RC MAKONDA NA ASKOFU GWAJIMA USO KWA USO KANISANI KWA ASKOFU KAKOBE
Вставка
- Опубліковано 4 тра 2019
- Hi headlines za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na Mchugaji Gwajima ambapo wawili hawa walikuwa na tofauti zao lakini leo wameonekana wakizungumza katika kanisa la Askofu Kakobe ambapo ni siku ya kuadhimisha miaka 30 tangu kwa kuanzishwa kwa kanisa la Kakobe
Kumbe ni mhubiri mzuri sana hongera sana ndo kilichobaki kumtangaza Kristo.
Wajumbe sio watuwazuri
Nakupenda Makonda, Mungu aendelee kukuweka juu
Hongereni sana gwajima na makonda hakika mfanya mfano mzuri sana tunatakiwa tuinge kupitia kwenu Amin
Hongereni saaaana hapo ndipo mungu analeta baraka asante sama wanchungaji mliofanya hayo mambo ya upatanisho
Siku zote huwa siachi kusema kuwa mwisho wa Mh.Makonda huko mbele atakuja kuwa ktk utumishi wa madhabahuni. Na haitakuwa zaidi ya miaka saba ijayo. Mungu azidi kukulisha zaidi. Hongereni pia kwa kushikana mikono ya upatani wewe na Askofu wa ufufuo na uzima Baba Gwajima. Ahsante Mungu.
WATANZANIA SHIKAMONI!UDUGU HAZINA YETU🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤tutagombana mwisho wa siku peace &Love.
Siuongo Duniani kote wanafahamu yakuwa watanzania wanapendana wenyewe kwawenyewe nawanasema huku kuwa hawana udini Wala ukabila watanzania wote kauli mbio watanzania nindugu Hakika najivunia kuzaluwa Tanzania
Ameen
Joyce mashikolo.
Unategemea nini? Hao maslahi ya matumbo yao yamewakutanisha.
Rock City Native kwani wewe huna tumbo?
Reuben Busanji
Tumbo ninalo ila halinifanyi kuwa mnafiki. Ningekuwa mnafiki kama hao pengine leo maisha yangu yangekuwa mazuri maradufu.
Hii madhabahu ya Bishop Kakobe, imewapatanisha wengi, it reminds me of the late Bishop Kulola & Bishop Emmanuel Lazaro. Nice video Millard, God bless Tanzania
Nimekupenda upya Mheshimiwa Makonda
Alegundua gwajima hana shobo like hapa
Acha ushakunaku.... 👰👰👰
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka iyo ushakunaku
@@silverjoseph4577 umeona ee!! Mijitu mingine mishakunaku kwel bas💍💄👙👗👠 pumbavuu ukiangalia kabisa linachochea... Ndo washapatana... Kawagombanishe tena
Ukimuangalia kwa jicho la kishushu askofu Gwajima katimiza wajib sabab alikua mbele ila si kwa mapatano, kama na ww ni shushu gonga like tujane apa
nyie mlitaka wapeane mikono nyuma muanze kuwaongelea au wakisalimiana mmoja ageuze mkono ndo muanze kuwaongelea watu wanaomjua mungu hawachukiani milele
Thank you Bishop. That is what we call Christian
Shalom you two great friends...
Na hii ndo hazina aloiweka Mwenyezi Mungu kwetu wa tz
Kazi ya MSALABA ni upatanisho peace&love Gwajima vs Makonda
Amen mtumishi
Kwanzia leo nimemheshimu Mh. Paul Makonda ama kweli elimu ya darasani sio kipimo cha kutosha cha kupima akili, uwezo na uelewa wa mtu. Watu walikuwa wanamsema Zero mara Daudi Bashite lakini ukimsikiliza Makonda aka Bashite unagundua kwamba ni mtu anayejitambua ana akili mzalendo na kiongozi bora. Peace and Love Brethren!
Bishop Gwajima Ana Akili sana
Mazungumzo Kati yakatibu wiraya na mkuu wakituo dodoma
Shikamoo tanzania ; tanzania ukiona watu wanagombana usishangilie maana tanzania upendo uwa mkubwa kuliko uwadui
Nimekupenda bure kwa maneno mazito
Sisi ni upendo tu
Kweli nimeamin duu kama watt wadogo wakigombana unasema hawTakaa wapatane kidogotu unawaona wako pamoja ndivyo mungu anavyopenda tuwe
Usiwe upendo wa Agape. Tuwe wakweli ndani ya mioyo sio mbele za watu. Tumuogope Mungu si binadamu.
