MAKONDA "Lipeni Hiyo Milioni 132 Ndani ya Dakika 10" SINA MUDA wa KUCHEKA, MIAKA 3 MNAMZUNGUSHA TU 🤔

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 129

  • @hasani565
    @hasani565 4 місяці тому +73

    Arusha ilikuwa inatisha wamekula hela za walipa Kodi kwa Miaka yote hakuna kilicho fanyika.Makonda ni kiongozi Bora.Magufuli spirit eee mungu Tanzania inakushukuru kwa kutupa Makonda.Makonda inabidi alindwe kwa kila hali ...ulinzi wa kwanza uanzie na sisi wanachi tumlinde kwa hali na mali .kama una kubali weka like 💪✌️

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 4 місяці тому +3

      Hii nchi ni shamba la bibi

    • @mkabesamaashao6805
      @mkabesamaashao6805 4 місяці тому +2

      Ndio maana wanakiburi sana kwa unyanyasaji

    • @dorahmushi-we6ts
      @dorahmushi-we6ts 4 місяці тому +1

      Huyu ameletwa na Mungu mwenyewe, Mama samia aliguswa na Mungu, nani anakataa kuwa Arusha inaibeba Tanzania kwa maombi? Arusha kwa asilimia kubwa, humuomba Mungu ktk Roho na kweli, sio kukaa kusubiri miujiza!!...
      Mama Samia asante kwa huyu kijana wako Makonda na team yake

    • @dorahmushi-we6ts
      @dorahmushi-we6ts 4 місяці тому

      Mama Samia mama, ktk mikoa mingine wale viongozi waliolala wanatakiwa waamke sasa...teua vijana wazalendo kama Makonda, Silaa, na yule wa Dar japo kidogo aongeze kasi

    • @binseif2216
      @binseif2216 4 місяці тому +1

      @@dorahmushi-we6ts Lkn Arusha inaongoza kwa mauaji

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 4 місяці тому +46

    ❤❤. YAN NIKILALA BILA KUANGALIA POST ZA MAKONDA SIPAT USINGIZI😂😂

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 місяці тому +1

      😂😂😂km mimi

    • @Hkr2748
      @Hkr2748 4 місяці тому +4

      Hakika

    • @fathimadaid3429
      @fathimadaid3429 4 місяці тому +4

      Mie sikuhizi sisikilizi tena simulizi zaidi ya makonda

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 4 місяці тому +1

      ❤❤❤❤❤❤❤

    • @Ryanzabron
      @Ryanzabron 4 місяці тому +1

      Makonda ndo rais wetu ni swala la muda

  • @HamidaHamisi-ej8kz
    @HamidaHamisi-ej8kz 4 місяці тому +24

    Mama Samia mama yetu uliona mbali sana kumteuwa Makonda Makonda nijembe sana abarikiwe mzazi alieza Makonda

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 4 місяці тому +13

    Ubarikiwe.Wenye wivu wasije kukugusa.Msimuue.Mungu anamlinda Makonda.❤Ninakuombea maisha marefu🎉🎉

  • @AhmedAli-x8w9e
    @AhmedAli-x8w9e 4 місяці тому +13

    Mm ACT damu ila kwa makonda anochokifanya Niko pamoja nae na kama atagombea urais nahama ACT.

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 4 місяці тому +5

    Mimi makonda atanifirisi kabisa kira siku natumia erf 2100 bando

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 4 місяці тому +8

    NAPENDEKEZA MAKONDA AWE MKUU MKOA KWAMIEZISITA KATIKA KILA MKOA

  • @IshipalemyPasko
    @IshipalemyPasko 4 місяці тому +5

    Mimi ndo mana huu upuuzi sitakagi. Mi ni mjenzi sitaki kabisa kufanya kazi na serikali kabisa ni wasumbufu hawa watu pesa wanazigawana wao humo wanazila harafu madhila yanaenda kwa mkandarasi

  • @hamisiyusuph6721
    @hamisiyusuph6721 4 місяці тому +23

    Huyu jamaa Genius sana Mungu apiganie

  • @geey7893
    @geey7893 4 місяці тому +8

    Ivi Mbona Arusha Viongozi wengi wa halmashauri ni wanawake? Halafu hawako smart? Au ni wale watu wa watu wanawekwa kimkakati

