Unapoitaja freemason ni kwamba umemgusa shetani mwenyewe mzima mzima. Hivyo mtumishi Mkono wa Mungu ukushike na ukuponye maana mapito unayopitia ni kwamba unapambana na ibilisi mwenyewe. Jitie nguvu katika Kristo. Mungu hatakuacha.
The song is fully fact based. Christians ought to be babtized in the Holy Spirit to counter attach the works of the enemy. Live by the Word of God. ' teach and follow the Word; and only the WORD!
Polee sana tunakuombeaulinzi wa mungu haendle kuwapamoja nawew kilawakati Akikauwimbo huu unanibaliki sana unaujumbe mzitosana tena hulio jitoshreza Aiiisee tunomba mungu haendle kkupandisha viwango vya juu zaidih mungu akulinde wakati wote 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Dunia inapita jeanam ipo na paradizo ipo mwanadam akubali akatae na shetani ndie adui na wana wa Mungu ni wanadam watakao mfuata shetani kama mama zetu Adam na hawa oky wafuate ila kuna maisha kisha kifo tena maisha hisio na mwisho 🙏🙏 SOMENI NENO. Kuombewa ni vizuri ila vipi kuusu wewe Duniani akuna mtumishi wa MUNGU sote watumishi kikubwa maamuzi 🙏🙏
Pole sana mtumishi kwa ajali uliopata usiku wa kuamkia leo,,pole sana,,mwenyezi mungu yuko pamoja na wewe,,atakuponya kwa uwezo wake,,tunakuombra sana mtumish ..mungu si mwanadamu,hawez kuacha jina lake lidhihakiwe,,namuomba mungu aonekane aunge hiyo mifupa ilovunjika kwa damu ya yesu, ,,,Amina
Mungu atakuponya kwa damu ya yesu kristo uungwe mifupa yako kwa damu ya yesu kutoka uliko shetani na jeshi lake 2nawapiga kwa damu na moto wa damu ya yesu!!usikate tamaaa endelea kutegemea msalaba wa yesu
Is true most churches they are against money, aliyekuita ni mungu, mungu atabaki kuwa mungu hata kama haja timiza hoja ya moyo wako, napenda kusikiza nyimbo zako nimejifunza mengi,na mungu akutie nguvu, amen
Roho wa Bwana akujaze Ndguvu sana uendelee kusimama Imara na Yesu Kristo maana upo kwenye vita kbs na ma agents wa nguvu za kiza,Mungu Baba akufanyie wepesi katika yote na upokee uponyaji katika jina la Yesu Kristo
Nakupenda Sana Sana mtumishi kwanyimbo zako zilizojaa mafundisho mungu aliye hair katika kina la YESu akuinue na akubariki akusamehe kwayote uliyoyapitia pengine ukiingia huko kwamakusudi yake ili uje utufundishe
anachoimba anakielewa na sasa nami namuelewa, oky Mungu akutie nguvu urudi ktk hali yako maana unagusa penyewe ila kwa kuwa Mungu ni mwaminifu utapona.
