Nimesikiliza kwa makini hotuba ya Mhe Waziri Mkuu. Sikuku ya washuja wa vita vya kagera, kila tarehe 25 Julay kila mwaka inasherekewa, lakini walioshiriki vita vya kagera hawashirikishwi. Pia veterani wa vita hiyo, wametelekezwa na serikali. Hii inatakana na kutokuwepo sera ambao inamlinda wapiganaji walioshiriki vita ile. Mfano kuna wapiganaji ambao walipata ulemavu wa kudumu, kutokana na kutokuwa kutokuwepo sera. Inayohusu walemavu wa vita. Hivyo basi, hakuna huduma ambazo zitolewa na serikali. Mfano, matibabu, makazi pa kuishi, kusoma kwa watoto wao. Hivyo watoto wa hao veterani, wamekuwa ni walemavu kuliko baba zao kutokana na kukosa elimu kwa kareni hii, 21 wa teknolojia. Mlemavu Veterani wa vita vya kagera.
Bora kumpa tenda paul kagame awekeze bandari kwa mkataba wa miaka 30 ni rahisi kumdhibiti kama ataleta tamaduni za hovyo kuliko miarabu ya dubai ambayo haitaajiri wabongo wenzetu kwa utaratibu mzur, watakuja kutuunguza taifa tu.
Hapo sawa ukom wa mkataba na tunanufaik ipi kwa nchi yetu je ni rfk kwet n kitu cha msing kuliko mabadirik ya harak yanayoitajik..maendeleo n gradual change sio rapid process ukilazimish lazm upate athar kwa kuruk hatua n vzr ukomo wa mkataba..athar na faida zitajwe ili tupime
Mnaongelea ufanisi wa bandari sisi wananchi tunataka kujua ukomo wa mkataba mliowapa waarabu wa dubai, pia je mkataba unasema mmewapa bandari zote na maziwa yote. Please mnatumia nguvu kuwaaminisha watu kuhusu ufanisi wa DP World lakini hamuongei kuhusu mkataba mbovu.
Unaweza kuja na sera ya kuuza Inchi ukaitetea macho makavu wewe, hivi kweli hauoni haya kwenye hili Mkataba au Makubaliano ambayo yaliendelea bunge haukutoa ufafanuzi wala hausemi faida tutakazo zipata ili kama hatuta zipata tuifukuze kampuni yenyewe? Pili kwenye Mkataba mama mbona umesemea sheria za mapato ya Tanzania yatumike ile ukomo wa ukezaji hakuna inamaana walisahau
Waziri mkuu bado hajaweka wazi Suala laMkataba wa Bandari hapo anatupiga danadana asifikiri hatumwelewi. SHIDA YA VIONGOZI WANAOTEULIWA NI KUWANYENYEKEA WALIO WALIOWATEUA BILA KUJALI MASILAHI YA UMMA.
Mh waziri mkuu mbona nyie wasomi mnafanya mambo ya ambayo hata mtoto wa darsa la 7 akisomewa mwongozo wa mkataba huo anakataa Leo nyie wasomi amjui mnaaribu nchi
Pigeni kazi mi namkubali mama samia ila kuna mijana cjui inatumia ulev mpaka hadi akili zao zimepagawa ina fikiri kila mwarb ni muislam ,ina udini balaa, kila kitu mpka matusi, fanya kazi wa ipasuke
Mbona mnang’ang’ania kuwapa waarabu? Hivi hakuna wawekezaji wengine? Kwa nini watanzania wasijifunze kuendesha bandari zetu? Nyie watanzania vilaza kweli kweli. Akili zenu kama za kondoo. Mnaendeshwa tu kama malaya wenye tamaa ya pesa.!! Shenzi type.!
