Asante Mama hao wasanii wanao ambiwa nikio cha jamii ni kiuo cha kutangaza zinaa, Wasanii wote wa kitanzania wanatembea uchu wanatunyanyasa kijinsia wanaume
Wasanii wanao ambiwa kuoo cha jamii nikituko kwajamii..msanii m1 ana wanawake 34..anawanaume 30..anavaa uchi anaelimisha nini..mwisho hadi dada zetu wanavaankisanii kukaa uchi ni fashen..kwao tungeni sheria hadi move zao zavitandani zisiwepo.
Asante sana mheshimiwa mama👏👏👏 hili la kutembea nusu kuvaa limeenea sana...hasa wasanii ambao wanaitwa kioo cha jamii...ila mama hujaongelea hizi nyimbo za sasa! Ni matukano nje nje!!!! Hili waziri ajiongeze.
Asante Mama wambie hao wanaojifanya wamagharibi hasa watoto wa mwaka kuanzia tisini kwenda mbele ndo wamekuwa tabu na maabara duniani waziri anatakiwa asimamie yote hayo kama anaogopa kusemwa na ushikaji akae pembeni nafasi apewe mwingine maadili hakuna kama alivyosema hao dada zetu huko mitaandaoni na hao baadhi ya mabraza men tabia mhh
Ahsante sana Rais wetu kwa hilo. Kadhalika hilo inabidi iwaguse hata wasanii ambao baadhi yao wamevuka mipaka Ni aibu tupu ujumbe wanaoutoa na vitendo vyao kwa ujumla. Naamini kwa hali ilivyo kizazi chetu kinachokuja kitaweza kuharibika sana. Matokeo hayo yatajitokeza miaka ijayo.Hili naomba tulitazame ni ushauri tu.
MAGUFULI ALIPOWATUMBUA HAKUWA MJINGA ndio maana WATANZANIA kamwe piga uwa hawatamsahau kwakuwa alikuwa ni chaguo la MUNGU kwa WATANZANIA sasa hiyo ndio faida ya UHURU WA HABARI 🏃🏃🏃♀️🏃♀️ naona kwa mbali MAGUFULI UMOJA PATI ni shiiidaaaa ya DUNIA shikamooo ndugu Pole Pole
Chaguo la Mungu anakua na kibali kwa Mungu na kwa wanadamu maana kwa USHINDI wa kura halali Mungu hujidhihirisha ndio Mana twasona hekima ya Suleman, lkn siku hizi ndizo Suleman alisema kaona ajabu juu ya ichi kuona watumwa wamepanda farasi na hali wafalme wanatembea kwa miguu
Usisemee mioyo ya watu sama kwaajiliyako usie msahau,pia tumia busara kufikiri hata mtu Alie umwa na nyoka humkumbuka yule nyoka kwaajili ya ule mkasa na balaa, ila aliekula kuku siku ya krismas humkumbuka aliempa kuku ila sio kwa Sana maana ubaya unavuma kuliko wema, ndio maana polisi hapendwi na mwizi ispokua pale anapomuokoa mikononi mwa wanainchi wenyehasira,
President of Tanzania, you are very relevant and very educational to all regional countries and I Must say that you are leading in showing the way to our future leaders keep it up President
mama katika siku omeongea vitu vya maana ni leo maana mimi mwenyew nasikia vibaya sana kuona maadil yana momonyoka kazia sana hilo mungu atakuingiza peponi inshallah
Hakuna Dini inayosema uhuru WA kuvaa ila YA ni ya SHETANI Kama BAADHI YA WASANII WA BONGO FLEVA NA BONGO MUVI wanatukalia UCHI UCHI this is TANZANIA watu na MAADILI YAO hizo POST ZA UCHI NA NYIMBO ZA MATUSI ni uwakala WA SHETANI(illuminate) Shukran MAMA LA MAMA
Asante Sana Mheshimiwa Rais your real mother apart from Being a president,hasa watoto wakike wamezidi kujiweka uchi mitaoni na mengine mengi ni kweli waliemishwe na wakirudia washughulikiwe.
