Wewe unasema shobo kwani shishi kwani alipoolewa kwani hakuona ni mpiga mpicha na pesa yake ni ndogo na al8kuwa anampeka dodom kw gani akiendesha kama dereva na hamlipi kitu sasa leo hana kitu
Kaka yangu mafufu wew ni mwanaume na nusu unaongea point tu niimefanya kurudia interview yako mara mbil mbili aisee una point sana kaka na ndo wengi siku iz hao wanaume WA ivyo wanaume halos wamebak wachache
Kweli kabisa hata mm ninae mwanaume dizaini iyo akijuwa nina pesa atui hata mia utasikia wewe pesa siunayo anipigia esabu pesa yangu kaah aibu kweli 😂😂😂
Kuhusu Sheria hujui hujui kitu kabisa heshimu Sheria za nchii wewe endelea kuigiza tu alaf wewe kama hujawahi pata mwanamke mwenge hela sababu huna sifa alaf unaongea sana Kama mdada
Hiyo ya kusema mali za watoto ipo shida inakuja Baba anaoa Mwamke mwengine alafu Mali zilizoamuliwa Mahakamani za watoto zilizochumwa akiwa kwenye ndoa ya Mke wa kwanza zinahamia kwa Mke mpya na watoto atakao wazaa.Hiyo ipo sana na imetokea kwenye Familia nyingi labda huyo hajui ndio maana anaongea anayoyawaza yeye.Hebu ajaribu kuzunguka kutafuta ukweli wa ninayoyasema atashangaa
Shilole katoka kwa Nuh Mziwanda, Uchebe, Rommy na sasa kachukuwa kijana mdogo mwengine tena kwa kweli haipendezi kabisa, kwasababu ni mtu mzima na ana mabinti wakubwa, kwahiyo angetafuta mtu mzima mwenzake ingependeza zaidi.
Sheria za nchi nyingi,mke na mume mnapo achana mnagawana mali au pesa mlizo tengeneza ndani ya muda mlio kuwa pamoja kwa ndoa,na kama kati yenu alikuwa na mali au pesa kabla ya ndoa haigawanywi. Mchango wa mtu kwenye mahusiano au maisha siyo pesa tu,kakayake.😮
We jamaaa fala sana acha kuingilia fani za watu ambazo huzijui hata kidogo!Nani kakwambia kuwa sheria za Nchi hii wanandoa hawawezi kumiliki mali zao binafsi??!kilaza wewe unaongea mpaka mishipa inasimama kwa kitu usichokijua
Safi sana Mafufu umeongea points zote umemaliza
Good talk brother, keep it up
The men is talking right there
Umeeleweka mkuuu big up sanaa
Wewe unasema shobo kwani shishi kwani alipoolewa kwani hakuona ni mpiga mpicha na pesa yake ni ndogo na al8kuwa anampeka dodom kw gani akiendesha kama dereva na hamlipi kitu sasa leo hana kitu
Safi sana Shilole, Tusaidie kuwanyoosha hawa viumbe 😂😂
Kweli wanawake wengi wanatamaa wakimkuta mtu ana mali zake akishaanzaa mtoto mmoja basi ili ataka wagawane sio haki
We jamaa umenena wanaume saiv tumekua wavivu sana ❤
😂😂😂😂 kweli kaka, 👏👏
Safi Sana Jimi 🤝Ila msalimie Masha love
I like it
Point sana
True my brother
Kaka yangu mafufu wew ni mwanaume na nusu unaongea point tu niimefanya kurudia interview yako mara mbil mbili aisee una point sana kaka na ndo wengi siku iz hao wanaume WA ivyo wanaume halos wamebak wachache
Kaupiga mwingi 🎉
Ebwana huyu jamaa kaongea
Hatariii,nimekuelewa kaka
Daha jamaa anakili sana
Ahahahahahahaaaaaaa duu.jamaaaa mafufu una akili sana
😂😂😂😂😂😂nimempend huy baba pont zak jmn oyooooooo
Sense TALK
Unafaa kuwa waziri sheria baba Ahsante
Mafufu chukua maua yako safi sana kwa point izo malioo watakoma🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂unesema ukweli kaka
Hiyo kweli Mtani wangu❤❤❤
Jamaa namtusi shiloke kisomi saaan lakin nibonge la tusi😂😂3333
Ndowa yakisilamu hako hiyo
🔥🔥🔥🔥
Panga la shingoo🏃♀️🏃♀️🤣🤣🙏🙏 Mungu tusaidie
Kweli sheria za kiboya sana zinainkareji uvivu
💯💯💯💯💯💯💯🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🥁🥁🥁🥁🥁🥁🥁🥁🥁🤸🏽♂️✍🏽🙌🙌🙌🙌🙌💯💯Maneno yako.
😂🤣 Tajiri hapigwii daaah...
Eti tajiri ana pigwa 😂😂😂😅😅
Uko vizuri bro,ndo a zimekua business.
M
😂😂😂😅vitonga sawa sawa
Nimecheka sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mjomba Lusajo,hiyo nimecou sell, uncle Lusajo........
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanaume vitongaaa
Mjomba lusajo nimekuelewa sana😂😂😂😂😂😂
😂😂😂mjomba Lusajooo
😂😂😂😂umesema kweli mjomba Lusajo ungesema pumbavu kaputula.
