Tatzo mwingulu hujamuelewa mpina hivi kiwanda kinatiririsha maji taka ya sumu kisifungwe hadi watatue tatzo huu utakuwa uchizi mwingulu anawazia maduka lkn mpina kaangalia zaidi ya maduka. Mwingulu jifunze kueshimu mawazo ya wabunge sio kutaja jina la.samia yy nani hata aruhusu upuuzi, na mpina anaongelea sheria zilizopo lkn mwingulu anaongelea nadharia
wewe na mpina hamna hata BUSARA. HONGERA MWIGURU endelea na msimamo huo brother wenzetu ndivyo wanavyofanya wanaobeza ni wala RUSHWA TUUU, wanafungia wafanyi biashara kisha wanaomba RUSHWA ndio ufunguliwe biashara yako
Kwa kweli Mh. Mwigulu kwa hili nimelipenda sana mungu akubariki na sisi tujisikie raha ivi kwa mfano mimi nimeumwa mwaka mzima siwezi kufanya biashara kwa hiyo biashara yangu haiwezi kwenda kisa mapato bac wanivumilie nikipona nitalipa kondi. Watanzania tuwe makini sana wabunge hawa wanatungombanisha na serikali
Mwigulu amemuelewa Mpina nusu nusu.Pia amejikomba kwa wananchi baada ya kashfa yake na Waarabu.Kuna mambo yanastahili kufunga kwanza ukiacha biashara za maduka na huduma muhimu.Aliyokuwa anafanya Mwigulu wakati wa Magu ni kinyume na anachozungumza leo.Kuna kiongozi mkubwa sana chini ya Magu alikuwa anataka kujiuzulu kwa sababu ya uonevu kwa baadhi ya watumishi wa umma na wafanyabiashara.Alishauriwa asijiuzulu. Leo hii hekima imetumika ila Mpina anasakamwa kwa sababu anapinga ushauri mbovu kwa Mh.Rais hasa vifungu vya sheria katika mkataba wa uwekezaji kwenye bandari.
upi huo rabda ? ye na wenzake sindio wameuwa wafanya biashara wadogo wadogo waliojiajir kwa ajili yakulisha familia zao na kusomesha sasa ufahamu wake wakutetea wakwepa kodi tena walio matajir ?
Awamu ya 5 ilikuwa adui ya sekta binafsi. Mpina apunguze makasiriko.wakati mwingine, mpina ana point lakini wakati mwingine anataka kuwa kama marehemu kaka yake.
Mwigulu ulisha puyanga sana naona leo kama unataka kujiilusha ili tukukubali wewe bado hauko poa sana, sisi hatukutaki nilimsiliza hoja yake iko hivi alisema hizo Sheria zakukufungia watu biashara bado zipo kama, Sasa kama mnasema biashara hazitafungwa maana hiyo Sheria ifutwe msiongee midomni tu wakati Sheria ipo, halafu mimi hua sifurahii sana kunataja mkuu wetu wa nchi Kwa mambo yenu ya kutetea ugali wenu, kwani ulipo waambia watu waende burundi alikutuma mama. fanya kazi acha maneno kiongozi watu wanakusema sana sasa fanya kazi na matokeo ndo yatakayo kubeba
Mhe Mwingulu Leo umenigusa sana. Sijuwi umekunywa hayo maji ya baraka hapo... Mungu azidi kukutunza kwa kazi nzuri sana. Kwa mwendo huu unapata kura kilaini ata ukiweka koto lako tu Mh.
Huyu nimuongo kwelikweli sasa kama wafanya biashara muhimu kwanini wamachinga mnawatendea mabaya kila wakati kwa hapa dar nenda masaki wanavyo sumbuliwa wajasiriamali
h. Mwigulu ni sahihi kutofunga biashara . Ushauri tu sheria ya kodi itumike vyema ikiwa pamoja na kuweka bei ktk kila bidhaa ktk maduka yaani " Price tag " kama ilivyo ktk maduka ya " Super Markets " Sambamba na matumizi sahihi ya IFD mashine
Twendeni sasa,apa Gari limewaka...Mama samia mitano tena,mpaka,tufike pale ambapo,watu wote waliosoma,watalazimika kuajiliwa kwa miaka 5 tu,na kuwapisha wengine maana wasomi tuko wengi,tukijiajili wengine wanatudiscourage..sasa wote tufike hatua tuajiliwe na baadae tujiajili.namwamini mama.anasikia.
Ndg waziri kumbuka humjibu mpina bali mh.mbunge usimdharau mbunge mwenzio kwa sababu ya kutofautiana. Tumieni hekima wote mnawawakilisha watu hamjiwakilishi binafsi.
