Naomba wazir uelewe na waharir muelewe,Wananch awamkatai muwekezaji wala awakatai mafanikio katika bandari,swali je huo mkataba una masilahi katika nch yetu sio hao waarabu wakanufaike na nchi yetu.
Nimemskiliza waziri, kuna tatizo haya mapato tri.7 kwenda Tri. 26 Kwa mkataba ulivyo ni kitendawili . DPW anaweza akaja leo kesho asikulipe kodi mpaka mwende Uingereza tumieni akili !
Kuna wakati mnatulazimisha tuichuikie serikali na nyie viongozi, inaonekana kuna sheria dhaifu katika kuwabana watendaji wabadhirifu, unaposema bandari inajiendesha kwa hasara haileti faida sasa hao wanao sababisha hasara, mizigo haishushwi kw wakati na sababu nyingi mnazo toa hao watndaji wpo na hamchukuliani hatua mnaleana, nyie mmshindwa kuwajibika sasa mnaona ni vema mbinafishe bandari halafu nyie mbaki mabosi yani hamtaki kuumiza vichwa ili bandari ilete faida, hata hao mnaosema kampuni ya dpw nikubwa maana yake kuna watu waliumiza vichwa mpaka kufika hapo walipo, mbalawa hakuna taifa litakalo tuletea maendeleo kama sisi wenyewe hatuwajibiki ipasavyo hiyo sahau baba. Nchi inajengwa na mwenye nchi maelekezo yenu bado hayatoshelezi kwenye vichwa vyetu,
Kusema ukweli huwezi linganisha mwanya wa bandari na viwanja na vya ndege , kama dawa za meno za ushoga zilipita hapohapo sasa kwanini tusiwe na shaka na usalama wetu
Mungetujua jinsi sasa tunavyo wadharau wananchi, musingehangaika na upuuzi wa kusimama hadharani kutuletea uwongo wenu. Wewe Absolom Kibanda tulikuamini mwanzoni lakini sasa unaongoza jopo la Wapumbavu kutulaghai. Mbarawa nyamaza hatukuelewi.
Sasa ikiwa mwenyekiti wao anaunga mkono mashoga hapo unategemea kuna chama? Hao Chadema ni chama cha wahuni wanawatukana viongozi wakubwa wa nchi hata Rais hawaoni tabu kumtukana kwanza Serikali isiwanyamazie clips zao zipo za ushahidi walipowatukana Rais na mawaziri wake. Sheria ichukue mkondo haraka iwezekanavyo kama walivyochukuliwa watu wa uwamsho kufungwa miaka 9 na wao wahukumie miaka 30
mie nimefanya kazi miaka 20 Dubai DP ipo lakini makataba unamakosa dubai sio nchi dubai ni mkoa.kama makataba wangeingia na UAE sio dubai mambo yote ya kitaifa nchi na nchi ingekua tanzania na UAE sio tanzania na dubai
Mimi SI mtaalamu sana wa Sheria lakini nachohofia inawezekana wanaopinga SERIKALI wakawa sawa au SERIKALI ikawa sawa kwa sababu jambo linaloshikiliwa na kuzungumziwa na wanasiasa MUDA mwingine Huwa kama fumbo kwa tusio na uelewa maana watu wanaweza kutetea masilahi Yao binafsi yaliyo nyuma ya pazia kwa kujifanya wanauchungu na bandari kumbe wanapotosha kwa manufaa Yao mungu ilinde nchi yetu na udumishe amani yetu
Sasa kama makubaliano yanaitwa mkataba mama,nao hauzungumzii kuwa tukikubaliana tutakua na 1,2,3?. Kwani hawa wasomi woote wa sheria na uzoefu wa mikataba wanaofafanua mkataba(makubaliano)haya kwa undani wote wanaweza kuwa na ubaya gani na serikali?!,ama wamehongwa nanani,kiasi gani kuipinga serikali?!Je,ni kwanini mkataba huu umevuja na sio serikali imeuleta kuujadili hadharani?! Nini kilikua kinafichwa kama mkataba uko vizuri?! Basi kabla ya kuingia hiyo mikataba midogo yenye muda,kuna ugumu gani kuweka kipindi wazi yajadiliwe redioni na tv zote kwanza na wasomi wote bila kujali itikadi badala ya kutuaminisha tuuuu?!
Huyu mbalawa Ni mhaini kwa ajiri ya inchi ya Tanzania pamoja na waziri wa Mambo ya ndani ameliingiza taifa kwa ushabiki usiofaa kwakunyazisha watanganyika.
