Mtangazaji yuko vizuri sana tena ako na sauti halisi ya mtangazaji wa kiume tatizo watu wamezoea sauti zile za kutengeneza au kugeza. Huyu yuko real na anajua kuuliza maswali yaani yuko on point
unastahili kuwa maman kbsa afu jinsi una answer ni kama bile strong woman and clever one HBD cookie na maman yako kipenzi,mutangazaji unataka kujuwa mengi kuhusu kuacana kwake na Iyobo aunty siyo kama wale wakiachana na mwenziyo wanamupakazia bwana hebu muelewe she is very humble even kwakusema nakupendeya bule aunty
Anty Pambana na maisha kwa sasa kuachwa siyo ww wakwanza hata mimi mwenzio niliachwa nawatoto 3 nanilikuwa sina kazi lakini kwasasa nipo nakazi na sipo Tz nimeolewa naishi maisha ambayo sikuwahi kuishi uko nyuma funga buti mama Mungu yupo Pamoja na ww !Wastara hasumbuki
Ya hata mim nampendaga Kuna mtot wa baba yangu mdogo alikuwa anapendaga na wenyewe wamefanana sura shepu paka mambo yao hata mavazi Yao wkuvaa nguo fupi walikuwa hawajal I na wenyew wote wanaushepu
yaani kweli mumewachana duuuu mbaya sana nikosa gani kubwa lenye lilitokea mpaka kusamehana ikawa haiwezekani jamani mbona mungu sisi atusamehe kila siku lakini sisi binadamu hatuwezi
Comments mum thanks aunty Ezekiel.mungu akubarikie family yako mum.but naomba mkuwe na usiano mwema kwa Baba mtoto wako.namanisha hivyi mum kama Baba mtoto anakusaidia kulea , imagine ni Bora Mimi kama mm nimezaa na mtu hata maji kuletea watoto wake ni Ngoma.mungu aibaliki hio usiano aunty na usindisshe maombi kwa mola
Haha Amina hata mim nampenda kazur watu waliumbukaga Zaman wakat mama yake hamuonyeshi wakasema mtoto mbaya nini kamfuata sura baba yake walivyokuja kumuona wakashangaaga kila mtu akasifia mtoto mzur mzur nikasema binadam nyie
Mtangazaji yuko vizuri sana tena ako na sauti halisi ya mtangazaji wa kiume tatizo watu wamezoea sauti zile za kutengeneza au kugeza. Huyu yuko real na anajua kuuliza maswali yaani yuko on point
Ukovzur anty
Yuko vizur sana
unastahili kuwa maman kbsa afu jinsi una answer ni kama bile strong woman and clever one HBD cookie na maman yako kipenzi,mutangazaji unataka kujuwa mengi kuhusu kuacana kwake na Iyobo aunty siyo kama wale wakiachana na mwenziyo wanamupakazia bwana hebu muelewe she is very humble even kwakusema nakupendeya bule aunty
Aunt nakupenda!! Naomba mrudiane mlee watoto pamoja pls
Aunt umejibu maswali vizuri sana Hongera
huyu dada Nampa asilimia 100 umemjibu Safi mwanamke Bora . wewe Ni wa kipekee kwenye bongo movie. hongera sana
Aunt umependeza sana wewe pamoja na mwanao. Happybirthday Cookie
Elizabeth Mwandu mmh
Elizabeth Mwandu
@@bakarkassim9242 nambie!
Umependeza
Pendeza xana
Wasituzinguwe.....huyu jamaa yuko vizuri sana kwa kazi yake.....kisha sauti iko real....a man voice should be like that....kidume cha mbegu
i like the talk mama cookie yua bright en intelligent..... plz come back baba cookie nyumban pamenogaaaa
salma mwinyimvua heppy mwanang
Aunt Umekuwa rafiki yangu hii Interview najiskia kama nitazame mida yote fresh sana mwayaa Maana siri zako weka Moyoni.😍😍
Lalia Elulu
I love this woman so much she is so smart.nakupenda sana aunty
HAPPY BIRTHDAY BEAUTIFUL PRINCESS COOKIE🎉🎉🎉🎉🎊🎊🎊🎊❤❤❤❤❤🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
Hello
Daphne Chande woooh amedmsh kinymaaa
Saf sana
Happy barthday
Aunt is smart and beautiful, pambana na maisha sister
makoiga mg hjjhcc
Anty Pambana na maisha kwa sasa kuachwa siyo ww wakwanza hata mimi mwenzio niliachwa nawatoto 3 nanilikuwa sina kazi lakini kwasasa nipo nakazi na sipo Tz nimeolewa naishi maisha ambayo sikuwahi kuishi uko nyuma funga buti mama Mungu yupo Pamoja na ww !Wastara hasumbuki
Nakupend sana.ant Ezekiel
Nampenda.sana cookie happy birthday 👑👗👡👡🎉🎊🎂🎁 namis kukuon cookie
Nakupnda san
She’s beautiful baby. Only that the mother dosent sound responsible
Waooh! Aunt umejua kujibu vzr sn
Nakupenda Aunt. unajielewa my
Hongera sana kwa majibu yaliyotukuka dada.Nimebarikiwa kwa majibu yako ya hekima sana.
