Nitaimba hallelujah nyakati zote to maneuver my seasons
Que mon Dieu vous bénisse ! Peu importe les circonstances, je louerai le nom de l'Eternel.
Translation please
Amen
Hallelujah Nyakati Zote❤❤
Kwani watu husikiza nini? If hii ngoma haijafika 1M views. My daily dose
Tanzania Tanzania Tanzania🥰🥰 Tumebarikiwa mnoo 🥰🥰🙏🏻🙏🏻
Hallelujah The song smart
Umetisha sana mruma kwa wimbo unaogusa moyo wangu
HALLELUJAH HALLELUJAH 🎉🎉 HALLELUJAH 🎉🎉🎉
Commenting from Athens Greece...this song is 🔥🔥
Huu kwangu ni wimbo wa wakati wote,sijawahi kuuzoeaa
Hallelujah kwa majira yote
Nitaimba Hallelujah wakati wote
Nitaimba Hallelujah Hallelujah nyakati zote .....my all time song God bless brother Henrick
Haleluya nyakati zote... Can't wait another seed
Hallelujah! The highest praise.
Kila aliyenamwana anao ushuhuda.....Amina sana.
Hallelujah ni wimbo wa majira yote.
Huu wimbo wa taifa kila sikuuuuu
Mmeuaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
Nitaimba hallelujah 🙌 katika majira yote. Much ❤️ from 🇰🇪.
More Grace my brother! This is so powerful. Love the music , vocals , instrumentalists , Keep up the good work. Umenibariki .
Very good message , Hongera sana Henrick. Mungu anashuhulikia yetu na sisi tunashuhulikia la kwake na la kwake ni Moja KUMSIFU🔥🔥🔥
Henreck unibariki sana kwa Uimbaji,,
Mungu akubariki ndugu, aendeleee Kukuwezesha kwa kila namna awe nawe,,amen.
Wabarikiwe jaman duuu nimebarikiwa sana
You guys make us stick on the word of God in all situations.indeed you are God sent ❤❤❤❤❤❤❤😂
Wow nice 💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
Tam sana hii
Mbarikiwe sana vijana wa mungu love u guy
Mungu Awabariki Sana Watu Wa Mungu
Wooow. Just wowww❤🎉
Likes from Kenya.
Hallelujah ❤
The drumist Ako 🔥🔥🔥🔥
Good song 🎵 with Ms Paul clement
I will praise Him in good times and bad times. Hallelujah is my song in all seasons. All praise unto you Almighty God
Be blessed saana unatubariki saana kwa kweli may God give moree🎉
Hallelujah...Congratulations brother kwa wimbo wenye nguvu....
Hallelujah. Huu ni wimbo wa majira yote. Kenya twawapenda.
Paul clement I love your songs your my fav you and llwaga
Nimependa wimbu huu
Bwana asifiwe
This song kept me going a month ago when nothing seemed to be working. I could play it whole day without tiring dance to the rhythm. God came through I'm still playing it . God Bless the author
Mungu awabariki sana watumishi. Powerful in deed.
It's celebrations no matter the season.
Asanteni sana,,tushukuru kwa Kila jambo, hata ktk kipindi nipitacho jangwani. NITAMSIFU🙏
Hallelujah hallelujah 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Hello,Kaka yangu ,unanibariki,uho nenzo,
Paul Clement is so incredibly anointed this is deep Good music keep sowing my people
Wow.. Hongera Sana kaka Henrick, what a song 🔥🔥🔥 Hallelujah kwenye shida na kwenye Raha
Siku zote nitashukuru kwa yote
❤❤Glory Glory Glory to God
Trust the Lord hata pale usipojua unapitaje
😮😮 Wow hongera et Bro Paul Clement and Henrick Mruma
Nitaimba hallelujah
Swahili takes worship in other levels.. ❤❤❤ much love from Nairobi
I normally envy people who attend such events❤❤yoooh #Masterpiece💯
Ikr ❤
Woooooow. Such a powerful song great musical arrangement
Glady kuwa sehem ya production hii..... ninaimba halleluya nyakati zote.... Cant wait for more....
Nitaimba Halleluyah 🙌🏼
Wimbo mzuri na baraka sana🙌🏻💪🏻
Just wow… Hallelujah everyday 🥂
Hallelujah all the way
Paul ana jua kwakwel
Habahatishi 🙌🏾🙌🏾
Jaman kwa Yesu rahaaaa... Aaaaahh
My best en favorite song from tz❤
❤ Amen
My God bless the man of God
Ahsanteni sana kwa kunibariki.
Nitaimba hallelujah katika majira yote for He deserve our praises Abba father
Halleluyah hallelujah rejoice in the Lord Always and again I say rejoice🙌You are singing good God bless the whole crew🙏
My favorite brothers singing the favorite song of hallelujah. I love it
❤
4:35 🙌🏼
Ikr 🙌🏾🙌🏾🙌🏾, wow! just wow
Amen KUBWA
Glory to Jesus
I love this song unanibariki sana
Nzuri
Amina ❤❤❤❤❤❤❤❤
Bwana akubariki
Mubarikiw tena natena
Watanzania...huu ni upako wa kipekee...Mungu azidi kuwainua mkimtumikia kulihudumia kanisa lake ulimwenguni🎉 💯Hapa🇰🇪tunawabariki!!!