NANI ALIESOMA VIZURI KATI YA MANARA, MWIJAKU NA ANKO ZUMO QUR -AN TUKUFU??
Вставка
- Опубліковано 22 бер 2024
- Kwa mahitaji ya Qaswida Mpya, Tenzi, Mawaidha, Nasheed, na matukio mbali mbali ya kijamii, usisahau ku SUBSCRIBE, LIKE, COMEENT, SHARE ili uwe wa mwanzo kupata matukio hayo kila yanapotoka kwa wakati sahihi.
Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana nasi kupitia simu No.
Whatsapp. +255772285543
Call. +255772285543
ASANTENI NA KARIBUNI.
Nibora zaidi kushinda Kwa jambo la kheir, Masha Allah TabarakaAllah
Ispokua niseme tu ukweli wote wamesoma ila (alhaj manara kita jwidi yuko juuu nakupa kipao mbele Masha Allah ❤
Mashallah! Sheikh Haji katika hukmu za qur ani tajwid, makharijlkhuruf yuko sahihi
Safi sana kw wote jambo zuri mungu atawalipa kw sababu ujumbe umefk
MaashaAllah nmependa woote ni khery vijana wa kiislaamu wakiwa wanadhihirisha iimaan zao waz waz Allah atulipe khery soote❤❤❤❤❤❤
Ameen
Mashaallah wote wamesoma vzuli ila mwijaku anasait zuri sana maashaallah
Wooote mashaalah acheni mambo ya mtandao hasa manara na mwijaku dunia ni tombola bovu manara anashabikia uzinifu wa zuchu tizama vizuri kesho maswali utakayo kwenda ulizwa na mwijaku acha umbea mimi frm oman 🇴🇲
Mashaallah allah akuongozeni ktk kheri maovu kuyaacha na mema kuyakimbilia
Jazzakallahkhery
Aslm alkm warahmatullah wabarakaatuh ndugu zanguni katika imaan kumsema ukweli nijambo la kheri na lafuraha kuwaona wasani wetu wana shinda kusoma qur aan mungu awalipe kila lakheri ❤ amin
maa shaa Allah, wote Allah awaongoze katika nyia ya sawa
Maashaallah Haji yupo fiti hata Makhaariji llhuruufi yuko vizur
Mashaallah watu nyie wa maana sana hiyo ndio kheri inatakiwa
manara kaweza sana zaid ya sannah
Sas yeye si alikuwa mwalimu wa chuo
Bitiko yupo vizuri mno
Mashallah Manara ni mwalim anaweza kuongoza kundi la watoto wetu na tukapata wasomaji bora wa Qur-an tukufu
Toba toba toba!
Ma sha Allah
Manara maashaa allaah yuko juu
Mashallah manara ANAJUA sana wallah huyu ni Mwalimu kiongozi
Both they are good ❤❤❤❤
Mwijaku lafudhi bado haji yuko vizuri sana
kwenda ihdi nasiratwaah mustakeem bilaa Alhamdulillaah swamahaani
Manara ❤❤❤
Manara mashaallah
Unajuwa la manala kiboko😊
Haji manara kaitendea Haqi kila herufi tafkhimu zake zipo vizuri hawe wengine wamejitahidi
Wote harfu munazikata xn ila Manara amejitahidi zaid
Mashallah wote wamesoma vizuri ila Manara mahraja lhurufu yupo vizuri sana mashaallah,
Manara kaweza
Hajji amesoma vuzuri maashaallaah....lakini marembo ni mengi mpaka anaharibu. Kuna sehemu za kuibia tu namna Fulani ukisoma na sanuquriuka...wa abukaa...sikiliza utaelewa namaanisha nini
Sijawahi ku comment kama hivi ila nimefurahi MAASHALLAH KWA WOTE ila haji Yuko vizur zaidi Yao anajitahidi kuotowa makhrajil-khurufi maashallah Allah atujaaliye kwa sote tuwe watu WA Qur-an kuisoma vizur na kuifanyia kazi yaliyomo ndani yake
Ameen
Anko zumo Masha Allah sauti
ALLAH ALLAH ALLAH
Uyo wa tatu yupo juu kuliko wote awo
Bro Hajii umewafunikaa wote bilaa upendeleo
MaNala yup juuu san
Haji mwalimu achana nae kabisa yaaani
Wote mmefanya vizuri lkn kaka Haji kaua sauti sio kikwazo
Manara hukua nabwebwe ila hukmu unazijua
Anko zumo yuko sawa
Wamejitahidi ila haji manara anakitajidi kuliko wote hao haaaswa kwenye herufi kuzitamka ana kaaasilimia kidogo
Mwijaku
Anko zumo sema tu kasoma kipande kido sana ila yuko vizuri
Manara amesoma vzr
Manara ni mwalimu
Haji
Msikosowane.
Manara kawwza
Ww mwijaku mbna unapenda ugomvi kua hbu mtu mzima kila sku ww tu unaboa
Mwijaka anavuta sehemu nyengne hazivutwi
Manara safi and zumo
Manara yuko juu
Anko zumo ni msomaji mzuri kuliko waote
HAJI MANARA KAPATIA
Kumbe wanajua mola awaongoze atuongaze
Manara babalao
Manara kajitahid
Mwijaku hamna kitu..
Hapana hapo mwijaku amekosea
Sio arjii ni irjiii
Zeruzeru kaua
Jina lake haji sio zeruzeru
Wote mafirauni wakubwa
Shida manara mlevi
Hapo ni tatizo
Watu waliokulia kariakoo. Na vijana wengi waliolelewa hapo. Kko. Lazima wajue kusoma.