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 4 місяці тому

      Mkoa wenye warembo.. wanapewa nafasi kwa vimemo

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 4 місяці тому +29

    Makonda hata kama CCM siipendi ila wewe nakukubali sana Bora hata CCM wakusimamishe ugombe hata urais unaweza tuokoa

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 4 місяці тому +1

      urais hawezi pata

    • @mnyongeiddi2454
      @mnyongeiddi2454 4 місяці тому +2

      @@khadjamhozya kwanini kiongozi kila jambo hupangwa na Mungu inawezatokea

    • @martinabayyo9982
      @martinabayyo9982 4 місяці тому

      ​@@khadjamhozyambn unampinga sana hi kazi anayofanya utaweza ww? Hata kama ww humpendi wengi tunamkubali utakufa na roho mbaya

  • @FrankCosta-i3q
    @FrankCosta-i3q 4 місяці тому +6

    Yaani huyu mweshimiwa akisema ndio anagombea urais kesho hiyo ni shwaaa✓✓✓ bira kipingamizi yaani huyu mtu anatosha kwa kira kitu ila kama mama akiendelea kumuamini zaidi basi najuwa kwa kazi ya huyu Makonda mama mitano tenaaa kazi iendelee baada ya hapo kiti muachie yeye aendeleze mama atakapokuwa ameishia

  • @AmAl-x9j
    @AmAl-x9j 4 місяці тому +5

    Makonda wangu mungu azidi kukulinda,,
    Wasikuue kama walivyomuua baba yetu magufuri,,,
    Maana watu kama nyie huwa mnawindwa mnoooo,,,

  • @shamzone388
    @shamzone388 4 місяці тому +8

    Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab
    Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatimiza lengo lake la kazi
    Wafichue madhalimu woote uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini

  • @AbdulaziziPacha
    @AbdulaziziPacha 4 місяці тому +8

    Makondaweye ni mtu na nusu mambo magumu kwako yanafanyika mapesi kumbe uleugumu ni utashi wa Watufulani pigakazi Mungu yupamojanawe

  • @YunisJerald
    @YunisJerald 4 місяці тому +12

    Hyu ndie mkombozi wa watu

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde4384 4 місяці тому +5

    Hawa ukiwakuta maofisini mwao ni noma, utazungushwa mpaka ukome, wengi ni vyet fek

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 4 місяці тому +7

    Wababaifu sana tena kujenga shule afadhali kuliko kujenga zahanati

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 4 місяці тому +6

    Makonda Allah akulipe huo ndio uzalendo sio kama bahazi ya viongozi wa africa

  • @SiaCollins
    @SiaCollins 4 місяці тому +8

    Mtetezi wa wanyonge,hoyeeeeeeee

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 4 місяці тому +10

    Safi sana

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 4 місяці тому +6

    Mchengelwa ni bwege tu shida zote hizi zipo wizara yake

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 місяці тому

      Ata km lkn mdomo husiponze kichwa ndugu

    • @mashaallahabuu1167
      @mashaallahabuu1167 4 місяці тому

      Tupoooo wengi Kwa kuangalia kazi ya Muheshimiwa wetu mpendwa ,mnyonge wa wananchi,yaaani nikikisa eb naumia sana,vochwa zipunguzwe bei jmn

    • @geofreykayombo401
      @geofreykayombo401 4 місяці тому +1

      Wabongo wakishaingia kwenye system hasa serikalini,wakapata njia za pesa wao huwa hawana habari tena na wananchi,wanajiangalia wao na familia zao.ndio Mana ngazi zakutatua hizi kero anayoyafanya makonda watu wapo kibao kwa nafasi zao tofauti tukianza na wenyekiti wa mtaa,na kuendelea ngazi kwa ngazi mpaka kufika kwa mkurugenzi then itafika kwa waziri au wizara usika

  • @MathiusOlavian
    @MathiusOlavian 4 місяці тому +6

    Baba piga kazi sana tunakukubali sana

  • @rahema1992
    @rahema1992 4 місяці тому +4

    Makonda kaza buti baba acha kuwachekea hao tunakuomba baba

  • @YEHOSHAPHATMAKILILO
    @YEHOSHAPHATMAKILILO 4 місяці тому +12

    Makonda keep it up

  • @gudimbwana8088
    @gudimbwana8088 4 місяці тому +2

    Apewe uwaziri mkuu mawaziri vilaza wakione Cha moto

  • @bahatiiddibahatiiddi-be5nj
    @bahatiiddibahatiiddi-be5nj 4 місяці тому +9

    Moto moto fireeeeh!..

