“JASIRI JOHN….. ALIYAANGALIA MAISHA YAKE HAKUONA JINSI ANGEWEZA KUISHI BILA JANE MSICHANA ANAYEMPENDA LICHA YA KUZONGWA NA UMASIKINI ALIJITAHIDI KUMPA JANE MAHITAJI MADOGOMADOGO KADRI ALIVYOWEZA LAKINI ALIFAHAMU SHUBIRI YA KUSUBIRI KUPENDWA HUKU ANAFAHAMU KUSUBIRI KUPENDWA NI MATUMAINI YANAYOUMIZA. KAMA WANAVYOSEMA, MTAFUTAJI HACHOKI AKICHOKA KASHAPATA… .ALIENDELEA KUNGOJA” Ah! Sikuwa na zali sikuziamini ndumba Sikuwa na mali za kufuja Nilijitahidi kuuza mitumba kufuga mipunga Ili siku nimpe gari nimpe nyumba. Nilishindwa… Niliishia kumpa chai, ‘chipsi’ mayai na ‘vocha’ Nywele za kimasai na mkoba Pesa za magauni, majuba na viatu vya kuzuga Nilimpa muda ila bado haikutosha, kwani… Nilipomwambia nampenda hakujibu Akaweka moyo wangu maumivu Na mtima wangu akauweka ‘solemba’ Nikaapia kuwa sitakuja kupenda ‘forever’ Ah! Nilimpa upendo nilimpa sifa Niliweka mitego ya faida, haikuwa shwari Nikabadili mwenendo wa maisha Niliweka malengo sikutimiza, hakunikubali Alikuwa na ndoto kubwa kushinda mimi Alikuwa na misimamo kuipita dini Aliniambia ameomba nije kuokota utajiri Amengoja sana na sasa amechoka kusubiri “JOHN ALIFAHAMU HALI YA JANE, KUWA JANE ALIZALIWA KWENYE FAMILIA MASIKINI, NA ALIUCHUKIA MNO UMASIKINI. ALIFAHAMU UMASIKINI ULIVYOCHUKUA UHAI WA MAMA YAKE KIPENZI, ALIYEFARIKI KWA KUKOSA MATIBABU. ALIIFAHAMAU NADHIRI ALIYOIWEKA JANE YA KWAMBA HATOKUBALI TENA KUISHI KWENYE MAISHA YA KIMASIKINI, NADHIRI ILIYO MWEKA JOHN NJIAPANDA” Ah! Sikuwa na hali ya kuikosha roho yake Nilimwacha aende aufate moyo wake Alipata bwana wa kizungu magharibi Alimwahidi kuishi maisha ya ndoto zake Nilipata uchungu niliishia kuhamaki nilitaka nijiue Nilitaka nimzuie abaki nikakumbuka Ukipenda ua haulikati unaliacha likue Duka langu nilifunga biashara niliacha zote Uchumi uliyumba kwa maana nilianza pombe Niliumwa bado kidogo moyo uzime Nilimfanya ndoto kumbe naye ana ndoto nyingine Alisema anakwenda jiji la Miami Hakuna alichowaza zaidi ya kuishi kifahari Kamtumia picha na ‘mchizi’ kazikubali Na yupo tayari kumlipia gharama za safari Aliondoka na kipande kimoja cha mwili Nilikonda nilipata ugonjwa wa akili Haikuwahi kupita hata sekunde nisilie Nilitamani mpaka ardhi ipasuke niingie “JANE ALIPOONDOKA ALIMWACHIA JOHN KIDONDA KILICHOCHELEWA SANA KUPONA NA YEYE AKAWEKA NADHIRI YA KUTOJIHUSISHA NA MAPENZI TENA MAISHANI MWAKE. ALIKAA KWA MUDA MREFU BILA MAHUSIANO. LAKINI… HAKUNA DAKTARI MZURI KAMA MUDA, JOHN ALIPONA MAUMIVU NA ALIIRUDIA HALI YAKE YA KAWAIDA” Ah! Muda ukaenda nitapata ‘Mwanamwali’ Nikamwomba awe mwenza wa maisha akakubali Nikamvisha pete nikalipia mahari Sikumpenda lakini nilijifunza kumjali Aliuliza kama nampenda, nilimjibu Sikutaka kuweka moyo wake maumivu Sikutaka kuuweka Mtima wake solemba Kiasi aseme hatakuja kupenda ‘‘forever’’ Ah alinikumbatia nikamfunga kwa ishara Akanikabidhi tunda nikala Akaniamini tukajuana