Arusha ilikuwa inatisha wamekula hela za walipa Kodi kwa Miaka yote hakuna kilicho fanyika.Makonda ni kiongozi Bora.Magufuli spirit eee mungu Tanzania inakushukuru kwa kutupa Makonda.Makonda inabidi alindwe kwa kila hali ...ulinzi wa kwanza uanzie na sisi wanachi tumlinde kwa hali na mali .kama una kubali weka like 💪✌️
Huyu ameletwa na Mungu mwenyewe, Mama samia aliguswa na Mungu, nani anakataa kuwa Arusha inaibeba Tanzania kwa maombi? Arusha kwa asilimia kubwa, humuomba Mungu ktk Roho na kweli, sio kukaa kusubiri miujiza!!... Mama Samia asante kwa huyu kijana wako Makonda na team yake
Mama Samia mama, ktk mikoa mingine wale viongozi waliolala wanatakiwa waamke sasa...teua vijana wazalendo kama Makonda, Silaa, na yule wa Dar japo kidogo aongeze kasi
Mimi ndo mana huu upuuzi sitakagi. Mi ni mjenzi sitaki kabisa kufanya kazi na serikali kabisa ni wasumbufu hawa watu pesa wanazigawana wao humo wanazila harafu madhila yanaenda kwa mkandarasi
Yaani huyu mweshimiwa akisema ndio anagombea urais kesho hiyo ni shwaaa✓✓✓ bira kipingamizi yaani huyu mtu anatosha kwa kira kitu ila kama mama akiendelea kumuamini zaidi basi najuwa kwa kazi ya huyu Makonda mama mitano tenaaa kazi iendelee baada ya hapo kiti muachie yeye aendeleze mama atakapokuwa ameishia
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatimiza lengo lake la kazi Wafichue madhalimu woote uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
Wabongo wakishaingia kwenye system hasa serikalini,wakapata njia za pesa wao huwa hawana habari tena na wananchi,wanajiangalia wao na familia zao.ndio Mana ngazi zakutatua hizi kero anayoyafanya makonda watu wapo kibao kwa nafasi zao tofauti tukianza na wenyekiti wa mtaa,na kuendelea ngazi kwa ngazi mpaka kufika kwa mkurugenzi then itafika kwa waziri au wizara usika
Rc Makonda ni jembe la ufisadi wa jiji la Arusha unafaa saba kunyoosha ufisadi wa wachache hspa Arusha ongere rais raisi Samia Duruhu Hassan kuleta jembe la wizi wa urapegi hu
Mimi naamini Wakuu wamikos baadhi pia wapo wanaofanya kazi kubwa sema kama waandishi wahabari wengine hawafwatilii yanafnyika bc lazima atafute mtu gn hbr zitauzika kiongoz gan hua ukigusa trend ipo mfno angalien baadhi yamawaziri kama Bashe.. Bashungwa..Ally Happy watu wanafny kz sema hii nchi ni Pana na kubwa
Wezi wote na wababaidhaji watakuchukia lakini wananchi wema wote watakupenda na kukuombea na hawa ndiyo wengi. Unastashili kuombewa, kupongezwa na kutiwa moyo kwa kazi unayoifanya. Kongole Mwamba wa Arusha.
We luck good leader like magufuli and makonda although human being we have problem of course but makonda tries to unite and bring peace we love you so much
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatima lengo lake la kazi Wafichue mashalimu woite uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
Yani vitu vingine bana mbona very simple haya mlolongo ulio sizi zaidi ya miaka mi3 umesolvika within minutes... makonda ubarikiwe mkombozi wa wanyonge
Mm sio mwana ccm Ila makonda nimekukubali una faa kua Rais wa Nchi hii mungu akulinde na akusaidie wakusimamishe ugombee urais unapita bila kupiga nakuambia mungu akusaidie
Watanzania shida inayotusumbuwa ni uelewa mdogo tulionao bila kufanya mabandiliko ya kimufumo hata watokee akina makonda mia hakuna kitakacho bandilika katiba mpya ni sasa na ccm ndiyo chazo cha uovu wote huu
Hili siyo tatizo la chama Bali ni mfumo wanwatu,hata kama atapewa ZPP bado hawa watu wataingia kwenye mifumo,watu watateuliwa kuingia serikalini na uharifu utaendelea kuwepo tu,haijalishi kwa katiba gani ama kwa chama kipi
Arusha ilikuwa inatisha wamekula hela za walipa Kodi kwa Miaka yote hakuna kilicho fanyika.Makonda ni kiongozi Bora.Magufuli spirit eee mungu Tanzania inakushukuru kwa kutupa Makonda.Makonda inabidi alindwe kwa kila hali ...ulinzi wa kwanza uanzie na sisi wanachi tumlinde kwa hali na mali .kama una kubali weka like 💪✌️
Hii nchi ni shamba la bibi
Ndio maana wanakiburi sana kwa unyanyasaji
Huyu ameletwa na Mungu mwenyewe, Mama samia aliguswa na Mungu, nani anakataa kuwa Arusha inaibeba Tanzania kwa maombi? Arusha kwa asilimia kubwa, humuomba Mungu ktk Roho na kweli, sio kukaa kusubiri miujiza!!...
