MWIGULU AMFOKEA MPINA BUNGENI, AANIKA MADUDU YAKE AKIWA WAZIRI - ''ANAAMBIWA APINGE KILA KITU''...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 247

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Рік тому +1

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @masanjanyanda9775
    @masanjanyanda9775 Рік тому +9

    Tatzo mwingulu hujamuelewa mpina hivi kiwanda kinatiririsha maji taka ya sumu kisifungwe hadi watatue tatzo huu utakuwa uchizi mwingulu anawazia maduka lkn mpina kaangalia zaidi ya maduka. Mwingulu jifunze kueshimu mawazo ya wabunge sio kutaja jina la.samia yy nani hata aruhusu upuuzi, na mpina anaongelea sheria zilizopo lkn mwingulu anaongelea nadharia

  • @michaelmabula7444
    @michaelmabula7444 Рік тому +10

    Kwa haya leo Mwigulu umeongea point sana
    Akili zimeanza kukurudi, Safi sana

  • @abdulshabani6663
    @abdulshabani6663 Рік тому +7

    Mh. Mpina ndio amekufanya leo kuongea hayo kwangu mpina yupo sahihi

    • @athanaskallega4824
      @athanaskallega4824 Рік тому

      wewe na mpina hamna hata BUSARA. HONGERA MWIGURU endelea na msimamo huo brother wenzetu ndivyo wanavyofanya wanaobeza ni wala RUSHWA TUUU, wanafungia wafanyi biashara kisha wanaomba RUSHWA ndio ufunguliwe biashara yako

  • @igulug5450
    @igulug5450 Рік тому +4

    Kwa kweli Mh. Mwigulu kwa hili nimelipenda sana mungu akubariki na sisi tujisikie raha ivi kwa mfano mimi nimeumwa mwaka mzima siwezi kufanya biashara kwa hiyo biashara yangu haiwezi kwenda kisa mapato bac wanivumilie nikipona nitalipa kondi. Watanzania tuwe makini sana wabunge hawa wanatungombanisha na serikali

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 Рік тому +1

    Asante sana, Mh Mwigulu leo umeongea vizuri sana. Mbalikiwe sana viongozi mnaoleta mabadiliko

  • @deoluma1706
    @deoluma1706 Рік тому +3

    Nampenda sana mpina

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 Рік тому +4

    Dah Umeongea Point Sana

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Рік тому +4

    Leo Mwiguru kawatetea wananchi sijawahi kumuona hv

  • @aronesamson3692
    @aronesamson3692 Рік тому +1

    leo kama vile mwigulu umeupiga mwingi sana

  • @venikompumu9951
    @venikompumu9951 Рік тому +1

    Leo kweli mwigulu umenena hongela sana mhemiwa wazili

  • @salumbey1120
    @salumbey1120 Рік тому +3

    Leo ameongea point sana

  • @amalykibondei1644
    @amalykibondei1644 Рік тому +1

    Hongera sana mh waziri

  • @juliusbura4550
    @juliusbura4550 Рік тому +2

    Leo ndiyo imejua ulituambia tuhame Burundi umebadilika lini?

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 Рік тому +7

    Mpina ndio wanaotutetea hao wengine wanajiona Wana akili kumbe mabogas

  • @kashindisimon5265
    @kashindisimon5265 Рік тому +2

    Je mpina alikuwa akifanya hayo akiwa waziri anaetokana na serikali ya TLP???

  • @makusaro2289
    @makusaro2289 Рік тому +6

    Mwigulu amemuelewa Mpina nusu nusu.Pia amejikomba kwa wananchi baada ya kashfa yake na Waarabu.Kuna mambo yanastahili kufunga kwanza ukiacha biashara za maduka na huduma muhimu.Aliyokuwa anafanya Mwigulu wakati wa Magu ni kinyume na anachozungumza leo.Kuna kiongozi mkubwa sana chini ya Magu alikuwa anataka kujiuzulu kwa sababu ya uonevu kwa baadhi ya watumishi wa umma na wafanyabiashara.Alishauriwa asijiuzulu. Leo hii hekima imetumika ila Mpina anasakamwa kwa sababu anapinga ushauri mbovu kwa Mh.Rais hasa vifungu vya sheria katika mkataba wa uwekezaji kwenye bandari.

  • @noellumbael8397
    @noellumbael8397 Рік тому +1

    Mh. Mwigulu mbona Leo umenifurahisha Sana?... Hongera Sana !

