RC MAKONDA NA ASKOFU GWAJIMA USO KWA USO KANISANI KWA ASKOFU KAKOBE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 тра 2019
  • Hi headlines za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na Mchugaji Gwajima ambapo wawili hawa walikuwa na tofauti zao lakini leo wameonekana wakizungumza katika kanisa la Askofu Kakobe ambapo ni siku ya kuadhimisha miaka 30 tangu kwa kuanzishwa kwa kanisa la Kakobe

КОМЕНТАРІ • 391

  • @lightmashauri1725
    @lightmashauri1725 5 років тому +27

    Kumbe ni mhubiri mzuri sana hongera sana ndo kilichobaki kumtangaza Kristo.

  • @joycenicholaus6054
    @joycenicholaus6054 5 років тому +11

    Nakupenda Makonda, Mungu aendelee kukuweka juu

  • @fadiasly5001
    @fadiasly5001 5 років тому +8

    Hongereni sana gwajima na makonda hakika mfanya mfano mzuri sana tunatakiwa tuinge kupitia kwenu Amin

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 День тому

    Hongereni saaaana hapo ndipo mungu analeta baraka asante sama wanchungaji mliofanya hayo mambo ya upatanisho

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 5 років тому +7

    Siku zote huwa siachi kusema kuwa mwisho wa Mh.Makonda huko mbele atakuja kuwa ktk utumishi wa madhabahuni. Na haitakuwa zaidi ya miaka saba ijayo. Mungu azidi kukulisha zaidi. Hongereni pia kwa kushikana mikono ya upatani wewe na Askofu wa ufufuo na uzima Baba Gwajima. Ahsante Mungu.

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 5 років тому +80

    WATANZANIA SHIKAMONI!UDUGU HAZINA YETU🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤tutagombana mwisho wa siku peace &Love.

    • @hawaamohammed6687
      @hawaamohammed6687 5 років тому +1

      Siuongo Duniani kote wanafahamu yakuwa watanzania wanapendana wenyewe kwawenyewe nawanasema huku kuwa hawana udini Wala ukabila watanzania wote kauli mbio watanzania nindugu Hakika najivunia kuzaluwa Tanzania

    • @veronicascottmollel7897
      @veronicascottmollel7897 5 років тому

      Ameen

    • @rockcitynative9985
      @rockcitynative9985 5 років тому +1

      Joyce mashikolo.
      Unategemea nini? Hao maslahi ya matumbo yao yamewakutanisha.

    • @reubenbusanji2904
      @reubenbusanji2904 5 років тому

      Rock City Native kwani wewe huna tumbo?

    • @rockcitynative9985
      @rockcitynative9985 5 років тому

      Reuben Busanji
      Tumbo ninalo ila halinifanyi kuwa mnafiki. Ningekuwa mnafiki kama hao pengine leo maisha yangu yangekuwa mazuri maradufu.

  • @ken-ul2jg
    @ken-ul2jg 2 роки тому +1

    Hii madhabahu ya Bishop Kakobe, imewapatanisha wengi, it reminds me of the late Bishop Kulola & Bishop Emmanuel Lazaro. Nice video Millard, God bless Tanzania

  • @elizabethmhapa3658
    @elizabethmhapa3658 5 років тому +9

    Nimekupenda upya Mheshimiwa Makonda

  • @lewizo_tz
    @lewizo_tz 5 років тому +158

    Alegundua gwajima hana shobo like hapa

    • @rozleeerasto5558
      @rozleeerasto5558 5 років тому +2

      Acha ushakunaku.... 👰👰👰

    • @silverjoseph4577
      @silverjoseph4577 5 років тому +3

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka iyo ushakunaku

    • @rozleeerasto5558
      @rozleeerasto5558 5 років тому +2

      @@silverjoseph4577 umeona ee!! Mijitu mingine mishakunaku kwel bas💍💄👙👗👠 pumbavuu ukiangalia kabisa linachochea... Ndo washapatana... Kawagombanishe tena

    • @ramadhansteven325
      @ramadhansteven325 5 років тому +2

      Ukimuangalia kwa jicho la kishushu askofu Gwajima katimiza wajib sabab alikua mbele ila si kwa mapatano, kama na ww ni shushu gonga like tujane apa

    • @rozleeerasto5558
      @rozleeerasto5558 5 років тому +1

      nyie mlitaka wapeane mikono nyuma muanze kuwaongelea au wakisalimiana mmoja ageuze mkono ndo muanze kuwaongelea watu wanaomjua mungu hawachukiani milele

  • @mteulenyotamchana2623
    @mteulenyotamchana2623 5 років тому +10

    Thank you Bishop. That is what we call Christian

  • @nsubilimwampeta1966
    @nsubilimwampeta1966 5 років тому +7

    Shalom you two great friends...

