UKITAKA MALI, UTAIPATA SHAMBANI
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Dickson ni mkulima wa nyanya,
Mahitaji ya nyanya sokoni ni Kila siku, hivyo mkulima ni muhimu awe anazalisha nyanya muda wote.kijana huyu alipata vifaa ya umwagiliaji kwa matone kutoka FAO ambayo vimemsaidia kuendelea na uzalishaji hata kipindi cha kiangazi.Pia,benki ya maendeleo ya kilimo Tanzania(TADB) imemsaidia katika kufikia malengo yake..
Dickson Asante sana kwa kutuamasisha vijana kupenda kilimo
Jamaa Hawa wamepotea kweli
Love farming
HONGERA uko pwani sehemu gani
Uko wapi mkulima
Samahani, naomba mnisaidie mawasiliano ya Huyu jamaa kuna vitu nataka nizungumze naye.
Samahan nataka mbegu za viaz mviringo