Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
TUNDU LISSU AGOMA KWENDA POLISI, APUUZA KAULI YA WAZIRI NAPE KUHUSU KUMTUKANA RAIS SAMIA, Asema……
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 25 лип 2023
КОМЕНТАРІ • 81
Наступне
Автоматичне відтворення
TUNDU LISSU AKABIDHIWA GARI LAKE NA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA, NAMBA ZA GARI YAKE ZATUMIKAChadema Media TV
Переглядів 96 тис.
PADRI KITIMA AITEGA TAMISEMI KUSIMAMIA UCHAGUZI/AGUSIA MISIMAMO YA CHADEMA,ACT NA CCMJAMBO TV
Переглядів 61 тис.
LIVE: Funeral Prayers for Slain Hamas Chief Ismail Haniyeh in Qatar's Abd al-Wahhab Mosque | N18GCNBC-TV18
Переглядів 119 тис.
Алексей Воробьев - Всё остальное - лишь товар. «Профессор Тод Лебен» (лекция №5) Автор - А.ВоробьевАлексей Воробьев
Переглядів 3,7 млн
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 10 млн
skibidi toilet 77 (part 1)DaFuq!?Boom!
Переглядів 17 млн
Я тоже так могуDouble Bubble
Переглядів 2,2 млн
MCH. HANANJA AFICHUA SIRI ZA MH. MAKONDA NA SABABU ZA KUTAFUTWA NA KUULIZIWA WAPI ALIPOSIMULIZI ZONE
Переглядів 1 тис.
TUNDU LISU AZINDUKA TENA NA KUIBUA MAPYA MAMBO MAZITOBNGORONGRO KABLA YA KUKAMATWA NA POLISI ARUSHAKUSAGA TV
Переглядів 41 тис.
Trump Live | Trump Rally In Harrisburg | Trump Speech | Trump News | US News | US Elections | N18GCNN-News18
Переглядів 102 тис.
⚡️ШЕЙТЕЛЬМАН: Зеленський РОЗВІВ ПУТІНА! Кремль просить ПЕРЕГОВОРИ. F-16 зайшли в БОЇ @sheitelmanСейчас
Переглядів 102 тис.
Bangladesh Protest News LIVE: After Hasina's Ouster, Muhammad Yunus Takes Charge of Interim GovtFirstpost
Переглядів 82 тис.
EXCLUSIVE: MJUE JOB NDUGAI "SPIKA ALIYEJIUZULU" Tangu AONDOKE HAJULIKANI ALIPO"na ASIKIKI KABISASAN TZ MEDIA
Переглядів 40 тис.
LISSU ANAMACHUNGU NA MAKONDA ASIMULIA "HUYU NI MHALIFU ALIHUSIKA KUPIGWA KWANGU ANAPASWA KUWA JELA"MwanaHALISI TV
Переглядів 244 тис.
LISSU AKUTANA NA NESI ALIYEMTIBU WAKATI AMEPIGWA RISASI DODOMA, AFUKUZWA KAZI, AELEZEA MAZITOMwanzo TV Plus
Переглядів 56 тис.
TUNDU LISSU AKIONGEA MBELE YA VIONGOZI WA BARAZA KUU LA CHADEMAChadema Media TV
Переглядів 83 тис.
Eleftherios Petrounias helped by Arthur Zanetti = epic gala moment ❤️Olympics
Переглядів 47 млн
Як на КУРЩИНІ ПАДАВ АКВАФРЕШ РФТСН
Переглядів 486 тис.
ЖИТЕЛІ Курська ЗНЕНАВИДІЛИ Путіна! Бункерного ЧЕКАЄ... | ГАРЯЧІ НОВИНИ | ТИЖНЕВИЙ ДАЙДЖЕСТФакти ICTV
Переглядів 730 тис.
Зачем ВСУ перешли границу? Обмен заключенными - шаг к миру? Риск войны на Ближнем Востоке / ШевченкоRTVI Новости
Переглядів 2,6 млн
«Зайшли п*дорам в тил у перший день штурму» #україна #війна #зсу #окупантиСлідство.Інфо | Розслідування, репортажі, викриття
Переглядів 711 тис.
Гордон. Начало крутого замеса, Кубань просит присоединения к Украине, заговор армии против ПутинаВ гостях у Гордона
Переглядів 661 тис.
