Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

TUNDU LISSU AGOMA KWENDA POLISI, APUUZA KAULI YA WAZIRI NAPE KUHUSU KUMTUKANA RAIS SAMIA, Asema……

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 лип 2023

КОМЕНТАРІ • 81

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 Рік тому +4

    Hakika wanahabari wetu kama ndio wengi/wote ni WA aina hii (mhojaji), Tz Ina kazi kubwa sana. Lissu na wenzake ATI wanapiga kelele!!

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Рік тому

      kauli ya eshima ni hipi labda wewe unayotaka atoe labda ulitaka atoe kauli kutoka mbinguni

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Рік тому

      asante sana mweshimiwa hii nchi siyo nchi ya kifalume

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Рік тому

      mweshimiwa lisu tuko nyuma yako bega kwa bega

  • @user-tb1gd4dp9s
    @user-tb1gd4dp9s Рік тому +9

    Ww unayemuona Lisu ni puuzi mm naona mama yako ndo mpuuzi

    • @karimkassam571
      @karimkassam571 Рік тому

      Lisu NI mpuuzi tu kama wapuuzi wengine kama wewe

    • @memoryngambi7570
      @memoryngambi7570 Рік тому

      Jamani wazazi wamekosa Nini tena,haya ni maswala ya kupita tu,kwani mzazi wake ndo ame comment?

    • @LackeHanti
      @LackeHanti 3 місяці тому

      G😮vp​@@memoryngambi7570

  • @Ambwene
    @Ambwene Рік тому +3

    Mwamba Huyu hapa Lisu 👊 🤜 🤛

  • @DannMelau
    @DannMelau Рік тому +3

    Mweshimiwa tundu liss uko sawa kabsa ❤

  • @JimokuPaul
    @JimokuPaul Місяць тому

    Lisu watwange wakukome

  • @MohamedAbdallahSaid
    @MohamedAbdallahSaid 11 місяців тому

    Hawa wamekula nidhamu za Wazungu .Ni muhimu kuliko hata Biblia yake.
    Nidhamu za kusema uongo iliupate Uongozi naona nizakishetani tuu.

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg Місяць тому

    mwamba huyuuu usiwasikie machawa hao

  • @ofreyking5975
    @ofreyking5975 Рік тому +2

    Tatizo nchii hii watu wanataka tutawaliwe sio tuongozwe kwa mujibu wa shelia na katiba

  • @johnkitwima6963
    @johnkitwima6963 Рік тому +2

    Kwani Rais yeye anakuwaga Ni Mungu , ndugu mwa/habari

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Рік тому +1

    Mungu akulinde Lisu

  • @shahadaushindi7745
    @shahadaushindi7745 Рік тому +4

    Tatizo tunakosea sana kumlinganisha raisi na Mungu.

  • @Paka5026
    @Paka5026 Рік тому

    Upo vizr brother wew ni jembe

  • @AreldFrednand
    @AreldFrednand 9 місяців тому

    Aisee

  • @josephtibu4591
    @josephtibu4591 Рік тому

    mungu ibariki tanzania

  • @aroneymarjr9676
    @aroneymarjr9676 Рік тому +2

    Amekuwa akipush jambo la mkataba wa bandari lisitishwe au vifungu vibadilishwe hii nchi hii Yuda wengi xna mtu anachekelea kuingia mikataba mibovu Magufuli alituambia kila kitu sisi wananchi na hao watu wa upinzani wanasema mulemule mm xna Imani kabisa na huu uongozi wa kinafiki.Angalieni watoto wetu wanaokuja lkn ujinga umetujaa hii nchi na siasa za ubabaishaji, hatuwez kufika.🇹🇿

    • @soudia9084
      @soudia9084 Рік тому

      Magufuli aliyetuma watu wampige risasi na kupelekwa ubelgiji mpaka Samia kumwamvia arudi? Anatakiwa awaambie wafuasi wake ndie huyuraisi aliyenipa ruhusa kurudi.