  • @simonshija2476
    @simonshija2476 5 років тому +9

    Na hii ndo hazina aloiweka Mwenyezi Mungu kwetu wa tz

  • @amosgadau4395
    @amosgadau4395 5 років тому +31

    Kazi ya MSALABA ni upatanisho peace&love Gwajima vs Makonda

  • @livingstoneakyoo6228
    @livingstoneakyoo6228 5 років тому +10

    Kwanzia leo nimemheshimu Mh. Paul Makonda ama kweli elimu ya darasani sio kipimo cha kutosha cha kupima akili, uwezo na uelewa wa mtu. Watu walikuwa wanamsema Zero mara Daudi Bashite lakini ukimsikiliza Makonda aka Bashite unagundua kwamba ni mtu anayejitambua ana akili mzalendo na kiongozi bora. Peace and Love Brethren!

  • @mfalmegideon3987
    @mfalmegideon3987 5 років тому +13

    Bishop Gwajima Ana Akili sana

    • @jescamwalukog3330
      @jescamwalukog3330 4 роки тому

      Mazungumzo Kati yakatibu wiraya na mkuu wakituo dodoma

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes9087 5 років тому +76

    Shikamoo tanzania ; tanzania ukiona watu wanagombana usishangilie maana tanzania upendo uwa mkubwa kuliko uwadui

    • @nsimbepaul3719
      @nsimbepaul3719 5 років тому

      Nimekupenda bure kwa maneno mazito

    • @mupesi8886
      @mupesi8886 5 років тому +1

      Sisi ni upendo tu

    • @rehemaradhid5716
      @rehemaradhid5716 4 роки тому

      Kweli nimeamin duu kama watt wadogo wakigombana unasema hawTakaa wapatane kidogotu unawaona wako pamoja ndivyo mungu anavyopenda tuwe

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 5 років тому +6

    Usiwe upendo wa Agape. Tuwe wakweli ndani ya mioyo sio mbele za watu. Tumuogope Mungu si binadamu.

  • @godymakundi
    @godymakundi 5 років тому +4

    Mtumishi wa Mungu Askofu Gwajima, nakuelewa sana na nakupenda.... Mungu azidi kukuinua, wewe ni mtu muhimu katika Taifa hili la Tanzania!!

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 5 років тому

    Merci makonda, mungu akubaliki

  • @ikupamwaisoba7379
    @ikupamwaisoba7379 5 років тому

    Nakupenda bure mdogo wangu Mungu azidi kukupigania mhe. Makonda

  • @sylvestermsafiri4372
    @sylvestermsafiri4372 5 років тому +20

    Kwa kweli ametupa laivu!
    Umasikini siyo sehemu ya Ulokole.

    • @asteriashios1852
      @asteriashios1852 День тому

      Siyo ulokole siyo sehemu ya mkiristo yoyote yule hakuna ubagizi ndani ya ukristo Kwa mungu sisi ni matajiri upo

  • @josephdasare3237
    @josephdasare3237 5 років тому +22

    This man can be a good preacher

    • @sumatanjunior231
      @sumatanjunior231 5 років тому +1

      There is a difference between a good preacher and sanctified good preacher. Basically, even a good salesman is a preacher, a good preacher of course.

    • @jordanfromyt2861
      @jordanfromyt2861 5 років тому +1

      Joseph Dasare Lol 😝

    • @emmanueljohn8970
      @emmanueljohn8970 5 років тому

      Ni kweli kabisa, sisi sote tumeumbwa na Mungu na ni wana wa Mungu,... Hatutoi vya kishetani matusi ni Ya shetani