Nashukuru sana serikal ya mama samia kwa hili la kutofunga biashra za watanzania maana weng wameumia sana na wengine walikufa kupitia kufunga na kunyanganya fedha
Mpina na Mwigulu wote ni sawa. Hakuna mwema hapo. Ila sasa hivi Mwigulu anapendwa na Samia, naye anbadekla kama Mpina alivyodeka kwa JPM. Wote hawa ni roho mbaya tu na wizi.
Isije kuwa , unajisafisha kwa wananchi baada ya kuchafuka sana. Maana waliokuwa wanayafanya hayo ni nyie sio CUF. Siku zote tangu nchi hii izaliwe ni nyie mmekuwa mnatawala. Lakini unavyoongea kama vile mmechukua serikali kutoka mikononi mwa CUF
Mbona kwa sasa maafisa wa jiji wanatembea na makufuli wanapo kagua leseni, na kipindi cha magufuli aliwakataa na waliacha mbana wee mwigulu unaleta sinto fahamu.
Hamjamfikishia ukweli mama mnamdanganya sana kumbe mnajua Tai ni zetu kila siku AJIRA ni neno la poropoganda wananchi wanaumia tu rudisheni fedha za amma jamani hakuna logiki hapo dirisha la kudhibiti wezi liwe la chuma
Badala ya wee waziri kumshambulia mbuge, kwanini usijibu hoja kwa ujla wake? Huo ni utoto na upumbavu! Kwa kufanya hivyo usidhani ndio tutasahau ulivyotuumiza Mwigulu! Mchawi hata aende Kanisani au msikitini bado anabaki mchawi tuuu!!! Kwa kumshambulia Mpina bado hujatubu dhambi Mwigulu!!!
Mwigulu hata kama umetenda dhambi kwa Leo uliyosema namuomba Mungu akusamehe maana umemrudia kwa Toba yakweli nachosissitiza mh wazir wa fedha Sheria zibadilishwe tra wanaua biashara za watu kwa sababu ya Sheria kandamizi za Kodi hakika Tanzania itakuwa kama Dubai tutaishi vizur mnooo tra wasinyanyase watu tena waacha uwizi rushwa dhulma Hakika kilio kimefika kwa Mungu tuiepusha. Tanzania na laana ya Mungu
Ni vizuri kuwa na watu kama Mpina, haijalishi amekosea au la! Tukiwa na watu wa ndio Mama kila kitu hii nchi itatumbukia shimoni, so we need more of Mpinas in the parliament
Nafikiri huyu jamaa hakumuelewa mpina alichokuwa anakimaanisha. Na ukweli ni kwamba Mpina anatutetea sana wananchi. Yaani Mwigulu anajificha kwenye kivuli cha rais na siyo kutafuta solution ya hichi anachokizungumza.
Mpina anachuki sana na sababu kubwa kuwekwa pembeni kwenye baraza la mawaziri kwakuwa Serikali ya awamu ya 5 ndo ilimpatia uwaziri baada ya kutolewa awamu ya 6 kajenga chuki kwa hapo ni kazi
Mpaka Rais Samia akuelekeze? Wewe ulikuwa waziri wa fedha wakati wa Magufuli. Ulikuwa mfungiaji mkuu wa biashara na kuwasweka ndani wafanyabiashara wasio na kosa. Unaloongea leo ni sahihi ila ni kwa sababu Rais mwenye hekima amekuelekeza. Ungeomba basi msamaha kwa yale aliyotendea wafanyabiashara wakati ukiwa na Magu.
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
Tatzo mwingulu hujamuelewa mpina hivi kiwanda kinatiririsha maji taka ya sumu kisifungwe hadi watatue tatzo huu utakuwa uchizi mwingulu anawazia maduka lkn mpina kaangalia zaidi ya maduka. Mwingulu jifunze kueshimu mawazo ya wabunge sio kutaja jina la.samia yy nani hata aruhusu upuuzi, na mpina anaongelea sheria zilizopo lkn mwingulu anaongelea nadharia
Kwa haya leo Mwigulu umeongea point sana
Akili zimeanza kukurudi, Safi sana
Mh. Mpina ndio amekufanya leo kuongea hayo kwangu mpina yupo sahihi
wewe na mpina hamna hata BUSARA. HONGERA MWIGURU endelea na msimamo huo brother wenzetu ndivyo wanavyofanya wanaobeza ni wala RUSHWA TUUU, wanafungia wafanyi biashara kisha wanaomba RUSHWA ndio ufunguliwe biashara yako
Kwa kweli Mh. Mwigulu kwa hili nimelipenda sana mungu akubariki na sisi tujisikie raha ivi kwa mfano mimi nimeumwa mwaka mzima siwezi kufanya biashara kwa hiyo biashara yangu haiwezi kwenda kisa mapato bac wanivumilie nikipona nitalipa kondi. Watanzania tuwe makini sana wabunge hawa wanatungombanisha na serikali
Asante sana, Mh Mwigulu leo umeongea vizuri sana. Mbalikiwe sana viongozi mnaoleta mabadiliko
Nampenda sana mpina
Dah Umeongea Point Sana
Leo Mwiguru kawatetea wananchi sijawahi kumuona hv
leo kama vile mwigulu umeupiga mwingi sana
Leo kweli mwigulu umenena hongela sana mhemiwa wazili
Leo ameongea point sana
Hongera sana mh waziri
Leo ndiyo imejua ulituambia tuhame Burundi umebadilika lini?
