IGIZO LA UMASIKINI WANGU - ASANTE MWANAHAWA
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- Asante Mwanahawa ni Event ya kumuaga na Kumpa Heshima Bi Mwanahawa Ally kwa kutuburudisha na kutuelimisha kupitia sanaa ya uwimbaji wake wa Taarab
Event hiyo itafanyika Tarehe 28 September 2024 katika viwanja vya leaders Club Kinondoni na Mgeni Rasmi was Event hii ni Mhe. Wanu Hafidh Ameir ambae ni Mbunge was Viti Maalumu kutokea Zanzibar na Founder wa Mwanamke Initiative Foundation
Viingilio ni
VIP - 100,000
VVIP - 200,000
MEZA - 2,000,000
Tiketi zinapatikana:
Ticket zinapatikana kwenye vituo vifuatavyo
1. @beautypointdar - Mayfair Plaza Mikocheni
2. @t_luxurywings - Sinza
3. @2colections_dubai - Kinondoni
4. @kitasahaircollection
5. @directorjoan maduka yote ya Director Joan Store Tandale na
Hananasif
6. @jonijohairtz zote Kinondoni, Sinza na Kariakoo
7. @zamaraditv - Mbezi Beach
8. @fatnaramole Mbezi Beach
9. @mwanaher vijora - Tandika
10. @zimerudi - Kwa Da Huu Mwananyamala
Na kama unahitaji MEZA basi Direct utaletewa ulipo kwa kupiga simu
namba 0674 471847
Daaah.....mmejua kunitoa chozi umaskini mbayaa
Salha anajua sanaa nyota izid kuwaka kipenz sana kipaji chako kilifilimbwaaa filimbwaaa sana
Asante mwanahawa❤❤❤❤❤❤❤
Zuhura kaoge anajua tena anajua
Nimekinai umasikin ❤❤❤
Mash Allah ❤️
❤❤❤❤taarabu yangu pendwa
Nampenda salha jaman mm ❤❤❤❤
Mash Allah
Nzuri hatari wallah
Mashaallah ❤
Good
Nyumba za kupanga htr
❤❤❤❤❤❤
❤❤
ASANTE MWANAHAWA WALLAH SINA NYIMBO ZAKO NISIYOJUA JUA MBKA KWENYE SIM FULL