Mngetuandalia series ya mwezi Ramadhan ingekuwa bora. Vipindi vyenu vina mafunzo makubwa katika jamii na vina lenga uhalisia wa maisha, haiachi nyuma wanawake,watoto,wanandoa ,wajane vinaenda sawia na maadili ya jamii. ALLAH awape nguvu na awalipe kwa kila faida tunazozipata katika tamthilia zenu. Ila ni maoni tu iwapo iitakuwa kuna mahali nimekosea kwa kuwasilisha maoni yangu ningeomba samahni.shukran
MASHA'ALLAH imenyooka kbsa na ndo hali halisi ilivyo kwenye madrasa zetu ALLAH atufanyie wepesi tuweze kutekeleza majukumu yetu dhidi ya MAUSTADH & MAUSTADHA WETU INSHA'ALLAH
Mashallah good educated movie parents should be serious and focus on our islamic religion and lets be appreciate anything small that we get from our husbands
Hivi ndivo wanavo semaga majumbani wala siutani,mtoto anaambiwa na mzazi wake nitakupeleka madrassa ukacheze na watoto wenzio lkn shuleni anaambiwa ntakupeleka ukasome,kiukweli walimu wa madrassa wanakazi ngumu sana ila jaza yao ipo kwa Allah mana wanadamu lao lawama tuu...!!!!ahsante kaka bujra kwa hii hekma ulo itumia...japo kwa kuigiza nina imani ujumbe umewafikia ila inasikitisha sna mch❤❤❤❤ wanangu wa nyumbani..!!!!
Kongole washiriki wote na pongezi Kaka bujra Kwa kujizatiti kushika mikono vijana wenzako kukuza vipaji vyao,na Amini IPo siku utakua mtu tajika katika hii tasinia.
Mashaallah mashaallah ❤️❤yani mimi ni mtanzania ila nawapenda sana wakenya wallahi ten natamani siku moja nifike ata kwa uchache tu yan dhaa nawapenda jmn ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Shabiki wenu mpya huyu..Kwandza nampeana shukran za dhati kwenu walai Allah awaongoze sababu nimeguswa sana n kuvutiwa na na hii filam yenu pili kisahili chetu aky kinaweza n vipaji vinaonekan kikubwa bidii na kupongezan n kusapotian si kuvunjan moyo...Ukweli Tunaweza🎉
Mimi huwa sio mtu wa kucoment sana ila kwa hii filamu fupi nilioiona acha tu niseme manshaallah!kusema ukweli nimeipenda, Mungu awafikishe mbali na kazi zenu nzuri.
Kwale county Yani Kenya yote tuungane hapa tusapoti vipaji
Nzuri sana❤❤❤❤❤❤
Mashaallah kutoka Kenya movie inamafunzo mazuri Sana.❤❤
Mngetuandalia series ya mwezi Ramadhan ingekuwa bora. Vipindi vyenu vina mafunzo makubwa katika jamii na vina lenga uhalisia wa maisha, haiachi nyuma wanawake,watoto,wanandoa ,wajane vinaenda sawia na maadili ya jamii. ALLAH awape nguvu na awalipe kwa kila faida tunazozipata katika tamthilia zenu. Ila ni maoni tu iwapo iitakuwa kuna mahali nimekosea kwa kuwasilisha maoni yangu ningeomba samahni.shukran
Naongezea km itawezekana kwakuwa watizamaji n watu tofauti tofauti mueke english subtitles
Sijawai ona movie hapa kenya ikanisisimua kama hii 😢 mwanamke mwema anaweza Jenga maisha yako kwa misingi ya dini
Mashallah movie Iko na mafunzo bora❤❤
MASHA'ALLAH imenyooka kbsa na ndo hali halisi ilivyo kwenye madrasa zetu ALLAH atufanyie wepesi tuweze kutekeleza majukumu yetu dhidi ya MAUSTADH & MAUSTADHA WETU INSHA'ALLAH
mashaAllah sio makosa wala dhambi kuolewa mke WA pili ni Imani na pia wazazi wetu watuunge kwenye FURAHA za watoto wetu
Bujra watupa mafunzo masha Allah kweli twadharau madrasa
Masha Allah.... Bro Bujra this is wonderful, we really don't value Religious teachers, revolution for change must be done
Hizi ndio movie twafaa kuona sasa....very real
Ukweli mtupu
Mashallah umeupiga mwingi Bujra Mungu akutangulie🤲JIMBO MEDIA TO THE WORLD ❤🎉
Mashaallah this is awesome......walimu wa madrassa wanatoa masomo kwa ziada ila wananyanyaska big up brother bujra❤
Finally nimeingoja kwa Hamu😫😫..Bujraa keep it up.. my people Sophie Farida ,Beka🔥🔥🔥🔥 Wezaa kma kawaida
Masha Allah tabarakallah nimefurah kwakweli🎉🎉🎉 najikuta tu 😢😢
Hii story wallah imeninyongesha sana maustadha wanadharaulika sana😊
Mashallah good educated movie parents should be serious and focus on our islamic religion and lets be appreciate anything small that we get from our husbands
Hivi ndivo wanavo semaga majumbani wala siutani,mtoto anaambiwa na mzazi wake nitakupeleka madrassa ukacheze na watoto wenzio lkn shuleni anaambiwa ntakupeleka ukasome,kiukweli walimu wa madrassa wanakazi ngumu sana ila jaza yao ipo kwa Allah mana wanadamu lao lawama tuu...!!!!ahsante kaka bujra kwa hii hekma ulo itumia...japo kwa kuigiza nina imani ujumbe umewafikia ila inasikitisha sna mch❤❤❤❤ wanangu wa nyumbani..!!!!