Wasanii wanacheza utupu na mwingine anainama hali uchi, tunawekewa kwenye mabasi , aibu aibu kweli kweli, tunahitaji mabadiriko. Kila basi wanaweka unashindwa kusafiri kwa raha. Asante Rais wetu tusaidie
Siyo makatuni ya watototu nipamoja nawale wachungaji wenyekudhalilishawanawake ndani yayalewanayoyaita makanisa .Serikalipia isisajiri auyapigwe marufuku .Shidani.nini? wakati serikali inamkono murefu auhao hawaharibu jamii hatakamani uhuruwakuabudu.lakiniwanavunjasanasheria naudhalilishaji wa utu hasajinsia yakike.
Leo Mhe rais ameongea point sana,inabidi tuamke na tuache kuyafumbia macho masuala kama haya hili tuweze kunusuru vizazi vyetu vijavyo visikute jamii iliyovurugwa kupita hii.maana hali inatisha sana huko mitandaoni.
ليس لها من دون الله كاشفة اللهم بحق هذه الآية الشريفة وما حوته من الأسرار المنيفة أن تصرف عن رئيسنا سمع بنت صلح شر الحساد و الظالمين والموذين والساحرين والباغين والسارقين وكل من كادها بالسوء من الجن و الشياطين والانس اللهم اردد كيدهم في نحورهم اللهم اشغلهم بشاغل لا يستطيعون رده اللهم شتت شملهم اللهم مزق جمعهم اللهم فل حدهم اللهم قل عددهم اللهم ارسل العذاب إليهم اللهم اقتلهم يارب العالمين و صلى الله على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه وسلم
Kusema kweli mneno hayo ni sahihi hakuna mtu atakubali kwa dada yake wala kwa mama yake wala kua mtoto wake mambo ya uchafu NA hiyo ni deni utailipa kwa famili yako ukifanza utafanzwa ndani ya chumba yako ya kulala NA usisahau kwamba mungu alihatamisha zina lazima kwa njia ya ndoa halali itakuja siku utalea watoto sio wako
Mama tunakupenda ila hapo ndipo unapo feli kwa hizo bembeleza bembeleza zako. Mtu kazi kaishindwa fukuza acha yahe yahe hizo zinakuharibia serikali yako. Kwa Dunia ya Sasa kumkabidhi mwanasiasa wizara ya habari ni kuhatarisha mustakabali wa Taifa. Hizo wizara Dunia hii ya utandawazi zipo chini ya majeshi. Na si majeshi tu bali intelligent military personnel. Tuamke 😔
Nikweli mama, hili nijanga la kitaifa hadi kwa baadhi ya watumishi, jambo hili limepelekea kukosekana haya, kwa Wana wake, na kuathirika kisaikolojia kwa wanaume upande wa kutamani kwani kila siku wanao an watu wakiwa wamevaa lkn uchi, Hawa wasanii sio vioo vya jamii Bali ni vyoo vya jamii. Wachafuzi WAKUBWA.
Unakuta wimbo unapigwa lbd ndani ya basi au movie (iwe ya ki Tz au nje) inaoneshwa ndani ya basi, uko na familia mnasafiri!!😭 wasanii hao waonywe...hawa wa kwetu..au ikibidi wafungiweeee... wanatuharibia watoto mchana kweupeee!! Na hawa wa kwenye mabasi waonywe..🙏🙏
Filamu Zina Namba na hizo Namba Zina maana.. zipo zinazofaa kuoneshwa kwa watu wa umri huu au ule, mf..Kuna miaka chini ya 12 wanaweza kuona, miaka chini ya 15, miaka chini ya 18, zaidi ya 18, na filamu zenye kuogofya hata ukiwa mkongwe zinaogopesha Kama matukio ya mauaji, Zinaa. Muhimu Ni kujua na kutii Sheria.
