Umasikini kilasiku tunasema serikali badirisheni maisha kwa watanzani viongozi wengi co wazarendo wakishapata waoo wengine wanawaona kama wanyama ninaimani walikuwa wanajuwa ila kwakuwa walipata ujila wakala kmy
Mnawalaumu tuu hao raia... DC anasema wapo hapo zaidi ya miez sita, sasa DC na mtendaji walikuwa wapi miezi yote hiyooo? Picha ya haraka hapo inaonesha hakuna hospital hayo maeneo ndio maana wahunii wamejitokeza kuanzisha makanisa..... Daaah very sad yaan then mwenyekiti anakamatwa huku afisa mtendaji ameachwaa!!!!!!
Hapa kuna shida kubwa ya Elimu, elimu ya kiroho, umasikini uliyokithiliwa, shida ya hospitali. Yaani hapo hakuna wa kukwepa lawama. Wananchi wenyewe wenye uelewa na wasiyo na uelewa, hao waganga wa kienyeji, lakini kikubwa ni Selikali na hasa uongongozi wa maeneo hili ni lazima wawajibike. Wameshindwa kusimamia jamii na huenda wanakula rushwa kwa hao waganga. Mungu atuhurumie KIZAZI HIKI.
Wajinga ndio waliwao,Waacheni hao watumishi wapige dili, mbona dar kuna wasomi lakini wageuzwa kama chapati mchunga akisafiri waumini wanawekewa CD ya maubili,mchungaji akipata kashfa waumin wanamtetea kwa nguvu zote?
Acha ujinga wewe kanisa ni mpango wa Mungu ila kuna baadhi ya watu wanaharibu sifa za kanisa ni sawa na mganga wa kienyeji kutumia msaafu so tuseme nini hapo?
Hongera sana mh Dc makanisa ya aina hii ni mengi,MTU badala ya kwenda hospital kupata matibabu anadanganywa aende kuombewa,mauti ikimfika watu wanasema mapenzi ya Mungu,sasa ya shetani ni yapi?
Mimi mkristo serikali kuna haja ya kuangalia upya leseni za hayo makanisa yafungwe kama Rwanda walivyo Fanya ..maneno matakatifu yana sema binadamu wangu wana angamia kwa kosa marifaa
Mbona na misikitini yanatokea mengi kama juzi tuuu nimesikiliza KTV shekhe alitaka kumlawiti kijana msikitini nae mkristo au hiyo nitabia ya watu wachache sio dini hiyo nitabia yamtu ata uislamu wapo watu wachache wanao haribu
Tazama watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, ni kheri mtu asisali kabisa ila akaamini kuwa Mungu yupo na akaafanya mambo ya kumpendeza Mungu kuliko kupoteza muda huko.
Ulimbukeni wa kuongea kwa watu fulani wa dini fulani ni hatari hakuna dini ya Kikristo inasema hata Biblia hakuna sehemu imeandika kuhusu matunguli utahangaika sana kwa kuhukumu dini kwa kufuata watu wanaokengeuka utadhani wengine ktk dini yako huwaoni?!
Hawawezi kukubali kaka achan nao ila wanaaangamia ukisachi neno hili (dini yangu) utapat kujua mengi juu ya dini yao wanahangaika sana ila mpk sasa hawajapata nuru ya kweli wapo gizani
Nkweli wadau MNA comment mambo MENGI lakini rejeeni maandiko Yesu mwenyewe alisema nyakati za mwisho wataibuka wa chungaji wa bongo ,manabii wa ungo so chaajabu nini acheni maandiko ya time ili atakapo rudi watu wawe wameshuhudia yote aliyo sema.
Watu wangu wanaangamizwa Kwa kukosa maarifa HOSEA 4:6
Hapo tatizo ni
1.Elimu
2.Ukosefu wa Huduma za Afya
###
Maskini..Proud to be Muslim kama wewe in muislam gonga hapa na tuseme Allahu Akbar
Waislam si mnaongoza kuwa waganga wa kienyeji au hyo am proud vepe waislam hamna dhambia au?😂
Mungu nifunge kinywa nisiseme kitu juu ya hili
Allahhu akbar
😂😂😂😂unachekesha na SHEHE YAHAYA mlio kua mkimnadisha yule alikua dini Gani?
Tatizo hapo inaonekana hapo hamna huduma za Hosipitali , Serikali ijitahidi iwapelekee huduma muhimu.
tatizo Elimu Wananchi hawana elimu inayoweza kujitambuwa
Sukuma ndani hao wana dhalilisha Ukristo
Mungu awa linde viongozi wangu mlio lishikilia hilo
Asante DC, Fanya yako!
