Tumshukuru Mungu hawakutumia sime zao duuh yangekuwa makubwa hawajamaa hawatakagi kufokewa mimi shuleni kuna jamaa alikuwa hataki kudeki darasa akiuulizwa anasema ni kazi ya wanawake sasa tupo boys tu class monitor akamkazia hiyo siku jamaa saa ngapi ajapandisha mori anajitupa chini hadi akaitwa mmasai mwenzake aje amtulize ety anadai waende porin wakazichape atakaerudi ndo mshindi
Jamani watu wanapigana sababu ni hawa security wana matatiso sana chanzo ni security wamasai hawana chida mbona wamasai wanalinda ila husikii wakipigana na mtu
Malizeni yaishe kwa usalama wa nchi yetu kwani Tanzania na Zanzibar Ni nchi ya amani wamasai hawana tatizo shida walinzi wamezoea kuwapiga wananchi hovyo Sasa ifike wakati tuwe tunafuata Sheria sio kuwapiga watu hovyo
Jamani hakuna askari wa kizanzibari mbona kumefurikwa na wabara tunataka passport zirejeshwe kwa usalaama wa wazanzibari na mali zao hao maaskari ukenda kushtaki wakikuona mzanzibari hawatusikilisi ukenda mahakamani ndokabisa wamekuja kuchuma tu zanzibar hao na kutuharibia nchi
Inavoelekea ni kwamba hatuwa zinazochukuliwa hazitoshi na ndio maana yakatokea tena hapo darajani.Vipindi vya uchaguzi wananchi wanapigwa na kuuliwa mchana kweupe,lakini hawa jamaa wa kimasai naona hawashughulikiwi ipasavyo
Kama lazima wamasai muwatetee sisi wengine tunayo asili ya kiarabu mbona hatutembei na mapanga tunakamatwa na tukiacha asili ya uarabu sisi waislamu ni sunna kutembea na silaha mbaona mutatiita magaidi hapo suluhishu syo tukio limetokea lini ni mueke marufuku Kwa wamasai kutembea na mapanga na hizo silaha zao kwasababu hata wasiokuwa wamasai wanaweza kutumia mavaz hayo nakufanya uhalifu kma utamaduni bas wakakae arusha
@@madetetv6576 waaraabu tandu ww na babu yako baba Ako na uko wenu mzima hamjazaliwa muarabu lazima awe na upanga kiunoni ulizia vitu vya kueleweka ww kama Masai wanakufurahisha kutembea na mapanga sibir sku uyakanyage ww ndo utajua kama wale ni wakorofi
Ingelikuwa haya wamefanya wa zanzibari Lakkini wamasai muna watetea Ali mwaka jana Nyie Polisi mumechukuwq hatua gani Kuwashulikia 😊hawa Hamuwezi Kwa sababu ni jamaa zenu . Muna watetea
Kwanza nyie police chunguzeni nani alimwanza mwenzake ndipo mlaumu wamasai hao walinzi wenu walistahili kipigo kwasababu inaonekana wazi walikuwa wanatumia nguvu ambapo hapakustahili ilikuwa ni kuwaelimisha basi
Ndo iyoo tarifaa muitoe apo nyooote mukusanyike kishindoo hee ilimradi tuu Wengine tuwaone nao ilitosha apoo mkuu akae sehem atoe tarifa ingependeza lakon apo tunaona kama mkoo utayarii vilee😂😂😂 musije mukatupiga tu kwa ivyo mulivyoo kaaa
Sasa mzee unacho taka kuongelea hapo ni nini? Hawa jamaa wana tembea na silaha hicho ndiocho uongelee habari ya video ya zamani cc haituhusu na ndio kwanza tunaoyona
Hakuna mwenye kuishi milele sheikhhhh walikuepo kabla yako wakaondoka hwakwenda na nchi wailiacha ukaja wewe na wewe iposiku inshaAllah utaondoka so jitazame na utakari sana Allah akuonze inshaAllah @@abrahmanhamad3253
Hii yot n sababu Moja tu Zanzibar hakuna utaratibu wakuingia kama zamani yaani mtu akishamiliki elf30 tu bas anakuja Zanzibar ni ujinga kabsa sheria ni ziwekwe tu kama zamani bila Zan ID au vielelezo vya kutosha huwezi Kuingia Zanzibar bas haya mambo yasngekuwa yanatokea Zanzibar inahrbika kwa Sababu ya uingiaji wa watu wengi wasiokuwa wazanzibar