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 4 місяці тому +3

    Makonda na kupenda msema kweli mpenzi wa Mungu Allah akuhifadhi na Kila abui

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 4 місяці тому +4

    Ukiwa mpigaji uwe smart sana na uwe na kumbukumbu sana kwenye kila jambo na uwe smart sana kupitiliza alafu uwe na ujasiri

    • @johnlembo2955
      @johnlembo2955 4 місяці тому

      Ukiwa mpigaji ujue mwisho wako ni aibu tu.

  • @HumphreyKarua
    @HumphreyKarua 4 місяці тому

    Rc Makonda ni jembe la ufisadi wa jiji la Arusha unafaa saba kunyoosha ufisadi wa wachache hspa Arusha ongere rais raisi Samia Duruhu Hassan kuleta jembe la wizi wa urapegi hu

  • @RaymondMshote
    @RaymondMshote 3 місяці тому

    Mimi naamini Wakuu wamikos baadhi pia wapo wanaofanya kazi kubwa sema kama waandishi wahabari wengine hawafwatilii yanafnyika bc lazima atafute mtu gn hbr zitauzika kiongoz gan hua ukigusa trend ipo mfno angalien baadhi yamawaziri kama Bashe.. Bashungwa..Ally Happy watu wanafny kz sema hii nchi ni Pana na kubwa

  • @African-x1o
    @African-x1o 4 місяці тому +7

    Hi ichi apewemakonda

  • @kyannickk2be
    @kyannickk2be 4 місяці тому

    So hadi Mh Makonda aingilie kati ndo watu walipwe!? Wanaohusika wanafanya kazi gani!? .....Bila Paul watu wangedhulumiwa.

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 3 місяці тому

    Wote wangekuwa kama paul makonda nchi ingekuwa sehemu nzuri ya kuishi

  • @Timoclement
    @Timoclement 4 місяці тому +2

    Haijalishi Bora anagusa maisha ya watu hongera Makonda

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 4 місяці тому +1

    Wezi wote na wababaidhaji watakuchukia lakini wananchi wema wote watakupenda na kukuombea na hawa ndiyo wengi.
    Unastashili kuombewa, kupongezwa na kutiwa moyo kwa kazi unayoifanya.
    Kongole Mwamba wa Arusha.

  • @DaudmosesShuli
    @DaudmosesShuli 4 місяці тому +3

    Paul makonda Mungu akubariki baba

  • @obedpeter6874
    @obedpeter6874 3 місяці тому

    At mie ningekua RAIS kichwa kingeuma bila mkonda

  • @elibarikigasper448
    @elibarikigasper448 2 місяці тому

    Mlipeni mzee wa watu pesa zake nyie acheni propaganda

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 4 місяці тому +2

    Nchi nzima inashida taratibu za malipo halmashauri ni kichefuchefu

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf 4 місяці тому +1

    We luck good leader like magufuli and makonda although human being we have problem of course but makonda tries to unite and bring peace we love you so much

  • @AbdulMwengwa
    @AbdulMwengwa 4 місяці тому +2

    Uchunguzi wa Nini kwenye pesa ya Nini 😂😂😂

  • @babunyonge6270
    @babunyonge6270 4 місяці тому +1

    Etii ooh ukimzulumu mchaga anakuua loh kumbe mabwabwa ivi , afu uyo dada anachekacheka akiambiwa huongei na bwana ako tuna mitaro inaibuka uko

  • @Jeysen_lemar
    @Jeysen_lemar 3 місяці тому

    Huy si ni yule yule Injinia au namfananisha?????

