Nilipokuwa nataka kuja Saudi nikaota kuwa nikifika Air port nilipo shuka kwa ndege nikaokota pesa kwa karatasi pesa nyingi sana nahapo boss alikuwa amekuja kunijukua air port Kisha boss akaniambia nibadilishe pesa Kisha nirudi Kenya cox mm nishakuwa tajiri nilikuwa naenda kubadilisha pesa nikiwa kwa foleni watu walikuwa wengi sana kabla nifikiwe mm hapo ndio niliamkia
Amina
Amina mtumishi kuna siku niliota nimeokota pesa nanikaweka kwapocket ya nguo na nitahesabu baadaye naomba mungu afungue mlango wabaraka in Jesus name
Amen
Pray for me man of God ,,nko na spirit ya kunirudisha nyuma
Tuma MAOMBI 12
+255768275795
Nlikuwa na biashara ikaisha ,,nlikuwa na gari na pikipiki zikaisha zote
Anza kumwamini Mungu zaidi. Kuna vitabu na mafunzo ya kiuchumi USIACHE kunitafuta Kwa ushauri +255768275795
Nilipokuwa nataka kuja Saudi nikaota kuwa nikifika Air port nilipo shuka kwa ndege nikaokota pesa kwa karatasi pesa nyingi sana nahapo boss alikuwa amekuja kunijukua air port Kisha boss akaniambia nibadilishe pesa Kisha nirudi Kenya cox mm nishakuwa tajiri nilikuwa naenda kubadilisha pesa nikiwa kwa foleni watu walikuwa wengi sana kabla nifikiwe mm hapo ndio niliamkia
Nmebaki maskini
Usikate TAMAA unaweza KUINULIWA Tena. Mwamini YESU KRISTO
Kweli niliota nikiwa nimevaa suti nyeusi nashati nyeupe na biblia yangu maana yake nini???
Na ukiota watu wanakufukuzia motor waking sema tunataka ufunguo inamanisha nini
Motor ndo nini na WANATAKA ufunguo gani
Amen