Nikweli waandishi wa habari hata nyingi mna familia na msingependa yatatokee kwenu basi tumuungane kupinga ujinga huu tubaki na tamaduni zetu kwa faida ya vizazi vyetu
Yani hapo mama umeongea waambie kwakweli hata mwenyezimungu atatuazibu siku yamwisho viongozi waliochiniyako wapo wanakaa kimya naomba I tunywe sheria yoyote atakae piga picha yautupu mtandaoni atafutwe apigwe faini au jera
Mhe. Rais hongera lakini watendaji wako hawajiamini au vp lazima kila mpaka useme, hivi haya mabaraza yaliyoundwa wanaangalia na kuchuja nyimbo za ndani tu na vitu vingine wanaachia viende kiholela, hizo katuni zinahitaji uchunguzi wa hali ya juu ili kuwalinda vizazi vyetu na nchi yetu. KAZI IENDELEE HASA KWA WATENDAJI
Mama umeongea kitu kinachosumbua akili yangu kila siku naomba sheria iwe kali zaidi kwa hao mashoga siku izi hawajifichi tena mama, taratibu nimeanza kukuelewa.
Asante mama umeongea kama jemedari wetu. Shida yetu kilakibaya mpaka kiongozi wa juu. Aseme , wengine wanaona hayawahusu badilikeni jamani. Wote yatuumize na tukemee hasa mliopewa mamlaka.
Asante Mama hao wasanii wanao ambiwa nikio cha jamii ni kiuo cha kutangaza zinaa, Wasanii wote wa kitanzania wanatembea uchu wanatunyanyasa kijinsia wanaume
Wasanii wanao ambiwa kuoo cha jamii nikituko kwajamii..msanii m1 ana wanawake 34..anawanaume 30..anavaa uchi anaelimisha nini..mwisho hadi dada zetu wanavaankisanii kukaa uchi ni fashen..kwao tungeni sheria hadi move zao zavitandani zisiwepo.
Kama ulikuwepo
Asante sana mheshimiwa mama👏👏👏 hili la kutembea nusu kuvaa limeenea sana...hasa wasanii ambao wanaitwa kioo cha jamii...ila mama hujaongelea hizi nyimbo za sasa! Ni matukano nje nje!!!! Hili waziri ajiongeze.
Asante Mama wambie hao wanaojifanya wamagharibi hasa watoto wa mwaka kuanzia tisini kwenda mbele ndo wamekuwa tabu na maabara duniani waziri anatakiwa asimamie yote hayo kama anaogopa kusemwa na ushikaji akae pembeni nafasi apewe mwingine maadili hakuna kama alivyosema hao dada zetu huko mitaandaoni na hao baadhi ya mabraza men tabia mhh
Duuu msituchambe sana jaman nass tunaokaribia 2000 huko
KATIKA HILI, BWANA AKUBARIKI SANA, YOU'VE SPOKEN A VERY IMPORTANT MATTER MADAM PRESIDENT, KATIKA HILI UMEUPIGA MWINGI..✌✊😊
Thanks to our Queen 🎉 The new Tanzanians strong President ever for by myself as ordinary citizen deeply i love you my mom ❤ Tanzania 🇹🇿
Ahsante sana Rais wetu kwa hilo. Kadhalika hilo inabidi iwaguse hata wasanii ambao baadhi yao wamevuka mipaka Ni aibu tupu ujumbe wanaoutoa na vitendo vyao kwa ujumla. Naamini kwa hali ilivyo kizazi chetu kinachokuja kitaweza kuharibika sana. Matokeo hayo yatajitokeza miaka ijayo.Hili naomba tulitazame ni ushauri tu.
MAMA LA MAMA HEBU UNDENI HIZO SHERIAAAAA WASHUGHULIKIWE MAPEMAAAAA ,,
MAGUFULI ALIPOWATUMBUA HAKUWA MJINGA ndio maana WATANZANIA kamwe piga uwa hawatamsahau kwakuwa alikuwa ni chaguo la MUNGU kwa WATANZANIA sasa hiyo ndio faida ya UHURU WA HABARI 🏃🏃🏃♀️🏃♀️ naona kwa mbali MAGUFULI UMOJA PATI ni shiiidaaaa ya DUNIA shikamooo ndugu Pole Pole
Chaguo la Mungu anakua na kibali kwa Mungu na kwa wanadamu maana kwa USHINDI wa kura halali Mungu hujidhihirisha ndio Mana twasona hekima ya Suleman, lkn siku hizi ndizo Suleman alisema kaona ajabu juu ya ichi kuona watumwa wamepanda farasi na hali wafalme wanatembea kwa miguu
Usisemee mioyo ya watu sama kwaajiliyako usie msahau,pia tumia busara kufikiri hata mtu Alie umwa na nyoka humkumbuka yule nyoka kwaajili ya ule mkasa na balaa, ila aliekula kuku siku ya krismas humkumbuka aliempa kuku ila sio kwa Sana maana ubaya unavuma kuliko wema, ndio maana polisi hapendwi na mwizi ispokua pale anapomuokoa mikononi mwa wanainchi wenyehasira,
Naona umeandika uharo wa bata mwanzo mwisho 🤣🤣🏃🏃
Hongera Rais wetu, kwa mungu hilo umelisemea na tunasubir lifanyiwe kazi, ili jukumu uliepuke
Thank God there's someone aware of what the devil is planning against our children asante Rais wetu am a happy woman
Kweli kabisa wanawake tunajizalilidha
President of Tanzania, you are very relevant and very educational to all regional countries and I Must say that you are leading in showing the way to our future leaders keep it up President
MAMA MLEZI
HONGERA KWA KUYAONA HAYO
HALI NI NZITO MITANDAOONI!!