    • @simonshija2476
      @simonshija2476 5 років тому

      @@sumatanjunior231 hahahaaa

    • @silverjoseph4577
      @silverjoseph4577 5 років тому

      Ni kweli ana hubiri vizuri makonda angekuwa mchungaji angependeza sana

  • @merrynancesimoni2728
    @merrynancesimoni2728 5 років тому

    Mungu awabariki kabisaaa 😘😘😘😘

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 4 місяці тому

    Anaweza kuhubiri 😂 Allah ni mkuu, Hongera Makonda

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 5 років тому +28

    Makonda anacheza kama pele kila sehem ana fit ndo mana magu anampenda😁😁

    • @jeniphermaiko3886
      @jeniphermaiko3886 5 років тому

      omary kk3 kabisa jamaa anajua kusoma alama za nyakati l love makonda

  • @sarahyohana9367
    @sarahyohana9367 3 роки тому

    Safi sana mungu akuinue daima

  • @sadahussein7971
    @sadahussein7971 3 роки тому

    Nimeipenda sana

  • @suratfrank6282
    @suratfrank6282 5 років тому

    Ameeeeeeeeeen mtumishi wa mungu ubarikiwe Paul vita c yetu baba yetu yesu Kristo alishaipigana

  • @hadijakharim5748
    @hadijakharim5748 5 років тому

    Daaaaah safi sana

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 5 років тому

    Mungu awabariki kwa mshikamano mzr..naona nuru

  • @oscarkasalile8370
    @oscarkasalile8370 4 роки тому

    Mungu mwenye nguvu kawakutanisha Mkuu wa mkoa paul makonda na gwajima mungu umetenda maajabu kuwaunganisha hawa watumishi wako.Mungu wabariki viongozi hawa na uwape upendo wapendane

  • @atusheatushe7038
    @atusheatushe7038 5 років тому

    Hongereni washangriaji kwayare macho yenu yanyama kwan hamusom neno lakua waumin mutahukumiwa kwakuwa fyata wachungajj wapotoshajj olewenu muspo chunga hilo mwanadamu anapenda dunia sana pesa mbere

  • @anthonymushi4595
    @anthonymushi4595 5 років тому

    Mungu awabariki sana kwailo

  • @MengisonMgohamwende-vt5zd
    @MengisonMgohamwende-vt5zd 5 місяців тому

    Asante mtumishi kwaneno

  • @nevivmirambo3108
    @nevivmirambo3108 5 років тому +4

    Kukutana kwa Paul makonda na mchungaji gwajima,,, yatatokea mambo tooo.... Kupatana kwao si kwema..

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 5 років тому +7

    Majesh majesh hakika kila mwenye tumaini ili na azid kujitakasa congratulations my bishop dr josephat ngwajima and Paul makonda

    • @ZachariaMaturo
      @ZachariaMaturo 8 місяців тому

      Mungu mwenye kutowa vipawa na garama ampa makonda nae ili wanasiyasa waige mfano wa kweli ubarikiwe sana baba kwajima kumpa madhabahu kaka yetu ameni.

  • @b9media144
    @b9media144 5 років тому +9

    Hivi ni VITA VYA FIKRA!!
    Ni vita hatari sana zaidi ya vita ya bunduki!!

  • @happynessmolla1781
    @happynessmolla1781 5 років тому

    ubarikiwe sana Mtu wa Mungu.

  • @mshindivictor1690
    @mshindivictor1690 5 років тому

    Aleeeeeeeeluuuya. Asante sana

  • @richardmichael7412
    @richardmichael7412 5 років тому

    Yooh.nimeipenda hii aisee

  • @christinakitomari7702
    @christinakitomari7702 5 років тому

    Wote kutoka Kanda ya Ziwa. Pendaneni tuu Watumishi wa bwana. Nimefurahi sana kuwaona pamoja. Sifa na Utukufu kwa Yesu.

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 5 років тому +1

    Mkuu we Mkoa upo vizuri sana

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 5 років тому +1

    Kumbe umefungua kanisa kaka hongera sana

  • @deusmgema8612
    @deusmgema8612 Рік тому

    Gwajima and makonda no comment

  • @luckyprincejabinho9986
    @luckyprincejabinho9986 5 років тому

    Kwa kweli wewe ngisi ulivo moonekani wako wewe jo ungekuwa preside tinzama ngisi una pendanza nakupendaka kwavili oko mweliwako munzuri una pendanza kama wangine wa lahiri 💃💃💃💃🇳🇱🇳🇱🇨🇩🇨🇩😍😍😍 wewe uko powa🔥🔥🔥🔥 👍😇😇

