Kinachosababisha wadada wakimbie watu wazima... Licha ya kwamba wanaumwa mara pressure mara kisukari pia hawajatulia. So uishi na limtu... Jitu zima, baya, linaumwa na kukucheat juu kisa jamii ione. No papa. Hongera Aunty
Aunty kama kweli unaamani na Furaha Mungu awabariki naawawezeshe kuoana nakuishi pamoja siku zote sababu maisha ya ndoa niyawatu wawili na Mungu akiwa kati yenu hakuna wakuwatenga,umri sitstizo nakwakua mmuelewa hilo hongera sana na mmejua kuchaguana,Mungu awalinde miaka miaaa kwenu
Aunt Ezekiel nakupenda sana una mapenzi ya dhati,na hongera,mapenzi mama hayana umri,big up to you,Kusah mstaarab,Mungu aendelee kuwapigania na Nono wenu.
Ila haya maisha tujifunze kusikiliza zaidi kuliko kujudge m2 coz maisha wanayoish hawa wasanii hayan tofaut na yetu na tofaut ye2 ni yetu hayap Sana mitandaon
@@maryammagembe5553 anatabia mbaya mtu mzima ovyo unty akili zake kma mama dangote wadangaji hawa kusah analaana ya rubby alivyo teseka nae leo anamuimba ati kma inauma pole
Acha uongo Aunty Ezekiel ww mzee kwa Kusah. Na ww umezaa utaona Na Now man atakuja kupenda wazee kama wewe Na wewe utaona kama mama inavyouna mwanao kupendana Na wazee.
Am so so proud of you mama Norman and coockie.. You are a woman and a half... Nawaombea maisha marefu yenye furaha...( Zama your a very strong woman too I love you Sana,) keep it up
Zama i love u my sister and am ur fan as well But i think now its time to extend our studio so that u can accommodate more than one interviewee And napenda uchimbaji wako
Zama umezingua there a lot of question hujauliza. Like vp urafiki wake na wema? Vp kuhusu ile bif na shamsa? Vol lile duka la viatu? Vp lile jina jipya la hytham anoitwa na kusah?
Woooow from south Africa. u look so woooooow💕💕💕 and beautiful one my Zamaradi😘😘😘😘love u so much. I need one day I can see u dear love u more💕💕💕💕💕💕💕may God bless u and protect u 🍝🍾🥂
I just love you aunty😍😍😍follow your heart always Lakini show confidence weka simu chini wacha kuangalia ngalia..concentrate What is their age difference?
Mungu azidi kuwalinda na kubariki kazi za mikono yenu. Cha muhimu ni Upendo na Furaha kwenye nyumba yenu. Waja msiwasikilize kuongea ni haki yao, midomo hawailipii VAT.
Ladan Adan ohhhh my Gosh nilithani mimi peke yangu ndo nimeliona hilo. It’s so unprofessional, annoying and distracting. Halafu ni msanii mkubwa anaongea na kujitafuna tafuna 👎🏿.
Yan nnavyokwazka mm najisikia kucomment mara elfu2 tuu hv kwan aunt kakutwa na nn??me nlivyokua nampnda sema basi bhn ruby apumzke tuuu ila mbwa kusah huyu🙌
Zamaradi nakuomba ujifunze kupasa sauti kwani hii ni job ambayo inaitaji unasiri sana kutoka kwako na pia kupokelewa na watu kupitia kwa kusikia unachokiongea kabisa,kwani maneno ndio nguzo na mafundisho ambayo watu watapenda kusikia.Aunty na kusah nawaombea maisha marefu na familia yenu kwa jumla.Regurdless of wat pple r saying of ur relationship,ishini maisha yanayo mpendeza mwenyezi Mungu sio binadamu yeyote ule.Aunty uma Kama kupe huyo kusah akia ya Mungu usiumuke!!!@Kenya.
