FAIDA NA HASARA ZA KUNUNUA HISA | Happy Msale
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- Kwenye Video hii tunaongelea faida na hasara za kununua hisa.
Miongoni mwa faida za kununua hisa ni:
1. Ni rahisi kununua
2. Inaweza kuongezeka bei
3. Unaweza kupata gawio
4. Unaweza kukopa kwa kutumia hisa
5. Unaweza kuzitoa kama uridhi
6. Ni njia ya kuwekeza / kuweka akiba
Miongoni mwa hasara za kununua hisa ni:
1. Unaweza kupoteza mtaji wako
2. Wanahisa wanalipwa wa mwisho kampuni ikifilisika
3.Zinaweza zisiuzike mapema
4. Bei ya hisa huwa inapanda na kushuka
5. Huwa unatumia muda mwingi
---------------------------------------------------------------------------------------------------------
NAPATIKANA PIA:
❤ Instagram: / happymsale
-----------------------------------------------------------------------------------------------
TAARIFA NYINGINE
❤ Camera Iliyotumika: Canon G7x Mark 2
Mtoto mzuri kama faida za isa😊😊❤❤
Kazi nzuri. Keep it up dear
Umependeza
Asante
Asante Kwa ushauri, makampuni gani Ni mazuri Kwa kununua hisa Tanzania
Unaweza kuongea na madalali wa soko la hisa hapa wakupe ushauri na namna ya kuwekeza: dse.co.tz/dealing/members
👌👌👌
Following each series and episodes in this chanel👌
Thank you Siaka.
Happy, hao madalali nawapata wapi?
Wanapatikana hapa: dse.co.tz/dealing/members
Kampuni ikifirika inakuaje
Unapoteza kiasi ulichowekeza
Excuse me, Madam, katika faida za kununua hisa ulieleza nyingi kama Saba hivi, ila hiyo ya kuwa "naweza kuitoa kama urithi" hapo kwenye description hujaieleza kwenye video. Nilitamani kujua ni kwa namna gani
Unaweza kumpa mwanao uridhi wa hisa, kama unavyoweza kumuachia nyumba, viwanja n.k
@@happymsale ooh thanks., kama kijana nimeelimika walau kwa kiasi fulani kuhusu hisa.