  • @jongolite2491
    @jongolite2491 5 років тому

    Nimeipenda sanasana

  • @hadijahmwajombe9588
    @hadijahmwajombe9588 5 років тому

    safi sana baba gwajima na makonfa😍😍😍😍😍😍

  • @drgreysonbabishomba
    @drgreysonbabishomba 5 років тому +2

    Mr Tanzania Bishop Gwajima 👏

  • @beatricekamengekamenge5543
    @beatricekamengekamenge5543 5 років тому +3

    Amen kubwa sanaaaaaa

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 5 років тому

    Safi sana nimeipenda hiyo

  • @mamapeace6730
    @mamapeace6730 8 місяців тому

    Mungu ajulinde mweshimiwa

  • @saidatkhamis4633
    @saidatkhamis4633 5 років тому +2

    God bless Africa in Jesus Name

    • @salimmoha7962
      @salimmoha7962 5 років тому

      Unajielewa kweli wewe halafu unajiita muislamu,eti in Jisus name???? Katupwe huko yaani wafuata mkondo tu,

  • @magrethurembo1834
    @magrethurembo1834 5 років тому

    mungu ashukuriwe Makonda and Gwajima

  • @petrokomba3508
    @petrokomba3508 5 років тому

    safi sana makonda unakipaji cha upasta

  • @lucaskimogere2322
    @lucaskimogere2322 3 роки тому

    Dah!

  • @sadyroger7624
    @sadyroger7624 5 років тому +2

    Iyo ndio sifa ya uwanaume. Safi sana mkuh makonda Safi sana bishop Gwajima mungu ni mwema

  • @barakambwilo4602
    @barakambwilo4602 5 років тому +1

    Tanzania ni amani mungu ataliweka wazi hili na nchi yetu itabaki kuwa salama(ila mungu hadhihakiwi)

  • @ameldakavishe2002
    @ameldakavishe2002 3 роки тому

    Hiyo nimependa naanafaa kua Mwalim wamafundisho ya dini mungu ampe kipawahicho katika jina LA yesu

  • @ckosmah21
    @ckosmah21 5 років тому +1

    Wao

  • @yonamaina1093
    @yonamaina1093 5 років тому +7

    Gwajima naona kuna kitu anakifikiria hapo

  • @albinoentreprises2176
    @albinoentreprises2176 5 років тому +1

    unapozungumzia kuwa tajiri lazima utofautishe na kubarikiwa. Utajiri una chembe ya uhasi na ubinafsi wakakati anayebarikiwa anabarikiwa ili awe baraka kwa watu wengine. Ibrahim alibarikiwa kwa ajili ya kizazi chake. Utajiri wa anayezungumzia mhe. ni tafauti na baraka. Mungu hatoi utajiri bali anakubariki ili uwe baraka na wewe kwa wengine.

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 5 років тому +9

    Tazama jinsi ilivovema na kupendeza ndugu kuishi pamoja kwaumoja

  • @japhetdaud3781
    @japhetdaud3781 5 років тому +6

    amee ameen - na huo ndio ujasiri na Zab :119:165 inasema wana amani nyingi waishikao sheria ya Bwana wala hakuna la kuwakwaza

  • @moseswanjara3408
    @moseswanjara3408 5 років тому +4

    Ashukuliwe Mungu wawatakatifu kwakuwa kawapatanisha nakuwapa miyo mipya

  • @bethshebaruhumbika8064
    @bethshebaruhumbika8064 5 років тому

    I like it

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 5 років тому +2

    Friends are like quite angle

  • @josmoneymkolwe3044
    @josmoneymkolwe3044 Рік тому

    Hapo gwaji boy anamchora tu bashite

  • @elizabethjohn1433
    @elizabethjohn1433 5 років тому

    Kwaupendo huu gwajima mungu akupe nguvu

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 5 років тому +2

    Rheri kuishi pamoja kwa umoja. Mungu awabariki watumishi

  • @mr.machange1377
    @mr.machange1377 5 років тому +1

    KAKOBE hazina kubwa sana Tanzania

  • @AMBINHED
    @AMBINHED 5 років тому +3

    Mpira Daika 90 ndugu zangu lakini mbaka sasa bila bila na wakitoa draw Faida kwa jamiii. Tunachotaka wapatane nani kashinda ndio mnakuwa wanafiq mnaetaka kujua nani kashinda tuangalia mbele ya safari ndefu tunayo kwenda lazima haya mashimo madogo dogo yafukiwe . Hakuna Dini inaetaka watu wagombane.
    Aliye kuwa DETROIT gonga hapa diaspora juu👍

  • @jamespatsonjp4935
    @jamespatsonjp4935 5 років тому +5

    Okoka tu sasa baba... Uwe mchungaji.. Unaonekana una kipaji cha kuhubiri..

