WAKE WATATU WA MAREHEMU SAULI WAFUNGUKA WALIVYOKUWA WAKIISHI NAE "ALIKUA ANATUPENDA SANA"
Вставка
- Опубліковано 9 вер 2024
- Hapa ni katika Kijiji Cha Kibaoni wilayani Chunya mkoani Mbeya ambapo ni nyumbani kwa mfanyashara maarufu wa Madini na Mmiliki wa mabasi ya Sauli ambaye sasa ni marehemu Sauli Solomoni Mwahabhila.
Marehemu Sauli alifariki Agosti 4 mwaka huu mkoani Pwani kwa ajali ya gari na kuzikwa Katika makaburi ya familia Kijiji Cha Godima huku mtoto wake wa miaka 3 akinusurika katika ajali hiyo.
Ayo tv na Millardayo.com imefika Hadi katika Kijiji hicho alipokuwa akiishi marehemu na kuzungumza na wake Watatu wa marehemu wamesema marehemu alikua na Wake wanne na mmoja alifariki hivyo wamebaki Watatu na watoto 16.
Namuunga mkono anaesema bi mkubwa ndo mke hao wengine wamekuja baada ya kuwa na pesa mungu isaidie familia yake wasigombane❤
Mke wa kwanza wa kwanza hana maneno mengi na busara nyingi sn ongera mke wa kwanza
Wapili Sasa et namba nliyokuwa naijua mm TU 😂
@@marymanoni5536 sana
Hongera mke wa kwanza wewe ndio umepoteza mume hao wengine wamepoteza hawara
Mara nyingi alikuwa na huyo wa pili ktk mizunguko yake ya shughuli zake za kazi hasa zinazohusu mabasi, akiwa Dar mara nyingi huyo alikuwa akimsaidia kazi za hapo hata ofisi ya shekilango ulikuwa unamkuta huyo mke mdogo, tena ni mpole sana tofauti na jinsi mnavyomchukulia. kwa hiyo msimbeze kila mmoja kati yao alikuwa na majukumu yake, tambueni kufiwa na mume siyo mchezo, wake wote hao wapo kwenye majonzi mazito tafadhalini wapeni maneno ya mazuri ili kuwafariji ktk kipindi hiki kigumu kwao.
@@rayisadesigns2646 mpole angekuwa mpole angejinadi ivyo alikuwa nae mda wote ww unaona sw eeeeee omba ucwe ww ndugu
Matajiri hawaoi wanawake wanaoa nyota wanawake mjue asilimia kubwa wanaoa nyota za wanawake ndio maana wanakuwa wahuni na hawahurumii wanawake wanawatesa sana wanawake wasiomcha Mungu jamani Mungu atusamehe wanadamu tunatesana sana ila Mungu atadhibitisha haki yake😊
Mke wa Kwanza Mungu alie mbinguni akutie nguvu huna baya mumy
Mke wa pili ana mbwembwe eti no anaijua yeye tu.
Maneno mengiiii.
Hongera bi mkubwa huna maneno mengi Mungu akupe maisha marefu
Kwa kweli eti namba anaijua yeye tu anataka kuudhihirishia umma kwamba yeye alikuwa zaidi ya wengine
.
😂
Bibi Wa pili punguza mdomo,mbona alioa Wa tatu,huyo Wa 3 ndio alikuwa kipochi manyoya
@@salmaramadhan2725Duh
Hapo mke ni mmoja WENGINE ni kupe wanyonya DAMU.
Jina la kikrsto Maisha ya kiislam wanaume mwaminini Yesu ndo jibu pekee la maisha yako
Kuoa wake wengi sio kosa mitume karibu wote walifanya hivyo na mungu hajawahi wakosoa kuhusu hilo mana makosa mengine aliwaonya hii nijibu hakukuwa na kosa kuoa wake wengi ,kuhusu jina sauli sio jina la kisilamu kama ulivyo zema sauli ni jina lenye asili ya kiyahidi yupo mfalme alitawala isirael aiitwa sauli na hakuwa mwislam hivyo hapo pia umekosea
Acha uongo wakristo kibao wanaoa wake zaidi ya mmoja
Kamsome huyo sauli kwenye Bible alikuwa na wake wangapi? Alikuwa Dini Gani...?
