Ngumi ni sanaa kwahyo bondia anaweza kuwa na misimamo yake juu ya maslahi yake na ninyi kama mnalazimisha awasikilize ninyi kwa maslahi yenu mnakosea. Diamond yule pale amezaminiwa na Pepsi kwenye show yake akija coca hawezi kuwaruhusu hata wauze tu soda au maji. Ninyi mmemkosea sana Mwakinyo mnapaswa kumplz jambo liishe vzr
Mwakinyo yupo sahihi . Ww mzee huna hekima mtu kashakuambia kwamba apatani na mafia kwann ulazimishe , na pia umemzalau mwakinyo kusema mabondia wake hawajiwezi hata hao wakubwa walipewa nafasi kipindi hawana mashabiki
Kujitambua ni kususia ngumi kwa sababu ulipokonywa demu au ni kusimamia misingi ya uweledi "professional bases"? Yaani masuala binafsi yanaingilianaje na kazi ambapo maandishi hayasemi taratibu husika? Kuliko kumsifia na kumchochea ashike misimamo inayoweza kumrudi baadae ni vyema tumshauri apunguze mihemko ya mambo binafsi kazi isiathirike hizi ni biashara na ni maisha ya watu.
@@mckobatz5861kaka ahsante Kwa kuelewa Mimi sijui watz wakoje, wanasema Kwa mfano jamaa ana msimamo Mimi nimemuonea mtu ambaye ana uelewa mdogo Sana katika ngumi, na utawala wake Kwa haiwezekani uka personalize jambo kama hili mambo binafsi yanaingiaje katika professionalism pili Kwa anavyojinasibu nilitegemea atakuwa ana MTU anaweza kuongea nae, analeta mambo binafsi na Hana adabu
Ningeomba wanamichezo wa boxing kukataa huyu promota taperi ,,kwanza anapiga hela kwa ability boxing harafu anawapeleka mahakamani,mkataeni,hana hela keshi,anatafuta vikampuni uchwara vya uswahillni vitamins pambano,mwakinyo Ana brand kubwa hata asipopiganna ,aingie ukumbini watu wanajaa,boxing mkataeni huyoo taperi
Tujue kua mwakinyo ni Brandi ni promota pia analesini zake ana kampuni kwaihuwezikumweka sehem Moja nakampuni aliokosananayo umuweke men kad tujue nayeye anapro yake itwayo champez
Kwa mtazamo wangu sidhani kama mwakinyo anapigania njaa saivi anapigania brand..... So mzee izo story za nilimlipa nilimlipa hio njaa ya ivyo alisha amalizaga sana zamani
Kisheria hapo hakuna mkataba. Kusema tu kwamba mpinzani anakuja mwingine ambae hajaandikwa kwenye mkataba kisheria mmeshapuyanga...Sheria inasomwa ilivyo sio kwa kuongezea vilivyo kichwani kwako
Huyu mzee muongo sana hasara milioni 500 unashindwa kumlipa bondia dolla 20000 😀😀😀😀haya mambo profesa jay aliimba promota anabeep nakumbuka mapromota wa bongo flavour kipindi kile ,wamewafanya wasanii wengi wamekua mateja sasa mmekimbilia kwenye ngumi,bongo noma kweli.😂😂😂😂😂
kwa maelezo yako inaonyesha kabisa mlikuwa na makubaliano ya kushirikiana kuandaa hili pambano kati yako wewe na Mwakinyo. kwangu mimi Mwakinyo yupo sahihi kwa maamuzi aliyochukua
Sasa kama ukipitia maangaiko yote ayo ukishindwaje kuachana na udhamini wa mafya (ulilazimika kutowatoa mabondia wa mafya maana ulikuwa na na mkataba)acha janjajanja mzee
Sasa na wewe unampangiaje promota Cha kufanya wakati pesa umeshachukua si tamaa izo atakuja kufirwa uyo mwakinyo wewe umeshachukua pesa sponser usimpangia watu wanaenda kwa mkataba anko
Mzee nimekuelewa saaana….. biashara na mambo yako binafsi wapi na wapi? Mara oooh, kiatu wamenibadilishia mara glove mara kiatu kimenibana…..leo anasema mtu sielewani nae….kwakweli mwakinyo ni mtu wa mipasho…… Sasa kama inafikia hatua kaka yako tumbo moja hamlewani wewe c, mtihani
Wewe hustahili kuwa promota umebebwa kwasababu ilukuwa ni mipango ya kumharibia Mwakinyo. Wewe ndio umeharibu mkataba kwakuweka mambo yaliyokuwa nje ya mkataba. Ungekua unahitaji kushirikiana na Mafia mungekwenda nyote na Mwakinyo asaini mbele yenu nyote kuonesha kuwa amekubaluana na hapo angekataa baadaye angekuwa na kosa lakini umeweka ulaghai ktk mkataba. Unaposwma barua rasmi, kwani una barua rasmi ya Makubaliano kati ya Mwakinyo , PAF na Mafia? Kama nchi hii ni yenu wewe Mafia na Mwakinyo? Maandishi hayo unayoyaonesha yalikuwa hakali mwanzoni lakini sasahivi ni batili. Halafu Kwani Mafia ni mdhamini au Promota?Hayo maneno ya kunyang'anywa mwanamke yapo kwenye maandishi? Mbona ya mwakinyo unataka yawepo kwenye maandishi? Hao walioahirisha kuja kwasababu mwakinyo hapigani ni kiekelezo tosha cha ukubwa wa Mwakinyo.