Myeeeee myeeeeka😂😂😂😂shenzi kaputura😂😂😂😂
Kweli kabisa hata mm ninae mwanaume dizaini iyo akijuwa nina pesa atui hata mia utasikia wewe pesa siunayo anipigia esabu pesa yangu kaah aibu kweli 😂😂😂
Mafufu akiwa mwinjilist atanoga😅
Kuhusu Sheria hujui hujui kitu kabisa heshimu Sheria za nchii wewe endelea kuigiza tu alaf wewe kama hujawahi pata mwanamke mwenge hela sababu huna sifa alaf unaongea sana Kama mdada
Wapo wengi
Kaka kamuuaaa
kumbe unaakili mafufu kabla sikusikiliza Nilitaka Niseme ivo ivo
Mwandish rud nyuma kdg mbona Kama unataka kukumbatia
😂😂😂😂 imenibidi tu ni cheke Astaghafirullah
Jojo
Iyo ya Mali kwa uislam hmna
Panga la shingo typing…😅
Hiyo ya kusema mali za watoto ipo shida inakuja Baba anaoa Mwamke mwengine alafu Mali zilizoamuliwa Mahakamani za watoto zilizochumwa akiwa kwenye ndoa ya Mke wa kwanza zinahamia kwa Mke mpya na watoto atakao wazaa.Hiyo ipo sana na imetokea kwenye Familia nyingi labda huyo hajui ndio maana anaongea anayoyawaza yeye.Hebu ajaribu kuzunguka kutafuta ukweli wa ninayoyasema atashangaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kusikia muda Umeisha 😂😂😂😂😂😂😂 mie hoi cn mbavu sina 😂😂😂😂😂😂
Pia Hata music Wa dance umesahauliwa sanasana wanatajwa na kuwapronoti ni WA bongo flavor pia wawakumbuke na music Wa dance
Shilole katoka kwa Nuh Mziwanda, Uchebe, Rommy na sasa kachukuwa kijana mdogo mwengine tena kwa kweli haipendezi kabisa, kwasababu ni mtu mzima na ana mabinti wakubwa, kwahiyo angetafuta mtu mzima mwenzake ingependeza zaidi.
Huyu baba anajielewa tofauti na wasanii wengi.
Umesau barnaba j
kuish Namwamke alie kuzidi kipato harafu mwaume ukawa hujielewi itakua kazi kubwa sasa hapo Nani kaachwa Ni Chi-Chi au 3D
Nchi za kiarabu mkiachana km mmezaa baba anatoka mama anabaki kwenye nyumba na watoto
Vyombo haviwezi kujenga Nyumba
😂😂😂😂
H😂😂😂😂😂😂 mnaopenda kitonga
Mzee wa myekaaaa
Mjomba umeshinda kuhusu Shilole na sheria za ndoa, Shilole nene nene 😂😂 linaolewa muda mchache na kusukuma mume nje
Aende Tamwa naye akavute kidogo
Vivulana😅
Bonge la interview vijana wanatumika kama mashine za kukoboa zikishachokwa zinaletwa zingine brother mafufu nipenda nondo zako vijana waache kuwa vibenteni watafute pesa.
Serikali inazngua
Mtu akupige panga la shingo huyu jamaa anahamasisha mauaji kwenye jamii
Nimecheka umeongea ukweli sasa ww mvula unaend oa mtumzim hiyo familia utaipata saa ngapi
Mama samia mama yetu muangalie mjomba lusajo Kwa jicho la tatu anafaa
😂 kampen hiyo
Vivulana vinavizia 😂😂😂😂 vijanaume vinavyodhani kunyonya nanihii za mwanamke ndio utamvuruga hela huna kazi uvivu kudoea doea lazma uachwe
We demu miyayusho sikupendi maswqli ya kifala
Ukimpemda bwana ako inatosha sana sio lazima umpende
Sheria za nchi nyingi,mke na mume mnapo achana mnagawana mali au pesa mlizo tengeneza ndani ya muda mlio kuwa pamoja kwa ndoa,na kama kati yenu alikuwa na mali au pesa kabla ya ndoa haigawanywi. Mchango wa mtu kwenye mahusiano au maisha siyo pesa tu,kakayake.😮
Oman ukizaa watoto kama unamwacha mke mpe talaka lakini anabaki hapo nyumbani na watoto wewe mwanaume ndio uondoke unam achi Kula kitu upo
Mjomba lusajo
Shishibabeeee anafanya vizuri 🤣🤣 be
Kweli kaka sheria zingine ni za ajabu,inabidi zibadirishwe.Mtu unatumia nguvu nyingi kutafuta hela alafu mtu anakwambia tumetafuta wote.
Unafaa uwe mwanasheria Mkuu umeongea point 🎉🎉🎉
We jamaaa fala sana acha kuingilia fani za watu ambazo huzijui hata kidogo!Nani kakwambia kuwa sheria za Nchi hii wanandoa hawawezi kumiliki mali zao binafsi??!kilaza wewe unaongea mpaka mishipa inasimama kwa kitu usichokijua
Acha ushoga tafuta hela pimbi ww
Samaleko 😅😅😅o@@javandaudi5553
Toa mfano ya hizo nchi wewe mande hata Sheria hujui
Kaka una Akili saana wewe wanaume tafuteni Hela jamani kumbe huo