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Рік тому +2

    Fatani mkubwa huyo bhana hana adabu tu halafu anataka urais hana maadili muhuni tu mkubwa

  • @kiseleomari722
    @kiseleomari722 Рік тому +1

    Nimkumbushe rais wangu mpendwa alifanya makosa makubwa kumludisha mpuuzi uyo uyu angekufia uko.uko ni mtu asiye na hadabu

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m Рік тому +1

      Una maana gani si wafukuzwe wanaotufanya tuanagaike ktk nchi yetu wanauza kila kitu mkaguzi wa serikali anawataja wazi lkn hawakamatwi

    • @JosephJeremiah-go1dn
      @JosephJeremiah-go1dn Рік тому

      Rais gan huyo unayemtetea

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Рік тому

      Wewe hutokufa shenzi wewe

    • @shahadaushindi7745
      @shahadaushindi7745 Рік тому

      Ukipenda mwenza afe na wakati muumba wetu anasema( mimi sikufurahii kufa kwake mtu yoyote na kwa kwamba amchukia mwenza ni muuaji wewe ni namba moja. Rais sio mungu, na yeye anamshujudia mungu. Kumbuka ni chaguo la.wananchi ili kuwahudumia watu wa mungu. Yesu alitukakanwa sana, na kukataliwa sana lakini hatukuona DCI. Kuna mahali yesu aliitwa mwalimu Mwema akakata akisema yeye sio mwema isipokuwa mmoja tu ,( Muumba wa kila kitu). Kama mtu amezungumza adharqni ajibiwe adharani kwa hoja ndiyo upendo huo na sio chuki bila hoja kujibiwa. Wewe ukijihesabia haki, kuna anyejua hiyo haki yako ni ya kiwango gani. Rumi 19: 21... inasema usilipe baya kwa baya bali lipa wema( kwa maana ya jawabu). Mnapomuwazia mwengine mabaya...ataendelea kuishi. Nakumbuka Lowasa wengi walisema atakufa, lakini bado yupo na wamekufa wangapi wakamuacha? Bro jifunze.

    • @karimkassam571
      @karimkassam571 Рік тому

      Ni kweli na sio kumrudisha huyu mpuuzi..Bali hata kuruhusu mikutano ya kipuuzi ya hawa wajinga ....MH...rais amekosea...sana...

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Рік тому

    Hyu asirud Tena ulaya yn gvt imuonyeshe uwezo

  • @mr_kajomba_og5719
    @mr_kajomba_og5719 Рік тому

    Lissu bana 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t Рік тому +1

    Lisu nimsomi unae mpinga lisu nikilaza wa ccm

  • @yasinimuna3570
    @yasinimuna3570 3 місяці тому

    3:30 3:30

  • @gridkibanda2582
    @gridkibanda2582 Рік тому +2

    Wanasheria wa nchi hii fanyeni kazi moja ya kutafusiri huo mkataba kwa kiswahili sambaza vijijini na mijini ata kwa njia ya simu watu waelewe kilichoandikwa mle kwa kujionea sio kwa kuambiwa

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Рік тому +1

    Ata makofi anakula akizingua😂😂😂😂😂

  • @ondieckotoyo1143
    @ondieckotoyo1143 Рік тому +2

    Ni wakati pia ya kuoji muungano wa Tanganyika na zanzibar Kama ni muungano tuwe na rais moja wa Tanzania bendera moja nchi moja katiba moja Zanzibar ilishajitenga, lina katiba yake, rais wake, bendera yake , mipaka yake na majeshi yake, na bado wananufaika na kumiliki ardhi ya bara ambayo siyo sehemu ya muungano huku watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar hivyo wazibari wasiongeleh ubaguzi pale watanganyika wanapoibua hoja ya kero ya muungano hoja za watanganyika zisibezwe hata kidogo au kuzikejeli

    • @YusuphAlly-th2zh
      @YusuphAlly-th2zh 11 місяців тому

      Je? unajua mpaka wazanzibar niupi? Inaonesha haujui mambo

    • @malyondanga4635
      @malyondanga4635 10 місяців тому

      Lisu Uko vizuri umeivaa sikamawale

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Рік тому +1

    Nape akuita police akiwa km nani mpuuzi huhu sana rais akikosea lazima umwelenze ukweli ili ajue kwani marais hawakoseagi? Mbona kawaida hakuna mwanadamu asiekoaea hapana sisi siyo malaika broo elewa hilo

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Рік тому +1

    Hyu atenguliwe kiuno kabisa

  • @redmiuser2467
    @redmiuser2467 Рік тому

    Weweniwaziri wamashoga lisu

  • @user-zx2yd4bl2x
    @user-zx2yd4bl2x Рік тому

    Kwa Ufupi huna Adabu

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Рік тому

    Muoga anajiamini kosa aliishaamviwa

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 Рік тому

    Huyo anampa mwenzake 5500 ya nn

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Рік тому

    Hoja hakuna sikuhizi ni Bandari, Ina maana Ulinzi na Usalama wa Wananchi uko poa, kazi nzuri Mheshimiwa Rais SSH

