UMRAA - PART 02
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Umraa yupo katika wakati mgumu na kuamua kufanya maamuzi ya kutaka kujiua, lakini kuna mtu anakuja kumsaidia na kwenda nae mjini, huko mjini anapata kazi kwenye familia ya kitajiri sana, kumlea kijana ambae ana matatizo ya akili, kwabahati mbaya wanajikuta wakivunja sharti ambalo Baba wa huo mji alimtaarifu Umraa mapema saana, kitendo hicho kikasababisha miradi yoote ya hiyo familia kuteketea ndani ya lisaa limoja... Je kwanini alipewa hilo shariti? na kwanini baada ya kulivunja hilo sharti miradi yoote ya familia ikateketea? adhabu gani atakayopewa Umraa??
Ni simuliz tamu sana na kusisimua... ungana nami LUCAS LUMBASI katika sehemu hii ya pili mpaka mwisho
Kama umependa simulizi zangu usisahau ku subscribe katika channel yangu kwa simulizi zitakazo kukuburudisha, kuelimisha. Pia Tembbelea kurasa zangu za mitandao kajamii
INSTAGRAM: / lucaslumbasi_tz
FACEBOOK: / mrlumbasi
TIKTOK: / lucaslumbasi
Jaman njoon huku kitu kimetoka tusikilize Asante lucas maua yako mapema🎉🎉🎉🎉
Asante Lukas kwaajili yako tunaburudika, Mungu abariki kazi yako
Histoire nzuri
Wapili nimewai❤🎉🎉🎉
Kaxi kweli bibi watatu nabado unaoa tuu hata nguvu zakiume zimeisha lkn kuchafua mtuu jamani sikuxote wake wakubwa wengine wako nautu naalijua huyu dada ataangukiia mume mxuri tuu nahisi nihuyo kijana tairaa
Kusema ukweli hii,simulizi sielewi kabisa,yaenda mbele ikirudi nyuma,mwanzoni ilikua ikieleweka,Alafu umraa usichokielewa nn hapo,na uliolewa ukiwa na 15 yrs
Pole Rose ni mistake kidoogo ya mwandishi... lakini inaeleweka vzr tu mumy... swala la miaka lisikuchanganye kwenye kisa cha simulizi
😂😂😂😂😂😂 uwiii umasikini mbaya yani unalea jitu alafu unaambiwa mtoto khaaa😂😂😂😂
Daah Yani tamu hii simulizi Pamoja sana anko Lucas ❤❤❤tuko pamoja
Makubwa nimeyatimba😂😂😂😂😂😂😂😂😂duuuuh
Wa kwanza leooo like zanguuu
Hongera yako my❤🎉🎉
Asante
Waooo shukran sana ❤❤❤😂😂😂😢😢😢😢🎉🎉🎉🎉
Wow nimependa jinsi ulivyoimba hio birthday song.....tamu saaana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Umràa kavunjaa Mikoo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Imenogaa Shukran sanaa Brother Lucas
❤❤❤
Hongera kaka simlizi zko zasisimua ❤❤❤❤
Lucas lumbasi nice job ❤❤
Maskini umraa❤simulizi kali jamani ❤
Shukran ndugu Lucas kwa muendelezo wetu we love you ❤❤❤❤
Duuh mtukasha balehe kbc siatari hyoo umraa mbona kazi unayo😂😂😂❤🇴🇲🇴🇲
nzur jaman na inamafunzo
Mali ya shatani si halali hari kuwa na mungu Lakini si shatani asente Sana Lucas lumbasi pendo la mungu kwako
❤❤❤🎉🎉🎉
Tayari muzigo ❤️
Kweli huyu binti mjinga hajielewi maskini uoga utakuponza
Jamani hii simulizi hata sielewi part 1 alipofikisha miaka kumi na saba alivyunja ungo kabla ya mama vodi kufariki pale alipomwambia ndo mda wa kuondoka pia alipokuwa akinenepa na kupanuka sasa inakuaje huku ajavuta ungo bado eti ana miaka kumi na sba wakati nyuma aliolewa akiwa na miaka 15 na amekaa miaka miwili kabla ya mke mkubwa kufariki sass inakuaje huku ana miaka 17 au ndo hadithi muandishi anajisahau 😂😂😂😂
Shammy jaman hiyo ni mistake tu ya mwandishi🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹🥹
Ndio nikwasababu yahayo mapenzi yaliyo fanyika
Jamani UMRAA kavunja sharti na baba mwenyenyumba alimwambiya, ila arifanya vizuli kuwaumbuwa ngoja tusubiliye part 3 ili tujuwe itakuwaje, chezea mashariti wewe looooooh wameyakoroga haswaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Crack ndio utajiri wenyewe 😂😂 hilo ndio zindiko lao,umraa kashalivunja,by the way amefanya poa,hapo kamkomboa crack kwenye matatizo
😂😂Baba c alimuweka mwanae kitega uchumi😂😂wamevunj sharti
Jamani nimecheka Hadi machoz analia Kama mtoto wa miaka5 eti nimeyatimba jamani si kwa kutuchekesha huko
Waoooooo❤❤❤❤❤
Duuh mzee amepatikana 😂
Umrah kushaharbu mashart ushatia wtu umaskin hlfu unakimbia 😅😅😅😅😅crack atazid kuw kichaa
🔥🔥🔥🔥
❤❤❤❤❤❤kwa kweli hii ni zur sana🎉🎉🎉🎉
Kwa kweli ni nzuri mnoo
Utamu juu ya utamu wallah
Mzee kimemramba aibu unamtumia mwanao kufanya zezeta ili utajirike SubhannaAllah
Asante lucas
makubwaaa nimeyatimbaaa😅😅😅😅😅😅
Ndo naanza kusikiliza ila natamani vodi aondoke nae Ummy
Nmependa hapo mwisho😅😅😅
Pengine huyo crak alikua akifanya mapenzi wana filisika basi usitucheleweshee
Umraa amearibu kila kitu kwa kufanya mapenzi na kitenga uchumi chao
Kuna kipande kimerukwa kusomwa,inaonekana huyo Crak alifanywa kuwa hivyo makusudi ya kupata utajiri kwa sharti la kutofanya mapenzi na mwanamke najaribu kuwaza tu
Non c'est une problème technique.
❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kiukweli huku mwisho lucas sielewi mbona simulizi inaenda mbele na kurudi nyuma
Ila kweli Dikckson ni shida zaidi ya shida yaani hata kweli walio sema kuwa ni heri kumfadhili mbuzi kwani utakunywa supu kuliko kumdhamini mwanadamu hawakukosea kwani kama mzee maula alimsikia mkewe haya yote hayangemkuta wala kumfikia ,pia Rania nae dharau zimemponza na atajutia mnoo kwa maamuzi yake kumdharau Rashidi kwa mali na hela alizo nazo ,Ila sio kitu kwa mwanamke kuwa ndie mwenye kipato kikubwa kuliko mwanaume kwani mwanaume huwa kama umbwa tuu mlangoni ila sio mme
Asante lukasi ila ckuiz unaruka ruka vipengele,unachanganya vpengele😢
Leo ni 11😅
Sababu yote ni umraa kufanya mapenzi
Mbona Luca unachanganya changanya vingine hata havieleweki
😅😅😅
Nice story be blessed my wetu kipenzi twakupenda pia tena sana atutakosa,wewe tena kwa uwo utaaamu unaotulisha chakula cha ubongo sauti taamu tukose aisee ni ngumu kukosa simulizi zako ubarikiwe sana kaka yetu Lucas Lumbasi tuko pamoja ❤❤❤🎉🎉
Kitendo cha Umraa kufanya mapenzi na Clark ilienda kinyume na masharti ya mganga kuhusiana na utajiri yao. Can't wait sehemu ifuatayo.❤❤❤❤
Jack jaman nani kakuambia umwage mchele kwenye kuku wengi😅😅😅😅😅... anyway umeBet tu... sawa usikose kesho kwa uwezo wa Mwenyezi-Mungu
Much love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI inshallah
Nzir San ii jamn❤❤❤❤
Sasa wewe Imraa ulisahau Kama Kuna kamera
Hay Santee mkaka mwenye sauti yake town ❤❤haichoshi ❤
God bless 🙌 🙏 ❤️ 💖 ✨️
Very stor so much ❤❤
Hao wazaz wajinga nae umraa mpuuzi sana anashindwa kutoroka kwenda mbali
🤔🤔🤔😳😳😳❤❤❤
Pia mm nimefika mapema
Nice
🎉🎉❤
Asante lukas❤❤❤❤
sangp jamn inaendele
Asante luka wetu
Walimueka crack kiti Cha majini asilale na mwanamkeiliwapate utajiri Sasa kitendo chakulala na Umraa ndio kikasababusha Mali zao kuharibika
❤❤❤❤❤🎉
Kijijini kule sialivunja ungo jamani ndo akaanza kupewa dawa au sijasikiliza vizuri
Ndio namim nikiskia hivyoo au skuskia vizur pia, hapo kajichanganya mwandish ila nikaz ngumu sana wanajitaid hata ivo
Ungo kavunja mara mbili 😂
Clack alitolewa kafara...
Na hiyo sex Ndio imevunja ma sharti
Walimtowa kafara Sasa mashart yame vunjila
inamaanish hata hiyo hali ya mtoto wao nikwasababu ya mali
Asante 🎉❤
Tuma araka
Ndio sex ili coast hasara kubwa ila kama MUNGU kaamuwa kumponya crack kupitia ummra basi hata wafanye nini haeataweza kuwatenganisha
Ilisababishwa na sex 😅😅😅❤❤🎉🎉🎉
❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