Hakuna bunge hapa! Huu ni upuuzi mtupu mtatukuta 2025 hamrudi ninyi mtashangaa sana na hivyo vikao hamtavipata tena maana mnalinda mfumo wA wezi ambao wanaripotiwa! Mkigundua kuna mbunge anapingana na mawaziri mnaokula nao mnanyanyuka juu kutetea uwizi unaofanyika
Pale misingi ya haki ilikwisha haribika wenye haki hawawezi kusikiwa tena hayo makofi ya kukipongeza bila tahadhali hivyo mwenye haki Wala Mpina hawezi fikiriwa. Poleni watanzania!
Yaan wabunge wa CCM mwenzao akijitoa kutetea maslahi ya watanzania wanamshambulia atari Wanafiki nyie ....Gwajima kipindi cha corona walimshambulia atari saivi wote ni rafiki zake,,,,Ndugai alikua spika wa bunge akasema ukweli wote wakamgeukia yaan mh
Kwenye UFISADI,, RUSHWA,, UHAINI na UBINAFSISHAJI WA MALI ZA UMMA KINYUME NA SHERIA HUWA HAMCHUKUI MAAMUZI MAGUMU ila KWENYE SUARA ÐOGO LA MPINA MNAJIFANYA MPO SERIOUSLY Pumbavu BUNGE LA OVYO SANA HALIJAWAHI KUTOKEA YAANI "
Wakati anahoji uzalendo wa mpina sisi tunahoji pointless zake hatuna bunge hapo nimeamini akili ni nywele kila mtu ana zake Yan wabunge wote waliopewa nafasi ya kuzungumza hakuna hata mbunge mmoja aliejibu hoja za mpina hata punje ya haradai zaidi ya kupiga kelele na kutoa maneno ya kejeli kumbeba Bashe
Issue ya sugar sio uzalendo issue ya sugar n upigaji umeme ulikuwa hivi hivimkatudanganya kumbe ilikuwa upigajikila kona lkn mlibisha hivhivi bravo wananchi wakenya kwa misimamo yao na ndio maaana nchi ya iko mbele ss tuendelee na wanaupiga mwingi lkn maisha ya watanzania wengi n yaleyale
Tuna bunge la hovyo sana, mbona katika mambo ya wizi serikalini huwa hawapo serious hivi😢
😂😂😂😂😂😂
Kuna mafisadi ambao walitajwa kwenye report ya CAG lakini hakuna userious huu kuwajadiri na kuwachukulia hatua,any way!!
awo wanapewa ulinzi amna wa kuwagusa
Mbunge Mpina Hongera sana
Hakuna bunge hapa! Huu ni upuuzi mtupu mtatukuta 2025 hamrudi ninyi mtashangaa sana na hivyo vikao hamtavipata tena maana mnalinda mfumo wA wezi ambao wanaripotiwa! Mkigundua kuna mbunge anapingana na mawaziri mnaokula nao mnanyanyuka juu kutetea uwizi unaofanyika
Wabunge hawana uhuru wa mawazo na maoni inasikitisha, pole sana Mpina
Pale misingi ya haki ilikwisha haribika wenye haki hawawezi kusikiwa tena hayo makofi ya kukipongeza bila tahadhali hivyo mwenye haki Wala Mpina hawezi fikiriwa. Poleni watanzania!
. Na ww ushakuwa chawa 😢😢😢
Ingekuwa ivyo kwenye rushwa tungefika mbari
sahihi kabisa
Tunamsubili Kwa mapokezi makubwa ,njoo nyumbani mheshimiwa
Ipo siku Kenya ni cha Mtoto
CCM hawataki msema ukweli,ukiwa msema ukweli kidogo tu,yanakukuta hayo,lakini ipo siku Spika utakimbia hicho kiti kama Spika wa Kenya
Nyote munatetea ugali hakuna munacho kifanya ,tunawasubiri majimboni mtalipwa tu
Hatuna bunge hapa
Hapo hakuna mbunge nivichaa tu,
Ukiitwa utathibitisha ukichaa wao
Kwani mafisadi wanasemaje!