Hongera mama kwa kuziona hizo picha za utupu zimetuchosha sana tunaomba washuhulikiwe
Hapa Ni kweli Mama umesema 🙏🏽
Mama Mungu ambaliki sana
Asante Mama kwa kukea hilo. Kuna mambo ya aibu mitandaoni. Tusisahau jadi na mila zetu. God bless you always. Tunakupenda.
Sio cartoons peke au watu kuweka picha za utupu kwenye mitandao ya kijamii hata nyimbo za siku hizi wanatukana sana
Mashaa Allah hutuba nzuri yenye ukweli halisia
Asante mheshimiwa umenena vema
Fantastic
Uko sawa rais wetu
Mama asante sana tumechoka na picha chafu mtandaoni hebu wekeni sheria
Hakika Rais wetu.
Bei kupanda huoni, ila kubusiana f asta unaona🙌🙌 unapoteza mvuto hizo story waachie vijiweni.
Safi sana mama yangu na picha za mashoga tumezichaka mama piga marufuku mashetani hao
Mama mlezi bigup mama
Ubarikiwe Mheshimiwa Raisi sio katuni tu mama hata watu woamo Mungu Tusaidie sijui tufiche wapi watoto it pains Ahsante
mama katika siku omeongea vitu vya maana ni leo maana mimi mwenyew nasikia vibaya sana kuona maadil yana momonyoka kazia sana hilo mungu atakuingiza peponi inshallah
Rais wangu ongera sana tena sema tena sema sana wamezidi jamani. NI OVYO OVYO.
Mama samiah piga khazi
Asante mama umeongea vizuri sana
Hapo Raisi wangu umetetea maadili ya MUNGU kabisa, tunakuombea Mkuu wetu wa nchi, Bwana asimame nawe daima
Asante kwa hilo
Very good point!
well well well.Mungu akubariki kwa kuliona hili mama
Huyu Raise ni mzazi kwelikweli tumuunge mkono watanzania
Kwa hilo sina jisi
😂😂😂😂😂
Sisi hatutaki mzazi tunataka rais anaejielewa
@@josewillson1813 Kama humkubali tengeza wako!
Mama mavazi pia hawa wabadilishe asante sana asalaam alaykum
Safi sana rais wetu
Shukrani umeongea ukweli.
Pia zipo groups za WhatsApp na nyinginezo zilizoanzishwa ambazo zinakiuka maadili zifungiwe zinapotosha jamii.
Sina cha kusema Samia big up ningalikuwa na uwezo libidi nikupe zawadi ila MUNGU BABA aendelee kukufungua usafishe madudu yote katika Taifa hili
Madam President kunywa Maziwa fresh ya moto kikombe kimoja na vitafunwa (sambusa 1& chapati 1) ntalipa.
Hahaha
Well said madam President. Kizazi chetu kipo katika hatari kubwa kutokana na ukuaji wa media holela bila udhibiti.
Big up Our President May the LORD be with you.