Jamani huyu mtu alishawakataa hao watu Kuwa hawataki na alimwambia huyu Mzee mapema naalimwambia Kuwa hao watu walisha kosana huko Tanga na matatzo makubwa hivyo asitafute utetezi
@@gwajimagwajimanakupa mfano mdogo tu kakutombea mkeo na mwanao kike na unajua ukamfumania halafu anatafuta kazi na wewe upo kwenye jopo la usaili. Vipi mtu huyo utampitisha kwenye huo usaili mufanye kazi pamoja kwenye ofisi yako na kuweka pembeni matatizo yako binafsi?
Mzee anajitahidi kujisafisha lakini bado anajikandamiza mwenyewe bora angekaa kimya wakayamaliza . Promota matapeli tunachohitaji nyie mlikubaliana nn kuhusu mwakinyo pro na promotion yenu
Ni kwanini mwakinyo hakucheza pambano tatizo ni wewe mshenzi unatamaa sana acha unafiki acha tamaa mandishi baki nayo mshenzi mbwa,kungunguni ww mahaka ma angalieni hilo
MWAKINYO ANAHARIBU SANA HATAKAMA YUKO SAWA HUYU MZEE AU MWAKINYO YUKO SAWA ANAHARIBU KUSEMA (MIMI NIMEKOSANA NA NDUGU YANGU HATA AKIFA SISEMI NAE DUH😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 NDUGU YANGU MUISLAMU MWAKINYO TAFADHALI MUOMBE MSAMAHA NDUGU YAKO ILIUPATE REHMA YA ALLAH
Ww kazi yako ndio kupromot nothing else,hassan kazi yake ni kupigana nyote mnalinda brand zenu so acheni ushamba kuchafuana huu mchezo still bado mnajitafuta vp kila siku uchafu tu tena hadharan huo ni ushamba sana...
Huyu mzee ni muongo alafu hiyo voice note inamfunga unayefanya naye biashara kashakwambia hawezi kufanya biashara na mtu aliyemfelisha kimaisha sasa iweje usimsikilize
Mzee acha uwongo voice note 100 unafta ndani ya sekunde moja tu sasa mtu anafta ukamuita mtu akusetie si nusuu nzma apo imetmika sasa voice note 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂acha uwongo
hakuna mtoto mkubwa akamzidi mzazi, Hassani Mwakinyo ni mchezaji kama walivo wengine na anatakiwa kufuata taratibu na kanuni za mchezo no matter ana jina kubwa au laa,kwa hili achukuliwe hatua ili apate akili na kiburi kimshuke na iwe fundisho kwa wapuuzi wengine kama mwakinyo....
Hakuna bondia hapo
Kwani kakwambia nibondia wako😂 tulia yule anamsimamo wake
Ktk maisha Kila mtu anamsimamo wake binafsi mwakinyo yupo sahihi Sana Ila Kama huna ajili huwezi elewa
Mzee umekoseya uripaswa kumshika mkono siyokufosi kwamtu ariye mgombanisha nandunguyake siyosawa kwahiro mungu hamsamehi anaye sababisha hawerewani siyosawa
Aukuwa serious boss tamaa zimekuponza,wewe ndo umevuruga pambano, usisahau sheria msumeno
Amevuruga pambano au amevuruga mkundu wako 😅
😂😆😅😂tanzania bado sana jamn, mambo gani haya sasa
Mwakinyo sio tu bondia... ni Mkurugenzi wa Mwakinyo Pros kampuni ya ngumi ambayo mlikuwa mna ubiya kuandaa hilo pambano... acha sanaaa babu
Wauza unga wapo kazin
Apelekwe tu kortini Ghana!
