Ndoa nyingi sanaaaa zinavunjika sanaaaa hawamalizi hata miaka 2 laana ni nyingi sana Natasha kama usemavyo madhindano ni mengi hakuna anaekubali kushuka kwa mwenzie
Watu maarufu mnasikika kwa kua mnapo anzisha mahusiano yenu,mnayaweka mitandaoni then kila mfanyacho kwenye hizo ndoa zenu mnapost,na hata zikivunjika pia hivyo hivyo!Ukipendana na msanii wa kike wa bongo movie,jiandae kuaibika kama sio leo ni kesho!
Yani hiki kichwa cha habari cha hii video ni very sad , Hiyo title ya hii video is BIG MISLEADING, terrible for broadcasting, hakuna credibility kabisa hii online tv is STUPID na haifai kwa jamii
Mama uko right ni laaana ya dunia kweli Ndoa zinVunjika sana 👌
Aisee Natasha uko vizuri sana, wajukuu wanazeeka Bibi anakuwa kijana. Leo ndo nimejua Kama ni Mrs.😂
Hongera sana mama Yvonne, nakupenda sana
😂😂😂Mtangazaji Sutwa kweli
Hongera rafiki yangu Natasha(Suzzy)
Nimefurahi kukusikia na habari njema
Wew mtangazaji huyo ni bibi yako mjukuu wake wa kwanza mnalingana, ila big up Mama monalisa bdo you stil young Mungu akupe maisha marefu mno
Hiyo ni raha ya kuzaa mapema unaitwa bibi ukiwa mchnaga kabisaaa 😅😅😅
Sasa malaumesema milaana kuwa mtu asiyekuwa sawayako vipi unampongezatena😂😂😂😂
Jiran apendi majungu❤❤
Mama katunza mwili wake katunza ngozi yake mashaalah tangy Enzi hizo yupo vile vile
ndio uko sawa huyu mama yuko hivo hivo ngozi yake na mwili wake nampenda sana ❤
@@nadyasalim7956 hata mm nampenda jamani Mungu amtunze
Nikwel ngozi yke nzuri imeglow vizur mashallah sio wke wa mama wanaojichubuwa wanakuw wekunduu
Baby madaha nimekuona,, your missed
afadhali zuchu wetu ataachwa kidogo atazungumziwa shilole
Mama monalisa❤❤❤
Johari Kawa mwarabu kama hajataja jina nisingemjua😅😅😅
Mchungaji natasha amesema tumrejee Mungu.
Bora ata ivo kaachika tena tulingane maana nilikua naogopa nikiona mimi ni meacha sana kuliko duuh tuko pamoja shishii
Ndoa nyingi sanaaaa zinavunjika sanaaaa hawamalizi hata miaka 2 laana ni nyingi sana Natasha kama usemavyo madhindano ni mengi hakuna anaekubali kushuka kwa mwenzie
❤❤❤
Aah kulalaaleki kumbe huyu ni msukuma?🤣
😂😂😂😂kabisa nilahanaa
Shilole na Romy umri sawa. Ila Romy ni mwili tuu.
Vilaana vimejaa😂😂😂
Age go, No children
Natasha
Nani km mama samia Akuna mama Samia oyeeeeeeeeee oyeeeeeeeee miaka mitano chukua tn mama samia suluhu ❤❤❤❤❤❤❤❤
Wee nae umetumwa
huyu dada nikimuona nakumbuka marehemu kanumba
Shilole hakuwa mkubwa kwa Rommy3D Fuatilia vizuri mwandishi.
😂😂😂 masiharaaa
Nimecheka eti katoka kuuza soko kaingia kwenye filamu😂😂😂😂
kama laana kuoa mtu mzila mbona mtume muamadi alio mtu mzima inamaana anaalaana
Hehehehe muje na kwangu mnaisapoti
Kwa nini mnaandika uongo 👎👎🤮🐖
Watu maarufu mnasikika kwa kua mnapo anzisha mahusiano yenu,mnayaweka mitandaoni then kila mfanyacho kwenye hizo ndoa zenu mnapost,na hata zikivunjika pia hivyo hivyo!Ukipendana na msanii wa kike wa bongo movie,jiandae kuaibika kama sio leo ni kesho!
Yani hiki kichwa cha habari cha hii video ni very sad , Hiyo title ya hii video is BIG MISLEADING, terrible for broadcasting, hakuna credibility kabisa hii online tv is STUPID na haifai kwa jamii
Wanaandika tittle according to the issues trending ndio wapate viewers