Hakuna Dini inayosema uhuru WA kuvaa ila YA ni ya SHETANI
Kama BAADHI YA WASANII WA BONGO FLEVA NA BONGO MUVI wanatukalia UCHI UCHI this is TANZANIA watu na MAADILI YAO hizo POST ZA UCHI NA NYIMBO ZA MATUSI ni uwakala WA SHETANI(illuminate)
Shukran MAMA LA MAMA
Big up
Asante Sana Mheshimiwa Rais your real mother apart from Being a president,hasa watoto wakike wamezidi kujiweka uchi mitaoni na mengine mengi ni kweli waliemishwe na wakirudia washughulikiwe.
Hapa nimeanza kukupenda mama kwa Hilo Ubarikiwe
Wasanii wanacheza utupu na mwingine anainama hali uchi, tunawekewa kwenye mabasi , aibu aibu kweli kweli, tunahitaji mabadiriko. Kila basi wanaweka unashindwa kusafiri kwa raha.
Asante Rais wetu tusaidie
Thanks mama God bless you
Siyo makatuni ya watototu nipamoja nawale wachungaji wenyekudhalilishawanawake ndani yayalewanayoyaita makanisa .Serikalipia isisajiri auyapigwe marufuku .Shidani.nini? wakati serikali inamkono murefu auhao hawaharibu jamii hatakamani uhuruwakuabudu.lakiniwanavunjasanasheria naudhalilishaji wa utu hasajinsia yakike.
Hongera Mama.
Kabisa mama anasema safi
Excellent
Leo Mhe rais ameongea point sana,inabidi tuamke na tuache kuyafumbia macho masuala kama haya hili tuweze kunusuru vizazi vyetu vijavyo visikute jamii iliyovurugwa kupita hii.maana hali inatisha sana huko mitandaoni.
ليس لها من دون الله كاشفة اللهم بحق هذه الآية الشريفة وما حوته من الأسرار المنيفة أن تصرف عن رئيسنا سمع بنت صلح شر الحساد و الظالمين والموذين والساحرين والباغين والسارقين وكل من كادها بالسوء من الجن و الشياطين والانس اللهم اردد كيدهم في نحورهم اللهم اشغلهم بشاغل لا يستطيعون رده اللهم شتت شملهم اللهم مزق جمعهم اللهم فل حدهم اللهم قل عددهم اللهم ارسل العذاب إليهم اللهم اقتلهم يارب العالمين و صلى الله على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه وسلم
Hapo safi kabsa wanakera sana
Hapo Rais UNENENA! Wizara iliondoe taifa kwenye huo upuuzi wa kimagharibi!
very true
Eeee mama hiyo Sheria ije haraka my raise be blessed
Sijaona kiongozi hodari kama mama Samia. Mola akulinde.
Upo sawa mama.
Safi sana
🙏
Kwahili hongera sana rais
Kusema kweli mneno hayo ni sahihi hakuna mtu atakubali kwa dada yake wala kwa mama yake wala kua mtoto wake mambo ya uchafu NA hiyo ni deni utailipa kwa famili yako ukifanza utafanzwa ndani ya chumba yako ya kulala NA usisahau kwamba mungu alihatamisha zina lazima kwa njia ya ndoa halali itakuja siku utalea watoto sio wako
Mama tunakupenda ila hapo ndipo unapo feli kwa hizo bembeleza bembeleza zako. Mtu kazi kaishindwa fukuza acha yahe yahe hizo zinakuharibia serikali yako. Kwa Dunia ya Sasa kumkabidhi mwanasiasa wizara ya habari ni kuhatarisha mustakabali wa Taifa. Hizo wizara Dunia hii ya utandawazi zipo chini ya majeshi. Na si majeshi tu bali intelligent military personnel. Tuamke 😔
Hongela mama umenikumbusha enzi za baba magufuri unwell ndo msinngi wataifa letu
Mama safi sana waanze na wasanii wanaokaa na kuziba kati kuachia mapaja nnje
Ubarikiwe mama kutetea utu na heshima yetu.
Mama akee, nakupendaga bureee
Nikweli mama, hili nijanga la kitaifa hadi kwa baadhi ya watumishi, jambo hili limepelekea kukosekana haya, kwa Wana wake, na kuathirika kisaikolojia kwa wanaume upande wa kutamani kwani kila siku wanao an watu wakiwa wamevaa lkn uchi, Hawa wasanii sio vioo vya jamii Bali ni vyoo vya jamii. Wachafuzi WAKUBWA.
