Usisahau Kusubscribe Channel hii pendwa ya Kayus Swahili ilikupa kila update mpya kutoka kwetu sikiliza na unufaike kupitia historia hii pendwa Asanteni wote
Hawa ndio Maulamaa wakweli walio mshika na kumfata Mtume wetu Muhammad Swallallaahu Alayhi Wasallama kisawasawa. Allaah amlipe kila lakheri na ampe rehma zake huko aliko
Kwakweli historia na maisha ya Mwana Wachuoni Mkubwa sana ktk Wana Wachuoni wa Kiislamu Ibnu Taymiyyata ina mazingatio makubwa sanaaaaa na imejaa huzuni na simanzi kwa ukhaini na dhulma na ufisadi alio fanyiwa Ibnu Taymiyyata, Allaah amrahamu. Lakini jambo la kushangaza, Ibnu Taymiyyata hakuwahipo kuweka mafundo ya chuki na hasad kwa maaduwi zake watu wa bid'ah bali aliishi nao kwa kuwasamehe na kuwaombea duaa
Ahsante sana na Allaah akubariki na akulipe kila lakheri
Hawa ndio Maulamaa wakweli walio mshika na kumfata Mtume wetu Muhammad Swallallaahu Alayhi Wasallama kisawasawa.
Allaah amlipe kila lakheri na ampe rehma zake huko aliko
Baraka llahu fyik
Allah Amrehemu shekhul islaam. Historia yake inatia huruma ila ni kukubali tu kwa sababu yote yap mikononi mwa Allah.
MashaAllah
Kwakweli historia na maisha ya Mwana Wachuoni Mkubwa sana ktk Wana Wachuoni wa Kiislamu Ibnu Taymiyyata ina mazingatio makubwa sanaaaaa na imejaa huzuni na simanzi kwa ukhaini na dhulma na ufisadi alio fanyiwa Ibnu Taymiyyata, Allaah amrahamu.
Lakini jambo la kushangaza, Ibnu Taymiyyata hakuwahipo kuweka mafundo ya chuki na hasad kwa maaduwi zake watu wa bid'ah bali aliishi nao kwa kuwasamehe na kuwaombea duaa
Kweli kabisaa.akhy