CHIDI BENZ asimulia ALIKIBA alivyokuwa akiuza VITUMBUA ‘Ali K ni hustler, hakuna kama yeye - Part 2

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 133

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 11 місяців тому +36

    HIVI HUYU JAMAA ANA UBONGO WA KIASI GANI😮😮 DUHHHH ANA MEMORY SIJAWAHI PATA KUONA WALLAH, MASHA'ALLAH 😮😮

  • @kijokombao5345
    @kijokombao5345 11 місяців тому +31

    Sema hiyo glass ya maji hapo bwana sky ungeipiga brand yetu tu (SNS) ungetisha sana asee

  • @sarahmuhammed6872
    @sarahmuhammed6872 11 місяців тому +13

    CHIDI bro wangu kama wajua KUNA MUNGU jiandae na KESHO yakoo ,mrudi MUNGU.uanze KUFANYA IBADA kama aivyoamrisha MUNGU, MUNGU ni mkubwa WA KUSAMEHE

  • @DicksonKalla
    @DicksonKalla 11 місяців тому +25

    Kama umeelewa mafumbo alioongea chid✌️ weka like

  • @josephatSwai
    @josephatSwai 11 місяців тому +61

    Kama una amini chid ana akili sana like apa

    • @kobabaoyamerudi
      @kobabaoyamerudi 11 місяців тому +2

      Hana hakili chid benz wwwe

    • @nsusabudda2951
      @nsusabudda2951 11 місяців тому +1

      Ache unga sasa.. akili bila mahalifa sawa sawa..

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 11 місяців тому

      Sasa chidi yote wayajua kua kuna MUNGU kwanini isitubie ukaanza kufanya IBADA kama alivyoamrisha MUNGU???

  • @victoriakapele8682
    @victoriakapele8682 11 місяців тому +13

    Piga kelelee kwa chidbenziii❤❤❤❤❤❤

  • @saidoozeson524
    @saidoozeson524 11 місяців тому +8

    Noma sana nakubali child benz chuma

  • @Peaceman-S
    @Peaceman-S 11 місяців тому +1

    Two Legends meets together.....mwandishi n Legend na Chid naye wa kitambo interview inakaa poa sana

  • @jumalihumbo5314
    @jumalihumbo5314 11 місяців тому +11

    Wanaungana ungana vp simba mara yanga dah naenjoy sn interview ya legend chid

  • @husseinbhatia434
    @husseinbhatia434 11 місяців тому +15

    Kama isingekua tumekatazwa kua na Iman zakishirikina basi ningesema mwana Kuna wahuni wamemchezea,maaana ni mzima Sana zaid ya tunao waona wazima,akir nyingi

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 11 місяців тому +1

      Acha tu mwamba ana IQ kubwa sana

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 11 місяців тому +1

      Exactly! Chidy is a genius ndio maana watu hawamwelewi.. ni kama Kanye West vile ambavyo hatumwelew

    • @kaloymlambi3670
      @kaloymlambi3670 11 місяців тому

      Bro watu wanachezeana mambo ya nyota mzee so mchezo

  • @cmaxfrans4654
    @cmaxfrans4654 11 місяців тому +1

    I can I agree with Chid, Alikiba is the only guy I saw in Canada amejaza show na sehemu mbalimbali so far alafu atumii Nguvu.

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 11 місяців тому +2

    Love you Chi B no mara waa❤❤❤❤❤

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 11 місяців тому +2

    Jamaa anahitaji msaada

  • @annievibes8794
    @annievibes8794 11 місяців тому +11

    Brother sky nakusifu kwa kumsikiliza chidi😂

  • @Kidabitangassa
    @Kidabitangassa 11 місяців тому +4

    Dah mahikaji anaongea point

  • @ELOGERUHIMBASA
    @ELOGERUHIMBASA 11 місяців тому +5

    Daa hujama kuna mdaa haipo sawa

  • @SalumMushi
    @SalumMushi 11 місяців тому +5

    Nimekubali

  • @thewaukweli2183
    @thewaukweli2183 11 місяців тому +6

    Lil Wayne and chid Benz sauti Sawa Sawa 🤣🤣🤣🤣

  • @khanafrica22
    @khanafrica22 11 місяців тому +4

    Ila hapo kwa Ali alivyokuwa anauza vitumbua daah😅😅😅
    CHID MIYEYUSHO SANA SOMETIMES😂😂😂