Mpina ndio wanaotutetea hao wengine wanajiona Wana akili kumbe mabogas
Je mpina alikuwa akifanya hayo akiwa waziri anaetokana na serikali ya TLP???
Mwigulu amemuelewa Mpina nusu nusu.Pia amejikomba kwa wananchi baada ya kashfa yake na Waarabu.Kuna mambo yanastahili kufunga kwanza ukiacha biashara za maduka na huduma muhimu.Aliyokuwa anafanya Mwigulu wakati wa Magu ni kinyume na anachozungumza leo.Kuna kiongozi mkubwa sana chini ya Magu alikuwa anataka kujiuzulu kwa sababu ya uonevu kwa baadhi ya watumishi wa umma na wafanyabiashara.Alishauriwa asijiuzulu. Leo hii hekima imetumika ila Mpina anasakamwa kwa sababu anapinga ushauri mbovu kwa Mh.Rais hasa vifungu vya sheria katika mkataba wa uwekezaji kwenye bandari.
Mh. Mwigulu mbona Leo umenifurahisha Sana?... Hongera Sana !
Shida yako mwiguru uwizi tunakuchukia kwasababu yauwizi wako
Leo Mwigulu ufahamu umemrudia. Siyo yale majibu ya watu wahamie Burundi!
upi huo rabda ? ye na wenzake sindio wameuwa wafanya biashara wadogo wadogo waliojiajir kwa ajili yakulisha familia zao na kusomesha sasa ufahamu wake wakutetea wakwepa kodi tena walio matajir ?
Yeye mpina Ni mawazo yake ndio maana ya bunge Bora yeye wengine Ni ndio kila Jambo, japo umejibu vizur ila mpina mawazo yake yaheshimiwe
Well said
Mweguru point sna iyo
Hongera mh❤❤❤
Awamu ya 5 ilikuwa adui ya sekta binafsi. Mpina apunguze makasiriko.wakati mwingine, mpina ana point lakini wakati mwingine anataka kuwa kama marehemu kaka yake.
Mbona anamtaja sana rais!!
Safi Sana , because it relates with the case of Palm Beach inn and another vs commission for tourism and two others
Mwigulu ulisha puyanga sana naona leo kama unataka kujiilusha ili tukukubali wewe bado hauko poa sana, sisi hatukutaki nilimsiliza hoja yake iko hivi alisema hizo Sheria zakukufungia watu biashara bado zipo kama, Sasa kama mnasema biashara hazitafungwa maana hiyo Sheria ifutwe msiongee midomni tu wakati Sheria ipo, halafu mimi hua sifurahii sana kunataja mkuu wetu wa nchi Kwa mambo yenu ya kutetea ugali wenu, kwani ulipo waambia watu waende burundi alikutuma mama. fanya kazi acha maneno kiongozi watu wanakusema sana sasa fanya kazi na matokeo ndo yatakayo kubeba
Dah waziri mwiguru leo umenifurahisha sana
Mhe Mwingulu Leo umenigusa sana. Sijuwi umekunywa hayo maji ya baraka hapo...
Mungu azidi kukutunza kwa kazi nzuri sana. Kwa mwendo huu unapata kura kilaini ata ukiweka koto lako tu Mh.
Very spoken brother
Huyu nimuongo kwelikweli sasa kama wafanya biashara muhimu kwanini wamachinga mnawatendea mabaya kila wakati kwa hapa dar nenda masaki wanavyo sumbuliwa wajasiriamali
Migulu hapa nimekupenda Kaka yangu..
Mungu akubariki Kwa hili
Asante leo umeongea nilikuwa sikuelewi kabisa
Katika hili nakubaliana na waziri Mwigulu hili ni jambo zuri kwa wafanya biashara.
