huwa nakumbuka maneno haya ukiwana mahusiano na mwanamke usimwamin sana utakuja juta siku hikindio kilicho mkuta ndugu yetu alijua amefika kumbe bado mwanamke kama daladala haichagui abiliaaaa pole kaka komaaaa namaishayako achananayeeee
Wana habari muko na maswali ya kizushi sana, maswali kinafki. Yaani hata katika mambo mazuri mnapendelea mabaya pia yatokee ili iweje...badilikeni sio poa mnadhalilisha.
Muna maswali yakisenge nyie watangazaji sasa video nzima nimetizama munamuliza mtu swali moja , hivi hamuoni kama jamaa alie nae anajiskia vibaya, maboya sana nyie bora ata millad anaga shobo hizo
Huyu naye?? Duh! Is this a regular media interview or criminal investigation??
Watanzania woote wazalendo bonyeza picha io kusubscribe channel kaliii
Women lie Men lie tusiseme wanawake tuu. Kilicho kibaya ni mwanaume kuachwa au kutendwa dooh!! So much pain.
Love more barnaba
Wanawake mungu anawaona kwa dhambi mnazozfanya
Ngoja ahachwe ndo barnaba atakumbukwa
duh hapa barnaba hapa alipenda rangi tu mbona hakuna lolote
Inauma aki ya Mungu
Ila wemwana mke mbwaaaaa
Wanawake bhnaaaaa aiseehhhhhhhh
Sasa umeenda kuchukua mwanaume kama mwanamke, mkitangulizana si mtatongozwa wote.
Hahahahaa
huwa nakumbuka maneno haya ukiwana mahusiano na mwanamke usimwamin sana utakuja juta siku hikindio kilicho mkuta ndugu yetu alijua amefika kumbe bado mwanamke kama daladala haichagui abiliaaaa pole kaka komaaaa namaishayako achananayeeee
mbona wanaume waki wa introduce madem wapya inakua sawa
Dou mapenzi
Wanawake akili zao ni nyoooooo
maisha yaendelee tu
Mi naona hawaendani kabisa mama Steve liboonge...huyu mkaka alitakiwa awe na mtoto mbichi mbichi rika la akina Tunda hivi
Joyce Daniel au mm😀😀😀😀
Uyo boy wke N mjanja
Unyama tuuuuu
Mziki wake ni mzuri na mkewe pia ni mzuri
Huwa wanapima ukimwi?
Mmmmh wanawake kwa tamaa sisi hatuwezekani
angekaa akatulia alee mwanae,manaume hayaelewekagi
KWA HABARI MOTOMOTO GUSA PICHA YANGU KUZIPATA
Tokea umeachana na Barnaba umeanza kuwa mbibi yani
Iv ilikuwaje wakaachan
Sio wakwanza wala wa mwisho... next
Mpenzi ya kibongo bana ni utapeli mtupu
huo dada bana akili zake anazijua yeye mwenyewe umalaya ndyo kazi yake
Wenye walioharibikiwa duniani ni wale waliojihusisha na wanawake....
fyaaaaata ujinga tu hilo lidada linaonekana boya limeniudh kwel
Kazoea kuacha HAPO Kijana HUNA MIAKA 2
Wana habari muko na maswali ya kizushi sana, maswali kinafki. Yaani hata katika mambo mazuri mnapendelea mabaya pia yatokee ili iweje...badilikeni sio poa mnadhalilisha.
Huyu ni limbukeni tu kazuzuka na ushombe ushombe tu na hiyo rangi utakuta hana lolote si muda mrefu mtasikisa masinema yao.
Jamila Jamal JJ umeona eeee
😅😅😅😅😅😅
Tutaona mengi
Uzur wenyewe hana bwege kwel
Usenge tuu fyuuu!!
mambo na kiki hunifanya nakumbuka movie ya marehemu kanumba kwa kweli hakukosea kuicheza alimaanisha watu na tabia zao,, wadada tutakufa kinyama
Eti sijasikia analalamika
Umalaya na ulimbukenj tuu hapo ndo huwaa nawachukia wanawake
Emmanuel Nyansiro watuchukia hivi hutaowa ama vip
Yalishanikuta kama ya Barnaba sihitaji tena mwanamke sasahivi nimeshazoea hili life
+Emmanuel Nyansiro Niko mm kwa ajili yako
Shadia Ali na mm nipo kwa ajili yako
+Miraji Mohamed hahaaa
jamani hamjaendana kabisa hiko kikaka kipemba cha urojo
Wapemba kw shoo achana nao kabisa wanaweza
Huyu dada ki kichwa maji
mxenge xana uyo dem
Mmmh! Majanga
jitu zima kushobokea mapenzi,,,,,,,,,huna uzur wowote tulia ushakuwa .......
mbona demu mwenyewe wakawaida
Kama mm cmuelew kabisa
Huyo mwanaume anakuzidi uzr atakuacha tyu
Hivi Barnaba na huu jamaa ,msani yupi?mi naona jamaa katokeleza na Pamba ila Barnaba kama Babu Seya
Wanawake hamtouona Ufalme Wa mbinguni
Misimamo kitu muhimu sn
nigune tyu nisje yaropoka
Sikuzote km huna mapenz ya kwer huwez kuon wivu
hivi machalii wa tz wana nini na watu wazima kuwa zidi umri
Sasa huyu dada ana ukubwa gani
MBONA HAMUONESHAG MAGARI.MAPYA MKINUNUA?MNATUONESHA KAMA NIBINGWA WA KUBADILI WANAUME.KULIKO MAENDELEO.HOVYOOO MATAKATAKA PAMPULA.
Hahhahahahah labdaa hamnaa kilaa kituuuuuu
Demu malaya huyu
ndomaana kaolewa nashoga
ushauli Wangu kwako wewe kaka !usije ukaoa ilo gume gume
Haswa umeona eeeee mijicho sasa 🥺🥺🥺 kama fund koki
dogojanja
Ni bora kuliamini jiwe ukienda ukirudi utalikuta kuliko wanawake.
Asante Sana
deograsias banda ni kweli kabisa
Hahaaaa
deograsias banda Hahaha umetisha
hahaaaa makubwa
uyu mtangazaji vp...yan ningekuwa uyu jamaa ningemzabua mibao...sasa maswal gn gn jmn..watangazaji mkasome vizur jmn
Drama tu
Muna maswali yakisenge nyie watangazaji sasa video nzima nimetizama munamuliza mtu swali moja , hivi hamuoni kama jamaa alie nae anajiskia vibaya, maboya sana nyie bora ata millad anaga shobo hizo
Binti Fatma ,,,,,jaman kwel hii kero sasa huu umalaya kuburu
😷😷😷
hili dem mbona lizee Lanini Sasa wakati halijielewi
Kaká Ana dharau uyu kwa mwonekano tu Kama mpenz wng... 😂😂😂
jmn dhambi sisi wanawake