THE STORY BOOK : Historia ya Mtume Mohammad S.A.W, Hadithi za mtume, Maisha na miujiza aliyofanya
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- #mtumemohammad #thestorybook #islamicreligion
THE STORY BOOK : Historia ya Mtume Mohammad S.A.W, Hadithi za mtume, Maisha na miujiza aliyofanya
SUBSCRIBE NOW. THANKS
imwenye zii mungu tunakuwomba waisiramu wote uwong-oze katika mahaadiri myema amina
Allah akujaalie uendelee kusimulia hadithi mbalimbali
Hii sio sawa....hizo picha hazitakiwi.....
Allah akupe ubunifu zaidi mwalimu ili uweze kutujuza hadithi mbalimbali insha'Allah ❤
❤
Umekosea kuweka picha
Yes
Makala nzuri sana isipokuwa kuweka hizo picha za mfano tu.
S❤A❤W
Inawezekana huyu jamaa si Muislam.Ukisikiliza lafudhi zake na adabu yake utagundua si muislam
Kwan uislamu unahitaj rafudhi
Hapo nakataa Waislamu hatuna lafudhi binafsi isipokuwa kila mmoja na lafudhi yake kulingana na anapotoka
History inausiana nanini
Toa hyo picha ndugu
Kweli?
Ujumbe mnzuri mashaallah,lakini hiyo picha humeitoa wapi na ni yanani
Umekosea kutuwekea picha yamtume wetu kumchora nikumkosea hishma
TUNATAKA hizo picha uzitoe unazozinasibisha na kipenz chetu Muhammad s.a.w
Shenzi hujui historia ya mtume s.w
Huo niudhalilishaji ikiwa hujui kitu Bora tulia usikilize mana matusi hayafai.wote hao wanatafuta riziki mdogo wng.kwaiyo matusi sio njia y kuupata ukweli,Allah akupe uelewa n lugha chafu akuepushe nayo
Toa hizo picha mara moja
Wewe elezea sio kuweka sura n kumfananisha n mtume Muhammad n makosa san
Astahfiru Allah
Ukomeeeeeee
Izo Aya unazikosea kuzisoma shekh wangu
Huyu sio Muslim huoni hata anavyo taja jina la Muhammad
Tupeni aya nan aliemsilimisha Muhammad
Alizaliwa nimwisilmu ww
Unakoseha kuweka hiyo picha
Tunaomba uondoe hiyo picha mara moja
Umefanya makosa makumbwa sana kueka picha ikiwezekana itoe hii video haraka
Waislamu hawaabudu mapicha toeni picha za uongo
The story book
The book
sawaisitoria rakini III mfano yapinca sivizuri umekosea
Msenge ww
Simulizi nzuli ipokua sisi
Hatupendi picha ungeweka kitabu cha allaa ingetosha
Kwanini unaweka picha ya mtu mwingine na historia ni mtu mwingine unafeli jitathimin kwanza acha mzaa na dini
Toa hizo picha
Wewe huna adabu kumchora mtume futa ujinga wako huuu
Nabi alsi, Sam shamoun, Nabeel Qureshi utajua historia kamili alikua apiga Safari za wafanyi biashara, kuoa binti wa miaka tisa kuoa bibi ya zaid zainabu
Hatutaki picha ni harumu kwetu
Hiipicha uliipatawapi wakati mtume hakuonyeshwa sura
Sidhani kama ni picha ya mtume hiyo itakua ameweka tu kunogesha story,
alisoma vtabu vya kiisilamu na kuigiza ili kuwaelimisha waislamu wenzake msi mzonge na maswal mwenzemu
Toa hilo picha lako
Hujui Kiswahili
Futa historia yko iyo picha umeitoa wapi
Izo picha umeziweka ili iweje wapi ulipata picha yake koma koma ishia hapo na ukiendelea utajuta Mana utakachokipata utajuta popote ulipo, pia futa post hii haraka Zaid kabla ujapata kitu ambacho hutokisahau mpaka unakufa
Nani kakuruhusu kutoa hiyo historia?
Alinyonyeshwa na nani
Uwaachie wenyewe. Usipende kuzungumzia vitu visivyo vyako.
Hakuna kitu unacho kijua,, acha kutudangan
Huyu jmaa si muislam hyo anayoyaongea anaongea hku akiwa anasoma sehemu na pia malengo yke ni vitimbi viovu kwa uislam lkn hyo analolitafta lipo njiani linamfata
Futa hii historia.... kisha uweke nyingine ambayo inafuata protocol...
Hakuna mtume anayejulikana sura yake ya ukwel kabisa...
izo ni dini za kigeni kama dini zingine zilizo kuja dini zingine africa izo sio dini zetu izo ni dini za ki coroniezel tuu acheni kumtukana mwenzenu sisi ni watu weusi na tamaduni za kigeni wapi na wapi jamani tufumbue macho wa africa jamani
Aya fumbua wew tuone wapi umefika
Qur'an ndio history tosha kila kitu kishabainika history itabaki history tu namaanisha ndoyale binadamu wakwanza alikua sokwe au gorilla nasio Nabii Adam (AS) tusomeni dini yetu tuwache kuburuzwa asili ya history ni uongo....