Sasa tuone katika mikutano yao chadema watawaongopea nini wananchi ukweli wote ushasemwa. Sera zao ni mbovu na hawana shukurani na wakileta vurugu dawa yao ni kurushiwa maji moto kama wanavyofanyiwa wapinzani wa Kenya
Acha kujiongope ww mwenyewe MSEMA KWELI NI MUNGU PEKE YAKE hapo ni siasa na maslahi yao achakutuzuga wao ni binadam kama wengine sio Malaika ni binadam tu kama walivuo binadam wengine wala sio boa kuliko mtoto anaezaliwa leo maana watu wote tuko sawa kwahio mm nawasikiliza lkn siweze kuwaamini ati kwasababu tu ni wawakilishi wa serikali I trust no body except GOD HIMSELF Eti sababu yao ya msingi ni utendaji au ufanisi finyu ktk bandari hio si aibu kubwa uvivu mkubwa tunayo nguvu kazi ya vijana wetu wapewefursa wasomeshwe nje serikali inayo uwezo km madkatari nawataalam wengine kwani hilo ni tatizo lililo anza leo Limeanza mika mingi sio sababu ya msingi ni aibu kubwa tunaonekana vichwa vya wendawazimu😮😮😮
Hawa wasomi ndiyo wanao ifanya nchi hii kuwa masikini sana ivi kwanini nani alie waloga sasa kama mnajua hayo kwanini huwa hamuweki mikataba hiyo. Mpaka lisu awakulupue huko vichakani. Duh
Fanyeni tulio waagiza kwenye majibo yetu ili tuwaamini tena kubukeni mumetupa sekodar za Kata wenyewe hivyo munaongoza taifa LA waelewa Muno jitahidini kuzisisikia sauti hizi zinazo wasubilia kuwapigia Kula Pokeeni Maoni yeti.
Hata hatuelewi kabisa mkataba huo sio wa kweli tutamkumbuka sana magufuri hawa watu sio bule kuna kitu kwa nn wanahangaikia sana mkataba huo wakati wananchi hatuuamini?
Hatupingi mikataba. Sisi tunauliza masharti ya huo mkataba na Tz inafaidika vipi??? Wewe unatuambia namna waarabu watavyofaidika . Acha usenge. Watanzania wengi sio mazwazwa. Magufuli katufungua macho.
Hiyomambo yakibiashara wengiwetu hatujui jinsi ya nchizinapoleta wawekezaji mbona hapa south Africa wawekezaji niwengi,kinachotakiwa ni nchiyetu kuwalindawafanyakazi wazawa.
Nyinyi wahariri wa vyombo habari sijui mkoje mnakera, mnahoji upande mmoja ili iweje sasa, oneni aibu basi hata jambo ndogo lakubalance stori mnashindwa.
Yan hamuaminki kabsaaa mana mlpachikwa kama kupachikwa na maguful na wala hamka chaguliw na sisi wana nchi hatutaki kutusomea uwezo wa meli tunataka mkataba uwewaz una isha lini na kwashingapi kama awali ilvokua.
Hawa chadema chuki yao ni kwanini apewe mwarabu awekeze wakati zipo Nchi za kizungu? Lakini Serikali haijali kabila bali inajali masilahi na ubora wa service zao. DPW wapo nchi 69 yaani hizo nchi zoooote hazina akili ila chadema tu ndio wenye akili😅 kama hawapendezwi na wasage chupa na viwembe wale 😊
Kwa mfano mikataba midogo ikiwa na matatizo mkasimamisha !pesa itakua hapati !Sasa mkataba unasemekana Tanzania itavunjaje wakati yeye Hana uwezo wa kuvunja mkataba Sasa atavunjaje ?wakati ukivunja unamripa mtajina faida yote ambayo angepata Sasa itakuaje mkivunjaitakuaje?
Roboti na technology ndivyo vinavyo wahisha kazi kwann Tena mnazuia Tena roboti kwa ajili ya kulinda Ajira za watanzania ,tz uhuni mwingi pigeni noti MUNGU YUPO
Waziri unaongea yaleyale ila kwa hisia tu kwasababu hayajaandikwa kwenye mkataba, na kitu ambacho hakijaandikwa huwezi ukajiamisha kuwa kitakuwa kama unavyokifikiria ww maana hujajua na mwenzako anafikiriaje,..kingine huyu aliyeenda kufanya mazungumzo bado anapungukiwa uzoefu na exposure ktk maswala ya kimikataba, rais alitwambia Kabudi ndo atakuwa baba wa mikataba akimaanisha atakuwa na jopo la watu wataalam kabla ya kusaini mikataba yoyote ila ktk hii sina uhakika kama alihusishwa, kingine ni kuhusu sheria za maliasili, unapotwambia huyu atakuwa anahusika na makontena tu inamaana atakuwa anafanyia kazi kwenye ardhi ya wapi? Au katka ardhi hiyohiyo kuna mwingine anaweza kuja kufanyiapo biashara bila kuwahusisha wao? tena kwa muda usiokuwa na kikomo maana kwa mujibu wa vifungu vya mkataba, huu mkataba hauvunjiki kwasababu yoyote ile hali inayopelekea kuonekana ni wa milele na kwa kutumia rasimali zetu ambazo tayari wamekuta tuko nazo ambazo tayari zishakuwa kama maliasili yetu?kwa ufupi mkataba huu umeshauza uhuru wetu, na niongeze kwa kusema, kwenye maisha ukiwaza faida pasipokuwaza kama huwa kuna hasara nakuchukua tahadhari unajikuta umepigwa maana tambua unayemwendea nae ana akili tena kubwa kuliko yako kibiashara na kiuzoefu. Sasa hawa watu wetu kwa ufupi walijinyenyekeza sana kwa huyu DPW na ndo maana baadhi ya masharti ni ya kuuza uhuru wetu
Hawa ni mashetan mbn mnalazinisha mambo nyie ,fanyen yote lkn asilimal watu wamekataa jaman kuna nn mnatumia nguv nying kufoc hatutak shetan nyie,hamuelew nn nyie ccm nyie vip
Hivi hao wanaopinga wanasheria kwann huwa hamuwaliki hapo mkiwaita wandishi mujibu maswali yao muafaja ujulikane? Mnaita watu wasikilizaji wasiokuwa na uelewa mpana
Mitambo itakayosimikwa na DP World itasomana na mifumo ya serikali.. muda huo sisi hatuna teknologia ya kutosha kuweza kuendesha bandari yetu kwa ufanisi..