Wewe kilaza kweli ndugu yangu Yani unamanisha watu wa nje na zanzibar wasiingie hapo ama? Kumbuka zanzibar ni sehemu ya Tz so labda uwazuie wakenya ila sio bongo jifunze kutatua tatizo kwa hikma sio hivo unavofikiri
@@madetetv6576 kwan hapo haikutumika hekma ama kwan wamasai wapo Tanzania tu Kenya Hamna na nlchomaansha mm as long as sio mzawa wa Zanzibar bas uktaka Kuingia Zanzibar lzma uingis kwa hati maalum
Wamasai mpo tujuane pleas gonga like❤
Tumshukuru Mungu hawakutumia sime zao duuh yangekuwa makubwa hawajamaa hawatakagi kufokewa mimi shuleni kuna jamaa alikuwa hataki kudeki darasa akiuulizwa anasema ni kazi ya wanawake sasa tupo boys tu class monitor akamkazia hiyo siku jamaa saa ngapi ajapandisha mori anajitupa chini hadi akaitwa mmasai mwenzake aje amtulize ety anadai waende porin wakazichape atakaerudi ndo mshindi
😂
Warudisheni kwao bara wakawinde wanyama pori wasituletee fujo Zanzibar
Kabisa yaani wabongo wameiharibu zanzibar yetu
Jamaa wanatembeza rungu balaa😂
Jamani hii zanzibar imefanywa kama jaa mtu akiwa na elfu thelathini anaingiya ,umeona nchi Gani ?
We uko kila sehemu bona watu hawakusemi sheikhhh tunaodoka katika hii dunia hatutokwenda na nchi sheikh Aamal Allah atuongoze inshaAllah
Asante serikali yetu ya haki
Hii ndio serekali tunayoitaka inayoangalia ukweli na haki za watu wake
na mpaka mtasema wamasaai ni wanajeshi hiyo ni tesit tu
Wewe tetea tu jamaa zako ingekuwa wazanzibari ungekuwa ushawakata nyayo na vidole
Kudadeki comment yako imeshiba maelezo nakupa 💯
Kweli nduguzake hata mashekha ndio walewale
Mimi nilipigwa kufika hosptali
Mwisho niliambiwa haina ushahidi
Kumbe jamaa zake
@@user-or2wp7ss6j hapa ushahidi hakuna ila kwa Mungu ushahidi upo na utalipwa kaka hii duniya tunapita tu
Jamani watu wanapigana sababu ni hawa security wana matatiso sana chanzo ni security wamasai hawana chida mbona wamasai wanalinda ila husikii wakipigana na mtu
Kiukweli hapo wamasai mliwaonea kama Wana makosa mnge wambia tuu wangeelewa au wafike police
Wamasai wako sawa, Kwan mmezoea kuonea watu
Good Job Masai
Mnazingua sana polisi kwani mwaka Jana ni lini
SI juzi tu hapa mnafeliiiii sana
Duuuu mm sina cha kusema
shidayenu maaskari mnapenda kunyenyekewa kama nyie ni mungu
Safi sana
Malizeni yaishe kwa usalama wa nchi yetu kwani Tanzania na Zanzibar Ni nchi ya amani wamasai hawana tatizo shida walinzi wamezoea kuwapiga wananchi hovyo Sasa ifike wakati tuwe tunafuata Sheria sio kuwapiga watu hovyo
Muliwahonea wamasai ni jadi la kimasai
Huyo polisi ni Mtanganyika ila Mkuu wa Wilaya ni Mzanzibari amesema ukweli mtupu
Warudi kwao hao wamasai na huyu polisi wao jinga lenzao
ww sio mzanzibar
Mtanzania kwan kuna tatizo
zanzibar ni watu kwani
Jamani hakuna askari wa kizanzibari mbona kumefurikwa na wabara tunataka passport zirejeshwe kwa usalaama wa wazanzibari na mali zao hao maaskari ukenda kushtaki wakikuona mzanzibari hawatusikilisi ukenda mahakamani ndokabisa wamekuja kuchuma tu zanzibar hao na kutuharibia nchi
Yaani wassail ni wakorofi sana
Uyo wa pembeni namjua ni mtu smart sana au ashabadilika ?