Ina huzunisha kwa kwel
Kongole washiriki wote na pongezi Kaka bujra Kwa kujizatiti kushika mikono vijana wenzako kukuza vipaji vyao,na Amini IPo siku utakua mtu tajika katika hii tasinia.
Mashaallah mashaallah ❤️❤yani mimi ni mtanzania ila nawapenda sana wakenya wallahi ten natamani siku moja nifike ata kwa uchache tu yan dhaa nawapenda jmn ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wakaribishwa karibu sana ❤❤❤❤
@@aishamwachi7854 mashaallah shukran san ❤️❤️❤️❤️ nitafika tu inshallah 🙏❤️❤️
@@aishamwachi7854 shukran kipenzi cha Allah ipo siku tu
Twakupenda pia❤
Twakupenda pia❤
Mashaallah movie imenipa hisia mtoto wa kiume machozi yatoka waaah 😢 hongera sanah wallah ❤🎉🎉
watching from qatar amaizing story mashallah❤
Kumbe mke wapili huwa na nyota 😢na kufunguwa nuru ya maisha nimejuwa leo
Sometimes it's depend
Yategemea sio wote wanafungua nuru
Wengi wao balaa ila ukitanguliza Allah baraka huzileta
Kusema kweli mumeiva hii movie iko matawi yajuu sana nivito kidogo sana beka ajitahidi lafdhi ya kiswahili na vitu vyengine
Zidisheni nguvu ndungu zangu 🎉🎉🎉
MashaaAllah mashaaAllah tabaarakRahmaan ❤❤❤❤❤❤
Allah akuzdshien kipaji zaid amiin amiin
Buyra uko juu twangalia tukiwa saudia kazi poa broo
MashaAllah mashaAllah Mr sticker Muendelezoo jamani❤❤big up
Mm natamani sana kuolewa mke wapili ilashida ni babangu hataki kabisa
Babako si muislam kwani hajui ka dini yetu yaruhusu??
Masha Allah tabaraq Allah mungu awazidishie mufike mbali bujra unaweza na unaweza Tena na tena
Shabiki wenu mpya huyu..Kwandza nampeana shukran za dhati kwenu walai Allah awaongoze sababu nimeguswa sana n kuvutiwa na na hii filam yenu pili kisahili chetu aky kinaweza n vipaji vinaonekan kikubwa bidii na kupongezan n kusapotian si kuvunjan moyo...Ukweli Tunaweza🎉
MASHA ALLAH HUU NI FILM MZUR SANA WA KUJIFUNZA
Maashaallah kazi nzuri bro ila mwambie huyo bibi ya mzee juma beka akaze buti bado hajawa makini hayko serious.
