JIMY MAFUFU AFICHUA MADUDU YA SHILOLE, SABABU YA NDOA KUVUNJIKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 тра 2024

КОМЕНТАРІ • 90

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 2 місяці тому +3

    Safi sana Mafufu umeongea points zote umemaliza

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 2 місяці тому +2

    Good talk brother, keep it up

  • @JoalAlma-ci1hi
    @JoalAlma-ci1hi 2 місяці тому +4

    The men is talking right there

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 2 місяці тому +2

    Umeeleweka mkuuu big up sanaa

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 2 місяці тому +5

    Wewe unasema shobo kwani shishi kwani alipoolewa kwani hakuona ni mpiga mpicha na pesa yake ni ndogo na al8kuwa anampeka dodom kw gani akiendesha kama dereva na hamlipi kitu sasa leo hana kitu

  • @witnessmlay7415
    @witnessmlay7415 2 місяці тому +3

    Safi sana Shilole, Tusaidie kuwanyoosha hawa viumbe 😂😂

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 2 місяці тому +4

    Kweli wanawake wengi wanatamaa wakimkuta mtu ana mali zake akishaanzaa mtoto mmoja basi ili ataka wagawane sio haki

  • @RedSun-ms2zq
    @RedSun-ms2zq 2 місяці тому +1

    We jamaa umenena wanaume saiv tumekua wavivu sana ❤

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 2 місяці тому +3

    😂😂😂😂 kweli kaka, 👏👏

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 2 місяці тому

    Safi Sana Jimi 🤝Ila msalimie Masha love

  • @abuuawalina2625
    @abuuawalina2625 2 місяці тому +2

    I like it

  • @user-vg2uc3hw1v
    @user-vg2uc3hw1v 2 місяці тому

    Point sana

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx 2 місяці тому +1

    True my brother

  • @user-ie5on4xy9o
    @user-ie5on4xy9o 2 місяці тому +11

    Kaka yangu mafufu wew ni mwanaume na nusu unaongea point tu niimefanya kurudia interview yako mara mbil mbili aisee una point sana kaka na ndo wengi siku iz hao wanaume WA ivyo wanaume halos wamebak wachache

  • @maryjohn5317
    @maryjohn5317 2 місяці тому +1

    Hatariii,nimekuelewa kaka

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l 2 місяці тому +3

    Daha jamaa anakili sana

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 2 місяці тому +1

    Ahahahahahahaaaaaaa duu.jamaaaa mafufu una akili sana

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 2 місяці тому +1

    😂😂😂😂😂😂nimempend huy baba pont zak jmn oyooooooo

  • @israelmkaka2807
    @israelmkaka2807 2 місяці тому +1

    Sense TALK

  • @BakariSilima-hz8mc
    @BakariSilima-hz8mc 2 місяці тому

    Unafaa kuwa waziri sheria baba Ahsante

  • @AliciaJonas-gu8ho
    @AliciaJonas-gu8ho 2 місяці тому

    Mafufu chukua maua yako safi sana kwa point izo malioo watakoma🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @aamaasm2141
    @aamaasm2141 2 місяці тому +1

    😂😂😂unesema ukweli kaka

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 місяці тому

    Hiyo kweli Mtani wangu❤❤❤

  • @JoalAlma-ci1hi
    @JoalAlma-ci1hi 2 місяці тому +1

    Jamaa namtusi shiloke kisomi saaan lakin nibonge la tusi😂😂3333

  • @mapishiyetumazuri2312
    @mapishiyetumazuri2312 2 місяці тому +2

    Ndowa yakisilamu hako hiyo

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz 2 місяці тому

    🔥🔥🔥🔥

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 2 місяці тому

    Panga la shingoo🏃‍♀️🏃‍♀️🤣🤣🙏🙏 Mungu tusaidie

  • @petermangama330
    @petermangama330 2 місяці тому

    Kweli sheria za kiboya sana zinainkareji uvivu

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen 2 місяці тому +1

    💯💯💯💯💯💯💯🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🥁🥁🥁🥁🥁🥁🥁🥁🥁🤸🏽‍♂️✍🏽🙌🙌🙌🙌🙌💯💯Maneno yako.

  • @stephenmasha8623
    @stephenmasha8623 2 місяці тому

    😂🤣 Tajiri hapigwii daaah...

