Highlights | Azam FC 4-0 Zimamoto FC | Mechi ya Kirafiki 12/07/2024
Вставка
- Опубліковано 11 лип 2024
- Magoli mawili ya Feisal Salum dakika ya 34 na 58 na mawili ya Jhonier Blanco dakika ya 37 na 82 kwa penati yameipa ushindi wa 4-0 Azam FC dhidi ya Zimamoto katika mchezo wa kirafiki uliopigwa leo kwenye Dimba la Amaan, Zanzibar.....
- Спорт
Timu yangu Azam FC niko hapa karibu na uwanja wenu nawakubali sana. Ila kwa vikosi wanavyoandaa wapinzani wetu Simba na Yanga mwaka huu ni hatari tuongeze quality nyingine na tutafute timu kubwa kidogo.
fei anakula vizurii siku hizi kule alikuwa anakula ugali sukari 😂
Azam fc tafuteni team bora zaidi ya hii kujipima nayo
Naikubali cn azamu
Fei jitaidi kukata tumbo la si ivyo utakua tajir mwenye team
Desbest player faysal
FEISALI ana kitambi
Yanga kulikuwa na njaa ndio maana alikuwa amekoooonda
Acha ushamba yanga kuna njaa ya babako
Djuma shaban alinenepa kwenu mchezaji anatakiwa kumaintain shape kwa mazoezi sio sifa kuwa na kitambi kama safura pimbi wewe
My we humkubalitu
Namba 9 tunae 🎉🎉🎉🎉🎉 ligi ianze sasa
Sasa uyu fei mbona kitambi kinazidi tu jamani 😢
Jamaa kama dube
Mbn Sauti Hamna
Hv hata APR itakuwa kazi kuwafunga
Kwa huyu blanco mm nishamsahau dube
😂😂😂 utamkumbuka ligi ikianza
Kwani video imechukuliwa na simu, mbna mnatuonyesha giza ama mko unga
Feisal inamaana Azam wamekupa mikate hadi ume vembewa😂😂😂😂
Mumevaa jezi kama simba ila hamna mpango wowote
Dah? Kweli dogo anakitambi dah? Ngoja abweteke tu kazi ndo inaishia hivyo
Basi Fei anajiona staaaa😂😂😂😂
Sema fei kama ana kitambi fulani hivi
Iv Zanzibar soka limeenda wapi ,mbona timu mbovu mbovu tu,inakera sana Yani ,misingi ya soka ipo ila mafanikio sifuri
Halafu ndo kombe la muungano limerudi Zanzibar tutakuwa tunashika mkia
Mpira ni pesa baba hakuna misingi yoyote zaid ya pesa.. Timu moja ya bara inawazaamini sita... Wakt tim za znz hazina mzamini hata mmoja
Dube wanini tena!
Mbn feisal ana tako
🤓
We huna
Azam tafuten timu ya kujipima zaidi sio zimamoto yanga na simba ni moto
Zimamoto sio wabovu kbs lkn
Hhhhhhhhhh ww ni zima moto nini
Feisal mtuwmaan anakitamb
Fei akikajuu tu kitamb
Feisal sasa basi hana mazeezi
Mbn wamevaa nyekundu ili wajue wameifunga simba wawe wamelipa kisasi
Ni xavi mtupu
apr haooo wamefika
Mbona Feisal ana kitambi?😢
Siku izi hali ugali na sukari😂
Kwan wana kataza
@@manfuture_ Hivi unakuwaga mjinga hivi au unaigiza?
Munampa kichwa kumtaja taja fanyeni kama hajuikani vilee tuendelee na mengine
Apo sasa shida sijui ni nini
Simba toeni hela tumchukue Feisal...
Tumpeleke wapi