  • @musaamos2431
    @musaamos2431 3 місяці тому

    Mungu akupe maisha malefu❤❤

  • @MathayoMulumbi
    @MathayoMulumbi 3 місяці тому

    Mratibu hya hela yetu 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @shamzone388
    @shamzone388 4 місяці тому +4

    Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab
    Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatima lengo lake la kazi
    Wafichue mashalimu woite uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 4 місяці тому

      Udini umeingiaje hapo..kwa nini umewaza udini kwenye kazi za serikali? Wazo limekujaje kwenye akili..au

  • @gabybulba9574
    @gabybulba9574 4 місяці тому +1

    Makonda ana kila sifa ya kuitwa kiongozi, anajua kuenenda na mazingira na kutatua migogoro, Mungu akutangulie Mh.Makonda

  • @ajmstationery6157
    @ajmstationery6157 4 місяці тому +12

    Mh. Makonda hongera sana kwa kusaidia watu , napendekeza ziara yako iwe nchi nzima na uongezewe power

    • @gregory6165
      @gregory6165 4 місяці тому

      Wanaogopa anawafunika, si alikuwa mwenezi akawa anazunguka kila sehem, lakini si walimtoa walipoona attention yote kwake

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 3 місяці тому

    Nampenda makonda sana

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 4 місяці тому

    Huyu Mzeee ni kweli hata kwangu Alichukuwa mbao kwangu huyu baba Alinilipa cash Alipochukuwa mbao Kwa hiyo Anawadai kweli

  • @JumaNurudini
    @JumaNurudini 4 місяці тому +2

    Ila makonda

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 4 місяці тому

    Serikali wakati mwingine inawafirisi wananchi wake na huu utaratibu wa kuchukua mali za wananchi alafu kulipa mpaka mjiskie wenyewe

  • @frankbutati8343
    @frankbutati8343 4 місяці тому

    Watumishi wa umma wasijione wezi, kuna siku tutapata kiongozi huyu Makonda awe mkuu wa nchi wataomba kufa

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 4 місяці тому

    Sasa nahamia ccm rasmi, kile kilichofanya nisiipende kinaanza kutoweka Huwa simpendi kabisa dhuruma

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 4 місяці тому

    Afu haki za binadamu ije isema makonda ana dhalilisha, waizi nyie, makonda mungu akulinde

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 4 місяці тому

    Yani vitu vingine bana mbona very simple haya mlolongo ulio sizi zaidi ya miaka mi3 umesolvika within minutes... makonda ubarikiwe mkombozi wa wanyonge

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat 4 місяці тому

    Viongozi wa arusha mmepatikana,Makonda hongera kwa kazi nzuri

  • @jeanbaptistemanishimwe1946
    @jeanbaptistemanishimwe1946 4 місяці тому

    Habali ndugu napenda njia huu heshimiwa mukuu wa mukoa anavyo saidia watu angekua lafiki ya Muzee wetu Kagame Mungu Awatangurie njia zenu zote.

  • @tiffanymo9453
    @tiffanymo9453 4 місяці тому

    Dah ,their not serious.
    Good Job honorable Makonda.
    We’re praying for you.❤🙏

  • @lumamialain
    @lumamialain 4 місяці тому

    😂😂😂 mkurungezi huyo hapo
    Big up Mkuu wa mkoa Makonda

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 4 місяці тому +1

    Hii nchi onatoa harufu kila kona uaani inanika

    • @Happizo
      @Happizo 4 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 4 місяці тому

    Kwaiyo alipe kutoka mfukoni mwake? au! vip wajinga wanashangilia atali tupu

  • @NdayishimiyeAbdulkabir-u7c
    @NdayishimiyeAbdulkabir-u7c 4 місяці тому

    Why these other leaders canot follow Makonda😭😭😭😭😭😭😭😭😭
    Why??????????

  • @ShamsiKasoma-fn4cl
    @ShamsiKasoma-fn4cl 4 місяці тому

    Ww Jamaa mungu atulindie unajitaid sana jaman japo chema akidumu Ila ww utadumu Yan hutaki rushwa

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 4 місяці тому

    Hii nchi Ina watu wa hovyo Sana mtu ametumia hela harafu unasema ni jamii

  • @memoryngambi7570
    @memoryngambi7570 4 місяці тому

    Mtu akihama kikazi,kwani ofisini pamoja na nyaraka vyote vinahama?