  • @salisali3738
    @salisali3738 2 місяці тому

    Eti tajiri ana pigwa 😂😂😂😅😅

  • @emedimtheodor5249
    @emedimtheodor5249 2 місяці тому

    Uko vizuri bro,ndo a zimekua business.

  • @rehanijuma1421
    @rehanijuma1421 2 місяці тому

    😂😂😂😅vitonga sawa sawa

  • @martinjonathan4595
    @martinjonathan4595 2 місяці тому

    Nimecheka sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @marygabagambi3342
    @marygabagambi3342 2 місяці тому

    Mjomba Lusajo,hiyo nimecou sell, uncle Lusajo........

  • @lucymtui8680
    @lucymtui8680 2 місяці тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Wanaume vitongaaa

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 2 місяці тому +2

    Mjomba lusajo nimekuelewa sana😂😂😂😂😂😂

    • @siashayo8676
      @siashayo8676 2 місяці тому

      😂😂😂mjomba Lusajooo

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 2 місяці тому +1

    😂😂😂😂umesema kweli mjomba Lusajo ungesema pumbavu kaputula.

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 2 місяці тому

      Myeeeee myeeeeka😂😂😂😂shenzi kaputura😂😂😂😂

  • @rehemayona2223
    @rehemayona2223 2 місяці тому

    Kweli kabisa hata mm ninae mwanaume dizaini iyo akijuwa nina pesa atui hata mia utasikia wewe pesa siunayo anipigia esabu pesa yangu kaah aibu kweli 😂😂😂

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 Місяць тому

    Mafufu akiwa mwinjilist atanoga😅

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega5781 2 місяці тому

    Kuhusu Sheria hujui hujui kitu kabisa heshimu Sheria za nchii wewe endelea kuigiza tu alaf wewe kama hujawahi pata mwanamke mwenge hela sababu huna sifa alaf unaongea sana Kama mdada

  • @ShukurMkan
    @ShukurMkan 2 місяці тому

    Wapo wengi

  • @farajapeasonmagota8226
    @farajapeasonmagota8226 2 місяці тому

    Kaka kamuuaaa

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 2 місяці тому

    kumbe unaakili mafufu kabla sikusikiliza Nilitaka Niseme ivo ivo

  • @Qs3557
    @Qs3557 2 місяці тому

    Mwandish rud nyuma kdg mbona Kama unataka kukumbatia

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 2 місяці тому

    😂😂😂😂 imenibidi tu ni cheke Astaghafirullah

  • @SuzanA-up4pr
    @SuzanA-up4pr 2 місяці тому

    Jojo

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa 2 місяці тому +1

    Iyo ya Mali kwa uislam hmna

  • @mambas264
    @mambas264 2 місяці тому

    Panga la shingo typing…😅

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 2 місяці тому

    Hiyo ya kusema mali za watoto ipo shida inakuja Baba anaoa Mwamke mwengine alafu Mali zilizoamuliwa Mahakamani za watoto zilizochumwa akiwa kwenye ndoa ya Mke wa kwanza zinahamia kwa Mke mpya na watoto atakao wazaa.Hiyo ipo sana na imetokea kwenye Familia nyingi labda huyo hajui ndio maana anaongea anayoyawaza yeye.Hebu ajaribu kuzunguka kutafuta ukweli wa ninayoyasema atashangaa

  • @chantalmulasi5663
    @chantalmulasi5663 2 місяці тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1w 2 місяці тому

    Kusikia muda Umeisha 😂😂😂😂😂😂😂 mie hoi cn mbavu sina 😂😂😂😂😂😂

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 2 місяці тому

    Pia Hata music Wa dance umesahauliwa sanasana wanatajwa na kuwapronoti ni WA bongo flavor pia wawakumbuke na music Wa dance

  • @alsam4881
    @alsam4881 2 місяці тому +1

    Shilole katoka kwa Nuh Mziwanda, Uchebe, Rommy na sasa kachukuwa kijana mdogo mwengine tena kwa kweli haipendezi kabisa, kwasababu ni mtu mzima na ana mabinti wakubwa, kwahiyo angetafuta mtu mzima mwenzake ingependeza zaidi.

