mario ni mtu mwenye anajitambua haezi muonesha mwanamke wake mambo ya hovyo sio kama kina simba kunyonyana midomu na zuchu anaona hio ni madharau na nusu hata kama mtu hauna haja na yy usimfanyie madharau kama hayo
Ndoa hana paula eeh kuna maajabu duniani wallah ya Allah yaan mmh mungu mwenyewe tutaona tu eti mume marioo sio mume pau ❤❤❤mom nchunge amara wako kha eti kaka tikiwa juu juu jukwaani aibu mmh mtajaza wenyewe mie naona hamkujua kuchaguana hapo ni masumbuko tu ilo sio chaguo zyri ila kikubwa marioo naye awe anatoa show za kujiheshimu basi kwani hakujua kama Paula slikuwepo naye tu kamaliza tu kila kitu jukwaani
Aibu naona mimi😂😂😂😂
Umeona alivyo jipendekeza 😂
Yaani jamani mdada anajipeleka tu Kama bajaji mbovu 😢😢
Mbna kama marioo anamkwepa
@LindaSalumu-yw9hq hataki shobo 😄
Kwakweli😅
Mario kasimama kama ngozi ya umeme wa gridi ya taifa😅😅😅
Nguzo bhana 😂😂😂😂😂 acha mambo yako
😂
😂😂😂😂😂😂nyieee naona aibu mm wallah😂😂kaah🙌
Mario waogopa nn sasa 😂😂😂😂😂😂
Anamuogopa paula
Mume wa mtu
mario ni mtu mwenye anajitambua haezi muonesha mwanamke wake mambo ya hovyo sio kama kina simba kunyonyana midomu na zuchu anaona hio ni madharau na nusu hata kama mtu hauna haja na yy usimfanyie madharau kama hayo
Huyu kaka anajitambua sana
🎉🎉
Shamsa kelele Usha lewa ww
Kbsaaaa
Aibu nimeona mm kiuno kiguma kama injin ya fuso🤔🤔🤣🤣🤣🤭
Mario mwenyew hatak unataka mama amara alie wakirud nyumban 😂😂😂😂😂
Nmependa hii nidhahiri kabsaa anamuheshimu mwanamke wake.
Ila wanake ilimladi abambiwe ty na marioo alidhike😂😂
😂😂😂😂😂
Ana foci jamani😂😂😂
Nimeskia lisauti la shamsa ford😂😂😂
Anasema unalinga umepima
😂😂
Dada hata hajui😂😂😂
Kama mwehu 😂😂😂😂
Amarah kabak na mlinz au house girl???! Mnijib harak nna hasira😂😂
😂😂😂😂😂😂 kamfungia ndani
bodaboda😊😊😊
N
😂
Me nauliza Limshangazi langu hamjaliona huku linasema sinanguvu
🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️..nimependa iyo
Paulaa presha jujuuu dadeq😂😂😂
Kwan uyo anafanyaj kaaah 😅😅😅kama duduu😅😅
Anafosi kumbato😂😂
😂Marioo mbn kma anamkimbia2hivii
Hajui kukatika
anaogopa kuulizwa maswali na mama amara😂
@@SalumKulwa-s7q 😁😁atanuniwa
Uno 😂😂😂gumu sijui kalewa kujidhalilisha tuu
Kwa kuchapia 2 hamjambo 😂😂
Mwanamke mwenyewe ametmtoka eko habitaki alafu hana ata aibu mume wamtu ziwa ila nikazi waca wamunyongeya ajipe burudani kazini 😅😅😅
Aibu gani hiyo ni kazi bana
Pau mpaka akahema kwa nguvu😂
😂😂😂 aibu naona mm
Msanii anamtu wake jamani ❤paula
Aibuu naona mim kumaninaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂
Aibu😂😂
Apo mbn badooo atajionea mengi km y mond n zuuh😂😂 mwanaume ukikaa nae sana anachokaa
Nice❤
Aibu naona mm manina 😂😂😂
Duuh anakaz paul
Mbn marioo anamkimbia😅😅😅😅😅😅
Umeona eeeeh😅😂😂
jmn aibu wallah 😢😢
Jamani mbona naona aibu 😂😂😂
Aibuuuu😂😂😂😂😂
Paula mpk jaxho limemtoka cjui kale nixeme kashati nakenyewe kakawa kanaxhuka peke Ake😆😆😆mapenz bhan
Kwani na alifuata nini si apumzike nyumbani aache baba amara atafute pesa
ila shamsa 😅😅
Wanawake 🙌
N mm ndio huyo alovaa maski nyeupe kama jini
Fedheha😂😂😂
❤❤
Mmh mi nisinge panda kah
Nice
Waschana nao bana kama hamjiheshimu mwataka Nan aweke heshima Kwa ajili yenu
❤❤❤❤
Ivi uyo dada anaeitikia anajuwa kama tunamsikia kweli😅
Hahaha jomon
Alafu analazimisha abambiwe hahahh sijui anaupwiru ama vp
Aibu kubwa hamna ndia hapo chefu😂😂😂😂
Heeee dada hashuki mpk bodygad kamtoa
Jaman aibu naona mm
😂
Paula njooo bas
Ila shamsa😂
😂😂😂
.Paul ametisha kinomaa
Sjawah my comment lakin huyo dada Bora hata
Asinge panda kwa stage make katia aibu kbsa
Anajimaliza yy tu jaman 😂😂😂😂😂
Pombe si chai
Marioo hatoi hushirikiano..Angekuwa Simba la Masimba hapo leo zuchu angekusanya mabegi na kuondoka. Simba ni nyoko
😂
😂😂😂
Uyo dd Mt anakukataa ww unafis
Kweli ni vitu na vituko😅😅😅
Anafanya yeye naona aibu mm
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
1:30
😅😅
Homgera ukiwa kazini do your job apana ogopa ....anajuaa uko job..unamtfutia
Mmh 😂😂😂😂
Uy mdad atlal mbavu zinammaa
Apo nabado atahema kwajuu sana atahema saana paka aumwe asmah
Umalaya tu
Asa mdada mbn anajiperek
Kanaforce😏😏😂😂
Uyu Dem mjinga
Aibu naona mimi kiuno kingumu kama cha mbuzi
Ndoa hana paula eeh kuna maajabu duniani wallah ya Allah yaan mmh mungu mwenyewe tutaona tu eti mume marioo sio mume pau ❤❤❤mom nchunge amara wako kha eti kaka tikiwa juu juu jukwaani aibu mmh mtajaza wenyewe mie naona hamkujua kuchaguana hapo ni masumbuko tu ilo sio chaguo zyri ila kikubwa marioo naye awe anatoa show za kujiheshimu basi kwani hakujua kama Paula slikuwepo naye tu kamaliza tu kila kitu jukwaani
Sasa ndo umeandika nini kama mtoto wa darasa la pili
Mpk naona aibu mm😂
Yaan wanawK
Mdada ana miwasho😂
😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Dada anakwepwa lkn yumo tuu duh
😊😅😅😅
Basi apo ni girlfriend wa mtu mweeeeeeee pole mwaya kaka
😅😅😅
Sio kwa shobo hzo 😂😂😂😂
Kawaida nikazi iyo mwaego paula
Jamn
Afunzwe kuiba waume za watu mjinga iyo
Dada king'ang'a
Dada Yukon sokoni
🤔🤔🤔
Ujinga mtupu kujipelekesha kwa msanii
😮🤔🤔👉🐖
Ujinga tuu