nikapanga kumwoa Akaidhisha na tukaanza na mipango ya ndoa “WAKATI KARNE YA 21 INAINGIA, JOHN ALIKUWA NI MIONGONI MWA VIJANA WALIOKUWA ‘FASCINATED’ NA UKUAJI WA TEKNOLOJIA YA MITANDAO YA KIJAMII. ALIJIUNGA NA DUNIA HII MPYA, MARA KADHAA ALIKAA KWENYE UBARAZA, AKIANGAZA SIMU YAKE. AKIPAPASA KILA KITUFE, NDIPO SIKU MOJA AKAPATA UJUMBE KUTOKA KWA JANE” “Habari naamini u bukheri wa afya Unaendeleaje maisha na huyo mpenzi wa sasa .nashukuru nahema ughaibuni si kwema Nakiona cha mtema mpaka naona ni heri nikafa… Ah! Maisha niliyowaza yote ni uongo Nauzishwa madawa nalazimishwa ngono Nafungiwa ndani kama mtumwa ufungwani Roho yangu rehani kiasi sasa naitamani Bongo Ukubwa umekuja kunisafisha jicho Ndoto imeisha na taswira imenionyesha sivyo, ah Naomba unifate uniondoshe kwenye hichi kifo Na hii namba ya msamaria atakueleza nilipo” Sherehe ilikuwa na mipango madhubuti Kabla mimi kuichukua michango ya Harusi Nikatoroka ughaibuni kufuata hisia zangu Kwenda kumfata njiwa wangu mahususi Nilivuka majangwa na majabali Sehemu ya safari anga sehemu nyingine bahari Niliacha kila kitu nyuma upendo na huruma vilinijaa Penzi likanipeleka mbali “JOHN ALIFIKA UGHAIBUNI, AKAMTAFUTA MSAMARIA ALIYETAMBULISHWA NA UJUMBE, MSAMARIA AKAMWELEKEZA NJIWA WAKE ALIPO, NA NIKWELI… HAPAKUWA PEMA” Nikakutana na bopa la kizungu Lenye sura ya kuichachisha mboga kwenye chungu Kiko kwenye mdomo,Tatuu kila kona na wapambe Pamoja na vishoka wenye mtutu Sio siri alizungukwa na wasichana wengi Sikujua umri walikuwa wadogo ka’ “madent” Baadhi walikuwa uchi wanahesabia “chenchi” Wengine masaji huku wengine wanamchezea nyeti “MASIKINI JOHN, ALIDANGANYA KWA KUJITAMBULISHA KAMA KAKA KWA JANE, AKIMSIHI YULE MAFIA AMRUHUSU AONDOKE NA JANE WAKAANZE MAISHA MAPYA, LAKINI… PALIPOSHINDWA SHOKA WEMBE HAUWEZI TAMBA. KWA KUZIDIWA NA UOGA WA KUUAWA… JANE ALIMKANA JOHN KWA KUSEMA HAMJUI…” Hata nilipomuuliza kama ananipenda hakujibu Akaweka moyo wangu maumivu Nilijua hawezi kufa kwa sababu hakunipenda Na ni rasmi nikapoteza shilingi kwenye msitu Nilikiambia kifo kama unakuja njoo Maana sikuwa mtu ilishakufa roho Sikuumia kama alivyoniumiza yeye Kwahiyo sikujali jinsi nilivyoteswa na wale mbwa no Aliambiwa ambusu bosi hakubisha Alipewa bunduki hakusita Aliishika risasi akaiingiza Akaambiwa anipige kwenye kichwa JOHN ALIKUWA NI JINA JIPYA LA WAHANGA WA UPENDO WA DHATI, VIPOFU WA MAPENZI, WAJINGA WA MAHABA... JOHN ALIKUWA ROMEO KWENYE ROMEO AND JULIETH, ALIKUWA SAMSON KWA DELILAH KWENYE WAHUKUMU WA AGANO LA KALE, ALIKUWA JACK KWENYE TITANIC, FRED WEASLEY KWENYE HARRY POTTER.. JOHN ALITUKUMBUSHA KUWA UPENDO NI SADAKA, SADAKA YA MUDA NA PESA, ALITUKUMBUSHA UPENDO NI SADAKA YA DAMU JOHN, ALIPOTEZA UHAI AKIWA KWENYE SAFARI YA KUTAFUTA UPENDO WA MTU ALIYEMHUSUDU NA JANE ALIPOTEZA AMANI NA THAMANI YAKE KAMA MTU AKIWA KWENYE SAFARI YA KUTAFUTA UTAJIRI ALIOUHUSUDU Hatia iko wapi?
