Skuhiz wanawake wanajshaua kwa waume za wat dada ukjfanya unamkomoa mwanamke mwenzio huyo mwanaume akikupata atatazama mwngne pia kama wew wa pil kuna wa tatu hvo achen kuinglia NDOA za wat taften wakwenu kama manajiamni kwwl ❤ sku zote mke mkubwa upendo wake haufananishw wake wakubwa mpoooo❤
Akae kwa kutulia alimbadili dini kwa maana hiyo anaijua dini ya kiislam vizur so atulie tuko tiar kumpokea mke wa pili l😂
Yes yes Raya no second wife gal I support you new couple on tz
Skuhiz wanawake wanajshaua kwa waume za wat dada ukjfanya unamkomoa mwanamke mwenzio huyo mwanaume akikupata atatazama mwngne pia kama wew wa pil kuna wa tatu hvo achen kuinglia NDOA za wat taften wakwenu kama manajiamni kwwl ❤ sku zote mke mkubwa upendo wake haufananishw wake wakubwa mpoooo❤
Hahaha😂😂😂😂
Atajuta
Sasa yeye ndo kaoa au?? Oya mwanangu BARNABA ukiamua wew fanya hawa kelele ni za kawaida.
🤣🤣🤣🤣dini yenu yenyewe inawaumiza wenyewe
Haya mamb wasani hawawezi wachie babu zaao😅
Jipe moyo tu sk ukipigwa na kitu kizito lete mrejesho ushasema msanii subil asaniii😂😂
Fact
Kwa iyo una mpinga mungu mana alitamka hii kauli ni Allah ja sio mtume wala malaika wacha ujinga mtoto wa kiislam
Mimi nampenda Barnaba tena nipo vizuri mna Iona aje?niwe mke mwenza Na Raya
Kwani Dini inasemaje 😂
Eti inasema wake 4 mwisho😂😂😂
@@nellymtambo8432 basi Sheria ya dini ifuatwe😂
4😅
Kashaielewa dini sheikh mpya
Km kakuowa bc akiamua alipingik laa km umemuowa bc ataowa nukuu mwanaume apangiw bal anakupangia kaa kwa kutulia
Waislam wanataka ni wake 4 nashangaa wenyewe wanavunja sheria na wivu umewajaa
Apambane na hali yake