Umasikini kilasiku tunasema serikali badirisheni maisha kwa watanzani viongozi wengi co wazarendo wakishapata waoo wengine wanawaona kama wanyama ninaimani walikuwa wanajuwa ila kwakuwa walipata ujila wakala kmy
mw/wakijiji afisa mtendaji wa mtaa balozi wanyumba 10 wote wanahusika ktk upuuzi huo tiandani wote hao hawana maana
Mnawalaumu tuu hao raia... DC anasema wapo hapo zaidi ya miez sita, sasa DC na mtendaji walikuwa wapi miezi yote hiyooo? Picha ya haraka hapo inaonesha hakuna hospital hayo maeneo ndio maana wahunii wamejitokeza kuanzisha makanisa..... Daaah very sad yaan then mwenyekiti anakamatwa huku afisa mtendaji ameachwaa!!!!!!
Poleni tiyari Mungu kashawaonekania...
Tatizo hapo ni Elimu tuu
Swali la msingi, Je waumini wanauelewa kiasi gani juu ya imani zao?
Mungu ebu tuokoe baba yangu nakupenda .wachungaji gani hawa
Mh. mimi nakutaalifu kunalingine La Mwamposa na Mwingira na Rwakatare . Yani haya ndo matapeli makubwa
Kassim Juma 😂😂 et mafuta ya upako yanauzwa
Yanauzwa wapi ?
Gwajima piA mwizi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂uwiiiiiii
Hapa kuna shida kubwa ya Elimu, elimu ya kiroho, umasikini uliyokithiliwa, shida ya hospitali. Yaani hapo hakuna wa kukwepa lawama. Wananchi wenyewe wenye uelewa na wasiyo na uelewa, hao waganga wa kienyeji, lakini kikubwa ni Selikali na hasa uongongozi wa maeneo hili ni lazima wawajibike. Wameshindwa kusimamia jamii na huenda wanakula rushwa kwa hao waganga. Mungu atuhurumie KIZAZI HIKI.
Uko ni wapi
waganga wa kienyeji wamekuja kivingine.
Eh bhana eh 😢😢😢😢😢
Na hasa Dada zetu ni wepesi mno, oo nimeokoka njo kwenye kanisa la fulan uombewe
kelvin kimisha KAKA IZI NYAKATI MPYA MBONA NA BADO TUTAONA VINGI
kelvin kimisha
Tanzania yetu ina hali mbaya sana ya usalama.Watu wanafanya vitendo vya kipuuzi na kwa muda be mrefu bila serikalikujua.Hii ni hatari sana.
Wajinga ndio waliwao,Waacheni hao watumishi wapige dili, mbona dar kuna wasomi lakini wageuzwa kama chapati mchunga akisafiri waumini wanawekewa CD ya maubili,mchungaji akipata kashfa waumin wanamtetea kwa nguvu zote?
Endeleeni tu maana kila tukiwaambia kanisa sio mpango wa mungu mnajifanya mmeziba mskio sasa ngoja mkomeswe
Acha ujinga wewe kanisa ni mpango wa Mungu ila kuna baadhi ya watu wanaharibu sifa za kanisa ni sawa na mganga wa kienyeji kutumia msaafu so tuseme nini hapo?
Hizo shilingi kumi kumi na shilingi tano tano hivi bado zipo tanzania maan toka afariki baba wataifa ndo naziona leo dah kweli hao waumini ni wahenga
Kwakweli
Mungu ametupa dawa za mimea km izo, watafute waliobaka na sio mtu anatumia mitishamba.
Tatizo Serikali imeekeza huduma muhimu katika miji na kuzarau vijiji, hii ndio impact yake, ELIMU ELIMU ELIMU ndio mpango mzima
Hongera sana mh Dc makanisa ya aina hii ni mengi,MTU badala ya kwenda hospital kupata matibabu anadanganywa aende kuombewa,mauti ikimfika watu wanasema mapenzi ya Mungu,sasa ya shetani ni yapi?
Jamani mbona uzalilishwaji kanisa?😢😢😢
Yaani kutokuwa na elimu jmn, Ni hasara. Siwasemi vibaya lakini nimeamini elimu ni ufunguo wa maisha.
tatizo sio kutojua imani hao ni mawakala wa shetwani sijawahi kuona kanisa au msikiti umekuwa wodi ya wagonjwa duh
😂😂😂 2:06 nimeona shilingi 5,10,20 . Zilipendwa kumbe bado zinatumika.
😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila ndio maana mtatizo hayatuachi 😢
Tumtafute YESU jamani la sivyo tutapotea.Tusidanganyike tutaishia motoni.Mungu ninayekuamini fire kwa wanaokutania.
Hongera Mh DC
Mkome
subuhan llah
sukuma ndani uyo
Nina hasira nao mm hawa wachungaj uchwara mtu akijua mstar wa biblia tu anasumbua mtaan ,kumbe ndo wachawi wakubwa
kelvin kimisha wanazingua kwel
Ni wapi huku jaman
DC hilo kanisa liliniponya 2010 nikiwa form 2 Leo maisha yangu ni bora
Na hayo matunguri?