Wagalatia hawana pesa hii dunia na waarabu ndio wanazo ndio maana wamenunua mpaka Airport za ulaya zote na timu kubwa za mipira na mabenki 😇😇😇wagalatia wao wana wivu hawapendi maendeleo
HUKU WANACHI WANAENDELEA KUULALAMIKIA HUO MKATABA KWAMBA HAWANA IMANI NAO, KWANINI NI KAMA VILE SEREKALI INAFANYA KUWALAZIMISHA WANANCHI KUUKUBALI HUO MKATABA??? UKWELI NI KWAMBA WANANCHI WALIO WENGI HAWAUAMINI HUO MKATABA WA BANDARI KATI YA TANZANIA NA DP WORLD
Wewe waziri mkuu nilikuwa nakuelewa Sana kipindi cha JPM,ila Sasa ushatekwa na genge la mafisadi RIP JPM
unamwelewa ulitekwa pasipo tafiti unaamini watu kirahisi hivyo
Kabisa hata Mimi nilikuwa namuelewa sana ila Sasa hivi ni kituko tu anaendeshwa
Nimesikiliza kwa makini hotuba ya Mhe Waziri Mkuu. Sikuku ya washuja wa vita vya kagera, kila tarehe 25 Julay kila mwaka inasherekewa, lakini walioshiriki vita vya kagera hawashirikishwi.
Pia veterani wa vita hiyo, wametelekezwa na serikali. Hii inatakana na kutokuwepo sera ambao inamlinda wapiganaji walioshiriki vita ile.
Mfano kuna wapiganaji ambao walipata ulemavu wa kudumu, kutokana na kutokuwa kutokuwepo sera. Inayohusu walemavu wa vita. Hivyo basi,
hakuna huduma ambazo zitolewa na serikali. Mfano, matibabu, makazi pa kuishi, kusoma kwa watoto wao.
Hivyo watoto wa hao veterani, wamekuwa ni walemavu kuliko baba zao kutokana na kukosa elimu kwa kareni hii, 21 wa teknolojia.
Mlemavu Veterani wa vita vya kagera.
Tatizo siyo uwezo wa DP, tatizo ni hayo makubaliano. Ni makubaliano yatakayo zaa mkataba wa KITUMWA.
Kweli kwanza hawa wanahitaji kuuza inchi naludisha ukoroni tanzania
Hatuna imani na ninyi kabisa baada ya kuuza nchi
Bora kumpa tenda paul kagame awekeze bandari kwa mkataba wa miaka 30 ni rahisi kumdhibiti kama ataleta tamaduni za hovyo kuliko miarabu ya dubai ambayo haitaajiri wabongo wenzetu kwa utaratibu mzur, watakuja kutuunguza taifa tu.
mbona mnalazimisha kuwapahao? Hiobandar nimali ya bunge? Au nimali ya watanzania wote. Mbona wana inchi tumekataa?
Miaka60 yauhulu bado tunashindwa kubolesha bandali yetu wenyewe hii inaonyesha nijinsigani chama chaccm kilivoshindwa kuendesha inchi
Minaona mnachelewa tu anzeni utekelezaji wapeni haraka tuone matokeo miwarabu nawapenda mbo kuliko wazungu,hawapendi dhuruma,rushwa na wanahuruma watanzania wenxangu tutulieni
Et waarabu Wana huruma????
???????? Will be watching very close.
Hatagesi.yamtwala.mulisema.hivohivo.MLI po ga wan am teams.mbonamikopo.kilasiku.tumechoks
kwenye ajali umedanganya acheni uongo nyie viongoz wa awam ya 6 ajali kilasiku mnasema yameisha kabsa uongo huo
Watanganyika......!!! Yaan kwa mfano tu raisi aamue ao jamaa waje bandar za zanzibar.... Basi pia watapuga kell wawekzaj kapleka kwao
Hapo sawa ukom wa mkataba na tunanufaik ipi kwa nchi yetu je ni rfk kwet n kitu cha msing kuliko mabadirik ya harak yanayoitajik..maendeleo n gradual change sio rapid process ukilazimish lazm upate athar kwa kuruk hatua n vzr ukomo wa mkataba..athar na faida zitajwe ili tupime
Somanyakati
Mnaongelea ufanisi wa bandari sisi wananchi tunataka kujua ukomo wa mkataba mliowapa waarabu wa dubai, pia je mkataba unasema mmewapa bandari zote na maziwa yote. Please mnatumia nguvu kuwaaminisha watu kuhusu ufanisi wa DP World lakini hamuongei kuhusu mkataba mbovu.
Washatuuuza hawa, sasa ngumu kujitoa kwenye mkataba huo wa kinyonyaji.
