Acha upimbi anatakiwa akubali kuchakaza ndani Kisha atoke nje.kama hapo tz SI alibakisha mtu mmojatuu.ambae ni kiduku Sasa anashindwa Nini kumalizananae.... Alikua analetea mabondia wa mtaani kutoka nje na marefa pamoja na majaji wakamsapot kwa upendreo..
Leo hujalewa kaka,umeongea vizuri
Ukitulia huwa unaongeaga strong point
Umetumia neno NA mara nyingi sana
Nakuelewa Sana👊
Bangi huiwezi cku hizi bora uache
Namkubari sna brother sele ujawah kukosea unaturiza akili sana kwenye kuongea
Kumbe jamaa ni mtu makinisana akiwa hajalewa
Jee huyo kichwa kizima au ndio hivyo. Rafiki yake mkubwa sana... Mjombaaa vipi huyu. Taarifa katoa asubuhi au jioni.
Asingetetea mkanda kwa kupigana na mtanzania hakuna wa level zake
Acha upimbi anatakiwa akubali kuchakaza ndani Kisha atoke nje.kama hapo tz SI alibakisha mtu mmojatuu.ambae ni kiduku Sasa anashindwa Nini kumalizananae.... Alikua analetea mabondia wa mtaani kutoka nje na marefa pamoja na majaji wakamsapot kwa upendreo..