Big up team Jimbo TV hii movement iendele ivi ivi na Kenya itajivunia waigizaji wazuri ambao ni nyinyi 🙏🙏🙏
Mashallah Allah atuongoze Kwa darsa kubwa kama hili tuwe wenye kutekeleza mafudisho Aya ❤❤❤TAKBIR 🙏🏾
Kazi nzur Sana mashaallah Allah awabrk
MashaAllah kazi nzuri Jimbo media tunategea muendelezo
Ma sha Allah nimependa Allah awazidishie ufahamu ktk kz zenu in sha Allah
Mashallah kaka na kazi nzuri ya kutufundisha
Mashaallah kazi safi sana bujra
Mashaallah Mola awazidishie in Sha Allah mfike mbali🤲🏽
Maa Shaa Allah Tabaraka Allah❤❤❤nmejifunza mengi katka maisha💯
Bujra kazi nzuri sana nimependa sana Allah akutie nguvu kwa kila subra barka kwa kila kazi ❤❤❤❤❤❤
MASHA ALLAH MASHA ALLAH MASHA ALLAH kaz nzur xna❤❤❤❤
Kenya is heading somewhere In Sha Allah..congratulations 🎉🎉🎉
Masha Allah, kazi nzuri yenye na mafundisho katika jamii yetu ya kislamu
Story nzry mashaallah jamani commenters na maviewers tuongezeni wake😅😅🙌🙌🙌
Mashaallh mashaallh ❤Mungu awajalie zaidi nyote mulioshiriki
Mashallah nzur sana beka na wengine
Mashallah good job wallahi Ina mafunzo mazuri
Team❤🎉
Mashaallah kazi safi sana mungu azidi kuwafungulia🙏🙏
Mashallah tabaraka Allah 🥰 🥰 Allah bless you my brother
Mashaallah nzuri sana yenye mafunzo ❤❤❤
BUJRA AMAZING SANA KWA KAZI NZURI YENYE MAFUNZO❤
Masha Allah .ungu awazidishie vipaji vyenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mashallah kazi nzuri sana
Mashaallah Mashaallah fupi lakini inamafundisho
Mafunzo na ni asili ya ust wa sas wanavyoishi umenigusaa sana bujra km namuona ust wngu
Mashallh kazi nzuri 🙏🙏🙏🎉🎉🎉
Mashallah 🎉🎉...nmejifunza mengi mno...Mungu awajaalie Mema InshaAllah 🎉🎉❤
Mashaallah Kaz nzuri san nawapenda kuwafuatila ❤❤
kazi nzurii sanaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪
Labda tu niseme hio combination sio mbaya #kazi nzuri.HONGERA
Congratulations Bujra👍✌️😄😁 movie iko🔥🔥😘
Mimi huwa sio mtu wa kucoment sana ila kwa hii filamu fupi nilioiona acha tu niseme manshaallah!kusema ukweli nimeipenda, Mungu awafikishe mbali na kazi zenu nzuri.
Keep it up....Iko smart wallah...Mungu awajaze fikra yakufanya Kaz nzuri
Kazi nzuri sana ❤❤❤❤❤❤❤
Nipo hapa wa kwanza naisubiri 😅😅
Hongereni kazi nzuri Sana ❤❤❤❤❤❤❤
Hii n kwel walimu w madras wanadharauliwa sana
Content nzuri Masha Allah yenye mafunzo.. nimeipenda sana Allah awabariki nyote mlioigiza na aibariki kazi ya mikono yenu. Amiin 🤲
Kaz nzur kak kwakwel allah akuzidishie juu ya swal hil lakutupa mafunz lkn madikodiko yuwaa
Mashaallah tabarak Allah ❤️❤️
Kazi nzuri kka msalimie beka ruger
Mashallah ustadhi, naja pia mm,nisome
Wakaribishws❤❤❤
Bujra Allah akuzidishie walai, kazi nzuri sana
MashaAllah..nimeipenda❤❤
Jmn mwanikumbusha mbali uswailini na hao dadazetu vile machizi kazi kweli
Barakallahu, a wonderful piece of religious insight.
Bwana Bujira Mlungu azidi kukuphani maarifa na hekima
Beka jamani 😂kaah ila Alhamdhulillah bro movie nzur Masha Allah ❤
Beka haishi vituko😂😂😂😂
MashaAllah good job
Mashallah 🎉🎉 kazi nzuri
Mashallah tabarakaallah 🎉❤❤❤
MashaAllah filamu nzur sana, hongereni jaman vipaji vpo kwe2.
Usthadh kizuka😂😊❤nimekukumbuka Usthadh wangu
Nimeisubiri hatimae imefika good job bro
Mashallah tabarakallah wote mlo shiriki ALLAH awajaze kher insha'Allah ❤❤ good job ❤
Mashallah iko poa
Kazi Nzuri bro Unaweza
Chica good actress mashaallh❤️❤️
Pongezi Sanaa Kaka and your team, I Love this Sana kuna improvement kubwa sana na movies mbali mbali! Best of luck
Mashallah Mashallah Mugu akuzidishie
Masha Allah ❤ I like it
Mashallah nimejifunza mengi humu
Masha'Allah, kazi nzuri sana na yenye manufaa ktk jamii❤
Mashallah kazi nzuri
Mashaallah Tabarakallah 😘 😘 good job🎉
Mashaallah .❤❤❤❤
Sayajaala Allah Baada Usri -Yusrah Mashallah nice move bro bujra (My moral of this story is ( wakati mgumu haudumu end you???❤
Kazi kali sana
Good work jimbo media,,mmetoa elmu katika filamu hii,,alafu bujra unashabaha yani wake wote wawili ni wajawazito😊
Mashallah good work keep going jimbo media