Pumzika Sauli! Kumbe ulitimiza Sunna ya wake wengi! Hongera kwako
Katimiza sunna kivipi wakati wakiristo huoa mke mmoja tu?
@@mwawekomiuda9779 kwahiyo hao wengine sio wake zake?
Kila mtu mume wangu
Ni mume wa Monica aliyeanza naye maisha ninyi wengine ni wa kudangadanga tuu
Mkewe yupo Chunya ninyi ndio mnakula maisha mjini
Jamani dunia hiii
Ila mke wa pili ni nyoko sana, anavyojitapa utadhani yeye ndo alianza nae maisha ya chini wakati mwanzilishi yupo wala hana maringo, nawakati huohuo bi mkubwa ametwambia mke wa pili alifariki, so huyo anayesema niwapili kumbe niwatatu, nimempenda mke mkubwa nayule watatu ambaye hata siku ajali inatokea alikuwa anakatoto kake ndani ya gari
Niwashenzi sana wake wadogo nanjo mana nimekataa yakufa sitokufa nachangiya bwana na mwanamke mwenzangu bora nitoke hawo wanakuja namambo mengi?usikute wari mtoa kafara?ya warimwengu ni mengi sana
Yani wew unaleta ujinga na wanaume wa sasahiv kwa unanzaje kuapa kwamba huta shea bwana na mwanamke mwenzio unajuahe kama anamichepuko ndo nyie wakuja kustukia bwana anamtoto nje ya ndoa Tena anamlipia ada shule ya private wakwako wanasoma kayumba
Huyo wa 3 Mrembo sana,atawahi kuolewa tena
MKE WA PILI. ILO NI JAMBAZI. TENA ANAONESHA AKILI YAKE IMETAMANI MALI TU ETI MR SAULI UYO MUANGALIE AWA NDIO. WALETA MAGOMVI KATIKA FAMILIA NA NDUGU NI JAMBAZI KABISA
Kwa Jina la yesu epusha magomvi kwe Hii family 🙏
Amina
Amena
Amin kaka watakaa vizuri na mawakili wqtawaongoza vinginevi kitawaka
Amen
Je kuna NDOA ya zaidi ya mke mmoja kwa MKRISTO?
marehemu hufa na chake jiandaeni 😢..poleni sana
Ukweli mchungu
Mitazamo -
@@rehaniabetaSio mitazamo kama watanza kugombania Mali utashangaa zinaisha talatibu kwani wanawake tunajijua pia Mali haitak kelele
Mke wa pili mweee na ujanja wote huo na maashuo ,bwana akakuolea Mke wa tatu qudadeq🙌
😂😂😂😂 wanawake zetu bhana naona mnakamind hako kapili mno
Nakwambia et hio namba nilikua najua mim tu wew kama nani
Dada Martha pole na msiba Mimi kakaako niko mbali tu uku naomba uvumile, Mungu akupe nguvu Dada angu tuko pamoja
Nani kakwambia ujitangaze we n kaka ake?
Tuko msibani usinichekeshe😂😂@@nth3512
@@nth3512😅
Mke wa pili hiyo namba unaijua wewe tu, wacha weee! Mbwebwe nyingi akati mke mkubwa wala hajikwezi mungu ambariki Mungu awasaidie tu
Mbona boss hana pis kali, au ndo sheria zetu.
Kwaiyo hapo hujaona uzuri wa hao wanawake? Acha hizo kijana
Wanawake ni wengi sana Wanaume jitaidin muwe kama marehem SAULI kuoa wake wengi ili kuwastiri Mungu atakulipa kwa hilo
Kweli kabisa dada yangu. Allah akulipe kheri
Mm nataka nikuoe ww sasa
Duuuuuuu wak zak wa kawaidi san❤
Poleni
ila wanaume 😢😢🙌🏻🙌🏻
Bado mmoja,,,maana mwisho wanne!
Wanaume mungu anawaona watoto 16 poleni sana watoto kumi mama zao tuwasikie
Mke wa 3.mzuri mashallah
Very innocent
Rest in peace
Kipengele kwenye Mali hapo mhhh m/mungu awape subra katika. Kugawana inshallah
Kwanini waafrika mtu akita wanawaza kugawana mali, mwanzo wa ufukara huo
Mungu atusaidie
Poleni sana wafiwa.