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 11 місяців тому

    Bangi mby

  • @KhalfanSeif-s2j
    @KhalfanSeif-s2j 10 місяців тому

    Big up broo

  • @AMwamzola
    @AMwamzola 10 місяців тому

    Brother kwa ali kiba atamimi nakubal yupo vizur sana

  • @idrissaomba8803
    @idrissaomba8803 11 місяців тому +6

    nikiangalia macho yake inaonysha tu jamaa yuko vizur wala hana tatizo la madawa, sema alishajiwekea mfumo wake tu wakufany intervi, watu tuache kusema tusichokujua kbs, kisha hii ya matajiri kupenda toto ndogo , ndio kesi kwa sasa inawkabili viongozi na mastaa huko marekani

  • @BarakaAmosi-gb4ve
    @BarakaAmosi-gb4ve 11 місяців тому +7

    Nikiona chid anaongea nafurah sana😂😂😂😂😂

  • @matulanga5269
    @matulanga5269 11 місяців тому +9

    Kama unaamini wanawake ni wachache wa shukrani gonga like apa.

  • @stimupodcast
    @stimupodcast 11 місяців тому

    Best interview

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 11 місяців тому +3

    Nimependa chid benz saivi anapata hata raha ya kucheka ,, God is good 🙏🙏🙏 Ila chid bana yani Anatembea na ndala Tena Kagera Magomeni bila hata Bodi gadi 😅😅😅

  • @bienvenukichambaomar5067
    @bienvenukichambaomar5067 11 місяців тому

    Alikiba Congo 🇨🇩 tunampenda

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 11 місяців тому +5

    Huyu brother anakipaji kikubwa sana ila kuna sintofaham nyuma ya maisha yake, allah atunusuru arejee kwa level yak

    • @MohammedDaudIsmail
      @MohammedDaudIsmail 11 місяців тому

      Aaache madawa

    • @Makikokasongo
      @Makikokasongo 11 місяців тому

      Yanii we mahala umuombee dua arejee kwa Allah we unatabaki alikuwa muombee nusra ndugu yetu katika iiman

  • @MpajiAlisoni
    @MpajiAlisoni 11 місяців тому +1

    Iyo yakula nyama za watu ni kweli kabisa mwaka Jana ime lushwa clip means dada wa congo Ali kamatwa na watoto walio chinjwa na nyama ya watoto ilio andaliwa na alikua na mgahawa

  • @AlainShogonya
    @AlainShogonya 11 місяців тому

    The Alikiba part 😅 🔥 Ali ni mnoma

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 11 місяців тому

    Duuh kweli sky una uvumilivu. Mimi nisingeweza kumsikiliza kabisa

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 11 місяців тому

    Dada ile mbami😂😂😂

  • @mopaybeatz
    @mopaybeatz 11 місяців тому +1

    Pamoja na Yote Chid ana uwezo mkubwa sana wa kukumbuka kila kitu mpaka small details

  • @kaloymlambi3670
    @kaloymlambi3670 11 місяців тому

    Ila haya maisha nyieee daaah

  • @husseinhamis1428
    @husseinhamis1428 11 місяців тому +1

    Brother sky unauvumilivu sana aisee maana daah mwamb anaungruma2 mar anasinzia duuh sali liko hvi majib vile

  • @lucksonrugah
    @lucksonrugah 11 місяців тому +2

    Dah Sky we ni mvumilivu sana kaka 🤣✊🏾

  • @LeluuAliy
    @LeluuAliy 11 місяців тому

    Kweli matajir wanapenda watot

  • @SaibMafimbo
    @SaibMafimbo 11 місяців тому

    mwanangu chidi amepiga vitu kabla kuja interview naona ako vizuri

  • @Barakanenealldays
    @Barakanenealldays 11 місяців тому +11

    Sky unamskiliza Kweli

  • @jacksonmseli9195
    @jacksonmseli9195 11 місяців тому +4

    Hahaha brother Sky anavyo mwangalia Chid kwa huruma.

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 7 місяців тому

    𝐂𝐡𝐞𝐝𝐲 𝐧𝐚𝐦𝐩𝐚𝐭𝐚𝐠𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐲𝐚𝐧𝐢...