Jamani mtu akijitolea kutoa hadithi ya aina yoyote msimtukane ndugu.hawa wote wanatafuta riziki jamani n kama kosa niizo picha,nataka mniambie nani alimuona mtu yeyote yule tokea Adam paka Mohammad( S.W.A.)chungeni maneno yenu mn izo picha pia nimifano km wanavyotoa watu kwa mitume myengine.
Umesahau kusema alioa khadija akiwa na miaka 40 naye Muhammad akiwa na 25. Akaoa aisha akiwa na miaka 54 wakati aisha alikuwa miaka 6, na kufanya naye ngono akiwa miaka 9. Alikuwa mtoto hajapata hedhi, alikuwa akicheza na midoli. Pia alikuwa akipewa asilimia ishirini kwa Mia ya walichokipata vitani. Alikuwa na wake kumi na watatu kwa ujumla. Alifanya mapenzi na Maria kama hajamuoa akafumaniwa na bibiye. Alimchukua zaynab kutoka kwa zaiyd. Alikuwa mke wa zaiyd kabla ya kumtamani. Baada ya kuua Familia ya Sofia pamoja na mumewe Maria, alimuona masaa mawili badaye na kufanya naye ngono. Yani historia ya mtu me niulize mimi ninayeishi medina nitakueleza kwa kina. Alikuwa sio mtu me ila dikteta, wizi nwa mavabu, mnajisi, mbakaji.
Weye nilatulayi kabisa
Haujui unacho sema Bora tu unyamaze
@@KomboNyanje-b9w Sema uongo mmoja ambao nimesema na nitaleta hadith ama quran verse to proove
Muongo mkubwa
@@nasrasheikh1020 kama upi? If you can't point out one lie you are the lyer
Usicho kijuwa unauliza towa upagani wako hapo
kaka unatakiwa kueleza bila kuweka picha
hii hadithi ni sahihi?
Kusema kweli dunia hii ina baadhi watu makini sana lakini inahuzunisha sana pale wanapokua na vichwa ambavyo mtu anafaidika nao isipokua vinyozi
Hiyo pichaa ondoka Ni makosa hujuw hata kuogea upo tuu
History mbaya tfuta historia y sungur n fisi enzi izo kulkua hkn camera za picha Wala kuchkua shooting...
Hiyo picture umeipata wapi
Mbwa tu huyu nae Auu sio muislam huyu
Kafiri mkubwa
Wewe kaka mbona unataja jina tukufu na huwezi kumswalia una mapenzi kweli na mtume Mohammed swalallahu alei wasalam
🚫🚫🚫🚫🚫
Wewe ni muongo
Vuta iyo pict
Mukristo huo
SASA HIZO PICHA PICHA ZA NINI NDO NANI HUYO
Hii picha umeipata wap wewe
wewe pichaake umeipata wapi
Acha utoto toa hizo picha mtume hakuwa Na hyo sura dunia nzima haijui sura ya mtume wewe jogoo mmoja ndio utuharibie dini toa hzo picha broo
Toa picha uloyaweka wewe utatuvuruga afu uje kujuta ujue
Wewe kafiri c ungetoa historia yenu tu ya ukirosto umeona haitosh mpaka uingie ktk historia ya mtume wala huijui mbwa wewe hivo sivo wala huijui historia ya mtume kafiri uliye laaniwa kwanza mtume hana pch tena ukome kuonesha pch ukatoa mfano wa mtume ukome mbwa weee
Sasa kama hana picha mna amini je kama alikuwepo? 🙄
@@reemareemo2698toa unafki wako na wewe
We mpumbavu kwanza hujui kuongea af unaweka pic shenz kabisa
Mshenzi wewe picha yake umepata wapi acha kudhalilisha dini isio yako
😂😂😂😂😂😂😂😂 naona watu wanapanic sana Kwan yeye si anasoma hapo au katoa kichwani
😂😂😂😂😂😂
Tunspaniki kwakuwa anakosea kwanza hizo picha hapo ni za Nini?Kama Mambo hsyakuhusu na huyawezi acha
Sasa mwamtusi mwenzenu na yy amejaribu kumueleza mtume wke.lki ni mambo ya picha Kuna shida gani .kwani ndie mtume.ni historia yake . kuweni wapole .
ni makosa ku igilizia sura ya matume Muhammad
Wewe na huyo anaesimulia nyote hamjielewi
Murongo
Wewe ni kafiri usie na adabu,kwanza twaharisha kinywa chako upate ufasaha wa kuongea,halafu toa hizo sanamu mnazotumia kufanyia inada sie kwetu hatuna,kisha jifunze uislamu ndio upate kumjua unaemuongelea hapo maana asiyekujua hakuthamini, halafu sio kila kitu lazima ukiongelee mengine yakupite maana huyawezi,hovyoo
Sasa kwanini mnasema afute picha sindoushahidi uo na kuamini kuwa alikuwepo au 🙄 kwaiyo nyie mkifa hamutaki kuacha picha wajuukuu wawatoto wenu wasiwaone? 🙄😂
Hiyo ni Imani yenu sio yetu
Toa izo picha ndugu