SIMULIZI MPYA- UMRAA..
Вставка
- Опубліковано 13 гру 2023
- Umraa ni binti anaeishi kijijini na wazazi wake, ni familia ambayo ilikuwa inapitia hali ya umaskini, lakini kutokana na tamaa ya Babaake anamuozesha Umraa kwa mzee mwenye watoto zaidi ya 30 na yeye akiwa ni Mke wa nne kwa mzee huyo... changamoto alizokutananazo kwanza alisingiziwa yeye ni mchawi na pia aliishi maisha ambayo wake wenza walimfanyia vituko kila kukicha.... ni simuliz tamu sana na kusisimua... ungana nami LUCAS LUMBASI mpaka mwisho
Kama umependa simulizi zangu usisahau ku subscribe katika channel yangu kwa simulizi zitakazo kukuburudisha, kuelimisha. Pia Tembbelea kurasa zangu za mitandao kajamii
INSTAGRAM: / lucaslumbasi_tz
FACEBOOK: / mrlumbasi
TIKTOK: / lucaslumbasi - Розваги
Wazazi washenzi sana hawa,wanatawaliwa na tamaa mbaya ya kuuza binadamu,ndiyo maana naulaani sana utaratibu wa mahari unaoleta mateso makubwa kwa baadhi ya wanawake,ni sawa na utumwa uliokuwako kabla ya kupata uhuru,wanaotetea haki za wanawake hawaoni mambo yaliyo muhimu wanatetea upumbavu kibao tu
Next
Tunakupenda ❤ lukas Lumbas,, has a kicheko chako jmn jmn
Lucasi lumbas again
❤❤❤❤❤❤❤❤mob love to mr lukas lumbasi kwasimulizi nzuri❤❤❤❤
Daaaaa to sad pole umraa🥹🥹
Pole sana Umraa! C'est domage! Much love from🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Pole sana umraa masikini imepitia mengi kwa umrii mdogo 😂😂😂ila ningekua mimi nisngerudi hata kwa uchawi khaaa
So kurudi tu hata huko kuoleka kwa libabu kwa shinikizo ya wazazi nisingeoleka hizo ng'ombe mbona wangejua jinsi ya kuzilipa aaah 😀😀😀
Asante sana ❤❤❤❤
Nimemiss simurizi zako brother Asante sana ❤
Lucasi kaka angu natafuta kwanguvu najitahidi hata kwa kidogo nichangie kifaa chako najisikia vibaya kukaa siku nyingi hivyo bila kukusikia
Mungu akutie nguvu 🙏 😊 na asante saaana
Shukran kaka Lucas
Watatu pamoja sana Lucas lumbasi ❤❤❤
Hongera😅😅❤❤❤❤❤
Courage kaka na merci kwa yote🙏
Wapili🎉🎉
❤❤❤❤❤❤
Wakwanza jamqni naomba like zenu jamani
Leo utalala vizuri umekuwa wa kwanza😅😅😅
Tupo hapaa 😂😂 thenk you sir Luca 🏃🏃🏃🏃
Waooo shukran sana ❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉😢😢
Karibuu 🙏 😊😊😊😊
Shukra ndugu Lucas ulipotea lakini sasa umerufi mungu akubariki amin ❤❤❤
Amen saada 🙏 😊
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI your welcome
Nimewai❤❤❤
So sad UMRAA
Tamu sana usicherewa mwendereza maua yako lukas🎉🎉🎉🎉🎉
Inatoka leo saa tisa kamili... 😊😊
shukrani Lucas kwa kazi nzuri na wenye mafunzo mengi
Karibuu 🙏 😊😊😊😊
Daah pole yake Yani nishida sana aswa kuolewa namtu usie mpenda ❤🇴🇲
Daaah inasikitisha saana yaani mwanamke anatumika kama kitega uchumi daaah balaa....ila simulizi nimeipenda saana🎉🎉🎉🎉🎉
Very stor so much ❤❤
Many many thanks
Pole umraa
❤❤❤❤
Nzuri mwendelezo tafadhali
To day I'm 11 ❤❤❤❤
Thank youuuuuuu so much 💞 mungu akubariki sana twashukuru sana kaka yetu Lucas Lumbasi mjengoni ❤❤🎉🎉
Karibu sana Fetty😊
Please part 2
Inatoka leo saa tisa😊
Usitucheleweshe sana basi mr
Inatoka leo saa tisa😊😊
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI naisubiri mnooo
Interested story ❤❤
Pole sana jamani kweli roho hiziyo kwa na huruma kwa mtoto wa mtu
Tumalizie mapema jmn
Inatoka leo saa tisa kamili
❤️❤️❤️🎉🎉
Afu wanaume sijui ni vile hawajui utungu wa labour ndo maana huwa wanasapot upuuzi,nyie nyie wababa subirini siku yenu yaja, anyway thanks Lucas kwa kutukumbuka waiting 4 de next episode ❤❤🎉🎉
Karibuu, inatoka leo saa tisa🙏 😊😊😊😊
❤
❤❤❤🎉
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante kaka
Hadithi tamu lkn huo mlio kwenye background unakera jamani. Acha simulizi iwe simulizi ndio inapendeza. Tuna masikio mawili tu. Sauti yako Anko Jay inatutosha
Umura😂😂😂😂😂 jmn
❤❤❤
🎉
Junia Zima wanakula siku mbili😂😂😂😂
Waxaxi wengine bn yani mali mbele kuliko hata utuu tena mtoto wenu jamani
❤❤❤❤🎉🎉🎉
😢😢😢😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
So mchezo unatambulishwa mke 4 imejin kwa mzee ana watot 30😢😢😢😢
😂😂😂😂watoto 30 dear ukadhani ni wengi bc?kijiji kimoja krb na kwetu kuna mzee alikuwa na watoto 200 na wake saba sasa sijui ndo alikuwa anatafuta sifa maana ni Maasai na wengi wao husema mifugo,mashamba,wake na wtt ndo utajiri kwao
😅😅😅😅😅😅😅
Maisha ya watu wenye tamaa na mali ni mabovu mnoo ila siku zote MUNGU hajawahi mtupa mja wake tena ili ufanikiwe mitihani nilazima ukumbane nayo
Kabisaa😊
😢😢😢😢
Yaani watu waliokuuza unatoroka unarudi tena pale unaakili kweli? Hata kama hujasoma hata akili za kujiongeza jamani 😮😮😮hapa mtunzi umefeli kwa kweli
😢😢😢😢😢😢😢😮😮😮😭😭😭
Nice story
LUMBASI UNAUPIGA MWINGI SANA
Tusubiri dk 90😊
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
❤🎉🎉
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