Makeup it amazing imetulia malipake 💄😍
Happy birth day cookie may u live to grow to many yrs
mtangazaji uko poah sana kuuliza maswali yenye point.👏👏👏.
YUZO MAPESA TV
❤
Manenoyakuambiw
@@abednegodasam6053 mann
Ebtoke
mtangazaji upo up xana big up bro
Nakupenda uant.kiukweli mmeachana sjapenda
love cook na mama ake 😍
You talk smart..and unajibu straight i like the talk
ChrissBM 6ix9ine
Wasanii wa bongo kwa kuonjana onjana mmh 🙌🙌
Zak Yahya acha kaka wanakanyaga 2
Anti wewe nimama mzuri usikate tamaaa yote yanawezekana happy birthdaymy toto
Mtangazaji alijipanga maswali anti masha allah
Mulicana kweli polesana
This presenter is doing good , keep up young man !
Bongomovie
Nimekupenda.
You hv changed.
Naagiza Mama kukuunga mkono
Waandishi wa sikuhz hamjui wajibu wenu khaaaaaaaaaa.....🙌🙌🙌🙌🙌
Happiest Belated Birthday Princess Cookie
Cookie is so beautiful❤️
Bigup bro Mungu akufikishe mbali zaidi ktk kazi zako👏
Wooooooow lik it an maswal.majib yote qonk
nakupenda aunt hauna dharau kama wasanii wengne wanaodharau waandishi wa habari
Hee kumbe anti Ezekiel mzuri loh" mtoto wa kibongo weeeee
big up kwa muulizaj wa maswal
Love you aunt....naienjoy jina la mtoto wako cookie...hahahaha
Nampenda san my lovely sister #AuntyEzekiel
,kube this girl uongea opa ivo
Ya hata mim nampendaga Kuna mtot wa baba yangu mdogo alikuwa anapendaga na wenyewe wamefanana sura shepu paka mambo yao hata mavazi Yao wkuvaa nguo fupi walikuwa hawajal I na wenyew wote wanaushepu
Kitenge kizur wamependeza kama best yangu wanavaaga sale na mwanawe
Ant nilishawai muona laivu mzur mwenyewe
Kidogo kidogo mwisho badaye mtoto naye anakuwa star
Ndio maan watoto huwa wakikuwa hawawapendi wababazao kisa tabia za babazao Mungu nikuzie mwanangu na mie😍
Napenda interview zote za Aunty Ezekiel.Hua anajibu maswali kwa ufasaha saaana.Big up dear
U are looking good my dear
Aunt nakupenda sana....mmependeza
Mashallah umependenza namwanao
Mashaallah tabaraka llahu upendeza
nakukubali san aunt na mwanao
happy birthday to you cookie
This chiq is cute and mature n intelligent,what do men really want???😭😭😭😭
U'r my everything😘😘😘😘😘
Mie na dada zangu tushawahi kupiga picture na aunt Ezekiel I love you aunty😘
Mohammed Nassor hahaha wabongo bwana
Wewe fetty kama ulikuwa hujui mimi ndio mbongo haswa upo nyonyo 🙅
Wanaume was kibongo
Wanatesa na kunyanyasa wake zao ndo maana MTU akiachwa anakuwa huru
Happy birthday cookie mmependezaaa
Alichokiongea cook ,,Na mlichokiandika hapo juu ni tofauti kabisa waandishi hv mna nini lakn ??