  • @TwahaSaidiLigoola-kr1rt
    @TwahaSaidiLigoola-kr1rt Рік тому

    Uyo n wakili ambae hana akili

  • @sasakawagroupone50
    @sasakawagroupone50 Рік тому

    Mwehu

  • @dominikishilali4645
    @dominikishilali4645 Рік тому

    police wa watanzania au

  • @cairoshampeny
    @cairoshampeny Рік тому

    KOMANDO ANAONGEA SAF

  • @devothabahati6548
    @devothabahati6548 Рік тому

    Sema baba Mungu yupo pamoja nasi

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 3 місяці тому

    IQ kubwa inawatesa Sana CCM hawataki kabisa kuzisikiaa hoja zinazo elimisha jamiii iliyopotea hapa nyumbani kwetu Tanzania,

  • @user-nt4lp9dy6i
    @user-nt4lp9dy6i Рік тому

    Katiba mpya itumike

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Рік тому

    Safi Sana tindu lisu,

  • @karimkassam571
    @karimkassam571 Рік тому

    Wivu tu....na 2025 atachaguliwa kwa kishindo....na mtabaki na aibu....na mikutano ya kipumbavu...

  • @DottoMussa-fx8pn
    @DottoMussa-fx8pn Рік тому

    Mwanasheria msomi sk zot atabak kua msom2

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 5 місяців тому

    Uko sawa kabisa lissu... mtu akikosea lazima asemwe

  • @jhfgbn87hshswj17
    @jhfgbn87hshswj17 Рік тому

    We mkudu tu baba

  • @YusuphAlly-th2zh
    @YusuphAlly-th2zh 11 місяців тому

    Pigania ukristo wako

  • @castromemba6311
    @castromemba6311 Рік тому +1

    Huyu ni Kiongozi, anayethubutu

  • @EdgarLema-qi9or
    @EdgarLema-qi9or Рік тому

    Wambie ukwel waelewe

  • @cairoshampeny
    @cairoshampeny Рік тому +1

    RAIS NIMTU AKIKOSEA AKOSOLEWE

  • @redmiuser2467
    @redmiuser2467 Рік тому

    lisu wewenimgonjwa Unaakili

  • @bahiyalumelezy3016
    @bahiyalumelezy3016 Рік тому

    Babu kuishiwa huyu kabaki kupuyanga na kuropoka mchanga alilazimisha hauna thamani wapelekewe tu bwana zake leo anajishauwa nini?sakubimbi mkubwa kibaraka.

  • @albertmushithobias9628
    @albertmushithobias9628 Рік тому

    Marehemu anaeishi❤😂

  • @dottomatola5905
    @dottomatola5905 Рік тому

    Huyu na mzee wa kitendawili ya kenya ndugu moja

  • @Eliasmollel-pb3ef
    @Eliasmollel-pb3ef Рік тому

    ukweli siku zote imauma sema yt mkuu

  • @samwelhiinyamhangahiileosi1060

    Tanzania hii toka magu aondoke kila mbweha hubweka tu Ila angelikuwepo

  • @hashirali4587
    @hashirali4587 Рік тому +1

    Jamaa Hana adabu hufai kuwa kiongpzi

  • @abuuhudhaifa5134
    @abuuhudhaifa5134 Рік тому

    Kukosoa kupo ila si kila mtu utamkosoa tu kivyovyote utakavyo lazima kuna kuchunga maneno ndo mana hata baba na mama huwezi kuzungumza nao pindi wanapo kosea kama unavyo zungumza na wanao wanapo kosea,,,, elimu bila ya adabu ni kazi bure huwezi kuongea hovyo juu ya mtu ambae ni amiri jeshi mkuu je akiamua ukichaa na yeye utabaki salama!?

  • @user-es9fc4fy9i
    @user-es9fc4fy9i 11 місяців тому

    Maombi ni silaha

  • @almasjuma6872
    @almasjuma6872 Рік тому

    wewe nimwehu

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Рік тому +1

    Ujuaji mwingi mpaka unakera siku

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Рік тому

    Hata ujaambiwa wewe ni mtu mzima sio kila jambo litaandikwa kwenye katiba kuwa na nidhamu hata wewe kuna watu wanakuheshimu achana na ujuaji uliopitiliza brother

    • @aroneymarjr9676
      @aroneymarjr9676 Рік тому +1

      Hivi naww unamkosoa lissu so kila kauli wanazotoa vyama vya upinzani ni mbaya au nzur lkn swala la bandari hili limekaa vibaya linaudhi xna.