Mheshimiwa Rais hili la maadili kila mmoja atakuunga mkono.
Viangaliwe mpaka uimbaji wa nyimbo za wasanii
Ndo maana akasema yako mengi nadhani Ni pamoja na hayo
Unakuta wimbo unapigwa lbd ndani ya basi au movie
(iwe ya ki Tz au nje) inaoneshwa ndani ya basi, uko na familia mnasafiri!!😭 wasanii hao waonywe...hawa wa kwetu..au ikibidi wafungiweeee... wanatuharibia watoto mchana kweupeee!!
Na hawa wa kwenye mabasi waonywe..🙏🙏
Filamu Zina Namba na hizo Namba Zina maana.. zipo zinazofaa kuoneshwa kwa watu wa umri huu au ule, mf..Kuna miaka chini ya 12 wanaweza kuona, miaka chini ya 15, miaka chini ya 18, zaidi ya 18, na filamu zenye kuogofya hata ukiwa mkongwe zinaogopesha Kama matukio ya mauaji, Zinaa. Muhimu Ni kujua na kutii Sheria.
Point
MAMA HAPO SASA NAANZA KUKUELEWA HAYA MAMBO NDIO TULIYAMISS HAYA. MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRICA.
Hapo umeongea la maana sana mama samia
Nikweli waandishi wa habari hata nyingi mna familia na msingependa yatatokee kwenu basi tumuungane kupinga ujinga huu tubaki na tamaduni zetu kwa faida ya vizazi vyetu
Hongera mama umepiga mwingi
Piga marufuku vitu kama hivyoo havifaii kabisa kwenye nchi zetu hiyo sio asilia yetu asante sana mama kuyakataa hayo
Umeongea sawa mpaka mimi nimekuelewa .
Kweli.kabisa mama
Maamaa ukienda huko kurayangu miaka mia niyako
Kweli mama washuhulikie mama wetu
%100 Mama
Good president
N kweri kabisa mama angu nakuunga mkono
Mama anaumia sana juu ya hili ila TCRA hatuoni na kuliweka sawa? Ebu ingieni mtandaoni na mziondoe tubaki salama.
Hongera Rais wangu mpendwa endelea kuchapa kazi watakuelewa tu.....
Tuko pamoja mama
Kwahilo asante sana mama
Piga chini mama Samia wasikualibie kazi aooo wasio na elimu
MAMA HATA HUKU KENYA TUNAKUPENDA SANA. UNASEMA UKWELI.
Yani hapo mama umeongea waambie kwakweli hata mwenyezimungu atatuazibu siku yamwisho viongozi waliochiniyako wapo wanakaa kimya naomba I tunywe sheria yoyote atakae piga picha yautupu mtandaoni atafutwe apigwe faini au jera
Hii kauli ya hatujui chochote ni hatari sana kwa waziri wa wizara hiyo,ajitathimini sana kwa kauli hiyo.
Mhe. Rais hongera lakini watendaji wako hawajiamini au vp lazima kila mpaka useme, hivi haya mabaraza yaliyoundwa wanaangalia na kuchuja nyimbo za ndani tu na vitu vingine wanaachia viende kiholela, hizo katuni zinahitaji uchunguzi wa hali ya juu ili kuwalinda vizazi vyetu na nchi yetu. KAZI IENDELEE HASA KWA WATENDAJI
Tunakuomba Rais umwondoe Nape uweke wengine wenye kukubalika
Mama point tumechoka na hawa wa facebook eti natacta mwanaume kisa ana umbo zuri kemea mama
Mama nakuunga mkono kwa hiyo mpaka video za kipumbavu pia zisinoshwe
Mama nimeanza kukuelewa aisee...
Kabsa Mama nimekuelewa Tanzania na Afrika kwa ujumla inakutegemea Kazi Iendelee.
Mama umeongea kitu kinachosumbua akili yangu kila siku naomba sheria iwe kali zaidi kwa hao mashoga siku izi hawajifichi tena mama, taratibu nimeanza kukuelewa.
Hakika
Asante mama umeongea kama jemedari wetu. Shida yetu kilakibaya mpaka kiongozi wa juu. Aseme , wengine wanaona hayawahusu badilikeni jamani. Wote yatuumize na tukemee hasa mliopewa mamlaka.