  • @raphaelmchilo-kx4tt
    @raphaelmchilo-kx4tt Рік тому +6

    Shida yako mwiguru uwizi tunakuchukia kwasababu yauwizi wako

  • @lilyjones3584
    @lilyjones3584 Рік тому +2

    Leo Mwigulu ufahamu umemrudia. Siyo yale majibu ya watu wahamie Burundi!

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Рік тому

      upi huo rabda ? ye na wenzake sindio wameuwa wafanya biashara wadogo wadogo waliojiajir kwa ajili yakulisha familia zao na kusomesha sasa ufahamu wake wakutetea wakwepa kodi tena walio matajir ?

  • @yomseyyomsey5114
    @yomseyyomsey5114 Рік тому +2

    Yeye mpina Ni mawazo yake ndio maana ya bunge Bora yeye wengine Ni ndio kila Jambo, japo umejibu vizur ila mpina mawazo yake yaheshimiwe

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 5 місяців тому

    Well said

  • @michaelchale6086
    @michaelchale6086 Рік тому

    Mweguru point sna iyo

  • @bhmeela
    @bhmeela Рік тому +3

    Hongera mh❤❤❤

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 Рік тому +1

    Awamu ya 5 ilikuwa adui ya sekta binafsi. Mpina apunguze makasiriko.wakati mwingine, mpina ana point lakini wakati mwingine anataka kuwa kama marehemu kaka yake.

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 Рік тому +2

    Mbona anamtaja sana rais!!

  • @shijalameckmpemba4529
    @shijalameckmpemba4529 Рік тому +2

    Safi Sana , because it relates with the case of Palm Beach inn and another vs commission for tourism and two others

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary515 Рік тому +1

    Mwigulu ulisha puyanga sana naona leo kama unataka kujiilusha ili tukukubali wewe bado hauko poa sana, sisi hatukutaki nilimsiliza hoja yake iko hivi alisema hizo Sheria zakukufungia watu biashara bado zipo kama, Sasa kama mnasema biashara hazitafungwa maana hiyo Sheria ifutwe msiongee midomni tu wakati Sheria ipo, halafu mimi hua sifurahii sana kunataja mkuu wetu wa nchi Kwa mambo yenu ya kutetea ugali wenu, kwani ulipo waambia watu waende burundi alikutuma mama. fanya kazi acha maneno kiongozi watu wanakusema sana sasa fanya kazi na matokeo ndo yatakayo kubeba

  • @richardmagaka9525
    @richardmagaka9525 Рік тому

    Dah waziri mwiguru leo umenifurahisha sana

  • @jamesparadiso5516
    @jamesparadiso5516 Рік тому

    Mhe Mwingulu Leo umenigusa sana. Sijuwi umekunywa hayo maji ya baraka hapo...
    Mungu azidi kukutunza kwa kazi nzuri sana. Kwa mwendo huu unapata kura kilaini ata ukiweka koto lako tu Mh.

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 5 місяців тому

    Very spoken brother

  • @faustinthomas9551
    @faustinthomas9551 Рік тому +1

    Huyu nimuongo kwelikweli sasa kama wafanya biashara muhimu kwanini wamachinga mnawatendea mabaya kila wakati kwa hapa dar nenda masaki wanavyo sumbuliwa wajasiriamali

  • @kundacyprian7105
    @kundacyprian7105 Рік тому +3

    Migulu hapa nimekupenda Kaka yangu..
    Mungu akubariki Kwa hili

  • @theresiacostantine132
    @theresiacostantine132 Рік тому +1

    Asante leo umeongea nilikuwa sikuelewi kabisa

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Рік тому +11

    Katika hili nakubaliana na waziri Mwigulu hili ni jambo zuri kwa wafanya biashara.

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 Рік тому

    Nimekuelewa vizuri sana

  • @adolfmjunguz9794
    @adolfmjunguz9794 Рік тому +2

    Nimekuelewa mh.waziri wa fedha🇹🇿salama.