Kaka umenipa nguvu na mimi kuendelea kutoa siri za Freemason kupitia uandishi wa vitabu hatakama ainilipi ila ntapambana adi mwisho kuvujisha siri za hawa watu waovu Freemason mimi mwenyewe wananitafuta sana lakini roho mtakatifu yupamoja namimi
Ni kweli kabisa mungu akuponye na kukulinda na Familia yako na pia aendelee kukuinua katika huduma yako kwa Jina La yesu Kristo aliye bwana na mwokozi wetu amen
Vita vyetu si vya damu wala nyama bali ni vya Roho ,kwa vita hivi ndgu wapendwa tumuombe Mungu atupe macho ya kutambua aduhi zetu maana wamo miongoni mwandugu zetu niwakati wakuvaa mikanda viunoni mwetu sasa ili tushinde vita hivi
Do not say ameni unless you understand what is Pascal singing about. GOD the CREATOR IS SUPREME and Stand alone GOD cannot be mixed with other religions. SOMEONE PLEASE TELL ME IN ENGLISH WHAT IS THIS SONG ALL ABOUT THE FRANMASON. I am a follower of CHRIST have nothing to do with a song although I like Pascal's songs.it
Kweli tupu kabisa nilazima tusome neno ili tuepuke haya Mungu atusaidie na Mungu akufinike na mbawa zake damu ya Yesu aliye yote ikuzunguke aki napenda unavyokuwa muwazi na ukweli ubarikiwe sana
Unaimba ila nikushauri acha kuwahisi watu kwa utashi wako itakugharimu,Mungu ametoa watu wake mbali unaposema miujiza feki elezea hiyo halisi ilivyo,imiza watu kusoma Neno ili liwasaidie kujua vitu ila sio kuhisi tu
Alicho imba ni kweli maana kila ukisikiliza mahubili kila kona ya nchi watu wanahubili miujiza tu hawahubili watu waache zambi au na wewe ni mmojawapo wa majibu anayo sema psc
Anaimba kweli kabisa wala usijihisi,manabii,wachungaji,utasikia njooo mlima wa moto upate miujiza na mafuta ya kung'alisha nyota yako cha ajabu zaidi wengine wanauza mpaka kalamu, chumvi na maji kwa bei kubwa eti wanafunzi watafaulu wakitumia hizo kalamu unaona iko sawa hiyo🤔🤔🤔🤔
His testimony when he was taken with FREEMASON church he says Pastors are there , Gospel singers are there , politicians are there , Businessman also are there , and the higher Honorable people in the world are there . so he inspiring us to read the words of GOD and Pray Amen I think you get just little bit Amen
ndio maana wanashindwa kumsaidia mtumishi wa mungu kumbe kawaumbua kwenye hii nyimbo lakini tutatoa chochote kidogo kitasaidia nautaludi tena kuwaumbua
Unapoitaja freemason ni kwamba umemgusa shetani mwenyewe mzima mzima. Hivyo mtumishi Mkono wa Mungu ukushike na ukuponye maana mapito unayopitia ni kwamba unapambana na ibilisi mwenyewe. Jitie nguvu katika Kristo. Mungu hatakuacha.
The song is fully fact based. Christians ought to be babtized in the Holy Spirit to counter attach the works of the enemy. Live by the Word of God. ' teach and follow the Word; and only the WORD!
Polee sana tunakuombeaulinzi wa mungu haendle kuwapamoja nawew kilawakati Akikauwimbo huu unanibaliki sana unaujumbe mzitosana tena hulio jitoshreza Aiiisee tunomba mungu haendle kkupandisha viwango vya juu zaidih mungu akulinde wakati wote 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Dunia inapita jeanam ipo na paradizo ipo mwanadam akubali akatae na shetani ndie adui na wana wa Mungu ni wanadam watakao mfuata shetani kama mama zetu Adam na hawa oky wafuate ila kuna maisha kisha kifo tena maisha hisio na mwisho 🙏🙏 SOMENI NENO. Kuombewa ni vizuri ila vipi kuusu wewe Duniani akuna mtumishi wa MUNGU sote watumishi kikubwa maamuzi 🙏🙏
Amina ulinzi wa Mungu aliye hai uwe juu yako nakupenda kwa kusema ukweli kaka yangu
Ndoo Leo wanlia bcz corona inawafndisha sasa mmbo y pokeaa Prado nymba shamba wweke kndo wamurdie yesu I love your message
Wewe unavita kubwa sana na shetani omba sana usimuache yesu
Mungu atamfunika kwa Damu ya yesu
Yani wewe kaka mungu akulinde kama alivyo walindavmeshak Shedrak na Abednego
Ubarikiwe mtumishi nyimbo zako zinanibariki sana niko oman
Pole sana mtumishi kwa ajali uliopata usiku wa kuamkia leo,,pole sana,,mwenyezi mungu yuko pamoja na wewe,,atakuponya kwa uwezo wake,,tunakuombra sana mtumish ..mungu si mwanadamu,hawez kuacha jina lake lidhihakiwe,,namuomba mungu aonekane aunge hiyo mifupa ilovunjika kwa damu ya yesu, ,,,Amina
Amen amen Mungu amponye
Amina kubwa mno....