Mke wa tatu ndo mzuri mke wa pili anaonekana mbinafsi namba yake hiyo nyingine naijuwa peke yangu
Kweli kabisa kwann asinge waambia wenzie hili tatizo
@@salhamlanz9806huenda ni kaongo hako
@@salhamlanz9806na kwanini yey tu ajue hiyo no lijambazi huyo
Daaa jmni ilaawasio wake niwazaziwezie apo mke nimmoja au wte walizaa tuu daa nmekumbuka mbli poleni Sana 😢
Napenda Sana Basi la sauli poleni
mungu awatie moyo
Sauli kafa lakini sababu ya mali wengi wataumia.bora angekuwa mke mmoja.waka 3 tutaona mengi.Mungu awatie nguvu wake wa sauli.
Huwezi Kua Na Mali arafu Uwe Na mke mmoja
Kwan familiy ya mke mmoja hautokei ugomvi
Mke mmoja watu wanauana pia kama aliweka vyema kimaandishi inaweza kua na nafuu
Hakuna Asari yeyote inachotakiwa hapo mke mkubwa Asimame kiume kuwa simamia wanawake wezake Akisimama imara mke mkubwa watu wote ni machawa watabakia kuongopa kabisa
Mkirsto anakuwaje na wake watatu????
Wake zake kama vile wamefanana wote
Kumbe hata wewe umeonae
Nami nime piona ilo kama wame fanana
Nikajua macho yangu
Nlijua Mimi tu nmeona
Mbona wamefanana kweli kupendana raha
Huyo mke wapili ataleta shida baadae
Kumbe wakisto wanaruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja🤐
Mimi sijaona walipokosea hao kina mama, ni wivu wetu tu wa Kiafrika😅😅😅😅😅
Nimempenda bi mkubwa wengine palamia tu
Kwani sisi wakristu ndoa za wake wengi ruksa? Nataka nijue maana namimi napenda
Pesa imehalalisha mkisto kuowa wake watatu
Mungu awafunge mkanda ndugu zangu mulee watoto zenu km baba yao alivyo wapendwa mweeeh polen yupo mungu wawajane na baba wa yatima fungeni mkanda maneno ya nje msiyasikikize shilikianeni kuwalea watoto hao 😢😢😢Rest in pice baba Geda
HAPO MKE WAKE NI WA KWANZA .KIDINI
Kwa iman yako wewe
Kidini mke ni mmoja hivyo ndo anamanisha yani huyo wa kwanza ndo serikali ndo wanamfamu upo ..unless angekuwa muislam@@jeffmap4038
Kwa dini yako. Lakini waislamu wao mungu ameruhusu wake wengi kwao siyo dhambi.kwa wakristo ndiyo dhambi.@@jeffmap4038
Dini gan
Umeso wapi
Mke wa pili wezi wanajua kujieleza mke halali ni mmoja tuuu eti tumejenga huku na kule duuuu
Hya poleni sana mungu awape hkma mkae kwaamani.a
Ila mke wa pili🙌
Co wa pili et ni wa tatu wa pili kafarik kiherehere tu
🙏 MWENYEZI MUNGU awe kati yao🙏
Mke wa pili huyo ninamashaka nae 😢😢😢😢 MUNGU azidi kuwasaidia,hii family
Mashak y nn
Huyu mke wa pili ni mchawi labda kausika
@@fideamtenga212 kwasababu katamka neno kwamba yeye kunanamba moja ambae anaijuwa yeye tuu jamani mke mkubwa MUNGU amsaidie
@@janetdundul3858 afu pia uyo wa pili anajishaua sanaa Yani inavoonesha bwana uyo ndo akiemckliza n kumjal sanaa
Nasikia huko akhela ukiwa muislamu utaenda kupewa wake wengine 70 kama ni mkristo ndo imekula kwako duhh
Halafu wote karibia wanalingana,duh,
Kaolewe wewe ambaye huringi
Kwani ukristo unasemaje kuusu wake watatu
Hata kusikitika hakuna kwel mke mmoja anafaa bana.