Naskiza ngoma mpaka moyo unataka kupasuka. Dizasta vina, MC Mahiri, Mc Katiri. Yaan hauishi kbs katika dunia tunayoishi sisi! Huku kwetu kitaa kizima wanajua n kiasi gani Mwamba unawika, wameacha kuniita jina langu, sikuhizi wananiita Dizasta Vina. Ngoma zako ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri na hana hatia. Ngoma zako zinaweza kumfanya mtu akatishe ktk msitu mnene wenye kutisha na asiogope. Ngoma zako zinamfanya mtu ajifunze kuwa mwenye maamuzi magumu bila kuhofia lawama la mwenye kulaumu! Dizasta vina, katika ulimwengu wa Hip Hop zaidi yako wewe bado sijamuona mwingine. Hata Fareed Qubanda umemtupa kule, kabakia jina tu! Hebu pitia hii ili uone uzao wa tungo zako broo ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
@@dullywamashairi121 We ndo umekurupuka kusema huu wimbo ni wawagumu, hii ngoma anasikiliza mtu yeyote na anaelewa. Tuondoe mawazo finyu ya kudhania kuwa hip hop inasikilizwa na watu wagumu, cjui makatiri km wewe ulivyosema mwanzo...
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Dizasta vina saiv umesha convert akili yangu kwenye hiphop naenjoy sana napo usikia mziki wako nakuwa makini ili nielew unachokimaanisha nanukuu kwenye hatia 2 ulisema wanaume wote mbwa ila cjui sasa wewe ni kubwa la ma mbwa mana sioni wa kucompare na mziki unaoimba
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Asie elewa kazi ya hiki kichwa aisee hatokuja kuelewa milele @dizasta vina ndio nembo ya hip hop isio vunja nguzo ata moja ya hip hop brother umetisha sana
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha 💪💪 ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Ningekua baraza la sanaa ngomaa zako kaka zingetumika kujibia mitihan kaka...yan wanafunz ningewataka waskize kisha wachambue kila kipengele cha fasihiiiiiii
Dizasta we jamaa ni hatarii no kiki no kelele ila mtaani unaleta kile tunachohitaji yaan hip hop ingekuwa hv labda tungeongea mengine mtaani #sioni km una ngoma mbovu
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha💪💪 ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
“JASIRI JOHN….. ALIYAANGALIA MAISHA YAKE
HAKUONA JINSI ANGEWEZA KUISHI BILA JANE
MSICHANA ANAYEMPENDA
LICHA YA KUZONGWA NA UMASIKINI
ALIJITAHIDI KUMPA JANE MAHITAJI MADOGOMADOGO KADRI ALIVYOWEZA
LAKINI ALIFAHAMU SHUBIRI YA KUSUBIRI KUPENDWA HUKU ANAFAHAMU KUSUBIRI KUPENDWA NI
MATUMAINI YANAYOUMIZA. KAMA WANAVYOSEMA, MTAFUTAJI HACHOKI AKICHOKA KASHAPATA…
.ALIENDELEA KUNGOJA”
Ah! Sikuwa na zali sikuziamini ndumba
Sikuwa na mali za kufuja
Nilijitahidi kuuza mitumba kufuga mipunga
Ili siku nimpe gari nimpe nyumba. Nilishindwa…
Niliishia kumpa chai, ‘chipsi’ mayai na ‘vocha’
Nywele za kimasai na mkoba
Pesa za magauni, majuba na viatu vya kuzuga
Nilimpa muda ila bado haikutosha, kwani…
Nilipomwambia nampenda hakujibu
Akaweka moyo wangu maumivu
Na mtima wangu akauweka ‘solemba’
Nikaapia kuwa sitakuja kupenda ‘forever’
Ah! Nilimpa upendo nilimpa sifa
Niliweka mitego ya faida, haikuwa shwari
Nikabadili mwenendo wa maisha
Niliweka malengo sikutimiza, hakunikubali
Alikuwa na ndoto kubwa kushinda mimi
Alikuwa na misimamo kuipita dini
Aliniambia ameomba nije kuokota utajiri
Amengoja sana na sasa amechoka kusubiri
“JOHN ALIFAHAMU HALI YA JANE, KUWA JANE ALIZALIWA KWENYE
FAMILIA MASIKINI, NA ALIUCHUKIA MNO UMASIKINI.