Mimi binafisi mzee mbarawa niseme neno mmoja kwako tu ndugu yangu Mimi ni mtumishi wa mungu tama na ulafi vimekufanya ungie kwenye mtego wa shetani sasa mzee mtu mzima miaka uliyopewa na mungu anakaribia kukatika wakati huu wenge takiwa utengeneze njia yako ya kwenda mbinguni umejitengenezea njia ya kwenda mottoni.
Shida nimoja na niliyoina Kwa serikali yetu haijui kwenda na wakati . wanapinga wanafafanua kifungu Kwa kifungu .pia kama mbalawa na jop lake wanatuamisha watanganyika mkataba ni mzurir mbona hawataki mahakama itoe tafasili ya huo mkataba huko mbeya.kama watanganyika hawataki simuache viongozi hamuwajui watanganyika Bora akose maendeleo lakini Aishi Kwa uhuru na amani TU.hata kama analala na njaa.
Chadema ni chama cha Udini kinachoendeshwa na maaskofu, Kwani wazungu wana sifa gani kama sio kuletewa IGPT wao kwao ni Ruhusa hata wanafungishwa ndoa katika nyumba zao za ibada. Viongozi kuwachagua Dubai sio wamebahaisha wameona mbali. Kwanza Dubai ni nchi tajiri imejitosheleza kwa kila kitu hawana fikra ya kuwazulumu nchi zinazoendelea.
Unayotueleza inaonyeiha wazi hiyo nafasi haikutoshi ndo maana alikufukuza umerudishwa sijui kwa nini najua uwezo wa rais wetu ni mdogo mno kutokana na elimu yake ndogo aliyonayo sijui alifikaje hapo ngekewa tuuuuuuuuuuuuu
Tusianngalie Sana faida ambazo hazionekani illa tuangalie saana hasara ambazo hazijaonekana kwa sasa (unafunga ndoa ya kikristo ) kwakuzani .Eti itakuwa mteremko ,hiyo sahau.Wafikilie wajukuu wako ,ambao hawaoni ,Bora yako wewe upo unaishi kwa sababu ya mteremko tulio wekewa na wa asisi wetu ambao wametangulia mbele za haki wakiwa wana jidai na kufurahi kuwa waliacha utu ,umoja ,mshikamano ,nakujaliana ,kwasababu,hata,wasio wajua wameendelea kufurahia tunu zao.
Tz mtaweza lini kuendesha bandari kwakutumia wtz? Unafahamu Dp ni makampuny ya mabeberu na sheria za uk zipo kulinda maslahi yao? Unazungumza kodi tu mgawo wa faida? Nchi yetu haiwezi shinda makama za mabeberu. Tunawasomi na wanahabari mnatamani ya mabeberu lakini hamjadili na kupanga mbinu tunakwama wapi na tufanyeje sisi wtz tuweze wenyewe badala yake tunapangisha mali zetu kwa mabeberu wtz wawewafanyakazi wa mpangaji unajinasibu kuwa nchi itapata kodi na ufanisi,hapo tunajidanganya nchi zilizoendelea zinatumia watu wake kuendeleza rasilimali zake sio wawekezaji
Unasema Bunge letu tukufu? liwapi hilo binge.tukufu? kupiga.makofi na kusema hilo lipitee! huna aibu. kama muda wa kuondoa mizigo ndio sababu, ninani aliowaajiri hao ngumbaru? Acha uwongo wizi na kufichiana dhambi nyie wakubwa hasa viongozi wa CCM ndio sababu.
