Wengi wa washirikina nawaona, wanga wamo humu, wachawi pia, kijana hana kosa lolote, kajifunzeni Quran muijue msimshambulie wanafiki nyie. Mnasali na hirizi viunoni.
Yaani jitu linasfanyia mchezo maneno ya allah halafu ukilitukana uambiwe unakosea ckieni nyinyi endeleeni kufanya uchafu wenu tafadhalini sana msifanye mchezo na quraan kareem mnatukera sana tunashindwa kujizuia
Hamjui kusoma quraana hata kuelekeza hamjui acheni quraan imeshushwa kwa ajili ya kulingania wwatu sasa hivi mnavyoifanyia mchezo nani atavutiwa nayo na kuifata jaman tunawaombq sana mnatukera quraan ukikosea nukta tu ushabadilisha maana je ww unaekosea yote ushabadilisha maana nzima acheni mchezo kuna kufa jaman
Angesoma ALIKIBA kusingekua na maneno mabaya kama haya tunapaswa kumuombea sio kumuhukumu wala kutukana kwakuwa kil binadamu ana madhaifu yake mbele za Allah waweza jiona wewe mwema sana machoni mwa watu kumbe ndio mwanga mkubwa
Ikiwa ni editing au ni mwenyewe hakika...Basi futen hii clip hii quran ilosomwa imekosewa sana maneno mengine yameachwa mengne yamebadilishwa.. Quran ni ya mungu mtukufu lazima iheshimiwe na lazima isomwe kama ilivo
Bismilahi Rahman raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi yake Amin Amin Amin yaraab Amin alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana kuwa mwislam dini iliyoo nyookaa na isiokuaa na Shaka juu yake alhaamdulilaah achana na nyimbo za kimashoga usimchezee mungu achezewi
Bro nakuombeya DUA ALLAH AKUTOWE KWENYE HUO UJAHILI
Wengi wa washirikina nawaona, wanga wamo humu, wachawi pia, kijana hana kosa lolote, kajifunzeni Quran muijue msimshambulie wanafiki nyie. Mnasali na hirizi viunoni.
Kijana upo vizur rudi katika mstari ulio nyooka usije ukafa nje ya Mila ya nabii Mohd s.a.w
Yaani jitu linasfanyia mchezo maneno ya allah halafu ukilitukana uambiwe unakosea ckieni nyinyi endeleeni kufanya uchafu wenu tafadhalini sana msifanye mchezo na quraan kareem mnatukera sana tunashindwa kujizuia
Hamjui kusoma quraana hata kuelekeza hamjui acheni quraan imeshushwa kwa ajili ya kulingania wwatu sasa hivi mnavyoifanyia mchezo nani atavutiwa nayo na kuifata jaman tunawaombq sana mnatukera quraan ukikosea nukta tu ushabadilisha maana je ww unaekosea yote ushabadilisha maana nzima acheni mchezo kuna kufa jaman
Angesoma ALIKIBA kusingekua na maneno mabaya kama haya tunapaswa kumuombea sio kumuhukumu wala kutukana kwakuwa kil binadamu ana madhaifu yake mbele za Allah waweza jiona wewe mwema sana machoni mwa watu kumbe ndio mwanga mkubwa
Allah mungoze kwenye njia ya kheri
Nurdini kishki angalia kijana wako ana kushika madevu
Sub'hana-llah 😭😭😭😭 Allah akuhifadhi
Wewe kijana mashallah lakin unamchezea Mungu atakufunza
Apo ss nashangaa
Na mbn mnamchezea ALLAH nyieee na mnajua hakika mziki n haramu ASTAGHFIRULAH 😢😢😢😢
Ikiwa ni editing au ni mwenyewe hakika...Basi futen hii clip hii quran ilosomwa imekosewa sana maneno mengine yameachwa mengne yamebadilishwa..
Quran ni ya mungu mtukufu lazima iheshimiwe na lazima isomwe kama ilivo
Hi ifutwe tena haraka
Ni kweli kabisa
Wala hawawezi ifuta maana kila kitu kwao Ni Kiki THUU 😢Hawa watu SUBHANALLAH
Ndg zangu mulokaribu mtoeni kijana wetu kwenye ujahil
❤❤❤
Msiba wallah, Allah atuongoze wote
Subhannalllah
Tatizo maokoto
SUBHANALLAH
Nyoo
Bismilahi Rahman raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi yake Amin Amin Amin yaraab Amin alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana kuwa mwislam dini iliyoo nyookaa na isiokuaa na Shaka juu yake alhaamdulilaah achana na nyimbo za kimashoga usimchezee mungu achezewi
Allah Akbar Allah akurinde kbx
Wewe ndie unayemchezea mungu nenda kajifunze Quran, hutatusi mtu tena,
❤❤❤❤❤