Big ip Mh umenena vyema
Nimekuelewa vizuri sana
Nimekuelewa mh.waziri wa fedha🇹🇿salama.
h. Mwigulu ni sahihi kutofunga biashara . Ushauri tu sheria ya kodi itumike vyema ikiwa pamoja na kuweka bei ktk kila bidhaa ktk maduka yaani " Price tag " kama ilivyo ktk maduka ya " Super Markets " Sambamba na matumizi sahihi ya IFD mashine
Samia safi
Mhe Mwigulu yuko sawa kabisa
Mhe. Mwigulu Leo umeongea sana Asante sana kwa sisi wa sekta binafsi
Kaka nakuelewa sana songa mbele,, umeongea point sana
MWIGILU HUNA KAZI YOYOTE PISHA WATU WAOONGEE , MPINA NI MMBUNGE MWENYE AKILI ILIYOSALIMIKA SANA BIG UP SANA MPINA ,
Ktk siku ambayo angalau umesema point ni ktk hili pongezi zako Dr mwigulu
Hapo upo Sawa kabisa, Mpina akumbuke samaki kwa rula
ilikuwa ni nadra kukupongeza lkn kwa leo pokea pongezi zangu kwa mara ya kwanza ila hauja tuambia hawa TRA wakirudia michezo yao tunawashitaki wapi?
Twendeni sasa,apa Gari limewaka...Mama samia mitano tena,mpaka,tufike pale ambapo,watu wote waliosoma,watalazimika kuajiliwa kwa miaka 5 tu,na kuwapisha wengine maana wasomi tuko wengi,tukijiajili wengine wanatudiscourage..sasa wote tufike hatua tuajiliwe na baadae tujiajili.namwamini mama.anasikia.
Leo nimekuelewa ,umejitahidi kumtetea mnyonge
Mwigulu leo nakupa hongera umeongea kama waziri wa fedha mwenye akili timamu.
Ndg waziri kumbuka humjibu mpina bali mh.mbunge usimdharau mbunge mwenzio kwa sababu ya kutofautiana. Tumieni hekima wote mnawawakilisha watu hamjiwakilishi binafsi.
Mpina Jembe Bana hauwezi kumchafua kwa watu waelewa kama sisi, Mpina alikuwa anapinga Sheria mbovu tu kosa lake nini
Kwa mara ya Kwanza Mimi Leo nimekuelewa,,
Mpina yuko sahihi kwenye hoja zake tatizo lako hujibu zake
Nashukuru sana serikal ya mama samia kwa hili la kutofunga biashra za watanzania maana weng wameumia sana na wengine walikufa kupitia kufunga na kunyanganya fedha
Mpina na Mwigulu wote ni sawa. Hakuna mwema hapo. Ila sasa hivi Mwigulu anapendwa na Samia, naye anbadekla kama Mpina alivyodeka kwa JPM. Wote hawa ni roho mbaya tu na wizi.
Acha siasa
Mh. Leo umefunguka vizuri sana Hongera kwa Hotuba yaleo Mnyongemnyongeni haki yake Mpeni.
Safi
Uyu Jamaa mwigulu jau kichiz anajikosha kwa wananchi 😅
Isije kuwa , unajisafisha kwa wananchi baada ya kuchafuka sana. Maana waliokuwa wanayafanya hayo ni nyie sio CUF. Siku zote tangu nchi hii izaliwe ni nyie mmekuwa mnatawala. Lakini unavyoongea kama vile mmechukua serikali kutoka mikononi mwa CUF
Hongera Mhe Mwigulu, natumai ameelewa, ana hasira na kukosa Uwaziri
Mhe. Mwigulu kwenye hili sijui kama TRA wamekuelewa na hao Halmashauri na pia hao wanaojiita LATRA
Ameongea point utekelezaji vip
Mbona kwa sasa maafisa wa jiji wanatembea na makufuli wanapo kagua leseni, na kipindi cha magufuli aliwakataa na waliacha mbana wee mwigulu unaleta sinto fahamu.
Tungemwelewa kwanza mpina kwa Usahii.