Mungu atakuponya kwa damu ya yesu kristo uungwe mifupa yako kwa damu ya yesu kutoka uliko shetani na jeshi lake 2nawapiga kwa damu na moto wa damu ya yesu!!usikate tamaaa endelea kutegemea msalaba wa yesu
Amen
Amen
PASCAL NAKUOMBEA BWANA AKUPONYE UJASIRI WAKO UWASAIDIE WENGI
Ni kweli tupu Leo hii tunahubiriwa Toa sadaka ya kujimaliza utakuta muujiza wako mbele
Vizuri sana.
Neno LA Kristo na likae kwa wingi ndani yenu!
Yamkini Mungu alikuacha uende huko ili ufumbue macho ya wengi du Mungu akutunze Pascal
Sio yamkini, bali huo ndo ukweli, unadhani tungepataje kupona
Kweli tupu! Mungu tusaidie.Hakuna njia fupi ya kuifikia paradiso ya Mungu wa lbrahim,Yakobo na Isaka.
Is true most churches they are against money, aliyekuita ni mungu, mungu atabaki kuwa mungu hata kama haja timiza hoja ya moyo wako, napenda kusikiza nyimbo zako nimejifunza mengi,na mungu akutie nguvu, amen
Roho wa Bwana akujaze Ndguvu sana uendelee kusimama Imara na Yesu Kristo maana upo kwenye vita kbs na ma agents wa nguvu za kiza,Mungu Baba akufanyie wepesi katika yote na upokee uponyaji katika jina la Yesu Kristo
Bro minaona kwa ugonjwa ulionao usifikirie madaktari fikiria yesu tu maana
Upo vitani mtazameyesu
Apo kazi nikuhomba tu
Maana umesha weka wazi sirizao
God First .
Mungu akutetee kwakweli maana vita yako ni kubwa
Nakupenda Sana Sana mtumishi kwanyimbo zako zilizojaa mafundisho mungu aliye hair katika kina la YESu akuinue na akubariki akusamehe kwayote uliyoyapitia pengine ukiingia huko kwamakusudi yake ili uje utufundishe
anachoimba anakielewa na sasa nami namuelewa, oky Mungu akutie nguvu urudi ktk hali yako maana unagusa penyewe ila kwa kuwa Mungu ni mwaminifu utapona.
Ninakuombea Sana Paschal Mungu wa mbinguni akuponye urejee kwenye huduma yako
Kaka umenipa nguvu na mimi kuendelea kutoa siri za Freemason kupitia uandishi wa vitabu hatakama ainilipi ila ntapambana adi mwisho kuvujisha siri za hawa watu waovu Freemason mimi mwenyewe wananitafuta sana lakini roho mtakatifu yupamoja namimi
Ubarikiwe sana mwinjilisti pascal cassian
Endelea kumwamini aliye juu maana ibilisi hana nguvu mbele za mungu
Kama kuna kitu niliapa ni kwamba haya makanisa ya miujiza siwez nikakanyaga mimi...Namwamini Mungu wangu tu ndiye atakayenifanyia miujiza
Amen. Sana. Pascal. Mungu. Akubariki agufikishe mbarii. Njo ombi Rangu
Let the LORD JESUS CHRIST of Nazareth heal you our brother cassian
Ubalikiwe sana mwijilisti kwakuzidi kutufundisha akika nabalikiwa kupitia nyimbo zako ningerikuwa najua ulipo ninge kuja kukutembelea
Kwa kweli umesema, Mungu ndio njia ya usima, tuko nyakati za mwizo.