Wwe afande munafanya Zanzibar siyo tz make wamasi.ndioo jadi yahooi
Jamaa wanapigwa rungu siyo mchezo kama muvi vilee😂😂
Ndio faida ya mungano hiyo
😂😂😂😂 shikamoo masai
Ushashiba
Askari wazee
Hata iwe vp masai wanazingua kwnn kilasiku wao tu sheria ifate mkondo.
Inavoelekea ni kwamba hatuwa zinazochukuliwa hazitoshi na ndio maana yakatokea tena hapo darajani.Vipindi vya uchaguzi wananchi wanapigwa na kuuliwa mchana kweupe,lakini hawa jamaa wa kimasai naona hawashughulikiwi ipasavyo
Kama lazima wamasai muwatetee sisi wengine tunayo asili ya kiarabu mbona hatutembei na mapanga tunakamatwa na tukiacha asili ya uarabu sisi waislamu ni sunna kutembea na silaha mbaona mutatiita magaidi hapo suluhishu syo tukio limetokea lini ni mueke marufuku Kwa wamasai kutembea na mapanga na hizo silaha zao kwasababu hata wasiokuwa wamasai wanaweza kutumia mavaz hayo nakufanya uhalifu kma utamaduni bas wakakae arusha
Silaha mabomu sasa? Acha masikhara
@@madetetv6576 hhhhhh Kwani silaha ni pomu tu ata jiwe likitumika pia hua ni silaha
@@feisalomar-hr3hq sasa itamadun wa waarabu ni kutembea na mabomu huo utamaduni hatuitaki
@@madetetv6576 waaraabu tandu ww na babu yako baba Ako na uko wenu mzima hamjazaliwa muarabu lazima awe na upanga kiunoni ulizia vitu vya kueleweka ww kama Masai wanakufurahisha kutembea na mapanga sibir sku uyakanyage ww ndo utajua kama wale ni wakorofi
Wewe ni msengi kama wasrnge wengine kanyonywe huko uliko sawa
Kama wengefanya waxanzibari hayo sahivi wengetafutwa nyumba kwa nyumba nakupigwa risasi ah!!wacha tu tutafika japo mmoja mmoja.
Polis wazee vijana wako mitaani kazi hakuna achieni ngazi
😂😂😂
Palestina na Israiel
Ingelikuwa haya wamefanya wa zanzibari
Lakkini wamasai muna watetea
Ali mwaka jana
Nyie Polisi mumechukuwq hatua gani
Kuwashulikia 😊hawa
Hamuwezi
Kwa sababu ni jamaa zenu .
Muna watetea
Sheria ipo juu sio Polisi ni sawa na mwevuli wa jua na mvua tu!
Wamasai warudi porini wakawinde swala,
Acha zipigwe tu. Mbona nakopolin wanafukuzwa?
Sielew nin shida hapo najikuta nacheka😅
Kama ni mwaka jana basi iyo ni tabia yao , warudi kwao uko , wakafanye izo fujooo , sisi si watu wa fujo
Kwendaa
Kwanza nyie police chunguzeni nani alimwanza mwenzake ndipo mlaumu wamasai hao walinzi wenu walistahili kipigo kwasababu inaonekana wazi walikuwa wanatumia nguvu ambapo hapakustahili ilikuwa ni kuwaelimisha basi
Wamasai washenzi sana 😂😂😂😂😂😂
Kama hawa security wangekuwa na silaa ingekuwaje, Masai wote silaa waache nyumbani.