Mzee ujengewe sanamu
Ilo umelikumbuka leo au sio lakini ukumbuki kama kwenye mafuta umeongeza shilingi 100
Hamjamfikishia ukweli mama mnamdanganya sana kumbe mnajua Tai ni zetu kila siku AJIRA ni neno la poropoganda wananchi wanaumia tu rudisheni fedha za amma jamani hakuna logiki hapo dirisha la kudhibiti wezi liwe la chuma
Mwigulu kiongoz wangu mkifanya hivo kiukweli mtaoba fraha kubwa ya wafanya biashara 🙏 mungu akulinde ktk hili
Kwa iyo serekali inatamiwa kusaidia achani kutudanganya
Mpina sijui anaswali dini gan hamuogopi hata mungu
kama nakuelewa vile Brother mwigulu
Mwigulu wewe na samia ni wezi tuu acheni kutupumbaza na maneno mnauza bandari yetu
Nimekuelewa Sana,wananikera sana TRA
Mh.Mwigulu Nchemba umenigusaaaaa point sana
Apana hujamwelewa Pina, musiwekee katazo la moja kwa moja apana, kuna mengi mtaani Huku.
Badala ya wee waziri kumshambulia mbuge, kwanini usijibu hoja kwa ujla wake? Huo ni utoto na upumbavu! Kwa kufanya hivyo usidhani ndio tutasahau ulivyotuumiza Mwigulu! Mchawi hata aende Kanisani au msikitini bado anabaki mchawi tuuu!!! Kwa kumshambulia Mpina bado hujatubu dhambi Mwigulu!!!
Kauli zako Hizo hakuna anaekuunga mkono, unajifanya kumponda Mpina wewe nimpigaji tu.
Mwigulu hoyeee.... Samia mama lao, mpina kivuruge tu.
Tatizo ni kuweka mwanya wa kukwepa kodi.
Eeka ko do i inayolipika.
Njia m adala ni kuweka uko TIC Act.
Mwigulu kati ya siku niliyokuelewa ni leo❤
Mbona mlikuwa mnakamata mizigo, mnashika account za walipa Kodi mpaka kariakoo ilipo waka
Mwigulu hata kama umetenda dhambi kwa Leo uliyosema namuomba Mungu akusamehe maana umemrudia kwa Toba yakweli nachosissitiza mh wazir wa fedha Sheria zibadilishwe tra wanaua biashara za watu kwa sababu ya Sheria kandamizi za Kodi hakika Tanzania itakuwa kama Dubai tutaishi vizur mnooo tra wasinyanyase watu tena waacha uwizi rushwa dhulma Hakika kilio kimefika kwa Mungu tuiepusha. Tanzania na laana ya Mungu
BAADA YA MWARABU KUCHUKUA BANDARI NDOMNASEMA MIZIGO ISIKAMATWE ASANTE DUBAI
Shida Mwigulu amechanganyikiwa hila zake nyingi sana mtu huyu siasa nyingi
Wazili nimekulewa sana mm binafisi niliziswa namawazo hayo
Nchi imewashinda serikalini wapiga Dili mmekuwa wengi
Ni vizuri kuwa na watu kama Mpina, haijalishi amekosea au la! Tukiwa na watu wa ndio Mama kila kitu hii nchi itatumbukia shimoni, so we need more of Mpinas in the parliament
Mwigulu na samia wote niwapigaji mpina namkubali sana
Nafikiri huyu jamaa hakumuelewa mpina alichokuwa anakimaanisha. Na ukweli ni kwamba Mpina anatutetea sana wananchi. Yaani Mwigulu anajificha kwenye kivuli cha rais na siyo kutafuta solution ya hichi anachokizungumza.
Chawa
Mpuuzi mpina alikuja Kanda ya ziwa nakutufilisi watu tumekimbia miji kwajili yamadeni ya mpina
Leo mwigulu uneongea vizuri sana tangu nianze kukusikiliza,hapo tukopamoja.
Safii uyu kaongeza ukweli mutufikilie bhana
Leo umeongea vitu vya mama waziri wa fedha
Hapo sawa ndio ikusanywe Kwa mara Moja sio faya TBS uachafu Resen mengi kibaoo
🤝
Mpina anachuki sana na sababu kubwa kuwekwa pembeni kwenye baraza la mawaziri kwakuwa Serikali ya awamu ya 5 ndo ilimpatia uwaziri baada ya kutolewa awamu ya 6 kajenga chuki kwa hapo ni kazi
Inaonekana hajamuelewa mpina na hazungumzi kitaalam kwa maana ya kiuchumi.
Huyu sio mwigulu 😊
Mpina hatamtesa sana uyu baba
Mpaka Rais Samia akuelekeze? Wewe ulikuwa waziri wa fedha wakati wa Magufuli. Ulikuwa mfungiaji mkuu wa biashara na kuwasweka ndani wafanyabiashara wasio na kosa. Unaloongea leo ni sahihi ila ni kwa sababu Rais mwenye hekima amekuelekeza. Ungeomba basi msamaha kwa yale aliyotendea wafanyabiashara wakati ukiwa na Magu.