Mama Samia asante kwa huyu kijana wako Makonda na team yake
Mama Samia mama, ktk mikoa mingine wale viongozi waliolala wanatakiwa waamke sasa...teua vijana wazalendo kama Makonda, Silaa, na yule wa Dar japo kidogo aongeze kasi
@@dorahmushi-we6ts Lkn Arusha inaongoza kwa mauaji
❤❤. YAN NIKILALA BILA KUANGALIA POST ZA MAKONDA SIPAT USINGIZI😂😂
😂😂😂km mimi
Hakika
Mie sikuhizi sisikilizi tena simulizi zaidi ya makonda
❤❤❤❤❤❤❤
Makonda ndo rais wetu ni swala la muda
Mama Samia mama yetu uliona mbali sana kumteuwa Makonda Makonda nijembe sana abarikiwe mzazi alieza Makonda
Sasa wamempoteza
Ubarikiwe.Wenye wivu wasije kukugusa.Msimuue.Mungu anamlinda Makonda.❤Ninakuombea maisha marefu🎉🎉
Mm ACT damu ila kwa makonda anochokifanya Niko pamoja nae na kama atagombea urais nahama ACT.
Mimi makonda atanifirisi kabisa kira siku natumia erf 2100 bando
NAPENDEKEZA MAKONDA AWE MKUU MKOA KWAMIEZISITA KATIKA KILA MKOA
Mimi ndo mana huu upuuzi sitakagi. Mi ni mjenzi sitaki kabisa kufanya kazi na serikali kabisa ni wasumbufu hawa watu pesa wanazigawana wao humo wanazila harafu madhila yanaenda kwa mkandarasi
Huyu jamaa Genius sana Mungu apiganie
Ivi Mbona Arusha Viongozi wengi wa halmashauri ni wanawake? Halafu hawako smart? Au ni wale watu wa watu wanawekwa kimkakati
Mkoa wenye warembo.. wanapewa nafasi kwa vimemo
Makonda hata kama CCM siipendi ila wewe nakukubali sana Bora hata CCM wakusimamishe ugombe hata urais unaweza tuokoa
urais hawezi pata
@@khadjamhozya kwanini kiongozi kila jambo hupangwa na Mungu inawezatokea
@@khadjamhozyambn unampinga sana hi kazi anayofanya utaweza ww? Hata kama ww humpendi wengi tunamkubali utakufa na roho mbaya
Yaani huyu mweshimiwa akisema ndio anagombea urais kesho hiyo ni shwaaa✓✓✓ bira kipingamizi yaani huyu mtu anatosha kwa kira kitu ila kama mama akiendelea kumuamini zaidi basi najuwa kwa kazi ya huyu Makonda mama mitano tenaaa kazi iendelee baada ya hapo kiti muachie yeye aendeleze mama atakapokuwa ameishia
Makonda wangu mungu azidi kukulinda,,
Wasikuue kama walivyomuua baba yetu magufuri,,,
Maana watu kama nyie huwa mnawindwa mnoooo,,,
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab
Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatimiza lengo lake la kazi
Wafichue madhalimu woote uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
Makondaweye ni mtu na nusu mambo magumu kwako yanafanyika mapesi kumbe uleugumu ni utashi wa Watufulani pigakazi Mungu yupamojanawe
Hyu ndie mkombozi wa watu
Hawa ukiwakuta maofisini mwao ni noma, utazungushwa mpaka ukome, wengi ni vyet fek
Wababaifu sana tena kujenga shule afadhali kuliko kujenga zahanati
Makonda Allah akulipe huo ndio uzalendo sio kama bahazi ya viongozi wa africa
Mtetezi wa wanyonge,hoyeeeeeeee
Safi sana
Mchengelwa ni bwege tu shida zote hizi zipo wizara yake
Ata km lkn mdomo husiponze kichwa ndugu
Tupoooo wengi Kwa kuangalia kazi ya Muheshimiwa wetu mpendwa ,mnyonge wa wananchi,yaaani nikikisa eb naumia sana,vochwa zipunguzwe bei jmn
Wabongo wakishaingia kwenye system hasa serikalini,wakapata njia za pesa wao huwa hawana habari tena na wananchi,wanajiangalia wao na familia zao.ndio Mana ngazi zakutatua hizi kero anayoyafanya makonda watu wapo kibao kwa nafasi zao tofauti tukianza na wenyekiti wa mtaa,na kuendelea ngazi kwa ngazi mpaka kufika kwa mkurugenzi then itafika kwa waziri au wizara usika
Baba piga kazi sana tunakukubali sana
Makonda kaza buti baba acha kuwachekea hao tunakuomba baba
Makonda keep it up
Apewe uwaziri mkuu mawaziri vilaza wakione Cha moto
Moto moto fireeeeh!..
