MUNGU akutunze na kukulinda Doktor Elie tunamtukuza MUNGU kwa ajili yako Dk. Kaka Jimmy na Sam tunamshukuru MUNGU kwa ajili yenu. MUNGU azidi kuwapa hekima, tunajengeka sana kupitia hiki kipindi, MUNGU atudaidie tuweze kuyafanyia kazi🙏🏾🙏🏾
Br. Jimmy amna anaelalamika kuhusu muda, ila ukweli tunahitaj walau saa1 kwa ajili ya dr. Eli. Kama kuna gharama za kurusha kipindi mtuandalie akaunt tutachangia. Jambo hili halihitaj maombi kama unavodai wewe.
Br. Ukwel ni kua dr. Wetu hatumfaid vyema na ni watu wachache wa kariba yake. Ingekua kila siku 30min sawa ila mara moja kwa wiki? Sio sawa. Ana data muhimu nyingi tunazozihitaj bado. Vpnd vungap sio vya kujenga vinatumia masaaa kwa tv vinawekwa? Nyimbo moja ya dk5 kwa sku inapgwa mara6 au zaid saw na dk30 kwa siku, na upigwa kila siku zinatuburudisha sawa ila zinatujenga? Kwangu mim mda uo ni finyu sana.
A hub of Hope
MUNGU awabariki sana
Naomba team chomoza muongeze mda tafadhali nipo kenya
Woow..leo mmefanya kwa wakati,barikiweni sana!!
Dr Élie mimi ni imamu kupitiya hekima yako wewe na Joël nanauka ninafundisha hekima zenu
Dr Elie good God bless you and all Members of TV Chomoza
Tunawapenda daima MUNGU awajazie from burundi
Asante sana Dr.. moja ya wataalamu nawafuatilia karibu mwaka wa nne nadhani barikiweni Team chomoza wote🙏
Nawapenda sana ❤ kitabu alicho kitoa Dr Eli nitakupata vip
Asant my doctor wng from Burundi 🇧🇮 we love you
Nimechelewa sana kumjua huyu Dakitari Eli, ningemjua mapema, leo ningekuwa mbali sana,ntawafundisha wanangu maarifa nayopata apa
MUNGU akutunze na kukulinda Doktor Elie tunamtukuza MUNGU kwa ajili yako Dk. Kaka Jimmy na Sam tunamshukuru MUNGU kwa ajili yenu. MUNGU azidi kuwapa hekima, tunajengeka sana kupitia hiki kipindi, MUNGU atudaidie tuweze kuyafanyia kazi🙏🏾🙏🏾
Mungu akubaliki mwalimu
Naomba uanzishe ata chuo ili tupate full darasa na vyet kabsaa,barikiwa sana dr ellie
Asante sana chomoza bwana awabariki
Nakuelewa sana DR,Asante kwa mafundisho yako mazuri.
Asante sana Dr Eli na group la chomoza. " Mwenye hekima habagui" Hii imenifunza pakubwa asante sana.
True DR , tumebadilika wengi na masomo haya ...
Nawapenda sana. God is greatest all the time.
Unasema kweli doctor tangu nimeanza kukufatilia nimekua na ufahamu mkubwa katika kila eneo, asante Mungu atakulipa.
Hichi vipind ilitakiwa kipewe airtime ya kutosha kwenye station nyingine.
Asnte Dr.Elie nkmekua mfuasi wako tangu kitambo, nimefungukaa saanaa
Nakipenda hiki kipindiiii
Mnh!❤❤❤❤
naomba kitabu plz
Asante team chomoza
Br. Jimmy amna anaelalamika kuhusu muda, ila ukweli tunahitaj walau saa1 kwa ajili ya dr. Eli. Kama kuna gharama za kurusha kipindi mtuandalie akaunt tutachangia. Jambo hili halihitaj maombi kama unavodai wewe.
Wakiweka saa 1 kwa nondo za huyu mwamba tutaomba iwe saa 1 na nusu... 😂turidhike tuu brooo
Br. Ukwel ni kua dr. Wetu hatumfaid vyema na ni watu wachache wa kariba yake. Ingekua kila siku 30min sawa ila mara moja kwa wiki? Sio sawa. Ana data muhimu nyingi tunazozihitaj bado. Vpnd vungap sio vya kujenga vinatumia masaaa kwa tv vinawekwa? Nyimbo moja ya dk5 kwa sku inapgwa mara6 au zaid saw na dk30 kwa siku, na upigwa kila siku zinatuburudisha sawa ila zinatujenga? Kwangu mim mda uo ni finyu sana.
Kweli kbs
KITENDO CHA KUKOSA KIPINDI HIKI NAKUWA NIMEPUNGUKIWA SANA.MUNGU AWATUNZE VYEMA .TUNAPONA ROHO ZETU.
Unaongea kweli
Sauti iko chini ifanyieni kazi
Nina rafiki yangu ambaye alianza na mume wake wakiwa awana kitu lakini walipo barikiwa tu mume huyo alimwacha na kuoa tena iyo inasababishwa na nini..
Dr Élie mimi ni imamu kupitiya hekima yako wewe na Joël nanauka ninafundisha hekima zenu
Dr Élie mimi ni imamu kupitiya hekima yako wewe na Joël nanauka ninafundisha hekima zenu
Dr Élie mimi ni imamu kupitiya hekima yako wewe na Joël nanauka ninafundisha hekima zenu