Mtumishi wa Mungu Askofu Gwajima, nakuelewa sana na nakupenda.... Mungu azidi kukuinua, wewe ni mtu muhimu katika Taifa hili la Tanzania!!
Merci makonda, mungu akubaliki
Nakupenda bure mdogo wangu Mungu azidi kukupigania mhe. Makonda
Kwa kweli ametupa laivu!
Umasikini siyo sehemu ya Ulokole.
Siyo ulokole siyo sehemu ya mkiristo yoyote yule hakuna ubagizi ndani ya ukristo Kwa mungu sisi ni matajiri upo
This man can be a good preacher
There is a difference between a good preacher and sanctified good preacher. Basically, even a good salesman is a preacher, a good preacher of course.
Joseph Dasare Lol 😝
Ni kweli kabisa, sisi sote tumeumbwa na Mungu na ni wana wa Mungu,... Hatutoi vya kishetani matusi ni Ya shetani
@@sumatanjunior231 hahahaaa
Ni kweli ana hubiri vizuri makonda angekuwa mchungaji angependeza sana
Mungu awabariki kabisaaa 😘😘😘😘
Anaweza kuhubiri 😂 Allah ni mkuu, Hongera Makonda
Makonda anacheza kama pele kila sehem ana fit ndo mana magu anampenda😁😁
omary kk3 kabisa jamaa anajua kusoma alama za nyakati l love makonda
Safi sana mungu akuinue daima
Nimeipenda sana
Ameeeeeeeeeen mtumishi wa mungu ubarikiwe Paul vita c yetu baba yetu yesu Kristo alishaipigana
Daaaaah safi sana
Mungu awabariki kwa mshikamano mzr..naona nuru
Mungu mwenye nguvu kawakutanisha Mkuu wa mkoa paul makonda na gwajima mungu umetenda maajabu kuwaunganisha hawa watumishi wako.Mungu wabariki viongozi hawa na uwape upendo wapendane
Hongereni washangriaji kwayare macho yenu yanyama kwan hamusom neno lakua waumin mutahukumiwa kwakuwa fyata wachungajj wapotoshajj olewenu muspo chunga hilo mwanadamu anapenda dunia sana pesa mbere
Mungu awabariki sana kwailo
Asante mtumishi kwaneno
Kukutana kwa Paul makonda na mchungaji gwajima,,, yatatokea mambo tooo.... Kupatana kwao si kwema..
Majesh majesh hakika kila mwenye tumaini ili na azid kujitakasa congratulations my bishop dr josephat ngwajima and Paul makonda
Mungu mwenye kutowa vipawa na garama ampa makonda nae ili wanasiyasa waige mfano wa kweli ubarikiwe sana baba kwajima kumpa madhabahu kaka yetu ameni.
Hivi ni VITA VYA FIKRA!!
Ni vita hatari sana zaidi ya vita ya bunduki!!
ubarikiwe sana Mtu wa Mungu.
Aleeeeeeeeluuuya. Asante sana
Yooh.nimeipenda hii aisee
Wote kutoka Kanda ya Ziwa. Pendaneni tuu Watumishi wa bwana. Nimefurahi sana kuwaona pamoja. Sifa na Utukufu kwa Yesu.
Mkuu we Mkoa upo vizuri sana
Kumbe umefungua kanisa kaka hongera sana
Gwajima and makonda no comment
Kwa kweli wewe ngisi ulivo moonekani wako wewe jo ungekuwa preside tinzama ngisi una pendanza nakupendaka kwavili oko mweliwako munzuri una pendanza kama wangine wa lahiri 💃💃💃💃🇳🇱🇳🇱🇨🇩🇨🇩😍😍😍 wewe uko powa🔥🔥🔥🔥 👍😇😇
Nimeipenda sanasana
safi sana baba gwajima na makonfa😍😍😍😍😍😍
Mr Tanzania Bishop Gwajima 👏
Amen kubwa sanaaaaaa
Ahahahahaha
Safi sana nimeipenda hiyo
Mungu ajulinde mweshimiwa
God bless Africa in Jesus Name
Unajielewa kweli wewe halafu unajiita muislamu,eti in Jisus name???? Katupwe huko yaani wafuata mkondo tu,
mungu ashukuriwe Makonda and Gwajima
safi sana makonda unakipaji cha upasta
Dah!