Makonda na kupenda msema kweli mpenzi wa Mungu Allah akuhifadhi na Kila abui
Ukiwa mpigaji uwe smart sana na uwe na kumbukumbu sana kwenye kila jambo na uwe smart sana kupitiliza alafu uwe na ujasiri
Ukiwa mpigaji ujue mwisho wako ni aibu tu.
Rc Makonda ni jembe la ufisadi wa jiji la Arusha unafaa saba kunyoosha ufisadi wa wachache hspa Arusha ongere rais raisi Samia Duruhu Hassan kuleta jembe la wizi wa urapegi hu
Mimi naamini Wakuu wamikos baadhi pia wapo wanaofanya kazi kubwa sema kama waandishi wahabari wengine hawafwatilii yanafnyika bc lazima atafute mtu gn hbr zitauzika kiongoz gan hua ukigusa trend ipo mfno angalien baadhi yamawaziri kama Bashe.. Bashungwa..Ally Happy watu wanafny kz sema hii nchi ni Pana na kubwa
Hi ichi apewemakonda
Apewe nanani
So hadi Mh Makonda aingilie kati ndo watu walipwe!? Wanaohusika wanafanya kazi gani!? .....Bila Paul watu wangedhulumiwa.
Wote wangekuwa kama paul makonda nchi ingekuwa sehemu nzuri ya kuishi
Haijalishi Bora anagusa maisha ya watu hongera Makonda
Wezi wote na wababaidhaji watakuchukia lakini wananchi wema wote watakupenda na kukuombea na hawa ndiyo wengi.
Unastashili kuombewa, kupongezwa na kutiwa moyo kwa kazi unayoifanya.
Kongole Mwamba wa Arusha.
Paul makonda Mungu akubariki baba
At mie ningekua RAIS kichwa kingeuma bila mkonda
Mlipeni mzee wa watu pesa zake nyie acheni propaganda
Nchi nzima inashida taratibu za malipo halmashauri ni kichefuchefu
We luck good leader like magufuli and makonda although human being we have problem of course but makonda tries to unite and bring peace we love you so much
Uchunguzi wa Nini kwenye pesa ya Nini 😂😂😂
Etii ooh ukimzulumu mchaga anakuua loh kumbe mabwabwa ivi , afu uyo dada anachekacheka akiambiwa huongei na bwana ako tuna mitaro inaibuka uko
Huy si ni yule yule Injinia au namfananisha?????
