Mwanamalundi: Mtu wa Maajabu aliyedaiwa kuigawa bahari katikati ili apate njia ya kupita!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 70

  • @veronicadaniel1122
    @veronicadaniel1122 4 роки тому +12

    Daaah sitamani story iishe Ng'wanamalundi msukuma piga kelele kwa wasukuma hivi alikufa bila kuoa hata

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 4 роки тому +6

    Mwanamalundi ni great hero

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 Рік тому

    Usiponifaa kwa Muziki, utanishika kwa siasa, napo usiponipata basi utamfaa mwingine kwa Mpira wa miguu. Lakini nako ukinikosa basi hapa sitokimbia kwa mpangilio wa maneno na utukuzwaji wa kiswahili. Na hapa hakika nimetia nanga japo katika uchovu lakini si haba kupata utulivu na radha ya utamaduni wetu sahihi. Asante sana Bukandambili (😊Bundala)... Na kesho nitarejea kusikia tena

  • @mohammedkhamis6893
    @mohammedkhamis6893 4 роки тому +5

    Asubuh mchana na jioni kk sky

  • @slywish4098
    @slywish4098 3 роки тому +1

    Maana halisi ya kusimulia story
    Sky 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @songabaluku4153
    @songabaluku4153 4 роки тому +11

    Hivi ndio vitu tunafaa kugundisha watoto wetushuleni, historia zetu wenyew

  • @mohammedkhamis6893
    @mohammedkhamis6893 4 роки тому +4

    Wa kwanza ku view wakwanza ku like

  • @nabosedward4836
    @nabosedward4836 2 роки тому +1

    Yani wa africa bhana wa kwetu tunaita uchawi wa kwao tunaita miujiza

  • @fortunathabarabara8471
    @fortunathabarabara8471 4 роки тому +6

    Wasukuma twimane

  • @zavaramponjika7411
    @zavaramponjika7411 3 роки тому +3

    Shukuran sana ndugu kwa riwaya hii asilia na halisi. Nashukru sana kwa mtiririko wako bora sana katika kusimulia hizi simulizi adhimu. Ntafanya mpango tuwasiliane chonjo kwa mengine ya ziada. Ila nashauri tu hicho kichwa hapo kua "aliyedaiwa" ingefaa isiwepo maana jamii nyingine zote wakisimulia wahenga wao hata wa kutunga hilo halipo sababu linamaanisha tunatilia shaka ukweli wa hilo.
    Jingine ni kuhusu neno uchawi kadri lilivyotumika humu, badala yake kwa hisma ya sayansi na maarifa hayo ingefaa tuite mazingara maana neno uchawi linatumiwa sana kubeza maarifa yetu asilia na yenye kuzidi maarifa ya wakoloni.
    Mfano mzuri pale wanapoelekea Tabora na alipochoma ile misitu, lile tendo ingekua mtu wao angetukuzwa hadi angetengezewa sanamu. Ule sio uchawi bali ni nguvu za mazingara ama nna hakika kuna neno bora zaidi ya hapo. Tuko pamoja sana ndugu nna hamu ya kuskia zaidi kuhusu Ng'hwana Malundi.

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  3 роки тому +1

      Tunashukuru sana Kaka Zavara

    • @zavaramponjika7411
      @zavaramponjika7411 3 роки тому

      @@SimuliziNaSauti Tuko pamoja wapwa. EE bwana chungulia twitta nlituma ujumbe kule, tujenge

  • @jasminemajidy3184
    @jasminemajidy3184 4 роки тому +3

    Kweli nyanyo zipo uko kwetu kijijini

  • @vincentgeorge178
    @vincentgeorge178 4 роки тому +3

    Story kali sana 🔥

  • @abelbest4984
    @abelbest4984 4 роки тому +4

    Shemej yangu uyu

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 4 роки тому +2

    Wow.. you are so good at it Mr #SKY

  • @othmanmgongo3942
    @othmanmgongo3942 4 роки тому +2

    utabaki kuwa juuuuuuu

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Рік тому

    Eti alikua nguvu kubwa za kichawi. Sijapenda msemo huu

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 4 роки тому +1

    Mahadithi yamerudi kama zamani,thanks sky,but usituache tena mzee wa simulizi na sauti yenye mamlaka

  • @geoffreysoloshija1909
    @geoffreysoloshija1909 3 роки тому +1

    Nice story

  • @thisboyisgreat
    @thisboyisgreat Рік тому +1

    Mwana malundi tuseme TU alikuwa nabee alietumwa na mngu sematu wazungu wametupambaza nakumuona mwana malundi ni mchawi

  • @oxygen9603
    @oxygen9603 3 роки тому +1

    700K subscribers
    .
    we feel proud #SnSDieHardFans

  • @gradientwani23
    @gradientwani23 3 роки тому +1

    Uwezo mkubwa Sana Kwa aliyeandika hii stori, ni zaidi ya kipaji

  • @mcjmcheshi
    @mcjmcheshi 4 роки тому +3

    Saaaaaafi mzeee

  • @adamnasib7928
    @adamnasib7928 4 роки тому +2

    Good

  • @fedricklubigisa139
    @fedricklubigisa139 4 роки тому +2

    Mwanamalundi nimeanza kumsikia tangu nikiwa mdogo mpaka leo nazisikia Sifa zake,,

  • @jamil1547
    @jamil1547 4 роки тому +1

    Asanteni

  • @aceotz2579
    @aceotz2579 4 роки тому +1

    Dah umenikumbusha enzi zangu za A-level😩😙😙😙😍😍😍❤❤❤😙😙😙❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙❤❤❤😍😍😍😙😙😙

  • @sharifaallan2386
    @sharifaallan2386 4 роки тому +1

    Shkuran kwa history hii

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah7083 4 роки тому +1

    Ahsante

  • @nurumaulid2462
    @nurumaulid2462 4 роки тому +2

    Story Kama isiishe daa yaukweli sana

  • @semoramwara6458
    @semoramwara6458 4 роки тому +2

    kweli siku kumbe ni masaa 3 zu

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 2 роки тому +1

    Hilo tto lilikuwa ni jini

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 4 роки тому +1

    Jamani natamani ingekuwa kitabu kizima hii story

  • @salumshakespeare
    @salumshakespeare 3 роки тому

    Thanks sky

  • @amenahussien6134
    @amenahussien6134 4 роки тому +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 4 роки тому

    Makala nzr sana sns mko juuu

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 4 роки тому

    Tamuuu

  • @MightyLumber
    @MightyLumber 3 роки тому +1

    Waafrika tulivyo wajinga, hapa tumamuita Mwanamalundi mchawi kutokana na maajabu aliyokuwa anafanya, lakini Mwanamalundi huyu huyu angekuwa Mwarab au Mzungu angeitwa nabii na Waafrika kibao wangemtukuza na kujiita jina lake. Tujifunze na kupenda historia yetu, waarab wao wanayo kwa Mohammed na Wayahudi kwa Yesu.

  • @noel3290
    @noel3290 4 роки тому +1

    Sky why doesn’t tanzanians speak Germany if their colonizers stayed that interior

    • @robin_MMM
      @robin_MMM 3 роки тому

      but why should we speak the language of our colonizers?. that's slavery.

  • @haimahaima9473
    @haimahaima9473 4 роки тому +2

    Vitu kma hvi ndo tunatak kupotezea mawaz ya corona maan unawwz kupat Corona kwa zile presh za mitandao🙂🙂🙂🙂

  • @rahemaheri1615
    @rahemaheri1615 3 роки тому

    Wa mwanza piga kelele