Historia ya Dhul qarnain | Alexander the great - SHEIKH OTHMAN MICHAEL

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024
  • #Bundukitvdini, #uislam

КОМЕНТАРІ • 10

  • @IssaMangala-j5e
    @IssaMangala-j5e 7 місяців тому +1

    Naaam Sheikh Uthman sisi tuko na kufuata vizuri sana ila kujitahidi kurejeaga kwenye mada kwa wepesi

  • @omary-n9r
    @omary-n9r 7 місяців тому

    dah unatishaa

  • @abbymaher2172
    @abbymaher2172 Рік тому

    Shekh apo ktk kuzama na kuchomoza kwa jua inahitaji maelezo mapana

  • @suuahmed71
    @suuahmed71 Рік тому

    Maa shaa ALLAH shukran kwa faida

  • @sidesentrali1665
    @sidesentrali1665 Рік тому

    Zulikanaini mwambaa

  • @user-yv7ij4zh4k
    @user-yv7ij4zh4k Рік тому

    Masheikh mnatuchanganya. Nilimsikia Sheikh Sule anasema Dhulqanain ni Mfalme Koresh (Cyrus the Great) ambaye huyu Kihistoria anajulikana ni Mfalme wa Waajemi ila wewe unasema Dhulqanain ni Alexander the Great. Tumuamini yupi sasa? Japokuwa kwa maana halisi ya Dhulqanain kweli ni mtu mwenye pembe mbili na huyu hata Historia inakubali aliyeitwa jina hilo ni Alexander the Great peke yake. Hebu tuwekeni sawa hapa

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Рік тому

      Hjackiza vizul mwanz ww

    • @sanaf8367
      @sanaf8367 Рік тому +1

      Dhulqarnayn sio Alexander the great mashekhe ni watu wa kukariri tu sio wafasiri wazuri hata kidogo. Kar tafsiri ni pembe so mfalme wa pembe 2. Kuna mfasiri 1 tu niliowahi kumsikia akisema pembe inaamanisha zama/enzi so mfalme wa zama 2. Zama iliopita na ya mwisho na ukiona nguvu power inatokea maeneo ya black sea ambapo aliwathubiti juuj wamaajuj ujuwe zama za mwisho pia za power ya kuadhibiwa kwa wanaoleta fasad ktk ardhi na uonevu ni utakua wakati wa kuwaonea huruma wanaodhulumiwa na kukandamizwa.