SHILOLE APEWA KICHAMBO KIZITO NA MAMA NATASHA, KWANINI UMEACHIKA KWENYE NDOA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 тра 2024

КОМЕНТАРІ • 39

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023 2 місяці тому +7

    Mama uko right ni laaana ya dunia kweli Ndoa zinVunjika sana 👌

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 2 місяці тому +6

    Aisee Natasha uko vizuri sana, wajukuu wanazeeka Bibi anakuwa kijana. Leo ndo nimejua Kama ni Mrs.😂

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 2 місяці тому +3

    Hongera sana mama Yvonne, nakupenda sana

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q 2 місяці тому +2

    😂😂😂Mtangazaji Sutwa kweli

  • @rachelpeter87
    @rachelpeter87 2 місяці тому +1

    Hongera rafiki yangu Natasha(Suzzy)
    Nimefurahi kukusikia na habari njema

  • @ernestgeorge8412
    @ernestgeorge8412 2 місяці тому +5

    Wew mtangazaji huyo ni bibi yako mjukuu wake wa kwanza mnalingana, ila big up Mama monalisa bdo you stil young Mungu akupe maisha marefu mno

    • @user-qk4lx4hg7g
      @user-qk4lx4hg7g 2 місяці тому +1

      Hiyo ni raha ya kuzaa mapema unaitwa bibi ukiwa mchnaga kabisaaa 😅😅😅

  • @jamilaratabu1586
    @jamilaratabu1586 2 місяці тому +2

    Sasa malaumesema milaana kuwa mtu asiyekuwa sawayako vipi unampongezatena😂😂😂😂

  • @hawamafuru6791
    @hawamafuru6791 2 місяці тому +1

    Jiran apendi majungu❤❤

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 2 місяці тому +8

    Mama katunza mwili wake katunza ngozi yake mashaalah tangy Enzi hizo yupo vile vile

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 2 місяці тому

      ndio uko sawa huyu mama yuko hivo hivo ngozi yake na mwili wake nampenda sana ❤

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 2 місяці тому

      @@nadyasalim7956 hata mm nampenda jamani Mungu amtunze

    • @fatihiyadossa375
      @fatihiyadossa375 2 місяці тому

      Nikwel ngozi yke nzuri imeglow vizur mashallah sio wke wa mama wanaojichubuwa wanakuw wekunduu

  • @MariamMganga-ss9mm
    @MariamMganga-ss9mm 2 місяці тому

    Baby madaha nimekuona,, your missed

  • @wahidabakar
    @wahidabakar 2 місяці тому +2

    afadhali zuchu wetu ataachwa kidogo atazungumziwa shilole

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 2 місяці тому

    Mama monalisa❤❤❤

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 2 місяці тому

    Johari Kawa mwarabu kama hajataja jina nisingemjua😅😅😅

  • @TinaMane
    @TinaMane 2 місяці тому +2

    Mchungaji natasha amesema tumrejee Mungu.

  • @MzanzwaRamadhani
    @MzanzwaRamadhani 2 місяці тому

    Bora ata ivo kaachika tena tulingane maana nilikua naogopa nikiona mimi ni meacha sana kuliko duuh tuko pamoja shishii

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 місяці тому

    Ndoa nyingi sanaaaa zinavunjika sanaaaa hawamalizi hata miaka 2 laana ni nyingi sana Natasha kama usemavyo madhindano ni mengi hakuna anaekubali kushuka kwa mwenzie

  • @HappyGreenTea-fo8lz
    @HappyGreenTea-fo8lz 2 місяці тому

    ❤❤❤

  • @YusufuAbas
    @YusufuAbas 2 місяці тому

    Aah kulalaaleki kumbe huyu ni msukuma?🤣

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 2 місяці тому

    😂😂😂😂kabisa nilahanaa

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 2 місяці тому

    Shilole na Romy umri sawa. Ila Romy ni mwili tuu.

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 2 місяці тому +1

    Vilaana vimejaa😂😂😂

  • @oyay2821
    @oyay2821 Місяць тому

    Age go, No children

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 2 місяці тому +1

    Natasha

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1w 2 місяці тому +1

    Nani km mama samia Akuna mama Samia oyeeeeeeeeee oyeeeeeeeee miaka mitano chukua tn mama samia suluhu ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 2 місяці тому

    huyu dada nikimuona nakumbuka marehemu kanumba

  • @Mbarukuhawa
    @Mbarukuhawa 2 місяці тому

    Shilole hakuwa mkubwa kwa Rommy3D Fuatilia vizuri mwandishi.

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 2 місяці тому +1

    Nimecheka eti katoka kuuza soko kaingia kwenye filamu😂😂😂😂

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu3866 2 місяці тому

    kama laana kuoa mtu mzila mbona mtume muamadi alio mtu mzima inamaana anaalaana

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 2 місяці тому

    Hehehehe muje na kwangu mnaisapoti

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 2 місяці тому

    Kwa nini mnaandika uongo 👎👎🤮🐖

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 2 місяці тому

    Watu maarufu mnasikika kwa kua mnapo anzisha mahusiano yenu,mnayaweka mitandaoni then kila mfanyacho kwenye hizo ndoa zenu mnapost,na hata zikivunjika pia hivyo hivyo!Ukipendana na msanii wa kike wa bongo movie,jiandae kuaibika kama sio leo ni kesho!

  • @htx1873
    @htx1873 2 місяці тому +2

    Yani hiki kichwa cha habari cha hii video ni very sad , Hiyo title ya hii video is BIG MISLEADING, terrible for broadcasting, hakuna credibility kabisa hii online tv is STUPID na haifai kwa jamii

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 2 місяці тому

      Wanaandika tittle according to the issues trending ndio wapate viewers