Hapo kwenye hasara sasa duh 500mil wakati dola 20000 huwez kulipa hata uwanja wa taifa ukujaa huwa hawafikishi mil 580
Mwakinyo yupo sahihi
Promoter uko sahihi ,wanaokupinga ni wapuuzi tu.
Jicho la kushoto la huyo jamaa linacheze cheza ovyo ovyo
Mjomba usicheke kilema cha mtu
Usiongee hivyo ndugu, siyo vyema ndugu yangu.
Mwakinyo jifunze kusamehe saba mara sabini iyo misimamo sio mizuri flan simtaki flan simtaki si mizur katika maisha ❤ nakupenda
Apelekwe tu kortini bana.
Mwakinyo acha maringo,,kwastaili iyo watu wameuza pambano liiiileeee la ulaya
STRAIT KAWEKA KAFUNGA NDOA,STRAIT KAWEKA MIMBA.KUNA WATU WANA SHABAHA KWELI KWELI😊
Ngumi ni sanaa kwahyo bondia anaweza kuwa na misimamo yake juu ya maslahi yake na ninyi kama mnalazimisha awasikilize ninyi kwa maslahi yenu mnakosea. Diamond yule pale amezaminiwa na Pepsi kwenye show yake akija coca hawezi kuwaruhusu hata wauze tu soda au maji. Ninyi mmemkosea sana Mwakinyo mnapaswa kumplz jambo liishe vzr
Champez niko pamoja na wwe
Una bondia apo bondia gani anachagua wakucheza nao
Kumbe ndo maana Mandonga huwa anamponda kwamba anashinda kimchongo!
Mwakinyo yupo sahihi . Ww mzee huna hekima mtu kashakuambia kwamba apatani na mafia kwann ulazimishe , na pia umemzalau mwakinyo kusema mabondia wake hawajiwezi hata hao wakubwa walipewa nafasi kipindi hawana mashabiki
Kimsngi mzee unakurupuka sanaa kwaerezo yako tu hauko sahh huwez kumrazimisha mtu
Umejifanabisha iyo siyo picha yako
Yupo sahii
Sana Sana boxer ndugu yetu anakaa kijajanja
Duh hatuna bondia hapa,tuna dramatic man.
Hapo wote mnaonekana ni wajanja watupu Sasa mmekutana,,
Nadhani mwakinyo
Amesha jitambua
Anaelewa professional boxing
Sio kuburuzwa buruzwa
Na wajanja kufaidika
Nadhani utakua mfano mzuri
Kujitambua ni kususia ngumi kwa sababu ulipokonywa demu au ni kusimamia misingi ya uweledi "professional bases"? Yaani masuala binafsi yanaingilianaje na kazi ambapo maandishi hayasemi taratibu husika? Kuliko kumsifia na kumchochea ashike misimamo inayoweza kumrudi baadae ni vyema tumshauri apunguze mihemko ya mambo binafsi kazi isiathirike hizi ni biashara na ni maisha ya watu.
@@mckobatz5861kaka ahsante Kwa kuelewa Mimi sijui watz wakoje, wanasema Kwa mfano jamaa ana msimamo Mimi nimemuonea mtu ambaye ana uelewa mdogo Sana katika ngumi, na utawala wake Kwa haiwezekani uka personalize jambo kama hili mambo binafsi yanaingiaje katika professionalism pili Kwa anavyojinasibu nilitegemea atakuwa ana MTU anaweza kuongea nae, analeta mambo binafsi na Hana adabu
Sasa huyu mzee haya mambo ya mwanamke mbona Mwakinyo hajaongea! Huyu kweli alikuja kugombanisha sio kupromote
Ningeomba wanamichezo wa boxing kukataa huyu promota taperi ,,kwanza anapiga hela kwa ability boxing harafu anawapeleka mahakamani,mkataeni,hana hela keshi,anatafuta vikampuni uchwara vya uswahillni vitamins pambano,mwakinyo Ana brand kubwa hata asipopiganna ,aingie ukumbini watu wanajaa,boxing mkataeni huyoo taperi
Mumechemsha sana na mukienda mahakamani atakunyoosheni
Kivipi nisaidie atawashindaje
Tujue kua mwakinyo ni Brandi ni promota pia analesini zake ana kampuni kwaihuwezikumweka sehem Moja nakampuni aliokosananayo umuweke men kad tujue nayeye anapro yake itwayo champez
Kwani mkataba aliingia kama kampuni au kama bondia?