No hawajakosea ila walifanya usiri. Na ndo maana mkataba ulipovuja ndo umeumbua Madudu mengi na hapo hapo ni kinyume na tenda za serikali ambapo ilibidi watoe tangazo halafu makampuni yangetoa ofa zao. Sasa hapo moja kwa moja mkataba ulivyo ilikuwa ni dili la watu wa cha che
Soma mkataba mlio kuwq mmeficha unasema huo uongo unaotuongopea? Mbona mnadharau wanainch wa nchi hii kias hiki mnatufanya wajinga !mnafanya upuzii! Dp word nitaifa? Anamamlaka gan yakuwa na mkatba wakimataifa wakati yeye soyotaifa? Kwann hoja zijw baada ya kufichua mkataba kwann muliufiicha??
Naomba wazir uelewe na waharir muelewe,Wananch awamkatai muwekezaji wala awakatai mafanikio katika bandari,swali je huo mkataba una masilahi katika nch yetu sio hao waarabu wakanufaike na nchi yetu.
Nimemskiliza waziri, kuna tatizo haya mapato tri.7 kwenda Tri. 26 Kwa mkataba ulivyo ni kitendawili . DPW anaweza akaja leo kesho asikulipe kodi mpaka mwende Uingereza tumieni akili !
hatuna imani tena na ninyi
Hamna jipyaaaa
Wasomi wetu hawa apana, wekeni mdahalo wa wazi, sisi wananchi tuletee watu tunaowaamini ili zijibiwe hoja kwa hoja, mbona hamuelewi
Ktk mawazir genius bc hkna km Prf Mbarawa !! Ww upo Sawa ao wapigaj tu ndo zogo tunapitwa na Kenyan! Dp njoon mfanye kaz !!
sawa subri mungu tawakomesha
KAZI mnayo kwahayo majibu yenu Yana mashaka makubwa ?jichunguzeni jitafakarini !
Hongera sana wazili wa dhamana mungu akubaliki
Kuna wakati mnatulazimisha tuichuikie serikali na nyie viongozi, inaonekana kuna sheria dhaifu katika kuwabana watendaji wabadhirifu, unaposema bandari inajiendesha kwa hasara haileti faida sasa hao wanao sababisha hasara, mizigo haishushwi kw wakati na sababu nyingi mnazo toa hao watndaji wpo na hamchukuliani hatua mnaleana, nyie mmshindwa kuwajibika sasa mnaona ni vema mbinafishe bandari halafu nyie mbaki mabosi yani hamtaki kuumiza vichwa ili bandari ilete faida, hata hao mnaosema kampuni ya dpw nikubwa maana yake kuna watu waliumiza vichwa mpaka kufika hapo walipo, mbalawa hakuna taifa litakalo tuletea maendeleo kama sisi wenyewe hatuwajibiki ipasavyo hiyo sahau baba. Nchi inajengwa na mwenye nchi maelekezo yenu bado hayatoshelezi kwenye vichwa vyetu,
Mzeeee!!!!!!!!!!
Kusema ukweli huwezi linganisha mwanya wa bandari na viwanja na vya ndege , kama dawa za meno za ushoga zilipita hapohapo sasa kwanini tusiwe na shaka na usalama wetu
Mmmmmmmh wao faida yao wanapataje wamekuja kutusaidia au ukweli mache kwanza mtapotea
Mungetujua jinsi sasa tunavyo wadharau wananchi, musingehangaika na upuuzi wa kusimama hadharani kutuletea uwongo wenu. Wewe Absolom Kibanda tulikuamini mwanzoni lakini sasa unaongoza jopo la Wapumbavu kutulaghai. Mbarawa nyamaza hatukuelewi.