Ni kweli kabisa mungu akuponye na kukulinda na Familia yako na pia aendelee kukuinua katika huduma yako kwa Jina La yesu Kristo aliye bwana na mwokozi wetu amen
daaa kwer kaka
Vita vyetu si vya damu wala nyama bali ni vya Roho ,kwa vita hivi ndgu wapendwa tumuombe Mungu atupe macho ya kutambua aduhi zetu maana wamo miongoni mwandugu zetu niwakati wakuvaa mikanda viunoni mwetu sasa ili tushinde vita hivi
Ameen mungu atusaidie tusome neno la mungu
Ni kwel hata yesu alisema si kila MTu anitaye bwana ataulithi ufalme WA mbingun mungu atusaidie
nikwel mtumixh ubalikiwee
Kweli MTUMISHI, unachokiimba, SKU hizi watumishi wanahubili miiujiza sio njia ya kupatana na Mungu
kweli hawahubiriwi utakatifu tena wanahubiriwa baraka tu
Get well soon kaka Mungu atakua pamoja na wew nafs yako haitakufa itaish kwsbbb umetenda na kueneza neno LA Mungu WA kwel
Ww no jasiri sana this shows that u have great faith.
Iki ulichoimba ndio chanzo cha ajali yako walitaka wakupoteze ila Mungu wako amekuokoa jina lake lihimiduwe saaaaaaanaaaaaaa
Good job, Mungu akubarikili , be strong in Jesus Christ
Mungu azidi kuweka ulinzi wake ju yako mutumishi wake kutowa inje siri za shetani ni vita kubwa.
Kumbe uliimba ndio maana ukapata ajali? Mungu akusaidie sana kabisa umenena ya kweli kwao mungu awe nawe
ugonjwa ulionao ni adhabu waliokuadhibu ila mwamini mungu na umtumikie kwa moyo mmoja utapona kakangu
Ni Mungu tyu awe pamoja nawe twaguswa sana na nyimbo zaako
Daah natamani ningekua karbu naww paschal uniambie yup yupo freemasn mtumish nakupenda
pasco tuna kuombea ila endelea sana kusimama sana na mungu akusimamie
Mungu akuponye upesi
Mungu akubariki mtumishi
Pole sana.ndio maana unapata shida ila mungu yupo
Uko sawa mtumishi
Barikiwa Mtumishi wa Mungu
Asante kwa kutufumbua macho kwa hili wimbo
Yaani huu wimbo ni ufunuo wa kichwa changu
Ukweli tusitangetange tuamini Mungu tu coz kila mahali wamo..isipokuwa kwa Mungu .
Amina mtumishi hakika ww nishujaa wa yesu
Kwa huu wimbo umenifungua macho uko katikati ya dimbwi lamateso ya moyo wako ila nikweli wachungaji wamo
Kumbe ndo maana hawakupi msaada ila Mungu yupo omba sana Usimuache Yesu wako
May God lift u dear bro.sickness is not ur portion.
mungu akuponye uweze kuliinua jina la Yesu kristo Ameeen
Bwana aliokuleta duniani akuponyee
Do not say ameni unless you understand what is Pascal singing about.
GOD the CREATOR IS SUPREME and
Stand alone GOD cannot be mixed with
other religions.
SOMEONE PLEASE TELL ME IN ENGLISH WHAT IS THIS SONG
ALL ABOUT THE FRANMASON.