  • @sadatdunia9590
    @sadatdunia9590 11 місяців тому +6

    😂😂😂😂😂😂 fry Alikiba

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 11 місяців тому

    Alikiba noum

  • @jmm1840
    @jmm1840 11 місяців тому

    Chidi anaakili sana na anapenda kwenda na akili ya mtu alivyo
    Akimuona kichwa anaongea pointi
    Kama anayemfanyia intavyuu hujitambui utacheka na majibu yake

  • @kavisheonline2418
    @kavisheonline2418 11 місяців тому

    Raha ya kumfanyia chid interview wew mpe swali moja alafu yeye anatiririka interview yote 😅

  • @gabbysaimoni4115
    @gabbysaimoni4115 11 місяців тому +1

    🔥🔥

  • @JamesMachua-m9q
    @JamesMachua-m9q 8 місяців тому

    Chidy anajua uwepo wa MUNGU na anajua mpaka hapo alipo ni MUNGU sasa kwanini msimuelewe mpaka mseme bangi

  • @abuumohamed7090
    @abuumohamed7090 11 місяців тому +2

    That's true Alikiba mzee wa kusex anga

  • @Chunja-m2g
    @Chunja-m2g 11 місяців тому +1

    God #benzino

    • @PatsonIkula
      @PatsonIkula 11 місяців тому

      Hii muhimu sana. God!

  • @isayaashangai1081
    @isayaashangai1081 11 місяців тому

    😅😅😅 Dah

  • @kulindwazakaria9741
    @kulindwazakaria9741 11 місяців тому

    Hii issue ya nyama za watoto nimemsikia Mfalme Chidy Benz zaidi mara sita. Naanza kuamini Itakuwa na ukweli ndani yake

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 11 місяців тому

    Et we kidevu sio chin beez😂😂😂😂

  • @godfreykarata3710
    @godfreykarata3710 9 місяців тому

    Anaongea kama anatafuna karanga😂😂😂😂

  • @athumanindyema2302
    @athumanindyema2302 11 місяців тому +2

    Inamana lady jide kaliwa kwa sisi tulio soma ulusi tushaelewa

  • @Dcreature-b4m
    @Dcreature-b4m 9 місяців тому

    Kwa mfano chidi anataka kuwa MSEJI wa timu hapa Tanzania anafaa kuajiliwa na Timu gani?

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 11 місяців тому +2

    😂😂😂😂nikikumbuka iyo kama alien😅

  • @SulyMkanakuta
    @SulyMkanakuta 11 місяців тому +1

    Katoka mtu Malini mno Ni chid Benz Ni mtu anaeigiza kua hajielewi Ila Ni mtu Makin mnoo chid benzi

  • @husseinhamis1428
    @husseinhamis1428 11 місяців тому +1

    hatuna budi kukubali kua tushampoza mwamba for this time kweny swala zima la utimamu

  • @ZakaliaMichael
    @ZakaliaMichael 11 місяців тому +5

    Mwamba huyu hapa

  • @abubakariali9848
    @abubakariali9848 11 місяців тому +3

    Wa kwanz leo

  • @konceptualagency4837
    @konceptualagency4837 11 місяців тому

    Chidi kichaaa 😂😂😂

  • @lugendodaudi5510
    @lugendodaudi5510 11 місяців тому

    Fatilia hao matajiri bro kuhusu kula watoto

  • @saidulaya7308
    @saidulaya7308 11 місяців тому +3

    MBAMIII ANATOTOAAAA🤣🤣

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud256 11 місяців тому +1

    Ila akivua miwani mbn km macho yke km kashakula vitu ivu mbn macho ypo ivo

  • @amrimwingwa994
    @amrimwingwa994 11 місяців тому +1

    Kama Watu Wa Sayari ya Mars

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 11 місяців тому

    Kwenye suala la nyama za watoto wadogo kuliwa,nakubaliana na rashid,hiyo ni kweli kabisa hii dunia ni so wicked,kuna vitu ukiambiwa vinaendelea kwenye hii dunia HUTAAMINI HATA KIDOGO

  • @AlainShogonya
    @AlainShogonya 11 місяців тому

    This guy be looking high 24/7 haha 😂, can’t even tell if he’s high or not 😂.