  • @NeemaNey-mp2fi
    @NeemaNey-mp2fi 4 місяці тому +2

    Mm sio mwana ccm Ila makonda nimekukubali una faa kua Rais wa Nchi hii mungu akulinde na akusaidie wakusimamishe ugombee urais unapita bila kupiga nakuambia mungu akusaidie

  • @mkabesamaashao6805
    @mkabesamaashao6805 4 місяці тому +1

    SPANA MKUU!

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 4 місяці тому

    anacheka cheka ndio maana makonda anawatukana yani mtu unacheza na pesa ya mtu kiasi hichi na kazi kafanya

  • @mohamedkige2535
    @mohamedkige2535 4 місяці тому

    Kiufupi2 awa wanakina mam Baaadh yao nishidaaaaa

  • @barakaabel482
    @barakaabel482 4 місяці тому +1

    Hahahahaaa

  • @LusekeloMwaipopo-rm1uc
    @LusekeloMwaipopo-rm1uc 4 місяці тому

    Wizara ya mchengelwa I am Inamchosha tu makonda wetu.

  • @samsonkingdom-xc8cg
    @samsonkingdom-xc8cg 3 місяці тому

    Ningekua mungu uyujamaa angekua rais

  • @African-x1o
    @African-x1o 4 місяці тому +1

    Kwanza awe mukuwa African😢

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 4 місяці тому

    Kweli ukipata peleka sadaka Arusha hii jamani

  • @AshelyKantote
    @AshelyKantote 4 місяці тому

    Mtetezi wawa Nyongeee oiga kaz
    Mzeee Mungu Anakusimamiaaa

  • @SamwellLesicar
    @SamwellLesicar 4 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤ makonda jitahidi baba maana wamezidi sana

  • @PoulFred
    @PoulFred 4 місяці тому

    Watanzania shida inayotusumbuwa ni uelewa mdogo tulionao bila kufanya mabandiliko ya kimufumo hata watokee akina makonda mia hakuna kitakacho bandilika katiba mpya ni sasa na ccm ndiyo chazo cha uovu wote huu

    • @martinemaganga5253
      @martinemaganga5253 4 місяці тому

      Hili siyo tatizo la chama Bali ni mfumo wanwatu,hata kama atapewa ZPP bado hawa watu wataingia kwenye mifumo,watu watateuliwa kuingia serikalini na uharifu utaendelea kuwepo tu,haijalishi kwa katiba gani ama kwa chama kipi

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 4 місяці тому

    Hichi kichwa safi sana my future presidaa

  • @monalisaally4387
    @monalisaally4387 4 місяці тому

    Nitapigwa sana na mumewngu ila siachi kumsikiliza makonda mpaka aniuwe😂😂

    • @honoratusmodest285
      @honoratusmodest285 4 місяці тому +1

      Kwann akupige itakuwa mume wako adui wa makonda😂

    • @ntandu1
      @ntandu1 4 місяці тому

      Pole sana

    • @monalisaally4387
      @monalisaally4387 4 місяці тому

      Nampigia kelele usiku namfungulia makonda😄

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 4 місяці тому

    Wanadhurumu Kwa kuwa wao ndio top

  • @DanKanyange
    @DanKanyange 4 місяці тому

    MAKONDA MUNGU AKULINDE

  • @mzongekibwana838
    @mzongekibwana838 4 місяці тому

    Mr swai boss wangu wa zamani..

  • @samamlima5607
    @samamlima5607 4 місяці тому

    Arusha moto unawaka

  • @felistaminja3034
    @felistaminja3034 4 місяці тому

    Mungu akufunike kwa mbawa zake milele

  • @shaffycjg536
    @shaffycjg536 4 місяці тому

    Et akachukue mchanga na mawe yake

  • @tupegigwensajigwa2629
    @tupegigwensajigwa2629 4 місяці тому

    Na kuelewa sana Mungu akutunze

  • @pastorynaph
    @pastorynaph 4 місяці тому

    Hahaha

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 4 місяці тому

    office ainamakabidhiano?

  • @HalimaKamota
    @HalimaKamota 4 місяці тому

    Makonda

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 4 місяці тому

    😮😮😮😮😮😂😂😂😂

  • @binseif2216
    @binseif2216 4 місяці тому +1

    😂😂Watanzania mabogaz mnaamini hapo atalipwa???hapo mkutano ukiisha hamna cha pesa wala nini

  • @kibombi
    @kibombi 4 місяці тому +2

    Makonda