MIE NAOMBA WAOWANE NITAFURAHI SANA NA MKUBAL ANTY NA KUSA PIA NAMUAMIA KIJANA MSTRABU SANA KUSA MUNGU AJALIE IWE NDOWA KWENU MUNGU WAFANYIE WEPES WAFUNGE NDOWA👏👏👏
Aunt uwaga mzuri bwana...black beauty na wala haringi😘😘😘😘👌👌
Upo sahihi kabisa
Kweli
Ila malaya
@@samwelimoshi5614 Kama wewe
@@samwelimoshi5614 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Lakini li aunty Ezekiel ni lizurii😘😘😘🥰🥰😍 I love her 😍
Kwan kuna mwanamke mbaya
The guy sounds wise and the lady is a black beauty❤
Kinachosababisha wadada wakimbie watu wazima... Licha ya kwamba wanaumwa mara pressure mara kisukari pia hawajatulia. So uishi na limtu... Jitu zima, baya, linaumwa na kukucheat juu kisa jamii ione. No papa. Hongera Aunty
Aunty kama kweli unaamani na Furaha Mungu awabariki naawawezeshe kuoana nakuishi pamoja siku zote sababu maisha ya ndoa niyawatu wawili na Mungu akiwa kati yenu hakuna wakuwatenga,umri sitstizo nakwakua mmuelewa hilo hongera sana na mmejua kuchaguana,Mungu awalinde miaka miaaa kwenu
Aunt Ezekiel nakupenda sana una mapenzi ya dhati,na hongera,mapenzi mama hayana umri,big up to you,Kusah mstaarab,Mungu aendelee kuwapigania na Nono wenu.
Ila haya maisha tujifunze kusikiliza zaidi kuliko kujudge m2 coz maisha wanayoish hawa wasanii hayan tofaut na yetu na tofaut ye2 ni yetu hayap Sana mitandaon
Kbs
Wala hampendezani hasa wewe aunty umezidi kuokota okota
Hawana jipya watupishe
@@maryammagembe5553 anatabia mbaya mtu mzima ovyo unty akili zake kma mama dangote wadangaji hawa kusah analaana ya rubby alivyo teseka nae leo anamuimba ati kma inauma pole
Acha uongo Aunty Ezekiel ww mzee kwa Kusah. Na ww umezaa utaona Na Now man atakuja kupenda wazee kama wewe Na wewe utaona kama mama inavyouna mwanao kupendana Na wazee.
Zamaradi nakupenda sana mtu wa MUNGU.
MUNGU akufanye Kua chombo cha kurekebisha na kufunza,na kutoa faraja kwa wale walioumizwa.
Mbona nivitu2 aviendan jaman ati nikubwa sn my
Aunty ni mm kabisa niki amua jambo ndivyo hivyo sishauliki 🔥🔥🔥 mungu awasimamie wawaache kikubwa mmendeleye kuheshimiana
Mashallah jipeni raha bwana binadamu ndio kazi yao kusema❤❤❤
Umeonaa enh😊
@@rosemarymsafiri2340 bwana wee love never luk age wawache wenye wajienjoy
Life is too short
@@rosemarymsafiri2340 namupe ndasana tena dana napenda anitu miye
Ila kusah mzurii nyiee😍😍 afu wanaendana sanaa...muishi milele pamoja upendo wenu udumu Inshallah
The fact that aunty Ezekiel lives in tz where bleaching of their stars is the order of the day,I like her coz she is a black beauty and strong girl
Girl bye ain't nothing wrong with bleaching ur skin😏
@@Blue-vk5ce u must b so sick to bleach your skin just to b accepted that's being sick not normal..respect to black beauties😍
@@zainabshaaban5873 Facts.