Mungu akupe maisha malefu❤❤
Mratibu hya hela yetu 🤣🤣🤣🤣🤣
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab
Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatima lengo lake la kazi
Wafichue mashalimu woite uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
Udini umeingiaje hapo..kwa nini umewaza udini kwenye kazi za serikali? Wazo limekujaje kwenye akili..au
Makonda ana kila sifa ya kuitwa kiongozi, anajua kuenenda na mazingira na kutatua migogoro, Mungu akutangulie Mh.Makonda
Mh. Makonda hongera sana kwa kusaidia watu , napendekeza ziara yako iwe nchi nzima na uongezewe power
Wanaogopa anawafunika, si alikuwa mwenezi akawa anazunguka kila sehem, lakini si walimtoa walipoona attention yote kwake
Nampenda makonda sana
Huyu Mzeee ni kweli hata kwangu Alichukuwa mbao kwangu huyu baba Alinilipa cash Alipochukuwa mbao Kwa hiyo Anawadai kweli
Ila makonda
Serikali wakati mwingine inawafirisi wananchi wake na huu utaratibu wa kuchukua mali za wananchi alafu kulipa mpaka mjiskie wenyewe
Watumishi wa umma wasijione wezi, kuna siku tutapata kiongozi huyu Makonda awe mkuu wa nchi wataomba kufa
Sasa nahamia ccm rasmi, kile kilichofanya nisiipende kinaanza kutoweka Huwa simpendi kabisa dhuruma
Afu haki za binadamu ije isema makonda ana dhalilisha, waizi nyie, makonda mungu akulinde
Yani vitu vingine bana mbona very simple haya mlolongo ulio sizi zaidi ya miaka mi3 umesolvika within minutes... makonda ubarikiwe mkombozi wa wanyonge
Viongozi wa arusha mmepatikana,Makonda hongera kwa kazi nzuri
Habali ndugu napenda njia huu heshimiwa mukuu wa mukoa anavyo saidia watu angekua lafiki ya Muzee wetu Kagame Mungu Awatangurie njia zenu zote.
Dah ,their not serious.
Good Job honorable Makonda.
We’re praying for you.❤🙏
😂😂😂 mkurungezi huyo hapo
Big up Mkuu wa mkoa Makonda
Hii nchi onatoa harufu kila kona uaani inanika
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwaiyo alipe kutoka mfukoni mwake? au! vip wajinga wanashangilia atali tupu
Why these other leaders canot follow Makonda😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Why??????????
Ww Jamaa mungu atulindie unajitaid sana jaman japo chema akidumu Ila ww utadumu Yan hutaki rushwa
Hii nchi Ina watu wa hovyo Sana mtu ametumia hela harafu unasema ni jamii
Mtu akihama kikazi,kwani ofisini pamoja na nyaraka vyote vinahama?
Mm sio mwana ccm Ila makonda nimekukubali una faa kua Rais wa Nchi hii mungu akulinde na akusaidie wakusimamishe ugombee urais unapita bila kupiga nakuambia mungu akusaidie
SPANA MKUU!
anacheka cheka ndio maana makonda anawatukana yani mtu unacheza na pesa ya mtu kiasi hichi na kazi kafanya
Kiufupi2 awa wanakina mam Baaadh yao nishidaaaaa
Hahahahaaa
Wizara ya mchengelwa I am Inamchosha tu makonda wetu.
Ningekua mungu uyujamaa angekua rais
Kwanza awe mukuwa African😢
Kweli ukipata peleka sadaka Arusha hii jamani
Mtetezi wawa Nyongeee oiga kaz
Mzeee Mungu Anakusimamiaaa
❤❤❤❤❤❤ makonda jitahidi baba maana wamezidi sana
Watanzania shida inayotusumbuwa ni uelewa mdogo tulionao bila kufanya mabandiliko ya kimufumo hata watokee akina makonda mia hakuna kitakacho bandilika katiba mpya ni sasa na ccm ndiyo chazo cha uovu wote huu
Hili siyo tatizo la chama Bali ni mfumo wanwatu,hata kama atapewa ZPP bado hawa watu wataingia kwenye mifumo,watu watateuliwa kuingia serikalini na uharifu utaendelea kuwepo tu,haijalishi kwa katiba gani ama kwa chama kipi
Hichi kichwa safi sana my future presidaa
Nitapigwa sana na mumewngu ila siachi kumsikiliza makonda mpaka aniuwe😂😂
Kwann akupige itakuwa mume wako adui wa makonda😂
Pole sana
Nampigia kelele usiku namfungulia makonda😄
Wanadhurumu Kwa kuwa wao ndio top
MAKONDA MUNGU AKULINDE
Mr swai boss wangu wa zamani..
Arusha moto unawaka
Mungu akufunike kwa mbawa zake milele
Et akachukue mchanga na mawe yake
Na kuelewa sana Mungu akutunze
Hahaha
office ainamakabidhiano?
Makonda
😮😮😮😮😮😂😂😂😂
😂😂Watanzania mabogaz mnaamini hapo atalipwa???hapo mkutano ukiisha hamna cha pesa wala nini
Na akilipwa Je????
Kikubwa amesema
Makonda