Unaweza kuja na sera ya kuuza Inchi ukaitetea macho makavu wewe, hivi kweli hauoni haya kwenye hili Mkataba au Makubaliano ambayo yaliendelea bunge haukutoa ufafanuzi wala hausemi faida tutakazo zipata ili kama hatuta zipata tuifukuze kampuni yenyewe? Pili kwenye Mkataba mama mbona umesemea sheria za mapato ya Tanzania yatumike ile ukomo wa ukezaji hakuna inamaana walisahau
Mkataba wa dp unakakasi sana rudini mezan tena
Hakuna vya kuludi mezani hatuwatak waondoke. Wakawekeze kwingine
Yaani kwa hilo la bandari mmetuumiza watanzania bunge la ccm
Viongozi Tz wanatujibu kama Madalali vile wa rasilimali za taifa.
MAGUFULI ALITUFUNDISHA TUKAELEWA KWAHIYO NYIE KWA SASA MJIPANGE SANA
Nakweli wajipange maana nawaona kama vivuli tu
Ccm imesinyaa .chachema iyeeeeeee
Waziri mkuu bado hajaweka wazi Suala laMkataba wa Bandari hapo anatupiga danadana asifikiri hatumwelewi. SHIDA YA VIONGOZI WANAOTEULIWA NI KUWANYENYEKEA WALIO WALIOWATEUA BILA KUJALI MASILAHI YA UMMA.
LAZIMA USEME KWA CHAMA CHA MAPINZUZI SIKUSEMA ILIOFANYWA NA SERIKALI..
Watanzania hatutaki kwa nini hamtuelewi?
Kweli hatakuwaona wanadubai hatuwataki
Mh waziri mkuu mbona nyie wasomi mnafanya mambo ya ambayo hata mtoto wa darsa la 7 akisomewa mwongozo wa mkataba huo anakataa Leo nyie wasomi amjui mnaaribu nchi
Acheni kulazimisha kitu ambacho sisi watanzania waliowengi hatutaki
Pigeni kazi mi namkubali mama samia ila kuna mijana cjui inatumia ulev mpaka hadi akili zao zimepagawa ina fikiri kila mwarb ni muislam ,ina udini balaa, kila kitu mpka matusi, fanya kazi wa ipasuke
Wewe huelewi wewe naona hayajakufika Ebu muogope MUNGU acha kukulupuka wewe
Jambo lidadiliwe na wanasheria amani bila haki au vile ninyi hamjui njaa
Tumeuzwa
Shida ni muda cyo kuwekeza
Pigeni majaaliwa na mama tunataka DP world by tomorrow wacha wapasuke wadini na wabaguzi wa ukanda 😅😅😅
Hatutak viarabu vinahistoriambaya kwenye inchi hii. Viliwatoboa babuzetu miguu.
Mbona mnang’ang’ania kuwapa waarabu? Hivi hakuna wawekezaji wengine? Kwa nini watanzania wasijifunze kuendesha bandari zetu? Nyie watanzania vilaza kweli kweli. Akili zenu kama za kondoo. Mnaendeshwa tu kama malaya wenye tamaa ya pesa.!! Shenzi type.!
Mbona na wewe unakazana wasipewe unataka apewe nani na kwa nini??
Tatizo warabu mkataba wao ni mbovu na masharti yao ni ya hovyo ndo maana hawatakiwi.
@@EllyBunzali tuoneshe wenye mikataba miziri na masharti yenye maana sio kufuata tu mkumbo
Wagalatia hawana pesa hii dunia na waarabu ndio wanazo ndio maana wamenunua mpaka Airport za ulaya zote na timu kubwa za mipira na mabenki 😇😇😇wagalatia wao wana wivu hawapendi maendeleo
Warabu unawachukia wewe tu sie tumezaa nao wacha wapewe hii ndio wakati wao,mnakerwa au imetokaa hiyooo
HUKU WANACHI WANAENDELEA KUULALAMIKIA HUO MKATABA KWAMBA HAWANA IMANI NAO, KWANINI NI KAMA VILE SEREKALI INAFANYA KUWALAZIMISHA WANANCHI KUUKUBALI HUO MKATABA??? UKWELI NI KWAMBA WANANCHI WALIO WENGI HAWAUAMINI HUO MKATABA WA BANDARI KATI YA TANZANIA NA DP WORLD
Ila behind the seen ____????
Mkataba mliosaini bandari imeuzwa
hatutak wawekezaj wakiarabu
Mamb
Aibuu kubwa
Sw
Shida ni muda cyo kuwekeza