Yaani Mke mdogo anasema mji mkuu ni Mbeya alikokua anaishi nae yeye?😮😅 Haijalishi Mke Mkubwa anaishi nyumba ndogo kwa umbo kwa namna yoyote, ule ndio Mji Mkuu
Mke wa pili kama mbinafsi hivi😭
Mbinafsi sana eti namba nlikuwa naijua mwenyewe ndo alivyokudanganya pumbav😊
Sana
Kumbe siku hizi wakiristo wanaoa mke zaidi ya mmoja.
Pesa😂😂😂😂
Pole sana
Kumbe wakristo nawao wanakua na mke zaid ya mmoja?!!
Mkristo anakuaje na wake 3 au mihepuko
Shangaa na wewe wanaoji ata michepuko😂😂😂
Aloo
Wapo wengi tu,,,Wa kwanza huwa wa kanisani na hao wanaobaki inafungwa kimila.
@@jamesmzaki6041wakristo hatutambui ndoa za kimila wala kiserikali mke ni mmoja tu hao wengine ni wazazi wenzie
@@jamesmzaki6041khaa hyo sio ndoa sasa wa kwanda ndio mke hakuna ndoa za kimila wala mahakamani ni ujinga tu
Wake wakavuuuuu
Uhakika wa kula upo😅
@@FrolaMrema 😂😂😂hamnaga amani mtu akifa na Mali ni wachache Sana wanaoacha Mali mambo yakawa mazuri Kwa familia zao
Ukishaoa zaidi ya make mmoja umeita kifo nyumbani kwako. Madhabahu zao wanakuja nazo kwako na zikianza kupigana wewe utakuwa wa kwanza kufa.
@@sophiemsuya6507uongo
Acha unafiki ww@@sophiemsuya6507
Wake zake wote visu
Jina la sauli jaman, usije ukamwita mwanau sauli wanapenda wanawake hatari
😂😂😂sio bhnaaaa
😂😂😂😂 we umejuaje
Wewe Mungu anakuona
Sauli ka enjoy life
Ngoja nitafute hera mimi uke weza hapana cwezi najijua akili yangu
Ila wanaume jamani kutulia ndio hawawezi,,,mtu kahangaika na mke wake kutafuta maisha lakini akishapata wazo analoliwaza ni kuongeza wanawake😢😢😢😢
Kuna sehemu wanakataza kwenye Biblia kuwa na mke zaidi ya mmoja?
@@TBCLINICKYELAndio
@@esterkiyongo2316ni sehem gani hiy
@@TBCLINICKYELA ndio ipo. Wakorinto mtume paulo anasema kila mwanaume mmoja awe na mke wake yeye mwenyew na kila mwanamke awe na mumewe. Kasome wakorinto
@@esterkiyongo2316mi naona yeye alienda kama wazazi wetu wa zamani, wakani yupo na wa mila wapo, moyo unatamani na pesa zipo, amekosea masharti zimemramba
Kulikua na haja ya kusema namba naijua mm tu..
😂😂 hapo ndio wanaume wanajuaga kucheza na akili za wanawake wasiojielewa kamwambia namba unaijua wewe tu, kumbe kila mwanamke kaambiwa neno hilo hilo na alipokufa taarifa ya Kwanza kapewa mke mkubwa, nyie wanaume acheni hizi mdada alijiaminisha kumbe hayuko peke yake😂😂
Anazijua haki zake ndio mana kasema yeye tu!
Rip baba wa family ......
Mke wa pili kudadadek kitawaka baada mazishi kuisha, mbinafsi sn ety NO nilikua naijua mie 2 khaaa.