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 2 місяці тому

    kuish Namwamke alie kuzidi kipato harafu mwaume ukawa hujielewi itakua kazi kubwa sasa hapo Nani kaachwa Ni Chi-Chi au 3D

  • @user-nr5tj2gq7i
    @user-nr5tj2gq7i 2 місяці тому

    Nchi za kiarabu mkiachana km mmezaa baba anatoka mama anabaki kwenye nyumba na watoto

  • @petermangama330
    @petermangama330 2 місяці тому

    Vyombo haviwezi kujenga Nyumba

  • @ALmolhamFarsy
    @ALmolhamFarsy 2 місяці тому

    😂😂😂😂

  • @wakushibandfrombushland
    @wakushibandfrombushland 2 місяці тому

    H😂😂😂😂😂😂 mnaopenda kitonga

  • @frankemmanuel5239
    @frankemmanuel5239 2 місяці тому +1

    Mzee wa myekaaaa

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 2 місяці тому

    Mjomba umeshinda kuhusu Shilole na sheria za ndoa, Shilole nene nene 😂😂 linaolewa muda mchache na kusukuma mume nje

  • @petermangama330
    @petermangama330 2 місяці тому

    Aende Tamwa naye akavute kidogo

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 2 місяці тому

    Vivulana😅

  • @gordiansoko9113
    @gordiansoko9113 2 місяці тому

    Bonge la interview vijana wanatumika kama mashine za kukoboa zikishachokwa zinaletwa zingine brother mafufu nipenda nondo zako vijana waache kuwa vibenteni watafute pesa.

  • @LillyaneJoseph
    @LillyaneJoseph 2 місяці тому

    Serikali inazngua

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega5781 2 місяці тому

    Mtu akupige panga la shingo huyu jamaa anahamasisha mauaji kwenye jamii

  • @annajohn3377
    @annajohn3377 2 місяці тому

    Nimecheka umeongea ukweli sasa ww mvula unaend oa mtumzim hiyo familia utaipata saa ngapi

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 2 місяці тому

    Mama samia mama yetu muangalie mjomba lusajo Kwa jicho la tatu anafaa

    • @tonyi6807
      @tonyi6807 2 місяці тому

      😂 kampen hiyo

  • @FahadAbubakari
    @FahadAbubakari 2 місяці тому

    Vivulana vinavizia 😂😂😂😂 vijanaume vinavyodhani kunyonya nanihii za mwanamke ndio utamvuruga hela huna kazi uvivu kudoea doea lazma uachwe

  • @janethhendry6734
    @janethhendry6734 2 місяці тому

    We demu miyayusho sikupendi maswqli ya kifala

    • @lailaabeid717
      @lailaabeid717 2 місяці тому

      Ukimpemda bwana ako inatosha sana sio lazima umpende

  • @esthermatisho2604
    @esthermatisho2604 2 місяці тому

    Sheria za nchi nyingi,mke na mume mnapo achana mnagawana mali au pesa mlizo tengeneza ndani ya muda mlio kuwa pamoja kwa ndoa,na kama kati yenu alikuwa na mali au pesa kabla ya ndoa haigawanywi. Mchango wa mtu kwenye mahusiano au maisha siyo pesa tu,kakayake.😮

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 2 місяці тому

      Oman ukizaa watoto kama unamwacha mke mpe talaka lakini anabaki hapo nyumbani na watoto wewe mwanaume ndio uondoke unam achi Kula kitu upo

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf 2 місяці тому +1

    Mjomba lusajo

  • @esuvathmollel2475
    @esuvathmollel2475 2 місяці тому +1

    Shishibabeeee anafanya vizuri 🤣🤣 be

  • @Mwamba-fh2zf
    @Mwamba-fh2zf 2 місяці тому +1

    Kweli kaka sheria zingine ni za ajabu,inabidi zibadirishwe.Mtu unatumia nguvu nyingi kutafuta hela alafu mtu anakwambia tumetafuta wote.

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 2 місяці тому

    Unafaa uwe mwanasheria Mkuu umeongea point 🎉🎉🎉

  • @Marjeby
    @Marjeby 2 місяці тому +1

    We jamaaa fala sana acha kuingilia fani za watu ambazo huzijui hata kidogo!Nani kakwambia kuwa sheria za Nchi hii wanandoa hawawezi kumiliki mali zao binafsi??!kilaza wewe unaongea mpaka mishipa inasimama kwa kitu usichokijua

  • @charlesngamanya9275
    @charlesngamanya9275 2 місяці тому

    Toa mfano ya hizo nchi wewe mande hata Sheria hujui

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 2 місяці тому

    Kaka una Akili saana wewe wanaume tafuteni Hela jamani kumbe huo