Буданов про плани на Курську область, та Воронеж #shorts #курск #воронежАпостроф TV
Переглядів 2,2 млн
Яшин - интервью после тюрьмы / вДудьвДудь
Переглядів 7 млн
Hakika wanahabari wetu kama ndio wengi/wote ni WA aina hii (mhojaji), Tz Ina kazi kubwa sana. Lissu na wenzake ATI wanapiga kelele!!
kauli ya eshima ni hipi labda wewe unayotaka atoe labda ulitaka atoe kauli kutoka mbinguni
asante sana mweshimiwa hii nchi siyo nchi ya kifalume
mweshimiwa lisu tuko nyuma yako bega kwa bega
Ww unayemuona Lisu ni puuzi mm naona mama yako ndo mpuuzi
Lisu NI mpuuzi tu kama wapuuzi wengine kama wewe
Jamani wazazi wamekosa Nini tena,haya ni maswala ya kupita tu,kwani mzazi wake ndo ame comment?
G😮vp@@memoryngambi7570
Mwamba Huyu hapa Lisu 👊 🤜 🤛
Mweshimiwa tundu liss uko sawa kabsa ❤
Lisu watwange wakukome
Hawa wamekula nidhamu za Wazungu .Ni muhimu kuliko hata Biblia yake.
Nidhamu za kusema uongo iliupate Uongozi naona nizakishetani tuu.
mwamba huyuuu usiwasikie machawa hao
Tatizo nchii hii watu wanataka tutawaliwe sio tuongozwe kwa mujibu wa shelia na katiba
Kwani Rais yeye anakuwaga Ni Mungu , ndugu mwa/habari
Mungu akulinde Lisu
Tatizo tunakosea sana kumlinganisha raisi na Mungu.
Na inaumiza
Upo vizr brother wew ni jembe
Aisee
mungu ibariki tanzania
Amekuwa akipush jambo la mkataba wa bandari lisitishwe au vifungu vibadilishwe hii nchi hii Yuda wengi xna mtu anachekelea kuingia mikataba mibovu Magufuli alituambia kila kitu sisi wananchi na hao watu wa upinzani wanasema mulemule mm xna Imani kabisa na huu uongozi wa kinafiki.Angalieni watoto wetu wanaokuja lkn ujinga umetujaa hii nchi na siasa za ubabaishaji, hatuwez kufika.🇹🇿
Magufuli aliyetuma watu wampige risasi na kupelekwa ubelgiji mpaka Samia kumwamvia arudi? Anatakiwa awaambie wafuasi wake ndie huyuraisi aliyenipa ruhusa kurudi.
Fatani mkubwa huyo bhana hana adabu tu halafu anataka urais hana maadili muhuni tu mkubwa
Nimkumbushe rais wangu mpendwa alifanya makosa makubwa kumludisha mpuuzi uyo uyu angekufia uko.uko ni mtu asiye na hadabu
Una maana gani si wafukuzwe wanaotufanya tuanagaike ktk nchi yetu wanauza kila kitu mkaguzi wa serikali anawataja wazi lkn hawakamatwi
Rais gan huyo unayemtetea
Wewe hutokufa shenzi wewe
Ukipenda mwenza afe na wakati muumba wetu anasema( mimi sikufurahii kufa kwake mtu yoyote na kwa kwamba amchukia mwenza ni muuaji wewe ni namba moja. Rais sio mungu, na yeye anamshujudia mungu. Kumbuka ni chaguo la.wananchi ili kuwahudumia watu wa mungu. Yesu alitukakanwa sana, na kukataliwa sana lakini hatukuona DCI. Kuna mahali yesu aliitwa mwalimu Mwema akakata akisema yeye sio mwema isipokuwa mmoja tu ,( Muumba wa kila kitu). Kama mtu amezungumza adharqni ajibiwe adharani kwa hoja ndiyo upendo huo na sio chuki bila hoja kujibiwa. Wewe ukijihesabia haki, kuna anyejua hiyo haki yako ni ya kiwango gani. Rumi 19: 21... inasema usilipe baya kwa baya bali lipa wema( kwa maana ya jawabu). Mnapomuwazia mwengine mabaya...ataendelea kuishi. Nakumbuka Lowasa wengi walisema atakufa, lakini bado yupo na wamekufa wangapi wakamuacha? Bro jifunze.
Ni kweli na sio kumrudisha huyu mpuuzi..Bali hata kuruhusu mikutano ya kipuuzi ya hawa wajinga ....MH...rais amekosea...sana...
