Mwanamume adaiwa kumuua mamake na kumzika Mathioya, Muranga
Вставка
- Опубліковано 28 лип 2024
- Huzuni imetanda katika Kijiji cha Kirimagiga, Mathioya kaunti ya Muranga baada ya mwanaume wa miaka arubaini na mitano kumuuwa na kumzika mamake wa miaka sabini usiku wa kuamkia leo. Kulingana na familia, mshukiwa anaaminika kutekeleza unyama huo jana ambapo mama huyo wa miaka aliripotiwa kutoweka.
Sad, mental health, drugs are consuming this generation 😞
Condolences to the family and friends,may she rest easy.
So sad, jamani binaadam wanakula nn hawana huruma 😪😭mtu kuua mzazi eeeei waah 😢
Dunia imeisha jamani
Kikuyu's c watu
Muranga Kwa Sabina chege
Watu wautoa wapi nguvu yakuua mtu amekubeba miezi tisa akateseka na ww mbaka ukakua mtu mzima unamuua huyo laana itamfuata mbaka kifo yake
wah😭😭
😭😭😭😭🤔🤔
Murang'a as usual