ALIFAHAMU UMASIKINI ULIVYOCHUKUA UHAI WA MAMA YAKE KIPENZI,
ALIYEFARIKI KWA KUKOSA MATIBABU. ALIIFAHAMAU NADHIRI ALIYOIWEKA JANE YA KWAMBA
HATOKUBALI TENA KUISHI KWENYE MAISHA YA KIMASIKINI, NADHIRI ILIYO MWEKA JOHN NJIAPANDA”
Ah! Sikuwa na hali ya kuikosha roho yake
Nilimwacha aende aufate moyo wake
Alipata bwana wa kizungu magharibi
Alimwahidi kuishi maisha ya ndoto zake
Nilipata uchungu niliishia kuhamaki nilitaka nijiue
Nilitaka nimzuie abaki nikakumbuka
Ukipenda ua haulikati unaliacha likue
Duka langu nilifunga biashara niliacha zote
Uchumi uliyumba kwa maana nilianza pombe
Niliumwa bado kidogo moyo uzime
Nilimfanya ndoto kumbe naye ana ndoto nyingine
Alisema anakwenda jiji la Miami
Hakuna alichowaza zaidi ya kuishi kifahari
Kamtumia picha na ‘mchizi’ kazikubali
Na yupo tayari kumlipia gharama za safari
Aliondoka na kipande kimoja cha mwili
Nilikonda nilipata ugonjwa wa akili
Haikuwahi kupita hata sekunde nisilie
Nilitamani mpaka ardhi ipasuke niingie
“JANE ALIPOONDOKA ALIMWACHIA JOHN KIDONDA KILICHOCHELEWA SANA KUPONA
NA YEYE AKAWEKA NADHIRI YA KUTOJIHUSISHA NA MAPENZI TENA MAISHANI MWAKE.
ALIKAA KWA MUDA MREFU BILA MAHUSIANO. LAKINI…
HAKUNA DAKTARI MZURI KAMA MUDA, JOHN ALIPONA MAUMIVU NA ALIIRUDIA HALI YAKE YA KAWAIDA”
Ah! Muda ukaenda nitapata ‘Mwanamwali’
Nikamwomba awe mwenza wa maisha akakubali
Nikamvisha pete nikalipia mahari
Sikumpenda lakini nilijifunza kumjali
Aliuliza kama nampenda, nilimjibu
Sikutaka kuweka moyo wake maumivu
Sikutaka kuuweka Mtima wake solemba
Kiasi aseme hatakuja kupenda ‘‘forever’’
Ah alinikumbatia nikamfunga kwa ishara
Akanikabidhi tunda nikala
Akaniamini tukajuana nikapanga kumwoa
Akaidhisha na tukaanza na mipango ya ndoa
“WAKATI KARNE YA 21 INAINGIA, JOHN ALIKUWA NI MIONGONI MWA
VIJANA WALIOKUWA ‘FASCINATED’ NA UKUAJI WA TEKNOLOJIA YA MITANDAO YA KIJAMII.
ALIJIUNGA NA DUNIA HII MPYA, MARA KADHAA ALIKAA KWENYE UBARAZA, AKIANGAZA SIMU YAKE.