Kwani huko manyara akuna wazanIbara watafute wakili awatete hiyo kesi ningekuwa karibu ningewapa utetezi
Hizo tv zilikueko wapi
Mafatani wakubwa wengi tu Tzd kwakweli. Cjui wataja sema nn cku ya hesabu zao
Huyu karao ni fala tu tunatambua makarao huwa na ufala Mob but this round walipatana na league yao
Mbona ilivyokua hyajatokezea hyajatangazw lkn. Yametokezea wajibu kusambazwa kwakua sio la uongo
Ety kosaa kisheria sema mmepigwa rungu na wamasai
Ndo iyoo tarifaa muitoe apo nyooote mukusanyike kishindoo hee ilimradi tuu Wengine tuwaone nao ilitosha apoo mkuu akae sehem atoe tarifa ingependeza lakon apo tunaona kama mkoo utayarii vilee😂😂😂 musije mukatupiga tu kwa ivyo mulivyoo kaaa
Mh Rais muite huyu kiongozi umshughulikie anateteaje wahalifu?
Huyu police vp walinzi nasasilaa za jadi cha msingi ni kuweka ukweri tuu
Wame kuwa wengi warejeshwe kwao
Wewe kwenu wapi
Wemwenyewe mjaruo rudi kwenu basi
Warudi kwao watuachie znz yetu mahasidi nyie
Masai na makampuni ya ulinzi wapi na wapi na hapo ni ufukweni
Wahamishwe peleka umasaini wakafuge ng'ombe
Mnajitafuna mnambiwa dunia ni kijiji hamjaelewa?.
😂😂😂😂
Nachukia wanapakaza uzushi serekali sheria za v hbr ziko wp kwnn hivi ss inakera sn
I see you pple blaming Maasais ,and you know well maasai can't fight if not provoked.
Lakini hii video ni ya zamani sana
Hapana video siyo ya samani
Hiii video ni ya zamani kwa sababu mm naishi kwenye mtaaa huuu uliotokea hili tukio ndio maana ni kakwambia hivo
Acha kuwatetea wabara wenzako wewe
Ndio warudi kwao hatuwatako shenzi hao
Sasa mzee unacho taka kuongelea hapo ni nini? Hawa jamaa wana tembea na silaha hicho ndiocho uongelee habari ya video ya zamani cc haituhusu na ndio kwanza tunaoyona
mbona polic wanatembea na silaa
Nyie mmewachokoza wamasai Maana hawanaga shida na mtu
Sio tumewachoka hi Nchi sio ya kwao hi ni nchi ya wazanzibar
Hakuna mwenye kuishi milele sheikhhhh walikuepo kabla yako wakaondoka hwakwenda na nchi wailiacha ukaja wewe na wewe iposiku inshaAllah utaondoka so jitazame na utakari sana Allah akuonze inshaAllah @@abrahmanhamad3253
nyie niwango kwani mbonawao wamewapigamasai
.
Hii yot n sababu Moja tu Zanzibar hakuna utaratibu wakuingia kama zamani yaani mtu akishamiliki elf30 tu bas anakuja Zanzibar ni ujinga kabsa sheria ni ziwekwe tu kama zamani bila Zan ID au vielelezo vya kutosha huwezi Kuingia Zanzibar bas haya mambo yasngekuwa yanatokea Zanzibar inahrbika kwa Sababu ya uingiaji wa watu wengi wasiokuwa wazanzibar
Vipi kuhusu wazanzibar wanaokuja bara na wao waje KWA ID????
Wewe kilaza kweli ndugu yangu Yani unamanisha watu wa nje na zanzibar wasiingie hapo ama? Kumbuka zanzibar ni sehemu ya Tz so labda uwazuie wakenya ila sio bongo jifunze kutatua tatizo kwa hikma sio hivo unavofikiri
@@madetetv6576 kwan hapo haikutumika hekma ama kwan wamasai wapo Tanzania tu Kenya Hamna na nlchomaansha mm as long as sio mzawa wa Zanzibar bas uktaka Kuingia Zanzibar lzma uingis kwa hati maalum
@@abdullahmanalex2306 ndio kwan s znatolewa kwa utaaratibu maalumu ama watu wanapewaga tu
@@madetetv6576 hata hao Wanaweza kuzuiliwa kw nn wasizuilwe wakat watakuwa hawana sfa za Kuingia Zanzibar elewa acha wenge
😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa mwaka jana si jana tu kwani ni miaka mingapi sasa wewe na mkuu wa mkoa msaraka pinja nani anajua zaidi