@@contempo_builders hapo ndo panaufafanuzi kwenye chama Cha ngumi
Mkienda mahakamani atawauliza me nilipaswa kupigana na nani??
Nani aliyepropose mabadiliko ya bondia kati ya kampuni na yeye?
Kanuni za ngumi znaruhusu kubadili opponent
@@eliaskasambala3408kanuni zinasema unaweza kubadili mpinzani ndani ya muda gani
Hujui ngumi n mikataba usipende kukariri
Mwakinyo analeta uswahili katika mchezo ambao tayari ulishaqnza kupendwa na mashabiki na wadhamini kuvutiwa na kuanza kuwekeza fedha nyingi.
Mzee kila mtu kamkataa basi si ungeomba upige nae gem tuone izo dollars 9000 ujinyakulie mwenyewe. 😢😢
kwann unaongelea mwanamke ongelea tatizo nini bila kutaka mwanamke pili haujatuonesha mkataba wa Indogo acha janjajanja
Acha tamaa promota
Kwa mtazamo wangu sidhani kama mwakinyo anapigania njaa saivi anapigania brand..... So mzee izo story za nilimlipa nilimlipa hio njaa ya ivyo alisha amalizaga sana zamani
Mwakinyo mwamba sana amumuwezi
Nipo nawewe mwakinyo
Mwakinyo yuko sahihi
Nyinyi uzeni unga tu
Kisheria hapo hakuna mkataba. Kusema tu kwamba mpinzani anakuja mwingine ambae hajaandikwa kwenye mkataba kisheria mmeshapuyanga...Sheria inasomwa ilivyo sio kwa kuongezea vilivyo kichwani kwako
Tapeliiii mkubwa weeee
Uyu mwakinyo choko xn na sasa hv atutaki habari zako maan analeta ushoga tuh bora tukomae na madonga mtu kazi anatupa burudani xafi tuh
Huyu mzee muongo sana hasara milioni 500 unashindwa kumlipa bondia dolla 20000 😀😀😀😀haya mambo profesa jay aliimba promota anabeep nakumbuka mapromota wa bongo flavour kipindi kile ,wamewafanya wasanii wengi wamekua mateja sasa mmekimbilia kwenye ngumi,bongo noma kweli.😂😂😂😂😂
Kuna gharama za maandalizi apo kwanza ata bei ya mkanda tu umeisikia kweli
kwa maelezo yako inaonyesha kabisa mlikuwa na makubaliano ya kushirikiana kuandaa hili pambano kati yako wewe na Mwakinyo. kwangu mimi Mwakinyo yupo sahihi kwa maamuzi aliyochukua
Ataje mmbo mbaya akuambie we inakuhusu nni
Mjanja mjanja sana Mwakinyo ila wakishamba
Sana kaka
Knachokulalamisha ni nn acha tupambane
Sasa kama ukipitia maangaiko yote ayo ukishindwaje kuachana na udhamini wa mafya (ulilazimika kutowatoa mabondia wa mafya maana ulikuwa na na mkataba)acha janjajanja mzee
Sasa na wewe unampangiaje promota Cha kufanya wakati pesa umeshachukua si tamaa izo atakuja kufirwa uyo mwakinyo wewe umeshachukua pesa sponser usimpangia watu wanaenda kwa mkataba anko
Huo mkataba unahusu mwakinyo na okwiri na sio mwakinyo na indonga sasa ukienda mahakaman nani atashinda kesi
Wanamchafua mwakinyo tu
Mzee nimekuelewa saaana….. biashara na mambo yako binafsi wapi na wapi? Mara oooh, kiatu wamenibadilishia mara glove mara kiatu kimenibana…..leo anasema mtu sielewani nae….kwakweli mwakinyo ni mtu wa mipasho…… Sasa kama inafikia hatua kaka yako tumbo moja hamlewani wewe c, mtihani
Yaan ww karigo ni boya mtu unayeshirikiana naye kibiashara kasha kwambia hawaelewan ww ukofosi sasa nani mwenye tamaa hapo
Poromota unamakosa yakukiuka makubaliano. Hivyo wewe ndiwe uliyesababisha haya yote. Ukwel nikwamba mwakinyo amenyooka. Icon yetu yatz nimwakinyo.
