Yaani utajiri wa nguvu za giza siyo kama ule wa halali was nguvu za giza unakuwa tajiri lkn ni tajiri asiyekuwa na furaha wala amani Mara kafara za damu za watu hasa wa karibu yako na wale uwapendao ,kuishi na misukule mara kuishi na majoka yaaani hata maana ya kuwa tajiri inakuwa haipo
Tulio sikiliza 2024 like tujuane
Mimi ndio nasikiza saiz
Dada velo una sauti nzul sana mwenyezi Mungu azidi kukupigania na kukupa nguvu uzidi kutuelimisha
Utajiri wa hivyo siutaki bora niwe masikini kwa kweli
Ila magdalena ana cha kujibu kwa Mungu😢
Yaan we mdada mm huwa napenda saut yako 💕
Mungu atunusuru
Allah atunusuru,
Nashukuru sana sister veronica,Mungu akubariki sana
Duuuh nitapambana na umasikini wangu lakn tamaa zamali hapana 😢
Namba 11,asante mpendwa kwa kutuletea simulizi nzuri na zenye mafunzo ktk maisha yetu
Matajiri Wana siri nzito vifuani mwao
Bora niwe masikini milele kuliko kua mtumwa
Yaani utajiri wa nguvu za giza siyo kama ule wa halali was nguvu za giza unakuwa tajiri lkn ni tajiri asiyekuwa na furaha wala amani Mara kafara za damu za watu hasa wa karibu yako na wale uwapendao ,kuishi na misukule mara kuishi na majoka yaaani hata maana ya kuwa tajiri inakuwa haipo
Mhh kweli hatar tupu nakwambia
Nakwambia hatar huu utajir aaaa kwa kweli mhh Bora ukae masikin utajir unamasharti kwa kweli
Mdogoangu tumbo moja apanaa
Namba 1
Bora nibaki kweny chumba kimoja kuliko utajir wa hvyo
Bora kuwa maskini kuliko kuishi maisha hayo
No 3
No 2
No3
Jamani😢
Namba 4
Bora nife maskini kuiko niuwe mtoto wangu ninaempenda apan kwakweri cjawai ata kuwaza😢
Duh😥
🙆♀️🙆♀️
10
😭😭😭
Je hii ni hadiths au history ya ukweli
ni stori ya kweli uhalisia wa maisha ya magdalena