Hivi Ndivyo Unaweza Kununua Hisa za Vodacom Tanzania PLC
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- Unaweza kununua hisa kupitia mawakala walioidhinishwa na Mamlaka ya Masoko na Mitaji (CMSA), Benki ya NBC au kupitia M-Pesa kwa kubonyeza *150*36#. Tembelea vda.cm/vodacomshares kufahamu mawakala hao na kupata maelezo zaidi.
*Ununuaji na uuzaji wa hisa una changamoto mbalimbali. Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana na mshauri wako wa kifedha.
Safi
Habari zenu nishida naombeni msaida wenu kuna namba hazipatikani
Io *150*36# aifanyi kazi
Nyonyom hamueleweki
naweza kununua hisa kama npo zanzbar na je ata hisa ya bei ya chini kabisa ni bei gani
Namna ya kununua hisa za Vodacom kutumia simu ya mkononi
vpi mda wa kuuza hisa ushamaliza?? mana nmenunua ila cjajuulishwa chochote
BUSNA tv wezi
Km unataka hisa hata mimi nilinunua hisa za voda ila nauza kwa sasa
Mbna io *150*36# aikubali
Sasahivi kipande kimoja cha hisa za Vodacom ni sh ngap
Hisa za Vodacom hamueleweki nataka hela yangu tu
Je nabado huduma ya kununua hisa bado inaendelea ?
Vodacom walituuzia hisa moja kwa sh. 850, la kusikitisha wanatoa gawio ndogo sana kwa mwaka, leo ukitaka kuuza hisa moja ni sh. 800. Ukitaka kiuza mabroca wanababaisha.
Mm nateseka sana na laini yangu kwenye enternet 0756742430
Vodacom hizi comment hazifui kabisa fanyeni utatuzi ... Mnaharibu wenyw