Sasa ikiwa mwenyekiti wao anaunga mkono mashoga hapo unategemea kuna chama? Hao Chadema ni chama cha wahuni wanawatukana viongozi wakubwa wa nchi hata Rais hawaoni tabu kumtukana kwanza Serikali isiwanyamazie clips zao zipo za ushahidi walipowatukana Rais na mawaziri wake. Sheria ichukue mkondo haraka iwezekanavyo kama walivyochukuliwa watu wa uwamsho kufungwa miaka 9 na wao wahukumie miaka 30
Ndio maana jpm aliwatumbua viongozi mara Kwa mara
mie nimefanya kazi miaka 20 Dubai DP ipo lakini makataba unamakosa dubai sio nchi dubai ni mkoa.kama makataba wangeingia na UAE sio dubai mambo yote ya kitaifa nchi na nchi ingekua tanzania na UAE sio tanzania na dubai
Walisaini dili ila limevuja
aibu hii yani watu hawajui Dubai ni mkoa
Jamanu sikilizeni waziri mjinga mbarawa hajawahi tokea tangu nchi ìumbwe
Mimi SI mtaalamu sana wa Sheria lakini nachohofia inawezekana wanaopinga SERIKALI wakawa sawa au SERIKALI ikawa sawa kwa sababu jambo linaloshikiliwa na kuzungumziwa na wanasiasa MUDA mwingine Huwa kama fumbo kwa tusio na uelewa maana watu wanaweza kutetea masilahi Yao binafsi yaliyo nyuma ya pazia kwa kujifanya wanauchungu na bandari kumbe wanapotosha kwa manufaa Yao mungu ilinde nchi yetu na udumishe amani yetu
😊😢😮😢😮😮😮😮😢
😮.😮😮
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉. N
Tatizo hatuwaamini tena,
Yan nyinyi umri umeenda mnataka na sisi tuwe chin ya hao tena hasa Tanganyika hatutaki huo mkataba
Wahalili
Sasa kama makubaliano yanaitwa mkataba mama,nao hauzungumzii kuwa tukikubaliana tutakua na 1,2,3?. Kwani hawa wasomi woote wa sheria na uzoefu wa mikataba wanaofafanua mkataba(makubaliano)haya kwa undani wote wanaweza kuwa na ubaya gani na serikali?!,ama wamehongwa nanani,kiasi gani kuipinga serikali?!Je,ni kwanini mkataba huu umevuja na sio serikali imeuleta kuujadili hadharani?! Nini kilikua kinafichwa kama mkataba uko vizuri?! Basi kabla ya kuingia hiyo mikataba midogo yenye muda,kuna ugumu gani kuweka kipindi wazi yajadiliwe redioni na tv zote kwanza na wasomi wote bila kujali itikadi badala ya kutuaminisha tuuuu?!
Sasa mbona.mnsama.mkataba ukibanwa.mnasema makubalin
Haya ni marudio
Huyu mbalawa Ni mhaini kwa ajiri ya inchi ya Tanzania pamoja na waziri wa Mambo ya ndani ameliingiza taifa kwa ushabiki usiofaa kwakunyazisha watanganyika.
Sasa tuone katika mikutano yao chadema watawaongopea nini wananchi ukweli wote ushasemwa.
Sera zao ni mbovu na hawana shukurani na wakileta vurugu dawa yao ni kurushiwa maji moto kama wanavyofanyiwa wapinzani wa Kenya
Hii nchi inaenda kumwaga damu haijatokea mtawaua kwanza maaskofu ndo mtuue na waumin hatukubali
Acha kujiongope ww mwenyewe MSEMA KWELI NI MUNGU PEKE YAKE
hapo ni siasa na maslahi yao achakutuzuga wao ni binadam kama wengine sio Malaika ni binadam tu kama walivuo binadam wengine
wala sio boa kuliko mtoto anaezaliwa leo maana watu wote tuko sawa kwahio mm nawasikiliza lkn siweze kuwaamini ati kwasababu tu ni wawakilishi wa serikali
I trust no body except GOD HIMSELF
Eti sababu yao ya msingi ni utendaji au ufanisi finyu ktk bandari hio si aibu kubwa uvivu mkubwa
tunayo nguvu kazi ya vijana wetu wapewefursa wasomeshwe nje serikali inayo uwezo km madkatari nawataalam wengine kwani hilo ni tatizo lililo anza leo
Limeanza mika mingi sio sababu ya msingi ni aibu kubwa tunaonekana vichwa vya wendawazimu😮😮😮
Hawa wasomi ndiyo wanao ifanya nchi hii kuwa masikini sana ivi kwanini nani alie waloga sasa kama mnajua hayo kwanini huwa hamuweki mikataba hiyo. Mpaka lisu awakulupue huko vichakani. Duh
Fanyeni tulio waagiza kwenye majibo yetu ili tuwaamini tena kubukeni mumetupa sekodar za Kata wenyewe hivyo munaongoza taifa LA waelewa Muno jitahidini kuzisisikia sauti hizi zinazo wasubilia kuwapigia Kula Pokeeni Maoni yeti.
Busara ni kuja na kilicho andikwa kisha kukichambua neno kwa neno hizi ni ngonjera
Hata hatuelewi kabisa mkataba huo sio wa kweli tutamkumbuka sana magufuri hawa watu sio bule kuna kitu kwa nn wanahangaikia sana mkataba huo wakati wananchi hatuuamini?
Hatupingi mikataba. Sisi tunauliza masharti ya huo mkataba na Tz inafaidika vipi??? Wewe unatuambia namna waarabu watavyofaidika . Acha usenge. Watanzania wengi sio mazwazwa. Magufuli katufungua macho.
Hiyomambo yakibiashara wengiwetu hatujui jinsi ya nchizinapoleta wawekezaji mbona hapa south Africa wawekezaji niwengi,kinachotakiwa ni nchiyetu kuwalindawafanyakazi wazawa.
Nyinyi wahariri wa vyombo habari sijui mkoje mnakera, mnahoji upande mmoja ili iweje sasa, oneni aibu basi hata jambo ndogo lakubalance stori mnashindwa.
