Waziri Mkuu na Spika wa Bungeni viongozi wazuri kweli, lazima tuwajali wananchi wetu! Hizi sheria zetu za kurithi kutoka kwa wakolini wakati mwingine zinatuweka njia panda ya kugombana na wananchi.
Hiyo Tanapa ni kina nani?? Maana sehemu zote zinazopakana na wanakijiji Tanapa mtihani nakumbuka hata kule kwetu mkowa wa pwani kule Saadan na Bwagamoyo Huwa kunatokea mara kwa mara mara watuzibie njiya mtu unawahi msibani ukifika pale kwenye kizuizi Cha Tanapa ni mtihani kwa kweli.
Piga makofi kwa Mbunge Esta matiku kuwa yanasemwa lakini utekelezaji haupo Sasa kama waziri mkuu hawamsikilizi.hao waliokuwa chini yake nani Atasikilizwa?? Na Kuna faida gani ya kuweka mkuu??
Kusanya wakulima wote wapige kula uone kama utapata alie fulahi, kinachofanyika naselikaliyetu niubabetu yani bado wanambalali hawaamini hivi nikweli hatuta lima mpunga kule kamwe, alafu ata wakija watasema tumekwenda mbalali wanambalali wamefurahi kweli
Na wanazofanya hivyo ni watanzania wenzetu hao game Scout wamekuwa watumwa wa mwekezaji wa Tanapa
Waziri Mkuu na Spika wa Bungeni viongozi wazuri kweli, lazima tuwajali wananchi wetu! Hizi sheria zetu za kurithi kutoka kwa wakolini wakati mwingine zinatuweka njia panda ya kugombana na wananchi.
Ahsante Mh Mbunge Mtega
R. I. P Magufuli😭
Inaumaah xna😢
Hiyo Tanapa ni kina nani?? Maana sehemu zote zinazopakana na wanakijiji Tanapa mtihani nakumbuka hata kule kwetu mkowa wa pwani kule Saadan na Bwagamoyo Huwa kunatokea mara kwa mara mara watuzibie njiya mtu unawahi msibani ukifika pale kwenye kizuizi Cha Tanapa ni mtihani kwa kweli.
Waziri muhusika awajibike tu. RIP JPM baba
Piga makofi kwa Mbunge Esta matiku kuwa yanasemwa lakini utekelezaji haupo Sasa kama waziri mkuu hawamsikilizi.hao waliokuwa chini yake nani Atasikilizwa?? Na Kuna faida gani ya kuweka mkuu??
Tanapa wabaya Sana sijui hawazaliwa nawazazi wakitanzania au wanatoka nchi za nje mn hawana hata uruma sijui wanaishi nchi gani
Hiyo ndiyo ccm mnyama ni bora kuliko binahadam
Kwani tanzania kuna serikal ngap?
Kwa nini serikali inawaachia? Hakuna aliye juu ya sheria
Na Hilo la kichomwa moto vipi limepotezewa au vipi??
Sijakuerewa huyu mama Yuko sawa kwasabu hakuna kinchoenderea
Sijarizika na majibu ya mh waziri mkuu hawo wangechukuliwa hatua mara moja
Serikali yetu jamani inaruhusije nchi inafika hapa😢😢😢😢😢😢
Mama uko sawa
ni bora wamuongeze shahada nyengine ya DR , kwa hivi anavyo fanya kazi 😢😢😢😢
Sijasikia waziri mkuu akiagiza wananchi waliopigwa kama serikali itawalipa fidia na waliowadhalilisha wata adabishwa vipi
Kwanini Kira siku watu hajawa na samani ira wanyama Kweri serekari imekuwa ya ajabu sana Basi endereeni
Kusanya wakulima wote wapige kula uone kama utapata alie fulahi, kinachofanyika naselikaliyetu niubabetu yani bado wanambalali hawaamini hivi nikweli hatuta lima mpunga kule kamwe, alafu ata wakija watasema tumekwenda mbalali wanambalali wamefurahi kweli
halafu utasikia eti hii serekali ni sikivu. . uonevu kila kona unaofanywa na hii serekali
Nimeumia kama ndo Mimi
Tatizo kuondoa vyama mubaki wenyewe
Pole spika wapo wabunge wanapiga makofi tu hata hawana mada wa kusikiliza kinachosemwa ni shida tu
Kwa muktadha huo
😜😜