  • @swalehntemagu3661
    @swalehntemagu3661 Рік тому +3

    h. Mwigulu ni sahihi kutofunga biashara . Ushauri tu sheria ya kodi itumike vyema ikiwa pamoja na kuweka bei ktk kila bidhaa ktk maduka yaani " Price tag " kama ilivyo ktk maduka ya " Super Markets " Sambamba na matumizi sahihi ya IFD mashine

  • @sebastianbulunda5229
    @sebastianbulunda5229 Рік тому

    Samia safi

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 6 місяців тому

    Mhe Mwigulu yuko sawa kabisa

  • @fatumakweka5182
    @fatumakweka5182 Рік тому +2

    Mhe. Mwigulu Leo umeongea sana Asante sana kwa sisi wa sekta binafsi

  • @felixmdesa3053
    @felixmdesa3053 Рік тому

    Kaka nakuelewa sana songa mbele,, umeongea point sana

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io 6 місяців тому

    MWIGILU HUNA KAZI YOYOTE PISHA WATU WAOONGEE , MPINA NI MMBUNGE MWENYE AKILI ILIYOSALIMIKA SANA BIG UP SANA MPINA ,

  • @mkonkjuakali3078
    @mkonkjuakali3078 Рік тому

    Ktk siku ambayo angalau umesema point ni ktk hili pongezi zako Dr mwigulu

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 Рік тому +3

    Hapo upo Sawa kabisa, Mpina akumbuke samaki kwa rula

  • @peterrandego1489
    @peterrandego1489 Рік тому +3

    ilikuwa ni nadra kukupongeza lkn kwa leo pokea pongezi zangu kwa mara ya kwanza ila hauja tuambia hawa TRA wakirudia michezo yao tunawashitaki wapi?

  • @anthonysulula766
    @anthonysulula766 Рік тому +2

    Twendeni sasa,apa Gari limewaka...Mama samia mitano tena,mpaka,tufike pale ambapo,watu wote waliosoma,watalazimika kuajiliwa kwa miaka 5 tu,na kuwapisha wengine maana wasomi tuko wengi,tukijiajili wengine wanatudiscourage..sasa wote tufike hatua tuajiliwe na baadae tujiajili.namwamini mama.anasikia.

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 Рік тому +1

    Leo nimekuelewa ,umejitahidi kumtetea mnyonge

  • @sylvanusmwamlima
    @sylvanusmwamlima 5 місяців тому

    Mwigulu leo nakupa hongera umeongea kama waziri wa fedha mwenye akili timamu.

  • @sabathmnubi5033
    @sabathmnubi5033 Рік тому

    Ndg waziri kumbuka humjibu mpina bali mh.mbunge usimdharau mbunge mwenzio kwa sababu ya kutofautiana. Tumieni hekima wote mnawawakilisha watu hamjiwakilishi binafsi.

  • @mlamilainvestment4142
    @mlamilainvestment4142 Рік тому

    Mpina Jembe Bana hauwezi kumchafua kwa watu waelewa kama sisi, Mpina alikuwa anapinga Sheria mbovu tu kosa lake nini

  • @isackyohana2707
    @isackyohana2707 Рік тому +3

    Kwa mara ya Kwanza Mimi Leo nimekuelewa,,

  • @amenyemwansile6919
    @amenyemwansile6919 Рік тому +2

    Mpina yuko sahihi kwenye hoja zake tatizo lako hujibu zake

  • @amalykibondei1644
    @amalykibondei1644 Рік тому

    Nashukuru sana serikal ya mama samia kwa hili la kutofunga biashra za watanzania maana weng wameumia sana na wengine walikufa kupitia kufunga na kunyanganya fedha

  • @lucasbartazari7797
    @lucasbartazari7797 Рік тому

    Mpina na Mwigulu wote ni sawa. Hakuna mwema hapo. Ila sasa hivi Mwigulu anapendwa na Samia, naye anbadekla kama Mpina alivyodeka kwa JPM. Wote hawa ni roho mbaya tu na wizi.

  • @MichaelMfangavo
    @MichaelMfangavo 5 місяців тому

    Acha siasa

  • @michaelmshighati8432
    @michaelmshighati8432 Рік тому +1

    Mh. Leo umefunguka vizuri sana Hongera kwa Hotuba yaleo Mnyongemnyongeni haki yake Mpeni.