Yaan wabunge wa CCM mwenzao akijitoa kutetea maslahi ya watanzania wanamshambulia atari Wanafiki nyie ....Gwajima kipindi cha corona walimshambulia atari saivi wote ni rafiki zake,,,,Ndugai alikua spika wa bunge akasema ukweli wote wakamgeukia yaan mh
Ivi niwapi waliko fauru kupunguza sukari mpaka 2800? Ila watanzania tuamke Hawa hawafai kutuongoza ccm wamevimbiwa kwani waofisadi nchi yetu Nani wamemwazibu?
Dawa Yako spika ni mwaka mmoja umebaki mbeya mjini,Sugu atamaliza mchezo
Daaaaaaah 😢
Mpina hoyeeereerrre wengineeeer hatariiiiiiiiiiiii8
Tanzania hovyo kabisa
Ao ndo ccm ekeeni uchaguzi wa haki tuone kama mtarudi madarakani wananchi wamewachoka
Tukutane 2025 mweziwa 10 kama mtarudi tena bungeni
Kazi ipo
Wanaume wapo Kenya tu Tz wote mazwazwa
Ujinga mtupu mnalinda masilahi ya wa kubwa ni akinanani hao?
Tumepigwa amna mmbunge apa
Sukari imekuwa soo bei zinapanda km bei za gest,,,,mkaa bei juu kopo moja elfu mbili halitoshi kupikia hata ubwabwa
Bunge la kihuni huni tu majambazi ni mengi
Vichekesho naona
Na wewe kumbe huna akili ya Kitanzania Mpina yupo na wengi kama hamjui mpuuzi wewe
bunge la waporaji
Hata sielewi ngj nikatishe kusikiliza
Niondolee ujinga
Kwenye mambo ya utawala tungefata sheria za kiislam
Heri wewe umesema
Ujinga tu. Vp pikipiki yule mama katoa wapi Hela za kugawa mikoa yote ya tz
Ongeza adhabu
Mmmmh bunge kazi ipo ukosema kweli adui
Hamna bunge hapa
Bunge la CCM Sio Tanzania
Kweli hili nibunge la ccm sio lawa wananchi
Kwenye UFISADI,, RUSHWA,, UHAINI na UBINAFSISHAJI WA MALI ZA UMMA KINYUME NA SHERIA HUWA HAMCHUKUI MAAMUZI MAGUMU ila KWENYE SUARA ÐOGO LA MPINA MNAJIFANYA MPO SERIOUSLY Pumbavu BUNGE LA OVYO SANA HALIJAWAHI KUTOKEA YAANI "
Bunge la kishoga sijawahi ona hakia Mungu wa mbinguni
makofi kwa nguvu zote hoja za cag kila mtyu anufyata 😅
Wakati anahoji uzalendo wa mpina sisi tunahoji pointless zake hatuna bunge hapo nimeamini akili ni nywele kila mtu ana zake Yan wabunge wote waliopewa nafasi ya kuzungumza hakuna hata mbunge mmoja aliejibu hoja za mpina hata punje ya haradai zaidi ya kupiga kelele na kutoa maneno ya kejeli kumbeba Bashe
Hivi TZS 2,800/= ni ndogo?
Demokrasia gani yakuuuliza watu like school ili msipingwe hamna ktu hapo speaker atasema nn tofauti wakati mzee kapewa pande
Hiyo sukari tunaipata kwa bei gani sasa
Rais ni mmoja,Serkali moja,Bunge ni moja ni wapi mnahitirifiana au kutofautiana! 2Korintho2:7,Efeso4:32,Kolosai2:13 na Mathayo7-26
Hio sukari mbona ni gali sana
Tukutane mwakan
Mmmmmmmmm sawa bwana ila ila ila ila ila ila ila 😢😢😢
CCM siyo watu
😂😂😂😂😂😂😂
Issue ya sugar sio uzalendo issue ya sugar n upigaji umeme ulikuwa hivi hivimkatudanganya kumbe ilikuwa upigajikila kona lkn mlibisha hivhivi bravo wananchi wakenya kwa misimamo yao na ndio maaana nchi ya iko mbele ss tuendelee na wanaupiga mwingi lkn maisha ya watanzania wengi n yaleyale