AKIPAPASA KILA KITUFE, NDIPO SIKU MOJA AKAPATA UJUMBE KUTOKA KWA JANE”
“Habari naamini u bukheri wa afya
Unaendeleaje maisha na huyo mpenzi wa sasa
.nashukuru nahema ughaibuni si kwema
Nakiona cha mtema mpaka naona ni heri nikafa…
Ah! Maisha niliyowaza yote ni uongo
Nauzishwa madawa nalazimishwa ngono
Nafungiwa ndani kama mtumwa ufungwani
Roho yangu rehani kiasi sasa naitamani Bongo
Ukubwa umekuja kunisafisha jicho
Ndoto imeisha na taswira imenionyesha sivyo, ah
Naomba unifate uniondoshe kwenye hichi kifo
Na hii namba ya msamaria atakueleza nilipo”
Sherehe ilikuwa na mipango madhubuti
Kabla mimi kuichukua michango ya Harusi
Nikatoroka ughaibuni kufuata hisia zangu
Kwenda kumfata njiwa wangu mahususi
Nilivuka majangwa na majabali
Sehemu ya safari anga sehemu nyingine bahari
Niliacha kila kitu nyuma upendo na huruma vilinijaa
Penzi likanipeleka mbali
“JOHN ALIFIKA UGHAIBUNI, AKAMTAFUTA MSAMARIA ALIYETAMBULISHWA NA UJUMBE,
MSAMARIA AKAMWELEKEZA NJIWA WAKE ALIPO, NA NIKWELI… HAPAKUWA PEMA”
Nikakutana na bopa la kizungu
Lenye sura ya kuichachisha mboga kwenye chungu
Kiko kwenye mdomo,Tatuu kila kona na wapambe
Pamoja na vishoka wenye mtutu
Sio siri alizungukwa na wasichana wengi
Sikujua umri walikuwa wadogo ka’ “madent”
Baadhi walikuwa uchi wanahesabia “chenchi”
Wengine masaji huku wengine wanamchezea nyeti
“MASIKINI JOHN, ALIDANGANYA KWA KUJITAMBULISHA KAMA KAKA KWA JANE,
AKIMSIHI YULE MAFIA AMRUHUSU AONDOKE NA JANE WAKAANZE MAISHA MAPYA,
LAKINI… PALIPOSHINDWA SHOKA WEMBE HAUWEZI TAMBA. KWA KUZIDIWA NA UOGA WA KUUAWA…
JANE ALIMKANA JOHN KWA KUSEMA HAMJUI…”
Hata nilipomuuliza kama ananipenda hakujibu
Akaweka moyo wangu maumivu
Nilijua hawezi kufa kwa sababu hakunipenda
Na ni rasmi nikapoteza shilingi kwenye msitu
Nilikiambia kifo kama unakuja njoo
Maana sikuwa mtu ilishakufa roho
Sikuumia kama alivyoniumiza yeye
Kwahiyo sikujali jinsi nilivyoteswa na wale mbwa no
Aliambiwa ambusu bosi hakubisha
Alipewa bunduki hakusita
Aliishika risasi akaiingiza
Akaambiwa anipige kwenye kichwa
JOHN ALIKUWA NI JINA JIPYA LA WAHANGA WA UPENDO WA DHATI, VIPOFU WA MAPENZI, WAJINGA WA MAHABA...
JOHN ALIKUWA ROMEO KWENYE ROMEO AND JULIETH, ALIKUWA SAMSON KWA DELILAH KWENYE WAHUKUMU WA AGANO LA KALE, ALIKUWA JACK KWENYE TITANIC, FRED WEASLEY KWENYE HARRY POTTER..
JOHN ALITUKUMBUSHA KUWA UPENDO NI SADAKA, SADAKA YA MUDA NA PESA, ALITUKUMBUSHA UPENDO NI SADAKA YA DAMU
JOHN, ALIPOTEZA UHAI AKIWA KWENYE SAFARI YA KUTAFUTA UPENDO WA MTU ALIYEMHUSUDU NA
JANE ALIPOTEZA AMANI NA THAMANI YAKE KAMA MTU AKIWA KWENYE SAFARI YA KUTAFUTA UTAJIRI ALIOUHUSUDU
Hatia iko wapi?
Daaah dizasta wewe ni vina hivi naanzaje kuchoka kusikiliza nyimbo zako
🤝🏾
Naskiza ngoma mpaka moyo unataka kupasuka. Dizasta vina, MC Mahiri, Mc Katiri. Yaan hauishi kbs katika dunia tunayoishi sisi!