Hawajielewi
Hawana akili hawa jamaaaaa
Iyo inaitwa attention getting devices Kazi yake kubwa ni
Kuhakikisha tunavutiwa kuisoma habari au kuiview video
Fatma Issa na sisi tuache umbeya
Fatma Issa Yani awa watu ni baraa kichwa cha Habari ni tofauti kabisa.
yaani kweli mumewachana duuuu mbaya sana nikosa gani kubwa lenye lilitokea mpaka kusamehana ikawa haiwezekani jamani mbona mungu sisi atusamehe kila siku lakini sisi binadamu hatuwezi
Maasha'allah
Nakupenda sana aunt napia mamuombea maixha mazur mwanao akue katika maadili mema ukimtegemea mungu inalipa
Hivi house of Star iko sehemu gani hapo dar? Aunt Ezekiel.
so cute mum cookie
HAPPY BIRTHDAY COOKIE
honger aunt kwa kukuza the cute baby
Wanawake bwanaa!!!
Mwandish acha usenge sasa mtoto katoa sir gan hapo??fala wew
Ww anti rudi kwa mumeo acha mumependeza sana hao wanaume mwengine wanakufata fata wanakudanganya tu moze ndio anakupenda
kumbe mmeachana kweli jamani nilikuwa nawapenda sana
mbona nyie wauza sura wa bongo movie hamdumu kwenye mahusiano mmerogwa ama!
John
Duuh hatali
mungu.awabariki
Anty nakupenda sana pia unajua sana kujibu maswali
Nakupenda Sanaa
Huo msautiii khaaaa mbayaa
black is beauty😘
Sana my
Hongera sanaa ant ww nijembe
Nakupenda uant huwezi amini na pia napenda sana kazi zako mungu akusimamie kwenye kazi zako
Umzuri mamy
Nakupenda sana uko mkweli
So cute
Hongera sana kwako mama na mtoto
Ukweli sina lakusema,,mana raha yangoma uingie ucheze,,,daaah mlipendeza,,niliwapenda jaman,,cjui kwann mmeachana,,daaah
nice I LOVE YOU
Nice 🌸🌸
Jamani mrudiyanee tuuuu mbona yule Kk nimtulivuu sana alafuu mlipendezenaa vibayaa sana
Comments mum thanks aunty Ezekiel.mungu akubarikie family yako mum.but naomba mkuwe na usiano mwema kwa Baba mtoto wako.namanisha hivyi mum kama Baba mtoto anakusaidia kulea , imagine ni Bora Mimi kama mm nimezaa na mtu hata maji kuletea watoto wake ni Ngoma.mungu aibaliki hio usiano aunty na usindisshe maombi kwa mola
Powerful message to mothers for sure.
Smart Aunt na Cookie
Fatima Mwamjibu heppy
Mbona watangazaji mnakua waongo kichwa cha habari ni tofauti na tukio lenyewe
Eti jamaniiiiiii wanakella
Hizi media zinaingilia mpaka kuwauliza watoto mambo ya familia hii siyo vizuri
Mtangazaji ana jisauti libaya ila anauliza maswali konki sana salute kwako Kaka
Haha kweli rogathe omeona hee lalafu hilo Jina Lako zur Kuna watu nilikuwaga nawasikia wanaita hilo jina
Hila mtu huwezi kila siku birthday ukafanya party Kubwa ndo inavyokuwa Leo ndogo kesho kubwa
Mtoto kakuwa
Hata mwanaume wa GIGY alisema analea bado vizur sana
Dai pia analea wanawe nado
Happy Cook nagupenda mutoto muzur
Haha Amina hata mim nampenda kazur watu waliumbukaga Zaman wakat mama yake hamuonyeshi wakasema mtoto mbaya nini kamfuata sura baba yake walivyokuja kumuona wakashangaaga kila mtu akasifia mtoto mzur mzur nikasema binadam nyie
Mtt mzuri machaAllah 😘
Aunt nakupenda sana
Naipenda sana rangi yako ya mwili
Anty mzureee
yeah mko bombaaaa
Ant Napenda unavujibu kwakujiaminii
Ongeza kapili jamani watakupa furaha hao baadae. Hbd cocky
Aunt wenimzuriii jamni mwaaa
NAKUPENDA SANAAA AUNT EZEKIEL UNAJIELEWA NA UNAJITUMA NA UNAJUWA THAMAN YAKO NA YA MWANAO
Sauti ya huyu mtangazaji nmeipenda jmn
Hbd cookie
Nimependa alivyojibu maswali safi sana
Aunt mwanzo nilikua sikukubali kabisa ila baada kua na mtoto umekua tofaut kabisa afu unatumia busara nakupenda sana
Kwakeli mm mwenyewwe nimeipenda sana mama hongera sana ant
Nice ant
mashallah
Umependeza aunt mashallah
Ongera
Jaman Mimi sijaelew kbx