Ila mke wa pilii😊😊
Yani ni selfish kweli😂
Eti Namba ya sim ya mimi na yeye tu 😅
Kibuyu sana aiseeee huyo hata kulea watoto wa mke mwenzie hawezi
Kipengere Kwa kweli 😂
Utoto mwingi
Ila kimke Cha pili kiongo nyie,eti namba ninayoijua Mimi tu 😅😅😅ila jamani
😂
Si mnaona wanawake wa boss kubwa hakuna slay queen, eeeh inafikirisha eeeh
Wafiwa nawaogopa mhhh hats chozi
😂😂😂
AHYAAA:: milad ayo .. UMEANZAJE KUBADILIJINA? Dolika mbwile kuja debora mbwilo❓.. au nijinamoja ilo🙆🏻♂️
Hawajabagua mtu wamewaka wote watatu vzr sana
Umalaya tu na tamaa za mali ngoja muone cha mtema kuni na hivyo vifaranga😂
Wew huelew kabsa
😂😂ila wewe
Walikuwa wanapenda jamani msiingilie kama walikuwa hawana ugomvi
Hapo kwenye wake 3 mkiristu lini tena
Ni kwa sababu ya hela
Mkiristu ukiwa na ela unaluhusiwa kuwa na wake zaidi ya Mmoja, ukiwa una ela ni mke Mmoja tu,
@@user-tc9vi3ow3n😂😂😂
@@user-tc9vi3ow3n ahahahaha yan din inaubaguz sana angekuwa masikin asingesaliwa kabisa ila tajir ni kama hamn kosa
@@user-tc9vi3ow3nnani alikudanganya kwenye Ukristo io ni udhinifu mke ni 1
Mke wa pili mnafiki sana😂
Nyie Wanawake poleni ila hata choz kutililika hamna
Ukiona hivyo...sauli sio mkaaji nyumbani....
@@marthageofrey5607Duh
Mke wapili akewe ulinzi maneno yote anamalza yeye alfu yupo busy na cm😊😊😢
Pesa za maelekezo hazidumu
Mke mmoja mahawala wa2
Rip sauliiii
Huyo anaitwa Solomon Sauli
Halafu nyuso zao mungu kazitowa kope maana kope ndio zenye kuleta aibu hata chozi jamani
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Nimecheka kwasauti jaman
Eti ximetolewa kope
@@abdulkarimabdallah9536 we ndugu huwaoni kama hawajafiwa vile
Kumbe adi wakristo wanaolewa watatu
Mpo wangapi sasa tumeona wakwanza mara wapili alifariki tena hooo minimke wapili sijaelewa
Ongera mke wa kwaza kuwapokea wake weza
Poleni.what next?
😂😂😂😂Mali kurudi kwa wenyewe ama🤔
Kwa hyo mke wa pili anajifanya alikua anapendwa kuliko wa kwanza? Mpka aseme mji mkuu ndo aliokua anaish yy na saul mfyuuu
Ila wew wanfanya nmecheka jmn.
Ata mi meshangaa uyu dada😂
Ana umimi huyo mke wa pili