I am a follower of CHRIST have
nothing to do with a song although
I like Pascal's songs.it
Mungu akuponye na kukurudshia maisha na siku zilizoliwa na ajali iyo broo
Aixe mungu akutangulie
Mungu akuponye mtumishi wa Mungu
Kweli tupu kabisa nilazima tusome neno ili tuepuke haya Mungu atusaidie na Mungu akufinike na mbawa zake damu ya Yesu aliye yote ikuzunguke aki napenda unavyokuwa muwazi na ukweli ubarikiwe sana
Kweli kabisa. Mungu akuponye urudi kuhubiri
Unaimba ila nikushauri acha kuwahisi watu kwa utashi wako itakugharimu,Mungu ametoa watu wake mbali unaposema miujiza feki elezea hiyo halisi ilivyo,imiza watu kusoma Neno ili liwasaidie kujua vitu ila sio kuhisi tu
Alicho imba ni kweli maana kila ukisikiliza mahubili kila kona ya nchi watu wanahubili miujiza tu hawahubili watu waache zambi au na wewe ni mmojawapo wa majibu anayo sema psc
Anaimba kweli kabisa wala usijihisi,manabii,wachungaji,utasikia njooo mlima wa moto upate miujiza na mafuta ya kung'alisha nyota yako cha ajabu zaidi wengine wanauza mpaka kalamu, chumvi na maji kwa bei kubwa eti wanafunzi watafaulu wakitumia hizo kalamu unaona iko sawa hiyo🤔🤔🤔🤔
Amekwambia anahisi hapo jaman au nawe upo huko
Huu ni ushuhuda na siyo kuhisi na hajasema wote hata hivyo yote yaliandikwa karejee agano jipya Mch Pastor
ko wewe unaunasemaje labda? Huyu paschal n mtumishi wa mungu alie hai anaimba kwa nafas yake na ametumwa na krsto kwa nafas iyo. wewe kaa kimya
Barikiwa sana mtu wa Mungu
Mungu yuko na wewe
vry true mtumishi wa Mungu
Sorry i don't know Swahili but i pick one by one but GOD we serve is with us.
His testimony when he was taken with FREEMASON church he says Pastors are there , Gospel singers are there , politicians are there , Businessman also are there , and the higher Honorable people in the world are there . so he inspiring us to read the words of GOD and Pray Amen I think you get just little bit Amen
Freemansion... paradiso ya ulimwengu Mungu saidia watu wako
Zidi kumuomba Mungu nasiyo madakitar
naitwa abiud magenda kutoka mara bunda hata mimi naambiwa kuwa najifanya najua kusema ukweli
Nayeye shetani anataka ajifanye kuwa Mungu hana mamlaka ayo tena akae mbali na watoto wa Mungu hana nguvu huyu ni mshenzi to
Kweli my brother unaye MUNGU Mkubwa sana
Mtumishi wa Bwana tupo tunakukumbuka kwa maombi Mungu hatakuacha
ubarikiwe nice song
mungu akabariki mtumishi wa mungu
ndio maana wanashindwa kumsaidia mtumishi wa mungu kumbe kawaumbua kwenye hii nyimbo lakini tutatoa chochote kidogo kitasaidia nautaludi tena kuwaumbua
Five corporal works of mercy 🌱mimi sita 😔
Brother ujumbe umefika kumbe Luna miujiza feki yatupasa kulijua neno kwa nguvu sana barikiwa kwa ujumbe number ya mawasiliano nitumie
Mola akuponye kaka
Amin
nakutia moyo mpendwa
Nimekuelew sana
ongera sn
kaka niko nyuma nakuja pia najisikia vibaya kanisa kenda motoni
Mungu yupo nawe sikuzote
Ukweli kabisa
duuu Mungu atusaidie
Daaa
varikiwa sana ujumbe umefika
hivi utaalikwa kweli na mitume na manabii uimbe kwenye mikutano yao
Hamutumikii mitume anamtumkia Mungu huyo pekee ndie wakuabudiwa ,na sio aimbe Kwa kuogopa kualikwa
Mungu akurehemu
May bless you protect you and keep safe continue with his work
Wapo kaka ila.tu mtu aishikilie Imani yake na tusome bible maana ndo kila kitu
Kweli kabisa
Ameen,
Let the Lord Jesus Christ protect you from them
Kwa kweli kabisa mtumishi miujisa fake mwenyezi mungu akuponye urudi kwenye huduma ya mungu
Mungu akuponye
Clipu ulizo Tumia Pascal
Amen
Thanks dear