Huku kwetu kitaa kizima wanajua n kiasi gani Mwamba unawika, wameacha kuniita jina langu, sikuhizi wananiita Dizasta Vina.
Ngoma zako ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri na hana hatia. Ngoma zako zinaweza kumfanya mtu akatishe ktk msitu mnene wenye kutisha na asiogope. Ngoma zako zinamfanya mtu ajifunze kuwa mwenye maamuzi magumu bila kuhofia lawama la mwenye kulaumu!
Dizasta vina, katika ulimwengu wa Hip Hop zaidi yako wewe bado sijamuona mwingine. Hata Fareed Qubanda umemtupa kule, kabakia jina tu!
Hebu pitia hii ili uone uzao wa tungo zako broo
ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Nakukubali sana bro 💪
Real talent
Nani anasikiliza hiki chuma August 12, 2024... Dizasta mtu mbaya sana
Dizasta vina bro we ni mkaliii
Sikumpenda lakini nilijifunza kumjali Kama tupo pamoja tia like 25-12-2020
Thanks.. Please share. Usisahau kuorder my new album
@@dizastavina pamoja bro nigei no yako
@@emilysaimon481 pre order kupitia tigo pesa 0655696811 au Mpesa 0762158871
"Nilimfanya ndoto, kumbe naye ana ndoto nyingine"
16/12/2024 Hili dude bado liko 🔥🔥🔥🔥🔥
... nilipo mwambia nampenda hakujibu... 2024
Duuhh nlichelewa😪😪😪
Dizzasta's fan number one from +257🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Dizasta hii nyimbo ni funzo tosha yani ww ndo mwalimu wangu najifunza vitu vingi nkasikiliza nyimbo zako$
Kitu kinachoniuma ni kuona jamii inasikiliza miziki isiyo ya mafunzo yoyote na kuacha mziki wenye mafunzo Kama huu
Huu mziki wako ni dawa ya ubongo asee Viva dizasta vina 💪💪💪👊👊💥💥💥
Hii ngoma ni zaidi ya albamu nzima ya Weusi, Prof Tungo we ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha
ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
@@dullywamashairi121 Hip hop inahitaj wenye uwezo mkubwa wa kufkr, pole sana kwako mwny uwezo mdogo nkushauri kasikilize waaah!!!
@@shabannyamsalika inaelekea wewe ndo hujanielewa Mimi. Wewe bado mbana pua. Wagumu wakipita wataelewa nimemaanisha nini.
Umekurupuka mzee, maana kitaani wamenibatiza jina wananiita Dizasta vina!!💪💪💪
@@dullywamashairi121 We ndo umekurupuka kusema huu wimbo ni wawagumu, hii ngoma anasikiliza mtu yeyote na anaelewa. Tuondoe mawazo finyu ya kudhania kuwa hip hop inasikilizwa na watu wagumu, cjui makatiri km wewe ulivyosema mwanzo...
@@dullywamashairi121 mwanangu ww bado Sana na hilo jina la dizasta mwalichafua kitaan kwenu
Hii True story nimesikiza ×10....song imenipeleka mpaka gaibuni ....utahisi mkono wa mungu umeandika Hii✔✔#KingOfRap
Nilikwambia unajua na ctoacha kukwambia unajua💪💪
Thanks kev
Sauti yako tu mi hoiiiii🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️🌹🥰❤️
Thank you........
Hii goma inatakiwa wasambaziwe wanafunzi Tanzania mzima maana hili ni somo linajitegemea.
