"Mawazo" Sehemu Ya 36 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminia.
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
UA-cam : www.youtube.com...
#ChomozaTv#2023
Imigisha y’Uwiteka kuri wowe Dr. Elie hamwe na team Chomoza 🙏
Tumezaliwa tufanikishe ili turudishe kwa sababu tunapokufa hatuondoki na chochote. Tusitawaliwe na mifumo ya dunia bali tuitawale na kuielewa mifumo.Dunia ni mfumo, mifumo mingine ni dini,siasa na vyama, familia, ndoa .Msukumo wa ndani ni muhimu katika kufanya maamuzi. Asante Chomoza, pongezi kwa Dr Elly. Nimejifunza.
Ahsante sana team choMoza❤
Aje zanzibar kadi mutoe
Juzi nilimuona Kwa mara ya Kwanza Sam sasari kwenye maonyesho ya karibu kusini,nilijisikia vizuri Sana kumuona live,Mungu awabariki imebaki nikuone Dr elie
Personal inspiration ni muhimu saana; asanteni CHOMOZA, mzidi kubarikiwa na MUNGU.
Maneno ayatoshi kuwakilisha shukrani zangu,
Mungu awabariki
God bless you,
Mungu awabariki sana team Chomoza
Ndugu zangu team chomoza mnakuja lini
Mnakuja lini zanzibar ndugu
Shukran sana kila siku nasoma na nazidi kusimama imara munazidi kunifungua akili kwa mambo mengi ,mola awape maisha marefu 🙏🙏🙏🙏
Kweli kabisa ubinafsi tuta usemea sana ila hatutatoka apo maana tunapotoshwa mnooo na watu walio patiwa nafasi za kutunyoosha wana tupotosha
Tunapaswa kubaki kua sisi sio kua wao
Inspiration is better than to be inspired