Iyo ndio sifa ya uwanaume. Safi sana mkuh makonda Safi sana bishop Gwajima mungu ni mwema
Tanzania ni amani mungu ataliweka wazi hili na nchi yetu itabaki kuwa salama(ila mungu hadhihakiwi)
Hiyo nimependa naanafaa kua Mwalim wamafundisho ya dini mungu ampe kipawahicho katika jina LA yesu
Wao
Gwajima naona kuna kitu anakifikiria hapo
unapozungumzia kuwa tajiri lazima utofautishe na kubarikiwa. Utajiri una chembe ya uhasi na ubinafsi wakakati anayebarikiwa anabarikiwa ili awe baraka kwa watu wengine. Ibrahim alibarikiwa kwa ajili ya kizazi chake. Utajiri wa anayezungumzia mhe. ni tafauti na baraka. Mungu hatoi utajiri bali anakubariki ili uwe baraka na wewe kwa wengine.
mambo
Tazama jinsi ilivovema na kupendeza ndugu kuishi pamoja kwaumoja
Amen
amee ameen - na huo ndio ujasiri na Zab :119:165 inasema wana amani nyingi waishikao sheria ya Bwana wala hakuna la kuwakwaza
hongera
Ashukuliwe Mungu wawatakatifu kwakuwa kawapatanisha nakuwapa miyo mipya
I like it
Friends are like quite angle
Hapo gwaji boy anamchora tu bashite
Kwaupendo huu gwajima mungu akupe nguvu
Rheri kuishi pamoja kwa umoja. Mungu awabariki watumishi
KAKOBE hazina kubwa sana Tanzania
Mpira Daika 90 ndugu zangu lakini mbaka sasa bila bila na wakitoa draw Faida kwa jamiii. Tunachotaka wapatane nani kashinda ndio mnakuwa wanafiq mnaetaka kujua nani kashinda tuangalia mbele ya safari ndefu tunayo kwenda lazima haya mashimo madogo dogo yafukiwe . Hakuna Dini inaetaka watu wagombane.
Aliye kuwa DETROIT gonga hapa diaspora juu👍
Point
Okoka tu sasa baba... Uwe mchungaji.. Unaonekana una kipaji cha kuhubiri..
Safi mnopokuwa pamoja
Nimefuraaaaaaaaaaaaahiii, sisemi 😁😁😁🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻, mmetimiza amri kuu leo. Shetani kanunaaaa🥺🥺
Kanuna sii kidogo , na macho kapofuka mbona haoni kabisaaaa
Amen
Babyee da love😍
hyo n nzuli
Safi sanaaaa
Asante Yesu
Kaka angu Paul makonda nimependa ulivyo ubiri, napenda muendelee kuwa wamoja tena kwa upendo kwani ninyi note nikitu kimoja!! Nawapenda Sana kaka zangu ngwajima na makonda MUNGU endelee kuwashika mikono Ameni
nakupenda sana makonda kusaidia watu maskini ingawaje mimi sio mtanzania
Big up sana MAKONDA NA ASKIFU GWAJIMA
Najisikia raha san nikisikia neno la mungu
Uschezee mungu weye
Huyu Gwajima si alisema amemfuta, imekuaje tena, au nabii alikosea utabiri?
Safi SANA kweli! Bashite na Bashita uso KWA uso safi sana! Kumbe naye ni muubiri mzuri tu!
heh asante makonda daaaah mbwembwe zote km rais na kufungiwa na mkanda wa gari ila unastahili sana mana unajituma na jiji kubwa sana hili
Ya kimwili ni temporary! Tuutafute kwanza ufalme wa mungu and then tunatafuta vya duniani kwa msaada wake mungu.
Kumbe Makonda ni mhubiri mzuri tu anza kupiga injili tu
Safi sana Makonda na Gwajima .jamani amani na upendo
Sawa mchungaji #BASHITE
Hili Gombo sio la mchezo mchezo Ni Hai na Kamili kwa jina la Yesu
Makonda upo vzr🙏
Amina
Gwajima daaah .....
Hapo Gwajima anamchora tu😁😁😁😁
Sura ya Ngwajima 😂😂😂😂
Uko vzr makonda
Kakobe TV wapi hatukuoni mweeeee jamani naimiss mno TV ile niliyokuwa nakuonaga
Gwajima eti ume mfuta ktk ulimwengu wa siasa Makonda ama ulikuwa unaota na kupayuka ilibwatu walete sadaka
24:23-25 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
23 Wakati huo mtu aki waambia, ‘Tazama! Kristo yuko hapa!’ au ‘Kristo yule pale!’ msi sadiki. 24 Kwa maana watatokea makristo na manabii wa uongo
Gwajima sio mnafiki anajua na anafahamu na kuona mbali kuliko walioko hapa
Facial expression of Gwajima tells a lot
Samehe saba marasabini safisana gwajima namkuu makonda.Munguwambinguni awabarikisana. ndiomana nilikuwakuleee naleo nipo ktk ukristo
Amen
Bashite jeuli kwisha