Je hayo maandishi mnayo ya huyo bondia wa pili mliemleta
Aliomleta yy,aliomchagua yy,maana anachagua mabondia kaa nguo
Dogo kachukua kàoa kalenga ,duuh!
Mwambiki mwakinyo alejesha hizo ps alizochkuwa
Kayakanyaga
Wewe hustahili kuwa promota umebebwa kwasababu ilukuwa ni mipango ya kumharibia Mwakinyo. Wewe ndio umeharibu mkataba kwakuweka mambo yaliyokuwa nje ya mkataba. Ungekua unahitaji kushirikiana na Mafia mungekwenda nyote na Mwakinyo asaini mbele yenu nyote kuonesha kuwa amekubaluana na hapo angekataa baadaye angekuwa na kosa lakini umeweka ulaghai ktk mkataba. Unaposwma barua rasmi, kwani una barua rasmi ya Makubaliano kati ya Mwakinyo , PAF na Mafia? Kama nchi hii ni yenu wewe Mafia na Mwakinyo? Maandishi hayo unayoyaonesha yalikuwa hakali mwanzoni lakini sasahivi ni batili. Halafu Kwani Mafia ni mdhamini au Promota?Hayo maneno ya kunyang'anywa mwanamke yapo kwenye maandishi? Mbona ya mwakinyo unataka yawepo kwenye maandishi? Hao walioahirisha kuja kwasababu mwakinyo hapigani ni kiekelezo tosha cha ukubwa wa Mwakinyo.
Mwakinyoo wewe ni kengeeee kabisaaa
Aendelee kua mgangaa
Jamani huyu mtu alishawakataa hao watu Kuwa hawataki na alimwambia huyu Mzee mapema naalimwambia Kuwa hao watu walisha kosana huko Tanga na matatzo makubwa hivyo asitafute utetezi
Aliwakataa kwenye mkataba au kwenye nini?
Mzeee hana jipyaa
Hiyo biashara ,usichanganye biashara na maswala yako bunafsi
@@gwajimagwajimanakupa mfano mdogo tu kakutombea mkeo na mwanao kike na unajua ukamfumania halafu anatafuta kazi na wewe upo kwenye jopo la usaili. Vipi mtu huyo utampitisha kwenye huo usaili mufanye kazi pamoja kwenye ofisi yako na kuweka pembeni matatizo yako binafsi?
@@rogertuga007 Kwa hiyo yy katombewa sio ?kama anafaa apewe kazi halaf ww uliotombewa ondoka maana kutombewa kwako hauhusiani na maswala ya ofisini
Kiburi si maungwana
Maelezo ya promota yanaonesha wazi kabisa alikuwa na nia ovu sana...
Akili huna
Upo sahihi huyu promoter mwiz
Mzee anajitahidi kujisafisha lakini bado anajikandamiza mwenyewe bora angekaa kimya wakayamaliza . Promota matapeli tunachohitaji nyie mlikubaliana nn kuhusu mwakinyo pro na promotion yenu
Watu wa michezo hasa waratibu wamejaa migogoro migogoro kinoma ndio maana hatuendi mbali..
Ni kwanini mwakinyo hakucheza pambano tatizo ni wewe mshenzi unatamaa sana acha unafiki acha tamaa mandishi baki nayo mshenzi mbwa,kungunguni ww mahaka ma angalieni hilo
Promota wezi saana hawa jamaa
Hapo Mwakinyo Amefanya Nini Sasa Mbona Amema Ualisia na Co Kama Unavyo Sema wewe Mzee We Mzee Jau
Kutombewa kunamchanganya😅
Huyu mzee anatumiwa na wabaya kumualibia mwakinyo namng'ata sikio kw hilo kafeli mshamba pigana wewe
Mkataba huo auhusiani na pambano la pili hauna jina la mzambia
halikuwa hapigani na mzambia...
Huyu jamaa kama mbele ya vyombo vya habari anaongea hivi, akiwa huko pembeni je inakuwaje?