Hizi ni porojo,kwenye trc,atcl,tanesco,migodi na mengineyo si ni hayohayo mliyafanya nchi ikaingia majangani
Hatutaki kwani lazima
Yan hamuaminki kabsaaa mana mlpachikwa kama kupachikwa na maguful na wala hamka chaguliw na sisi wana nchi hatutaki kutusomea uwezo wa meli tunataka mkataba uwewaz una isha lini na kwashingapi kama awali ilvokua.
Achaneni na wanasheria uchwara hawajui sheria za kimataifa wslishaziwea kushindwa kesi mahakama za mwanzo
Someni mkataba
Rudi kwenu Zanzibar wewe Mbarawa, unauza, mumehongwa big time nynyi wapumbafu
Hatutaki majibu! Acha ujinga! Dubai ni selikali mpuz
Huyo mbawala akuuze bandari za kwao,,wewe acha kupiga mkwara watu, Samia si mfalme,
Hawa chadema chuki yao ni kwanini apewe mwarabu awekeze wakati zipo Nchi za kizungu? Lakini Serikali haijali kabila bali inajali masilahi na ubora wa service zao. DPW wapo nchi 69 yaani hizo nchi zoooote hazina akili ila chadema tu ndio wenye akili😅 kama hawapendezwi na wasage chupa na viwembe wale 😊
kwanini tusiwapatie Tanesco
unapocommenti ujinga utuwezi kukuacha wewe kicha warabu walifukuzwa hapa nchini
akuna cha manufa wewe acha kutupigia kelele wewe manufa umesha yapata wewe. kwa kuongwa dolla laki mmoja
Na ww mjinga sana hapa sio chadema wala ccm hili ni swala la nchi👌
Hamna akili hamuwezi mkawapa Tanganyika zima wao wakina nani maana mkataba hauna kikomo hatutaki kuwa watumwa wa warabu milele mzee erewa hilo
Kwa mfano mikataba midogo ikiwa na matatizo mkasimamisha !pesa itakua hapati !Sasa mkataba unasemekana Tanzania itavunjaje wakati yeye Hana uwezo wa kuvunja mkataba Sasa atavunjaje ?wakati ukivunja unamripa mtajina faida yote ambayo angepata Sasa itakuaje mkivunjaitakuaje?
Halafu huyu mwenyekiti wa jukwaa La wahalili nae anaonekana chawa
Hana akili mara ya pili wanahoji upande mmoja
@@davidjoachim2398 mzee kwajili hapana kilakitu wawe wanatufanyiatu sisi kazi kazi kulala kweli mbalawa daa..
Roboti na technology ndivyo vinavyo wahisha kazi kwann Tena mnazuia Tena roboti kwa ajili ya kulinda Ajira za watanzania ,tz uhuni mwingi pigeni noti MUNGU YUPO
Waziri unaongea yaleyale ila kwa hisia tu kwasababu hayajaandikwa kwenye mkataba, na kitu ambacho hakijaandikwa huwezi ukajiamisha kuwa kitakuwa kama unavyokifikiria ww maana hujajua na mwenzako anafikiriaje,..kingine huyu aliyeenda kufanya mazungumzo bado anapungukiwa uzoefu na exposure ktk maswala ya kimikataba, rais alitwambia Kabudi ndo atakuwa baba wa mikataba akimaanisha atakuwa na jopo la watu wataalam kabla ya kusaini mikataba yoyote ila ktk hii sina uhakika kama alihusishwa, kingine ni kuhusu sheria za maliasili, unapotwambia huyu atakuwa anahusika na makontena tu inamaana atakuwa anafanyia kazi kwenye ardhi ya wapi? Au katka ardhi hiyohiyo kuna mwingine anaweza kuja kufanyiapo biashara bila kuwahusisha wao? tena kwa muda usiokuwa na kikomo maana kwa mujibu wa vifungu vya mkataba, huu mkataba hauvunjiki kwasababu yoyote ile hali inayopelekea kuonekana ni wa milele na kwa kutumia rasimali zetu ambazo tayari wamekuta tuko nazo ambazo tayari zishakuwa kama maliasili yetu?kwa ufupi mkataba huu umeshauza uhuru wetu, na niongeze kwa kusema, kwenye maisha ukiwaza faida pasipokuwaza kama huwa kuna hasara nakuchukua tahadhari unajikuta umepigwa maana tambua unayemwendea nae ana akili tena kubwa kuliko yako kibiashara na kiuzoefu. Sasa hawa watu wetu kwa ufupi walijinyenyekeza sana kwa huyu DPW na ndo maana baadhi ya masharti ni ya kuuza uhuru wetu
Umesema dp world itafungua kampuni Tz. Na 35% watapewa wazawa .,,,,au nimesikia vibaya ? Tafsiri yake ni nini ? Kwa hiyo serikali haipo tena ?