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Рік тому

    Safi

  • @abdullahchabukila6686
    @abdullahchabukila6686 Рік тому

    Uyu Jamaa mwigulu jau kichiz anajikosha kwa wananchi 😅

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 Рік тому +1

    Isije kuwa , unajisafisha kwa wananchi baada ya kuchafuka sana. Maana waliokuwa wanayafanya hayo ni nyie sio CUF. Siku zote tangu nchi hii izaliwe ni nyie mmekuwa mnatawala. Lakini unavyoongea kama vile mmechukua serikali kutoka mikononi mwa CUF

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Рік тому +1

    Hongera Mhe Mwigulu, natumai ameelewa, ana hasira na kukosa Uwaziri

  • @ibrahimmtoni7899
    @ibrahimmtoni7899 Рік тому

    Mhe. Mwigulu kwenye hili sijui kama TRA wamekuelewa na hao Halmashauri na pia hao wanaojiita LATRA

  • @johnmwawa2838
    @johnmwawa2838 Рік тому

    Ameongea point utekelezaji vip

  • @julaimbwilo1018
    @julaimbwilo1018 6 місяців тому

    Mbona kwa sasa maafisa wa jiji wanatembea na makufuli wanapo kagua leseni, na kipindi cha magufuli aliwakataa na waliacha mbana wee mwigulu unaleta sinto fahamu.

  • @norascomulenzi222
    @norascomulenzi222 Рік тому +1

    Tungemwelewa kwanza mpina kwa Usahii.

  • @kuyankalango3308
    @kuyankalango3308 Рік тому +1

    Mzee ujengewe sanamu

  • @edsonessan3370
    @edsonessan3370 Рік тому

    Ilo umelikumbuka leo au sio lakini ukumbuki kama kwenye mafuta umeongeza shilingi 100

  • @BernadethaSimba-qi4dw
    @BernadethaSimba-qi4dw 11 місяців тому

    Hamjamfikishia ukweli mama mnamdanganya sana kumbe mnajua Tai ni zetu kila siku AJIRA ni neno la poropoganda wananchi wanaumia tu rudisheni fedha za amma jamani hakuna logiki hapo dirisha la kudhibiti wezi liwe la chuma

  • @TimbiloSaid-qc5bs
    @TimbiloSaid-qc5bs Рік тому

    Mwigulu kiongoz wangu mkifanya hivo kiukweli mtaoba fraha kubwa ya wafanya biashara 🙏 mungu akulinde ktk hili

  • @innocentsulle-bn3uj
    @innocentsulle-bn3uj Рік тому

    Kwa iyo serekali inatamiwa kusaidia achani kutudanganya

  • @Sakina-pr3ly
    @Sakina-pr3ly 5 місяців тому

    Mpina sijui anaswali dini gan hamuogopi hata mungu

  • @piusgadau6328
    @piusgadau6328 Рік тому +2

    kama nakuelewa vile Brother mwigulu

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 Рік тому +3

    Mwigulu wewe na samia ni wezi tuu acheni kutupumbaza na maneno mnauza bandari yetu

  • @monicambossa4937
    @monicambossa4937 Рік тому

    Nimekuelewa Sana,wananikera sana TRA

  • @chikuvalentinemweji3151
    @chikuvalentinemweji3151 Рік тому +2

    Mh.Mwigulu Nchemba umenigusaaaaa point sana

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Рік тому

    Apana hujamwelewa Pina, musiwekee katazo la moja kwa moja apana, kuna mengi mtaani Huku.

  • @isayasokoni4704
    @isayasokoni4704 Рік тому

    Badala ya wee waziri kumshambulia mbuge, kwanini usijibu hoja kwa ujla wake? Huo ni utoto na upumbavu! Kwa kufanya hivyo usidhani ndio tutasahau ulivyotuumiza Mwigulu! Mchawi hata aende Kanisani au msikitini bado anabaki mchawi tuuu!!! Kwa kumshambulia Mpina bado hujatubu dhambi Mwigulu!!!

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 6 місяців тому

    Kauli zako Hizo hakuna anaekuunga mkono, unajifanya kumponda Mpina wewe nimpigaji tu.

  • @balozimchomvu7779
    @balozimchomvu7779 Рік тому

    Mwigulu hoyeee.... Samia mama lao, mpina kivuruge tu.

  • @drkalokola5861
    @drkalokola5861 5 місяців тому

    Tatizo ni kuweka mwanya wa kukwepa kodi.
    Eeka ko do i inayolipika.
    Njia m adala ni kuweka uko TIC Act.