@@Blue-vk5ce your creating diseases bye bleaching skin,thats ignorance and lack of maturity upon you mind
TRUE, TZ BLEACH NA KUTOA MIMBA IS THE ORDER OF THE DAY
Nampenda zamaradi hana papara anauliza maswali akiwa ametulia na focus ya hali ya juu much respect to her
Umeona na anatanguliza samahani
@@priscamlyuka5531 she is smart
Kwakweli anajielewa sana zamaradi
Genius one and humble
Wewe ni professional kwa hii fani yako.. haichoshi kuckiliza big up
Zamaradi unaitendea haki taaluma yako.... keep it up. 😘😘
Am so so proud of you mama Norman and coockie.. You are a woman and a half... Nawaombea maisha marefu yenye furaha...( Zama your a very strong woman too I love you Sana,) keep it up
Aunty Ezekiel ni black beuty afu mzuriii hajichubui😊
Yani mtu akiwa mweupe watu inawakeraga et she is beutfully black ata white pia ni wazuri punguza wivu
Veronica Christopher sio kila mweupe ana jichubua
Shida yake ni kuvuwa chupi sana 🤣
@@ngoshaachaula7152 I know dia
@@ngoshaachaula7152 thank you
Kitu kimoja tuu nimegundua Kusah ana adabu sana.
Kbisa ani namkubl xn tunawaombea wadumu milele nice
Tena sana
Sanaa anaonekan tu
Mi nalea saiz raha tuuu
Lazima awe na adabu huyu ni mkubwa kwake.
Napenda sana aunty na zama wakiwa pamoja urafiki wenu mzuri sana
zamarand dada yng nakupnda unavyojiheshim mavazi hadi ongea mungu akup maisha marefu mamy
Saaana yani nampendaga huyu Zama hadi nahisi kuumwa
@@salamanauthartanzania6301 oooh hahhh kuumwa tena duuh pole
Wanapendeza kutazama😍wamependezana I love them😍😍😍😍♥️🇧🇮
❤️❤️Zamaradi maana hta ukimuulizatu swali la kizushi. Hawezi kujua because unauliza kwa ukarimu wa juu
Operating your phone and chewing gum on a live interview is so uncouth ..
I knooooow
Such a beautiful couple. Mwenyezi mungu awajalie mkaowane
Hello Zamaradi, sauti haipo sawa kwenye interview kuna muda ina kuwa chini...please sound engineer wako acheck hilo
Zama haelewag kila siku watu wanamwambia kitu icho ichooo
Kwangu the sound is clear check your gadget before yes there some problems but nowadays perfect 😉
Hili suala.zama ashashindwaga...hajawah kuwa na interview clear..mzoee
Kweli my mm adi nikais phone mbovu
Especially sauti yake Zama ndo iko chini..
Zama i love u my sister and am ur fan as well
But i think now its time to extend our studio so that u can accommodate more than one interviewee
And napenda uchimbaji wako
Aunty kama aunty...I love you bby girl❤❤kusa hanaga mambo mengi...wish you the best
ushawahi kuwa nae??
dee eeeeh
Ongera Sana dada unajua kuhoji. yaani unahoji kirafiki hata Kama hataki kujibu swali anajikuta amejibu bila kupenda ongera sana kazi unaiweza
Zama umezingua there a lot of question hujauliza. Like vp urafiki wake na wema?
Vp kuhusu ile bif na shamsa?
Vol lile duka la viatu?
Vp lile jina jipya la hytham anoitwa na kusah?
Alishahojiwa akajib yote fatilia
Nampenda Aunt msema kweli
Ukiacha na makona kona yake.
Zama kipindi kimekuwa chamoto
Aunt n mzuri kwa kweli sio km wengine weupe wa carolight
Umeona eh ,ka sweet chocolate colour flan iv amaizing
Aunt nikisach G umezaliwa mwaka 1986 mpaka leo 2021 ni miaka 34 ila hapo umekosea kidogo kusema 32....
Hongera sana Anti ishi maisha yako
Mi nawapenda Kussah na Anty wanaendana umri kitu gani bhana achaneni na Walimwengu hawaishiwi maneno yao yanawashinda🔥🔥♥️♥️🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kusar ni handsome bwana
Hapo wamependezana hatari😆😍😍
Zama jamani nakupenda sana the way unavyouliza maswali. Keep it on.utafika mbali sana.
Nampenda sana antiii na ni mzuri haswaaa....
Woooow from south Africa. u look so woooooow💕💕💕 and beautiful one my Zamaradi😘😘😘😘love u so much. I need one day I can see u dear love u more💕💕💕💕💕💕💕may God bless u and protect u 🍝🍾🥂
Zuchu fans subscribe kwenye Chanel hii 🔥🔥🔥
She needs to grow and leave young boys alone..