Piga ndani wote peleka mahakamani wezi hao
Pumbavuuuuu hawa ndio wanaharibu jina LA Bwana
Serikali mtusaidie makanisa kila mahali kelele usiku kucha hatulali.
Mimi mkristo serikali kuna haja ya kuangalia upya leseni za hayo makanisa yafungwe kama Rwanda walivyo Fanya ..maneno matakatifu yana sema binadamu wangu wana angamia kwa kosa marifaa
Dahh dunia 🙌🙌🙌simama mie nishuke nitembee mie🚶🏼🚶🏼🚶🏼
Hao wananchi hawana tatizo bali serikari iwapelekee elimu
Kiti Cha Enzi kipo kanisani Wacha kanisa liendele kufanya kazi yake kwakua shetani yupo kanisani 😭😭
Dah!polen sana ndugu zangu Mungu awasaidie tuu...huyo mchungaji akamatwe na kufungwa maana huo ni unyanyasaji mkubwa mno
Nabado tutashuhudia makanisa mengi yahovyohovyo maana yesu alisali msktni
Abdu Babu Muhammad ndo mkiristo kijana endeleen kujifunga vitambaa kama mnaenda kuzimu
Mbona na misikitini yanatokea mengi kama juzi tuuu nimesikiliza KTV shekhe alitaka kumlawiti kijana msikitini nae mkristo au hiyo nitabia ya watu wachache sio dini hiyo nitabia yamtu ata uislamu wapo watu wachache wanao haribu
Toba🙆♀️
Duuh Makubwa,Madogo Yana Nafuu,
Watanzania wengine bana majanga kwelii
Wow
Jaman wanatibu Tena vizur
7
Mmmmhu jamani yaani siku hizi watu wamezidi kumdhihaki Mungu waganga wa kienyeji kujifanya wachungaji duuuu Mungu tusaidie.
Serikali irudishe vipindi vya DINI mashuleni kuanzia Shule za msingi ili wapate elimu ya kuwasaidia ktk maisha yao. Wasidanganyike kiasi hicho.
Allah abkar, msiba huu...
Maajabu kweli
Magufuli bado anakazi kubwa sana
Kwa nn usiulize ichi ni nn mbna unasema dawa umejuaje Mkuu?
Akna mama sijui nani kawaloga? Mama nyie ndio vipaumbeke wakukimbilia wachungaji .
Vihiyo!Uganga tupu na uchwara wa uganga
Huko makanisani Kuna Mambo.
Tazama watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, ni kheri mtu asisali kabisa ila akaamini kuwa Mungu yupo na akaafanya mambo ya kumpendeza Mungu kuliko kupoteza muda huko.
Hujafanya chochote sali na akili mana yesu alisema kwamba watakuja manabii was uongo kwa hiyo uwe na msimamo usitangetange
Hilo Ndilo tatizo kubeba imani bila akili..
Swadaktaa
Hahahaha,yatakiwa ubebe zote, hahaha
Karagwe mulige. Lakini mnajua matibabu ni bei watu wanakosa ela wanaenda kufia kwa watu. Warungi nao wanalaza watu tangu Niko mdogo wanalaza wagonjwa
Kweli hawa wanachafua jina la Mungu
big up ayo TV kwa habr za kwel
Mitishamba
Hilo sio kanisa ni genge la shetani.kanisa la YESU halipo hivyo
SAFI SANA DC , KOMESHA KABISA
Watu tujiombee wenyewe mungu atatusikia Mambi yetu
Eeeh Mungu baba 😢
namuona mheshimiwa nsena
Sasa hizo shillingi kumi, shilingi tano na shillingi ishirini, wamezipata wapi kwanza??
Zipo bhna 😂😂😂nyingi tu
Edwin Alexander jamani Karagwe nyumbani mbona tumeingiliwa?? huyo mambo hayakuwepo kabisa... abanyambo twafa baba be tata😥😥😥
🌝😂😂😂😂 baba paroko oyeeeeeeeeeee mchungaji akamatwe na atafutwe kama lambo
😂😂😂
Hilo sio kanisa ni mganga huyo mchungaji wao
Imani ya kikirsto iko wazi na inaeleweka sana, elimu,elimu,elimu bado watu wapo miaka ya 1990 hadi shilingi 20. huko kwao ipo,
Hao niwaganga wakienyeji ila wameamua kujificha kwenye kumvuli cha kanisa na mganga kuwa nahizo shilingi ni kawaida Sana
Dah ingekua msikitini tunfeambiwa magaidi tunafuga majini ila kanisani wanabembelezana to wenyewe ni watu wema hawakoseagi.
