Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Nakukubari sana mntu ya Congo, simba nguvu moja 👏👏🇹🇿
❤Usajili huu ndio utawatesa wapinzani msimu ujao. Hongera MO
Welcome new simba player's
Ila kusema kwel wenye moyo tuendelee kusapoti simba yetu, yajayo yanafuraisha.
Ninachoamini hivi vyuma vita crick mapema sana.
❤❤❤🎉🎉
Try Again na Boss k.Mo: Mgunda: Ahmad Alii Tunaomba tuongezewe Azzi k na Fei toto na Mayele hapo mtakuwa mumeua:Ushindi ujao huoooo❤❤❤🎉🎉
Big up wekundu wa Mzimbazi
Usajiri wa safari hii nakua na matumaini nao hata kabla ya uwanjani
Ahamady ALLy Usajiri wako uko vizuri,ila utuongezee Azizi k au Pacome Zouzou
WAACHWE HUKOHUKO TUWAFANYE VIBAYA HAO VIBABU
Wachezaji wanaonekana kweli Hawa ndo wachezaji
Huyu anafaa kuwa semaji kwenye timu yetu
Kuonyesha na mkujigamba
😂😂😂😂 kiswahili cha mkongo ni kitamu sana
Kiswahili ya Kongo iko zuri masta nangai😅😅😅😅😅
Unatufaa
Petiti napenda rafudhi yako kinoma.
Chama miaka 45
Nimucongomani
Mwaka huu ni mchakamchaka tu
kuwa kataa ni swala la muda
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Aya mambo ya Mangungu tafadhali tusiafuate😢
Mucongo unatisha
Nakukubari sana mntu ya Congo, simba nguvu moja 👏👏🇹🇿
❤Usajili huu ndio utawatesa wapinzani msimu ujao. Hongera MO
Welcome new simba player's
Ila kusema kwel wenye moyo tuendelee kusapoti simba yetu, yajayo yanafuraisha.
Ninachoamini hivi vyuma vita crick mapema sana.
❤❤❤🎉🎉
Try Again na Boss k.Mo: Mgunda: Ahmad Alii Tunaomba tuongezewe Azzi k na Fei toto na Mayele hapo mtakuwa mumeua:Ushindi ujao huoooo❤❤❤🎉🎉
Big up wekundu wa Mzimbazi
Usajiri wa safari hii nakua na matumaini nao hata kabla ya uwanjani
Ahamady ALLy Usajiri wako uko vizuri,ila utuongezee Azizi k au Pacome Zouzou
WAACHWE HUKOHUKO TUWAFANYE VIBAYA HAO VIBABU
Wachezaji wanaonekana kweli Hawa ndo wachezaji
Huyu anafaa kuwa semaji kwenye timu yetu
Kuonyesha na mkujigamba
😂😂😂😂 kiswahili cha mkongo ni kitamu sana
Kiswahili ya Kongo iko zuri masta nangai😅😅😅😅😅
Unatufaa
Petiti napenda rafudhi yako kinoma.
Chama miaka 45
Nimucongomani
Mwaka huu ni mchakamchaka tu
kuwa kataa ni swala la muda
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Aya mambo ya Mangungu tafadhali tusiafuate😢
Mucongo unatisha