ni nyimbo niliyosikiliza mara nyingi kuliko nyimbo yoyote dizasta vina
dizasta unao uwezo mkubwa sana wenye nguvu kama meli ya mizigo aiseee
Dizastavina greater thinker my best hip hop artist in tz nyimbo kama fasihi only for greater mind
Master vina fan toka 🇰🇪🔥✅ tumengoja sana umewakilisha kama kawaida
Thanks, please share
Wewe wewe weeeeeewe🥺🥺🥺ulishushwa ututeke🇹🇿❤️
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha
ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
This is my number one hip hop artist in Tz
Nimerudi hapa baada ya mistari mingi kunigusa na kuendana na ninachikipitia kwenye maisha ya mahusiano
Muda utafika Inshaallah dizasta utakua jina kubwa na ramani ya maarifa kwa kizazi kijacho
Hopefully
New fan from +254 hapa.... Huyu kaka balaa sanaa dah
Dah dizasta umezigusa hisia umenifanya nijione mwenye hatia
Dah Kama umeniimba mimi vile
Haso za mapenzi duniani zinaumiza wengi
Verteller ...Dah huwezi amini nimeiona movie yote kichwani mwangu the way Mwamba unavoflow... nilichofeli ni kuipata sura ya Jane.
Najivunia kua shabiki ako bro...hujawahi kuniangusha🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha
ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Daaaaah so sad 😌 ila we jamaa unajua kinoma
Brother ushaandika HATIA nyingi sana lakini hii hatia IV ni funga kazi brother
Wewe mwamba ni mwehu sema tuu unafikiri sana
Yaani movie moja classic
😂 😂 😂
Aisee hii ni ya moto kushinda jua🔥🔥🔥🔥
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha
ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Dah stor Kama yangu vile
USIJIITE MUHUNI KAMA HUMJUI DIZASTA VINA (THE VERTELLER) broo you always teach me many lessons kwa mistari yakoo daaaah
Dizasta hv ww ni nan daah unapasua xn hisia zungu kaka unajua xn
Brother unawezaaaaah na xo unaweza 2 we ni MWALIMU
Thanks bro
Hii nyimbo itungiwe movie kummmke duuh😓😓🔥🔥🔥
Dizasta vina unastahili kuwa mtu Wang wa kalibu Ila sio mbaya hata hap nakupata
Thank you
Deep sana hii ni kama movie
Daaaa bro unajua mpaka unaboa.. masikio yetu hayalali njaa kila unaposhika kipaza!!
Paliposhindwaaa shokaa wembee hauweziii tambaaaa🤔
naikubali kinoma hingoma bigp bro
Wewe ni mkari sana
Shukrani kaka
2024 Tunard kula madin kwa mwamba Ngoma hazichoshi vina Zawad yetu wapenda hip hop🙏
Wa KUMI kutazama 🙌
👏🏾 👏🏾 👏🏾 👏🏾
Wimbo wangu wa mwaka kbsa Asante dizasta 2020
Apreciate, umeshaweka order ya album
Dizastaaa vinaaa ww nouma MC mahiri unatoa madini ambyo lazima ukubali
Aisee dizastar noma Sana mshkaji wangu darasa Hilo namimi napenda Nije nipate mautundu ya asali ya hip-hop
Dizasta vina saiv umesha convert akili yangu kwenye hiphop naenjoy sana napo usikia mziki wako nakuwa makini ili nielew unachokimaanisha nanukuu kwenye hatia 2 ulisema wanaume wote mbwa ila cjui sasa wewe ni kubwa la ma mbwa mana sioni wa kucompare na mziki unaoimba
Shukrani sana ndugu, please share na marafiki
You are so Genius, asante kwa uwezo wako wa kunifanya niamini kuwa wewe ndie Rapper Bora
Daaah huyu jamaa anafanya mziki kwa bongo hakuna tena kama dizasta amani kwako brother
Dizasta ww sio binadamu wa kawaida aseee haijawahi tokea
Duuuhhh.... hii inabeba sababu muhimu ya muziki kwenye maisha....
jamaa unajua sana unaandika vizuri sana big up sana kwa kazi nzuri
Appreciate, please share and order my album now
Tigo pesa 0655696811, mpesa 0762158871
Appreciate, please share and order my album now
Tigo pesa 0655696811, mpesa 0762158871
Mungu ametupaga disaster vina
Umetisha sana mzee baba bonge moja la ngoma
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha
ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Imenitoa machoz hii ngoma mapenz yanauma sana
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha
ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
My broo really umenitoa mazur kweli VINA NI HAFAHI KABISA
Wasanii kama hawa Bongo ni wachache Sana... Big up bro....