  • @michaelshayo187
    @michaelshayo187 Рік тому +6

    Mwigulu kati ya siku niliyokuelewa ni leo❤

    • @philipphanuel9558
      @philipphanuel9558 Рік тому

      Mbona mlikuwa mnakamata mizigo, mnashika account za walipa Kodi mpaka kariakoo ilipo waka

  • @JosephMwakisu-q7u
    @JosephMwakisu-q7u Рік тому

    Mwigulu hata kama umetenda dhambi kwa Leo uliyosema namuomba Mungu akusamehe maana umemrudia kwa Toba yakweli nachosissitiza mh wazir wa fedha Sheria zibadilishwe tra wanaua biashara za watu kwa sababu ya Sheria kandamizi za Kodi hakika Tanzania itakuwa kama Dubai tutaishi vizur mnooo tra wasinyanyase watu tena waacha uwizi rushwa dhulma Hakika kilio kimefika kwa Mungu tuiepusha. Tanzania na laana ya Mungu

  • @samwelbrandan3724
    @samwelbrandan3724 Рік тому +3

    BAADA YA MWARABU KUCHUKUA BANDARI NDOMNASEMA MIZIGO ISIKAMATWE ASANTE DUBAI

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 11 місяців тому

    Shida Mwigulu amechanganyikiwa hila zake nyingi sana mtu huyu siasa nyingi

  • @JuhudiMatihoro-qu4kv
    @JuhudiMatihoro-qu4kv Рік тому

    Wazili nimekulewa sana mm binafisi niliziswa namawazo hayo

  • @malikimakasi6492
    @malikimakasi6492 Рік тому +1

    Nchi imewashinda serikalini wapiga Dili mmekuwa wengi

  • @mako331
    @mako331 Рік тому +1

    Ni vizuri kuwa na watu kama Mpina, haijalishi amekosea au la! Tukiwa na watu wa ndio Mama kila kitu hii nchi itatumbukia shimoni, so we need more of Mpinas in the parliament

  • @frankwilliam144
    @frankwilliam144 Рік тому

    Nafikiri huyu jamaa hakumuelewa mpina alichokuwa anakimaanisha. Na ukweli ni kwamba Mpina anatutetea sana wananchi. Yaani Mwigulu anajificha kwenye kivuli cha rais na siyo kutafuta solution ya hichi anachokizungumza.

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Рік тому

    Chawa

  • @Sakina-pr3ly
    @Sakina-pr3ly 5 місяців тому

    Mpuuzi mpina alikuja Kanda ya ziwa nakutufilisi watu tumekimbia miji kwajili yamadeni ya mpina

  • @nmatuja2191
    @nmatuja2191 Рік тому

    Leo mwigulu uneongea vizuri sana tangu nianze kukusikiliza,hapo tukopamoja.

  • @SharifMkengende-qs2gz
    @SharifMkengende-qs2gz Рік тому

    Safii uyu kaongeza ukweli mutufikilie bhana

  • @davidmakoye3585
    @davidmakoye3585 Рік тому

    Leo umeongea vitu vya mama waziri wa fedha

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183 Рік тому

    Hapo sawa ndio ikusanywe Kwa mara Moja sio faya TBS uachafu Resen mengi kibaoo

  • @CliffordMwananyanda
    @CliffordMwananyanda Рік тому

    🤝

  • @VLADDYNDANZI
    @VLADDYNDANZI 5 місяців тому

    Mpina anachuki sana na sababu kubwa kuwekwa pembeni kwenye baraza la mawaziri kwakuwa Serikali ya awamu ya 5 ndo ilimpatia uwaziri baada ya kutolewa awamu ya 6 kajenga chuki kwa hapo ni kazi

  • @mmwaupete6265
    @mmwaupete6265 Рік тому

    Inaonekana hajamuelewa mpina na hazungumzi kitaalam kwa maana ya kiuchumi.

  • @twalibmassea6593
    @twalibmassea6593 6 місяців тому

    Huyu sio mwigulu 😊

  • @inocentkaiza7962
    @inocentkaiza7962 11 місяців тому

    Mpina hatamtesa sana uyu baba

  • @makusaro2289
    @makusaro2289 Рік тому

    Mpaka Rais Samia akuelekeze? Wewe ulikuwa waziri wa fedha wakati wa Magufuli. Ulikuwa mfungiaji mkuu wa biashara na kuwasweka ndani wafanyabiashara wasio na kosa. Unaloongea leo ni sahihi ila ni kwa sababu Rais mwenye hekima amekuelekeza. Ungeomba basi msamaha kwa yale aliyotendea wafanyabiashara wakati ukiwa na Magu.