DPTW wad ni taifa ad mkataba wake uingizwe bungeni kuupa nguv ya kimataifa??
Wewe mkulugenzi wa bandali pia ni mtalam wa mikataba.
Shwali Dp akifungua kesi mh ya kimataifa atatumia mkataba Mama au mikataba midogo midogo?
Nzi kung'ang'aniakwenyekidonda hutafutanini? Wakati mwilisiwakwake:,,.hiyo inafahamika.
Hawa ni mashetan mbn mnalazinisha mambo nyie ,fanyen yote lkn asilimal watu wamekataa jaman kuna nn mnatumia nguv nying kufoc hatutak shetan nyie,hamuelew nn nyie ccm nyie vip
Hivi hao wanaopinga wanasheria kwann huwa hamuwaliki hapo mkiwaita wandishi mujibu maswali yao muafaja ujulikane? Mnaita watu wasikilizaji wasiokuwa na uelewa mpana
Mitambo itakayosimikwa na DP World itasomana na mifumo ya serikali.. muda huo sisi hatuna teknologia ya kutosha kuweza kuendesha bandari yetu kwa ufanisi..
Mwongo mkubwa ,wahariri mmehongwa ,achani kutuona watoto
Mmechelewa kumaliza majadiliano tunahitaji ufanisi uanze haraka tunatabika bandarin
Mimi binafisi mzee mbarawa niseme neno mmoja kwako tu ndugu yangu Mimi ni mtumishi wa mungu tama na ulafi vimekufanya ungie kwenye mtego wa shetani sasa mzee mtu mzima miaka uliyopewa na mungu anakaribia kukatika wakati huu wenge takiwa utengeneze njia yako ya kwenda mbinguni umejitengenezea njia ya kwenda mottoni.
muogope mungu wewe mzee acha tama za kishamba jitafakari mzee acha kuingia kwenye laana sasa unakosa elimu sasa Dubai ni nchi
Kwann mmekujja kujadili baada ya mkataba kuvuja mlikuwa mmeufichia nn?
Why not zanzibar?
zanzibar is not part of zc makubaliano
Hayo unayoonge yameandikwa kwenye mkataba au nimboyoyo zetu
Hovyoooooo
Magu aliwambia hamna akili sijui nani aliye waloga mjinga !unazaj mali za nch kwa mda usio julikana et kwa kuwa umepewa rusgwa! Bora ufe tu mpuz mtup
Shida nimoja na niliyoina Kwa serikali yetu haijui kwenda na wakati . wanapinga wanafafanua kifungu Kwa kifungu .pia kama mbalawa na jop lake wanatuamisha watanganyika mkataba ni mzurir mbona hawataki mahakama itoe tafasili ya huo mkataba huko mbeya.kama watanganyika hawataki simuache viongozi hamuwajui watanganyika Bora akose maendeleo lakini Aishi Kwa uhuru na amani TU.hata kama analala na njaa.
Wabunge walisema Amna wafanyajazi ni mitambo tu Asa wewe unatuambia watanzania wengi watapata ajira so tumuelewe nani
Hayo ni maneno ya nani? Na yameandikwa wapi hayo ktk mkataba?
Amekuja kusoma kalatasi au amekuja kusema anacho kuelewa, amewaandalia maandishi. Hizo ndio P.H.D za kufoji.
Chadema ni chama cha Udini kinachoendeshwa na maaskofu,
Kwani wazungu wana sifa gani kama sio kuletewa IGPT wao kwao ni Ruhusa hata wanafungishwa ndoa katika nyumba zao za ibada.
Viongozi kuwachagua Dubai sio wamebahaisha wameona mbali. Kwanza Dubai ni nchi tajiri imejitosheleza kwa kila kitu hawana fikra ya kuwazulumu nchi zinazoendelea.
Nchi inarudishwa utumwani ndugu. Dini Haina nafasi hapa
We chokoraaaa
Tunataka mdahalo Naina ya pande mbili
Mnarudia yaleyale amna jpya kawadanganyen mnao wapaga kofia na tshat peke yao
Acha brabra soma huo mkataba ulio sain unasema hayo unayo tuongopea?
Tufafanulien mkataba na si lisala hizo hakuna yaliyoandikwa ktk mkataba unaopigiwa kelele
Unayotueleza inaonyeiha wazi hiyo nafasi haikutoshi ndo maana alikufukuza umerudishwa sijui kwa nini najua uwezo wa rais wetu ni mdogo mno kutokana na elimu yake ndogo aliyonayo sijui alifikaje hapo ngekewa tuuuuuuuuuuuuu
Tusianngalie Sana faida ambazo hazionekani illa tuangalie saana hasara ambazo hazijaonekana kwa sasa (unafunga ndoa ya kikristo ) kwakuzani .Eti itakuwa mteremko ,hiyo sahau.Wafikilie wajukuu wako ,ambao hawaoni ,Bora yako wewe upo unaishi kwa sababu ya mteremko tulio wekewa na wa asisi wetu ambao wametangulia mbele za haki wakiwa wana jidai na kufurahi kuwa waliacha utu ,umoja ,mshikamano ,nakujaliana ,kwasababu,hata,wasio wajua wameendelea kufurahia tunu zao.