MWAKINYO ANAHARIBU SANA HATAKAMA YUKO SAWA HUYU MZEE AU MWAKINYO YUKO SAWA ANAHARIBU KUSEMA (MIMI NIMEKOSANA NA NDUGU YANGU HATA AKIFA SISEMI NAE DUH😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 NDUGU YANGU MUISLAMU MWAKINYO TAFADHALI MUOMBE MSAMAHA NDUGU YAKO ILIUPATE REHMA YA ALLAH
Ya hasemi nae kwa sabbu huyo mafia ndio kasababishaa
Tatizo sio yeye kwa kauli inaonyesha wamegombanishwa na inawezekana kaka yake ndio hataki kumsamehe
Kwenye mchezo ndyo sehemu sahii ya kuombana msamaha mwakinyo ana shida
Ww kazi yako ndio kupromot nothing else,hassan kazi yake ni kupigana nyote mnalinda brand zenu so acheni ushamba kuchafuana huu mchezo still bado mnajitafuta vp kila siku uchafu tu tena hadharan huo ni ushamba sana...
Mwakinyo hapigani akale wewe njaaa
Usenge tu press gani haina maswali?mzee amekomaa mwanamke mwanamke si uongelee point mambo personal tena ya kuskia yanakuhusu nn?
Kargo njaa yako mbaya haufai ndio maana uliwahi kulikoroga pale yanga kwasababu ya njaa yako
Acha ujinga wewe!
Huyu Mzee Inaonekana ni tapeli
Yan km umeshindwa kumuelewa huyu jamaa ,,bas ww n mjinga
@@rahimsadru-ct4ot na wewe ndio Unaweza kuwa mjinga wa kutupwa kwa kushindwa kufikiria nje ya boksi
Hakika Hassan amekosea sana
San jmni
Huyu mzee ni muongo alafu hiyo voice note inamfunga unayefanya naye biashara kashakwambia hawezi kufanya biashara na mtu aliyemfelisha kimaisha sasa iweje usimsikilize
Mkataba unasemaje?
Mzee acha uwongo voice note 100 unafta ndani ya sekunde moja tu sasa mtu anafta ukamuita mtu akusetie si nusuu nzma apo imetmika sasa voice note 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂acha uwongo
Mzee huna Sera unamakosa uwezi kuwakutanisha mtu na adui yake hata Kama ungekua wewe
Huyu mzee choko katumwa
Ila mwakinyo shida
😂😂😂 Karingo Godson Karingo
Mwakinyo akamatwe apigwe fimbo 1000
Wewe mzee unarohombaya fikilia ingenue wewe unauwadui namtu alafu unambiwa ufanyenae kazi ofisini kwako ungekubali?.wewe mtumzima tena unawatoto kama mwakinyo punguza rohombaya
Mnafik huyu mzee
Hassan Mwakinyo
1.Ana roho mbaya sanaaa
2.Mshamba
3.Elimu yake ya darasa la saba inamtesa sanaaa.
4.Anna uanamke mwingi
Umesahau no. 5 Mswahili
No6 mgaigai
😂imeisha iyo
Mzee kubadili to jina ushajiloga nenda polisi haraka
Huyu Mzee inaonekana ni tapeli
MANDONGA ALISHASEMA SIKU NYINGI HASSANI NI BONDIA WA MCHONGO! NA KUMBE NDIO MAANA KULE UINGEREZA ALISINGIZIA KUIBIWA BEGI KUMBE NI MCHONGO!
Kaka yako huzungumzi nae! Kweli wewe kilaza.
Mwakinyo ni shoga lile
hakuna mtoto mkubwa akamzidi mzazi, Hassani Mwakinyo ni mchezaji kama walivo wengine na anatakiwa kufuata taratibu na kanuni za mchezo no matter ana jina kubwa au laa,kwa hili achukuliwe hatua ili apate akili na kiburi kimshuke na iwe fundisho kwa wapuuzi wengine kama mwakinyo....
Agiza alkasusi naja kulipa
Mwakinyo is understandable
Mwakinyo yupo kwenye sheria bondia aliye kuwa nae kwenye faiti akutokea
Yaani hata kaka ako huongei nae? Ujinga kabisa
Unajua sababu au unajiongelesha? Watu hawaongei hadi na wazazi wao sembuse ndugu