Umejuaje kaka sisi ndo tunaonekan tunaongoza kwa kufaga majin ila mungu atalete kheri ktk iman yetu
@@wahidawahida6675 hawa hamaaa wenyewe wanajiona wemaa sanaa
waacheni bwana,wenyewe hata wakidhurika watajua wenyewe😂
Hawa wanahangaika tu na dunia,Mungu ututetee
Hvi karagwe ndo wapi
Watu hawataki kufanya kazi wanabaki kuamini amini hadi watu wamekua kama mataila. Me nafikiri wapigwe Tu si wanataka wenyewe.
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Jamani Mimi nashukuru kuzaliwa nikiwa muislamu fimbo hizo zimeniepuka
Mkoa wa Kagera umevamiwa na wahamiaji haramu wengi
Waaahh
duuuh,ni Tz?
Huyo mchungaji hn kosa,,km amna huduma ya afya,,,elimu duni,,,mazingira ovyoo
Hakika Allah ni ndy mweza mnajizalilixh xn na din zenu hz
We unauhakika ktk dini yako hamtumii mitishamba
Emmanuel Mkeba miti shamba ipo je ma2nguli hayo ni ya nn na hz sarafu ni za nn???
Ulimbukeni wa kuongea kwa watu fulani wa dini fulani ni hatari hakuna dini ya Kikristo inasema hata Biblia hakuna sehemu imeandika kuhusu matunguli utahangaika sana kwa kuhukumu dini kwa kufuata watu wanaokengeuka utadhani wengine ktk dini yako huwaoni?!
Emmanuel Mkeba kwny din yng me cjawaon ila kaka ww umewaon niwekeee crips niwaoneeee
Nikikuomba clip ya dini yangu utanuwekea hii basi niwekee ilipita
Njooni kwa allah mje mumsujudie mngu wa kweli
Humjui mungu wa kweli ww!!!
Imeandikwa Wajinga ndio waliwao
Biblia ipo wazi
Hawawezi kukubali kaka achan nao ila wanaaangamia ukisachi neno hili (dini yangu) utapat kujua mengi juu ya dini yao wanahangaika sana ila mpk sasa hawajapata nuru ya kweli wapo gizani
pumbaf zenu wauaji wakubwa,majini ndo mmekamatia,mauaji haaa waislam laaana tupu
duuuh dunia imeisha watu wanamuamini binadam mwezao kuliko mungu
Hakika Dunia iko ukingoni
😂😂😂😂😂😂😂sehemu ya asili nani kasikia
Zulfa Ali 😂😂😂😂
Toka kwa mama kabisa
Nyinyi Kama serekali mmefanya jitihada gani za kujenga Hospital jirani na hao wananchi..? Serekali nyinyi ndio mnao sababisha yote hayo
VIP wahaya hawa
Nkweli wadau MNA comment mambo MENGI lakini rejeeni maandiko Yesu mwenyewe alisema nyakati za mwisho wataibuka wa chungaji wa bongo ,manabii wa ungo so chaajabu nini acheni maandiko ya time ili atakapo rudi watu wawe wameshuhudia yote aliyo sema.
waganga wa kichawi hao
Dawa sio uchawi bana
Kwann mnaamin dawa za wazungu kuliko dawa zetu za kiafrica
Sukuma ndani wote anzia mchungaji visha bangili naomba serikali iangalie sana haya makanisa feki wachawi wauaji ondoa na yako karibia tanzania k
Sukuma ndani wote anzia mchungaji visha bangili naomba serikali iangalie sana haya makanisa feki wachawi wauaji ondoa na yako karibia tanzania k
Sukuma ndani wote anzia mchungaji visha bangili naomba serikali iangalie sana haya makanisa feki wachawi wauaji ondoa na yako karibia tanzania k
Sukuma ndani wote anzia mchungaji visha bangili naomba serikali iangalie sana haya makanisa feki wachawi wauaji ondoa na yako karibia tanzania k
Sukuma ndani wote anzia mchungaji visha bangili naomba serikali iangalie sana haya makanisa feki wachawi wauaji ondoa na yako karibia tanzania k
😅😅😅😅😅 mpigwee tu hamna namna yani mnaacha njia ya wokovu mnaishia fimbo
aibu gani hiyo mkiambiwa sikuzote mnadanganywa hamskii hakuna miujiza pambaneni na akili zilizosalimika
Miiiujiza ipo Mingi ..ila kuna wahuni piaah
@@ethanuk9437 ndo nyie mnaopumbazwa Mungu kaleta madaktari,mitishamba na wauguzi kwa kazi hizo
@@amanibwire4423 Yesu sio kuponya vipofu na viwete tuh pia alifufuwa wafu ...so nani bwege ?
@@ethanuk9437 alifanya hivyo kwa nyakati hizo sasa miujiza ya leo ni feki,tafuten ufalme wa Mungu kwanza
hao ni ndugu zake ebitoke