@@miriyamasanja6766 sanaa
Kasema mumewangu🙆🏻♂️..ila kawatajawoote na kasema watoto ninaowengi (kaunganishawatotowoote)
Mweee!!
😅😅et namba nilikua naijua mm Tu jaman wake wadogo mbwembwe
Hata wakiristo wamekuwa kama wais𝕝𝕒mu kujaza wake tu pindi akipata mali😢😢😢😢 shida yao n nn hasa lkn mi nilikimbia ckutaka ujinga
Ni nature ya maumbile utakimbia sana sijui utenda wapi tena
@@msarama5406 𝕟𝕚𝕜𝕠 𝕟𝕒 𝕞𝕒𝕚𝕤𝕙𝕒 𝕪𝕒𝕟𝕘𝕦 𝕜𝕨𝕒 𝕤𝕒𝕤𝕒 𝕟𝕒𝕝𝕚𝕖𝕒 𝕨𝕒𝕥𝕠𝕥𝕠 𝕨𝕒𝕟𝕘𝕦 𝕟𝕒𝕞𝕚 𝕟𝕚𝕞𝕖𝕥𝕒𝕗𝕥𝕒 𝕞𝕒𝕝𝕚 𝕪𝕒𝕟𝕘𝕦 𝕜𝕒𝕞𝕒 𝕨𝕒𝕠 𝕟𝕕𝕠 𝕨𝕒𝕟𝕒𝕗𝕒𝕟𝕪𝕒 𝕜𝕦𝕥𝕦𝕜𝕠𝕞𝕠𝕒 𝕝𝕜𝕟 𝕤𝕚 𝕞𝕞 𝕟𝕚𝕜𝕠 𝕥𝕒𝕪𝕣 𝕜𝕨𝕖𝕟𝕕𝕒 𝕜𝕦𝕪𝕒𝕛𝕚𝕓 𝕙𝕦𝕜𝕠 𝕨𝕒𝕟𝕒𝕦𝕞𝕖 𝕟 𝕨𝕖𝕟𝕘𝕚 𝕡𝕚𝕒
Tafuta ela
@@AbdulMaeda 𝕨𝕖 𝕤𝕚 𝕞𝕨𝕒𝕟𝕒𝕦𝕞𝕖 𝕟𝕕𝕠 𝕚𝕟𝕒𝕥𝕒𝕜𝕚𝕨𝕒 𝕦𝕥𝕒𝕗𝕥𝕖 𝕡𝕖𝕤𝕒 𝕟𝕒 𝕤𝕚 𝕖𝕝𝕒 😄🙄𝕄𝕚 𝕟𝕚𝕜𝕠 𝕟𝕒 𝕞𝕒𝕚𝕤𝕙𝕒 𝕪𝕒𝕟𝕘𝕦 𝕤𝕚𝕚𝕥𝕒𝕛𝕚 𝕞𝕨𝕒𝕟𝕒𝕦𝕞𝕖 𝕞𝕨𝕖𝕟𝕪𝕖 𝕥𝕒𝕞𝕒𝕒 𝕫𝕒 𝕜𝕦𝕠𝕒 𝕨𝕒𝕟𝕒𝕨𝕒𝕜𝕖 𝕨𝕖𝕟𝕘𝕚 𝕛𝕦𝕦 𝕪𝕒 𝕥𝕒𝕞𝕒𝕒 𝕞𝕚 𝕞𝕨𝕒𝕟𝕒𝕦𝕞𝕖 𝕒𝕜𝕚𝕥𝕒𝕜𝕒 𝕞𝕒𝕚𝕤𝕙𝕒 𝕟𝕞𝕚 𝕒𝕛𝕚𝕡𝕒𝕟𝕘𝕖 𝕜𝕚𝕗𝕖𝕕𝕙𝕒 𝕜𝕒𝕞𝕒 𝕙𝕒𝕨𝕖𝕫𝕚 𝕒𝕜𝕒𝕗𝕚𝕖 𝕞𝕓𝕖𝕝𝕖 𝕙𝕦𝕜𝕠🙄😏
Daaah huyu mke mkubwa jmn anatia huruma xana 😢😢
Ndio mwenye uchungu hawa wengine wala mali tu mwenzao katoka nae mbali
Eti namba naijuwa mimi tu Huyu mke wa pili anaonekana kama ni mzingo zaindi ya ngunia ya mchele
Huyu mke wa pili anajikuta mmmh
Inaonekana mke wa pili alimwamini na alimshirikisha vitu vingi kuliko wengine,,hadi alikuwa na namba ya siri ya Mr
Mbona mkristo anawezaje kuwa na wake watatu😢
Hili ndo swali hata mmi najiuliza qu ngoja tuwaulize wenyewe
@@abdulkarimabdallah9536atakua anasali kanisa la mitume ni wakristo ndio unapoingia kwenye dini yao uwe tayari umeoa wake watatu ,hata watano ila huruhusiwi kuoa tena
Huyu jamaa kaenda kuzimu moja kwa moja yaani wake watatu?😂😂😂😂
wake wamefiwa juzi tu lakini wakavu hapo wanawaza mali tuu
Ulitaka wawe ICU????
Kama kafa nazo je!? Si mpaka ujue alizipataje! Kama za shetani anayeyuka nazo my friend! shetani hana cha kudumu hata siku hii!! Ni viini macho tu/ mazingaombwe.
Ila mke wa pili mmmmh
Mke wa kwanza na wa tatu nimewakubali sana hawana mambo mengi ila huyo mke wa pili sasa ngonjera nyingi sana
Sasa huu sio mwislam kwanini wake zaidi ya mmoja? kumbe kweli mke mmoja hatoshi!🤨
Hakuna biblia ilioandikwa oa mwanamke 1
Makafiri mtafakari muhsmie kwenye dini yahaki