Muwe munafanya mijadala KWA kuzingatia udhaifu wa mkataba si kuleta propaganda. Achen kutupotosha.
Tz mtaweza lini kuendesha bandari kwakutumia wtz? Unafahamu Dp ni makampuny ya mabeberu na sheria za uk zipo kulinda maslahi yao? Unazungumza kodi tu mgawo wa faida? Nchi yetu haiwezi shinda makama za mabeberu. Tunawasomi na wanahabari mnatamani ya mabeberu lakini hamjadili na kupanga mbinu tunakwama wapi na tufanyeje sisi wtz tuweze wenyewe badala yake tunapangisha mali zetu kwa mabeberu wtz wawewafanyakazi wa mpangaji unajinasibu kuwa nchi itapata kodi na ufanisi,hapo tunajidanganya nchi zilizoendelea zinatumia watu wake kuendeleza rasilimali zake sio wawekezaji
Hayo si tumeambiwa hayapo kwenye ule mkataba,afu mbalawa mbona kama unaongea kwa kutetemeka
Ayo mafanikio saw je mkataba wa mda gani
Unasema Bunge letu tukufu? liwapi hilo binge.tukufu? kupiga.makofi na kusema hilo lipitee! huna aibu. kama muda wa kuondoa mizigo ndio sababu, ninani aliowaajiri hao ngumbaru? Acha uwongo wizi na kufichiana dhambi nyie wakubwa hasa viongozi wa CCM ndio sababu.
Mbarawa jizi ty
Wacheni ukora coz mnaelewa mkataba ni mbovu hta haifai
Msiwe mnatuchanganya atukataiukezaji shida nimda gani nyie mkula ela ata uongeaji wenu waibu
Kaka ishu sio ulinz ishu nimkataba kaka msituchanganye aje DP world ila sio kwa huu mkataba mbona mnakwepa
Muongoooo huyu mzomeeni
Wana nchi 2025 tuwaondoe hawa watatuletea matatizo
Si mtoe mda wa uwekezeje maneno mengi na kualibu pesa tupe mda mkataba kuisha basi
ilichokosea Serikali ni kuichagua DPW wakati zipo kampuni zingine kutoka Ufaransa na Denmark, kama wangefanya hivyo mambo yangekua swari kabisa.
No hawajakosea ila walifanya usiri. Na ndo maana mkataba ulipovuja ndo umeumbua Madudu mengi na hapo hapo ni kinyume na tenda za serikali ambapo ilibidi watoe tangazo halafu makampuni yangetoa ofa zao. Sasa hapo moja kwa moja mkataba ulivyo ilikuwa ni dili la watu wa cha che
Makubaliano nimkataba we boya? Yan mmekuwa wez ad shetan amewashiba
WANDISHI WAMEPANGWA HAO
HAKUNA MASWALI HAPO
UTAPELI MKUBWA KABISA
Shida siyo kumpa! Shida mkataba ulio sain unamanagan kwa nchi? We boya kweli hiv ww umesoma? Bora ufe wenye akil wachukue nafasi man hna akili
Asali kwa mwenyekit
Tenda ilitangazwa wap !hizo hella ulizokula rudisha we mjinga
Soma mkataba mlio kuwq mmeficha unasema huo uongo unaotuongopea? Mbona mnadharau wanainch wa nchi hii kias hiki mnatufanya wajinga !mnafanya upuzii! Dp word nitaifa? Anamamlaka gan yakuwa na mkatba wakimataifa wakati yeye soyotaifa? Kwann hoja zijw baada ya kufichua mkataba kwann muliufiicha??
Nenda Mbeya sasa ukaisaidie mahakama 🤷♂️😏😏😏
Mnadanganya nani wakati mnajua miliki wa kampuni hiyo feki ni rostarm aziz
No za sim za mwabukusi, shivji, tundu lisu hamna?
Kwa nn wasiitwe pande mbili, ukaiitwa mjadala?
Tusomee huo mkataba ulio sain unasemaj
Mmehongwa hela !wajinga mnabinafsisha mali za tanganyik kwa wahuni ww ujihudhuz mjinga
Wote makaburu nyie
Husemi kitu chichote wewe , unadanganya watanganyika tu
Tusikubali huu uhuni. Maelzo yao ni ya kushawishi tuu. Mkataba ni wa hovyo
Kabisaaa
Hill bunge usiliite tukufu mbalawa acha kutuzingua
Sasa kama Kuna mikataba ya kibiashara, huo uliopitishwa bungeni ni nini