  • @abdallahhaji3793
    @abdallahhaji3793 5 років тому +12

    Safi mnopokuwa pamoja

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np 5 років тому +8

    Nimefuraaaaaaaaaaaaahiii, sisemi 😁😁😁🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻, mmetimiza amri kuu leo. Shetani kanunaaaa🥺🥺

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie2926 5 років тому +7

    hyo n nzuli

  • @mbogojaphet8713
    @mbogojaphet8713 5 років тому

    Safi sanaaaa

  • @princessjerad7655
    @princessjerad7655 5 років тому

    Asante Yesu

  • @magrethmkumbo1717
    @magrethmkumbo1717 5 років тому

    Kaka angu Paul makonda nimependa ulivyo ubiri, napenda muendelee kuwa wamoja tena kwa upendo kwani ninyi note nikitu kimoja!! Nawapenda Sana kaka zangu ngwajima na makonda MUNGU endelee kuwashika mikono Ameni

  • @marietajohn2913
    @marietajohn2913 5 років тому

    nakupenda sana makonda kusaidia watu maskini ingawaje mimi sio mtanzania

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 5 років тому +2

    Big up sana MAKONDA NA ASKIFU GWAJIMA

  • @georgembilinyi2824
    @georgembilinyi2824 3 роки тому

    Najisikia raha san nikisikia neno la mungu

  • @kudramkoma8438
    @kudramkoma8438 4 роки тому

    Uschezee mungu weye

    • @binyamina8850
      @binyamina8850 4 роки тому

      Huyu Gwajima si alisema amemfuta, imekuaje tena, au nabii alikosea utabiri?

  • @antoinekatembo8124
    @antoinekatembo8124 5 років тому +2

    Safi SANA kweli! Bashite na Bashita uso KWA uso safi sana! Kumbe naye ni muubiri mzuri tu!

  • @ahmedhajji1210
    @ahmedhajji1210 5 років тому +4

    heh asante makonda daaaah mbwembwe zote km rais na kufungiwa na mkanda wa gari ila unastahili sana mana unajituma na jiji kubwa sana hili

  • @venamlowe3556
    @venamlowe3556 5 років тому +1

    Ya kimwili ni temporary! Tuutafute kwanza ufalme wa mungu and then tunatafuta vya duniani kwa msaada wake mungu.

  • @johnbernad6806
    @johnbernad6806 4 роки тому

    Kumbe Makonda ni mhubiri mzuri tu anza kupiga injili tu

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 5 років тому

    Safi sana Makonda na Gwajima .jamani amani na upendo

  • @luganostewart8320
    @luganostewart8320 5 років тому

    Sawa mchungaji #BASHITE

  • @Hmichael
    @Hmichael 3 роки тому

    Hili Gombo sio la mchezo mchezo Ni Hai na Kamili kwa jina la Yesu

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 роки тому

    Makonda upo vzr🙏

  • @dorcusomary4332
    @dorcusomary4332 3 роки тому

    Amina

  • @steveyusuf1428
    @steveyusuf1428 5 років тому

    Gwajima daaah .....

  • @karangwajoseph1015
    @karangwajoseph1015 5 років тому +2

    Hapo Gwajima anamchora tu😁😁😁😁

  • @elicegelard5026
    @elicegelard5026 5 років тому

    Uko vzr makonda

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 5 років тому

    Kakobe TV wapi hatukuoni mweeeee jamani naimiss mno TV ile niliyokuwa nakuonaga

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 4 роки тому +1

    Gwajima eti ume mfuta ktk ulimwengu wa siasa Makonda ama ulikuwa unaota na kupayuka ilibwatu walete sadaka

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 5 років тому +5

    24:23-25 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
    23 Wakati huo mtu aki waambia, ‘Tazama! Kristo yuko hapa!’ au ‘Kristo yule pale!’ msi sadiki. 24 Kwa maana watatokea makristo na manabii wa uongo

  • @eliusandrew3762
    @eliusandrew3762 5 років тому +18

    Gwajima sio mnafiki anajua na anafahamu na kuona mbali kuliko walioko hapa

    • @dr.eliasm.chrisant4110
      @dr.eliasm.chrisant4110 5 років тому

      Facial expression of Gwajima tells a lot

    • @benedictkiteji5089
      @benedictkiteji5089 4 роки тому

      Samehe saba marasabini safisana gwajima namkuu makonda.Munguwambinguni awabarikisana. ndiomana nilikuwakuleee naleo nipo ktk ukristo

  • @rosemarymunyi5035
    @rosemarymunyi5035 5 років тому

    Amen

  • @mashakakwembe7482
    @mashakakwembe7482 Рік тому

    Bashite jeuli kwisha