See the shame on her eyes
Love so much Aunt Yan zamarad napenda Sana interview zake she is very serious
Mmejuwa kunifurahisha, nawapenda wote, nakupenda zamaradi lakini nampenda zaidi Aunty Ezekiel, kila la kheri
Kusah anaonekana ana adabu na busara sana, Aunt nimependa misimamo yake, keep it up Aunt😘
I just love you aunty😍😍😍follow your heart always
Lakini show confidence weka simu chini wacha kuangalia ngalia..concentrate
What is their age difference?
5 years
Concentrate usikilize utajua umri
Concentrate usikilize utajua umri
Mungu azidi kuwalinda na kubariki kazi za mikono yenu. Cha muhimu ni Upendo na Furaha kwenye nyumba yenu. Waja msiwasikilize kuongea ni haki yao, midomo hawailipii VAT.
Aunt yupo makini sana kujibu maswali yaani interview zake zote anaongea vizuri na mkweli, Zama uko vizuri sana kwenye mahojiano
Nawapenda saaana , ant nakupenda saana Lea familia yako vizuri wewe nidada unaejitambua. Penda saana may
Nawapenda sana aunty nakusah💕💕💕
Mungu atawafikisha mtakapo?kuweni Strong yawatu ni magazeti someni muendelee kufungua page nyingine, msirudishwe nyuma na yawatu, Aunt anajielewa sanaaa,
Interview nzuri TATIZO Zamarad Anafanya Interview Seriaz sana yan HATA KUCHEKA HACHEKI DAAAAH
Yani ni wanapendana I see love kwa kweli nawapenda sana
Kikubwa wanapendana tu tuwaomby tu kheli mengin muachiy Mungu
Such a beautiful couple nawapenda
Zuchu fans subscribe kwenye Chanel hii 🔥🔥🔥
unaongea fact aunt love you
Hongera nakupenda mam nono mmependeza kweli
Mie nawapenda tuuu😍
Nawapenda sana
Aunty is very beautiful and so calm while talking. Kudos to both of them
mung awalind sana msijali maneno ya watu angalie maisha yenu msijali
I dont know why we Africans take age as adeal in relation ship ?its normal n good wen the two love eachother
Mashaallah
Nakupenda sana aunt
Nakupenda mnoooo ht uweje I love you.❤️❤️❤️🌹
What is with bongo women with chewing gum during interviews? Zama, you need to address this! Meanwhile, auntie’s new title is CEO wa jandoni
Ladan Adan ohhhh my Gosh nilithani mimi peke yangu ndo nimeliona hilo. It’s so unprofessional, annoying and distracting.
Halafu ni msanii mkubwa anaongea na kujitafuna tafuna 👎🏿.
@@mpedwa, it’s annoying especially that sound of chewing; ushamba wa hali ya juu. Dida hukomesha hao wa big g kwenye Mashamsham
Kweli mate
Plus with playing with a phone
@@barbarasara4033, no etiquette at all
Wish u the best...Ila sound sametime haitok vizur ukitumia hiyo mic kubwa...hope u will fix this
Mungu nimwema awaende mbere jmn love you ❤
Mungu awajariy munapendeza kwakweri
Umri number fanya kitu moyo unapenda tafuta furaha yako
Aunty nakupenda ❤️❤️❤️❤️❤️ from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yessss that all matters
Yan nnavyokwazka mm najisikia kucomment mara elfu2 tuu hv kwan aunt kakutwa na nn??me nlivyokua nampnda sema basi bhn ruby apumzke tuuu ila mbwa kusah huyu🙌
Nampenda aunty alivyoongea safi sana furaha ya moyo ndo kila kitu mungu awajalie mapenzi yenu❤️
Me nakupenda Sana Zamarad
Good gal Auntie Ezekiel kwa majibu yako
Aunt na kusah nimewapenda sana
Kazi yako ni zuri sanaa zama 🔥👌tunaomba umlete. Lulu please 🙏
We Dada mzuli waace bwana we mpe mapemzi mtoto wa watu jamanio😍😍 miaka si kitu ni number tu wish you to love each other unconditional
Mh...hapa ‘ sijui..!...ngoja tusubiri walimwengu...!