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 11 місяців тому

    Ushafeli mzee chid kuwasema madogo ovyo ovyo ni makasiliko

  • @mattjr4206
    @mattjr4206 11 місяців тому

    Mbn anaongea kama Oni Sigala?? 😂😂

  • @jmm1840
    @jmm1840 11 місяців тому

    Chidi haongopagi
    Ukiona akitaja jua kweli

  • @babalad983
    @babalad983 10 місяців тому

    Ila bangi bado anavuta

  • @MasanjaThomas-on1mv
    @MasanjaThomas-on1mv 11 місяців тому +2

    mhhh

  • @bienvenukichambaomar5067
    @bienvenukichambaomar5067 11 місяців тому

    Sauti 😂😂😂

  • @OllerDesononline6333
    @OllerDesononline6333 11 місяців тому

    😂😂😂😂Mbami

  • @pickfordjustin3432
    @pickfordjustin3432 11 місяців тому

    Jaama ni genius

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k 11 місяців тому

    Mimi hupenda mschizii wote wakutoka magetoni 😂😂😂😂 yani hua hawafake maisha yani wanakupa makavuu au sio

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 11 місяців тому

    katt williams wa tanzania

  • @mosesdavid-vm5hk
    @mosesdavid-vm5hk 11 місяців тому +2

    gegius CHEEEEEEEDBENZ

  • @Henryphd355
    @Henryphd355 11 місяців тому +1

    Chumaaa chidbenz

    • @muuhclassic1342
      @muuhclassic1342 11 місяців тому

      Chid ana machokumchuzi Wala sio bangi

  • @Mutubure
    @Mutubure 11 місяців тому

    Sikay mpaka anachoka kumsikia Chd😂

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 11 місяців тому

    Chidi anatakiwa kupata ucmamiz wa kazizake vizur atacmama vyema kabisa amini hvyo

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud256 11 місяців тому

    Huyu kashakula vitu huyu si bure kw hali hiyo 😳

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 11 місяців тому

    Ila bora huyuu! Kuliko d.I.d

  • @ManigaSanco
    @ManigaSanco 11 місяців тому

    ❤❤❤❤❤ 😅😅😅

  • @rubazakennedy7441
    @rubazakennedy7441 11 місяців тому

    better chid than H baba

  • @TheReporter-A47
    @TheReporter-A47 11 місяців тому

    Kwa hiyo chidi ni kama alimla Jide maana kafichaficha

  • @kikoadventures6933
    @kikoadventures6933 10 місяців тому

    Chumaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @petersenteu7252
    @petersenteu7252 11 місяців тому +2

    Kwani amelewa now?

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo5737 11 місяців тому +3

    Kwenye bongo flevar Ali kibaNi flai k.😅😅

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 11 місяців тому +1

    Brother SKY kwa nini una interview watu wako high yaani wameshawaka hii imekaa vibaya jamaa kameshapata vitu vyake kawakaa sana. Ukimaliza show mpeleka jamaa hospitalini akili yake imeruka kidogo.

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi8243 11 місяців тому

    Chid kumbe katomba Jide

  • @mwanawataifa4889
    @mwanawataifa4889 11 місяців тому +1

    Media zinapromot bifu wadai

  • @KingTega-d3k
    @KingTega-d3k 11 місяців тому

    tangu namjua ajawah kukosea mtoto wa ilala

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq 11 місяців тому

    Brother Sky hapo umezingua😂.. Jay Dee hakumlenga Chidy bhana, acha kuchanganya madesa

    • @ms_teeonly
      @ms_teeonly 11 місяців тому

      Ni Kweli kabisa

  • @ismailally2549
    @ismailally2549 11 місяців тому +2

    Chid ww umekuja umeshapa ugali

  • @kimwalove
    @kimwalove 11 місяців тому

    CHIDI AITAJI MSAADA FOR REAL HAEZI KUWA AMESAIDIA KILA MSANI WA BONGO THIS GUY IS USELESS

    • @smarty1064
      @smarty1064 11 місяців тому +1

      Kwa enzi zile, wengi sana walipita mikononi mwake na kiuchumi alikuwa yuko vizuri nadhani familia ilikua inambeba financially

  • @samolamsille3928
    @samolamsille3928 11 місяців тому

    Naona bwana sns umeogopa kumsikia matajir wanakula wototo

  • @NasibuAlban
    @NasibuAlban 11 місяців тому

    Apelekwe rihab huyu

  • @NasibuAlban
    @NasibuAlban 11 місяців тому

    Ngada