Hyu asirud Tena ulaya yn gvt imuonyeshe uwezo
Lissu bana 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Lisu nimsomi unae mpinga lisu nikilaza wa ccm
3:30 3:30
Wanasheria wa nchi hii fanyeni kazi moja ya kutafusiri huo mkataba kwa kiswahili sambaza vijijini na mijini ata kwa njia ya simu watu waelewe kilichoandikwa mle kwa kujionea sio kwa kuambiwa
Wameshautafsiri mbona muda mrefu.
Ata makofi anakula akizingua😂😂😂😂😂
Ni wakati pia ya kuoji muungano wa Tanganyika na zanzibar Kama ni muungano tuwe na rais moja wa Tanzania bendera moja nchi moja katiba moja Zanzibar ilishajitenga, lina katiba yake, rais wake, bendera yake , mipaka yake na majeshi yake, na bado wananufaika na kumiliki ardhi ya bara ambayo siyo sehemu ya muungano huku watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar hivyo wazibari wasiongeleh ubaguzi pale watanganyika wanapoibua hoja ya kero ya muungano hoja za watanganyika zisibezwe hata kidogo au kuzikejeli
Je? unajua mpaka wazanzibar niupi? Inaonesha haujui mambo
Lisu Uko vizuri umeivaa sikamawale
Nape akuita police akiwa km nani mpuuzi huhu sana rais akikosea lazima umwelenze ukweli ili ajue kwani marais hawakoseagi? Mbona kawaida hakuna mwanadamu asiekoaea hapana sisi siyo malaika broo elewa hilo
Hyu atenguliwe kiuno kabisa
Wew mavi kweeli
Mungu ageuze kauli yako kivunjike chako
Weweniwaziri wamashoga lisu
Kwa Ufupi huna Adabu
Muoga anajiamini kosa aliishaamviwa
Huyo anampa mwenzake 5500 ya nn
Hoja hakuna sikuhizi ni Bandari, Ina maana Ulinzi na Usalama wa Wananchi uko poa, kazi nzuri Mheshimiwa Rais SSH
Uyo n wakili ambae hana akili
Mwehu
police wa watanzania au
KOMANDO ANAONGEA SAF
Sema baba Mungu yupo pamoja nasi
IQ kubwa inawatesa Sana CCM hawataki kabisa kuzisikiaa hoja zinazo elimisha jamiii iliyopotea hapa nyumbani kwetu Tanzania,
Katiba mpya itumike
Safi Sana tindu lisu,
Wivu tu....na 2025 atachaguliwa kwa kishindo....na mtabaki na aibu....na mikutano ya kipumbavu...
Kwà wizi kurà kupitia nape
Mwanasheria msomi sk zot atabak kua msom2
Uko sawa kabisa lissu... mtu akikosea lazima asemwe
We mkudu tu baba
Pigania ukristo wako
Huyu ni Kiongozi, anayethubutu
Wambie ukwel waelewe
RAIS NIMTU AKIKOSEA AKOSOLEWE
lisu wewenimgonjwa Unaakili
Babu kuishiwa huyu kabaki kupuyanga na kuropoka mchanga alilazimisha hauna thamani wapelekewe tu bwana zake leo anajishauwa nini?sakubimbi mkubwa kibaraka.
Marehemu anaeishi❤😂
Huyu na mzee wa kitendawili ya kenya ndugu moja
ukweli siku zote imauma sema yt mkuu
Tanzania hii toka magu aondoke kila mbweha hubweka tu Ila angelikuwepo
Jamaa Hana adabu hufai kuwa kiongpzi
Kukosoa kupo ila si kila mtu utamkosoa tu kivyovyote utakavyo lazima kuna kuchunga maneno ndo mana hata baba na mama huwezi kuzungumza nao pindi wanapo kosea kama unavyo zungumza na wanao wanapo kosea,,,, elimu bila ya adabu ni kazi bure huwezi kuongea hovyo juu ya mtu ambae ni amiri jeshi mkuu je akiamua ukichaa na yeye utabaki salama!?
Maombi ni silaha
wewe nimwehu
Ujuaji mwingi mpaka unakera siku
Hata ujaambiwa wewe ni mtu mzima sio kila jambo litaandikwa kwenye katiba kuwa na nidhamu hata wewe kuna watu wanakuheshimu achana na ujuaji uliopitiliza brother
Hivi naww unamkosoa lissu so kila kauli wanazotoa vyama vya upinzani ni mbaya au nzur lkn swala la bandari hili limekaa vibaya linaudhi xna.