Ahsante sana Dizasta Vina Kwa Muziki Mzuri unaoacha/utakaoacha Alama ya Milele
Jamaa unaimba sana aiseh🔥🔥🔥🔥
Wewe ni mtunzi Huru Dizasta vina God Abless njia zako
Kaka unajuw sana nakufatilia sana Kama ile sikumbaya
Amani sana, please share
Dizasta..... you're very UNIQUE broo...Mungu akuzidishe maarifa na afya tele just because unajua kutupa Raha mashabiki zako..GOD BLESS TOUR TALENT
Thanks bro
Unatishaaa yaaaani hiii ngoma mengne live
My best movie ever @dizasta🙌🧠🧠🧠
Ogopa mwanamke💔
Wewe jamaa ni fundi miaka yote nimeangaika kumeza nobody is safe 3 mwishoe umetoa dude lingine
Duuh..! sijui nikupe jina gani broh... una hatari kubwa sana. 🙌🙌🙌
👏🏼👏🏼
kazi nzuri bro,,,, nakubali kazi zakoo
Hujawahi niangusha brother,,,,,,🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
👏🏾 👏🏾
@@dizastavina Countdown days for album
Bonge la talent big up ..unazungumza na mimi kama
Thanks, my album is out. Nunua kwa whatsApp au Email kwa namba hizi 0762158871 MPESA au 0655696811 TIGO PESA.
Upewe maua yako mzee. Hizi ni zaidi ya tungo
Asie elewa kazi ya hiki kichwa aisee hatokuja kuelewa milele @dizasta vina ndio nembo ya hip hop isio vunja nguzo ata moja ya hip hop brother umetisha sana
Thanks, please share
hujawahi kufeli broo hii ngoma hatari
Thanks
dizasta vina ni kina joh 70 // sio wakazi kadhaa wa kitongoji mkija njoo makini
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha 💪💪
ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Aliondoka na kiungo cha mwili 😃🔥🔥
Disasta bro 💪 hiphop ngumu ya kiakil na yenye uelewa wa kwel💥💥
Thanks man
Nimesuburi kinoma hii ngoma
We jamaa nomaa
Nmekubar bro salut kwa hii kaz
🤔🤔🤔🤔 Noma sana ngoma kali sana
Mistar unachora Broo!!! Ni nomah ,we mkali aise,big up
Dizasta vina ni akina Joh 70.
Mtiririko mzuri ,kazi nzuri. Big up brother.
‘’Nilimfanya ndoto kumbe nae ana ndoto nyingine🙌🏽’’
Ebana kalii sana hii 🤔😥😥
Nakuona mbali
Ningekua baraza la sanaa ngomaa zako kaka zingetumika kujibia mitihan kaka...yan wanafunz ningewataka waskize kisha wachambue kila kipengele cha fasihiiiiiii
Umeshushwa.brooo...yan.unajuaa.brooo
Nomaa sanaa
Daaah ! Shikamoo tena
🙏🏼🙏🏼
Kuna haja ya dizasta kufungua chuo cha mziki wa hiphop ili vizazi vinavyokuja vielewe maana ya muziki wa hiphop
👏🏾 👏🏾 👏🏾 👏🏾
Aseee wewe ni mtu hatari kwelikweli big up kka
Shukrani sana ndugu, please share
Brazaaa umegusa maisha ye2 kwa hii ngoma
Kaka hii ngoma naomba niifanyie cover yn nmeikubal Kias kwmb mpk nawaboa watu Everyday nackiliza
Dizasta we jamaa ni hatarii no kiki no kelele ila mtaani unaleta kile tunachohitaji yaan hip hop ingekuwa hv labda tungeongea mengine mtaani #sioni km una ngoma mbovu
Appreciate, please share
Yule dogo raptcha akae mbali....ajifunze kuchana, sio fujo nyingi ....dizasta ni disaster balaa🔥
Nakubali sana hujawahi kosea the vertller
Ngoma zake ni ngumu, mtu akiziskiliza sana lazima awe Jasiri, awe katiri asiye na hatia. Hebu pitia na hii link ili uone video, ni kitu kilekile ila mapishi tofauti. Haya ni mambo ya kutisha💪💪
ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Nyimbo nzur sana
Daaah black maradona.. home boy unajua
Dah Dizasta, uko hatua ambayo mimi naiota kufikia.
Patience and practice
Appeiciet mzee baba🔥🔥🔥