Nakupenda sana Anty
MUNAOSEMA AUNTY KAWA NA KIJANA MDOGO,MAZEE MAMALAYA ,MARA WANAUMWA HICHI MARA KILE,AUNTY ENJOY YOU ARE LIFE.
Zamaradi nakuomba ujifunze kupasa sauti kwani hii ni job ambayo inaitaji unasiri sana kutoka kwako na pia kupokelewa na watu kupitia kwa kusikia unachokiongea kabisa,kwani maneno ndio nguzo na mafundisho ambayo watu watapenda kusikia.Aunty na kusah nawaombea maisha marefu na familia yenu kwa jumla.Regurdless of wat pple r saying of ur relationship,ishini maisha yanayo mpendeza mwenyezi Mungu sio binadamu yeyote ule.Aunty uma Kama kupe huyo kusah akia ya Mungu usiumuke!!!@Kenya.
Zamaradi uwa Nampend Anavyo hoji
Manshaallah 😍😍😍 Una hikma san
Aunty uko na miaka 34 ulizaliwa 28th October 1986 wadau nendeni Google mkajioneee😃😃😀😀😀😀🤠👌ati 32 kwiooooo😃😃😃
Utu kumbuke na sisi wanawake madereva wamalor mchango wenu unahitajika dada
Napenda Sana iyokaz me ni mdada nipo tz
😂😂😂😂
Hongera sana dada kwa kazi yako , mwenyezi mungu akulinde
@@naimanaima4715 jamani ukuje nikufundishe na ww wanawake tuna weza
@@khadijahomankweliyamjahaya7421 Asante sana mpendwa
Nawapenda sana mungu awasimamie
Kuanzia sasa sitokubali mwanamke yoyote amuite mume wangu kaka maana kutakua na jambo ant nijejifunza mengi kupitia kwako
Nakupendaga bure unty Ezekiel
This kusah guy speaks with alot of wisdom
Mama Norman nakushauri ufanye mazoezi kdg upunguze angalau kilo 10 hv ...nadhani itapendeza zaidi
Wa inne jamani 😊 Asubuhi nzuri na Da Zama ✨😍
Nawapenda💜
Nakukubali,sasa Zama simwanamke,NA YULE mwanaume
Hakutaka pesa alitaka furaha Nice couple ninawapenda sana
Lakini mbona kama huyu kaka hayupo free jamanii
Zamaradi- you are the best!!
Napenda aunt anavyoongea😍😍
MIE NAOMBA WAOWANE NITAFURAHI SANA NA MKUBAL ANTY NA KUSA PIA NAMUAMIA KIJANA MSTRABU SANA KUSA MUNGU AJALIE IWE NDOWA KWENU MUNGU WAFANYIE WEPES WAFUNGE NDOWA👏👏👏
Mama juhjuh nakupend xn interview zako zote 💪💪barikiwa sana
Mm mwanaume nikimzidii umrii heshima inagomaaaaaa kabsaaa jamn
Heri nimzidi kipato sio umrii
🙌🙌
Nawapenda bur 💓💛
I love your interviews Zamaradi
Naku proud sana dada zama naamin ukiendelea hivi utafika mbar zaid💚
Good inteview😍😍
Nakupenda at
Kusa anajua kujibu interview vizuri sana
Mnoo yani i real like it
Mwanaume kama anaona aibu ivi yupo nabibi yani ayupo huru kabida
be happy aunty kama ndo ulikopata upendo live your life be happy ......big up kusah nice song
Wamepishana maongezi. Aunty kasema mimba ilitokea tu halafu Kusah akasema walipanga
😄😄😄😄
Njia ya muongo fupi🤣🤣🤣
mbea ww upo makin hahahahh m mwenyew nimegundua hilo nkabak kimya tuuu hahaha